Hizo bara bara hizo siku 2,3 znabomoka miundo mbinu mibovu watu pesa wanachakachua...ikisha wanazibaziba juu khalasiiiii......utapeli na udanganyifu mwinyi pesa wanazila wahisika Mungu atawauliza
Tunashukuru kwa haya haijambo kidogo. Ila Mamlaka kamili ya Zanzibar yetu ndivyo unachokitaka ili basi tujivunie nchi yetu na utambulisho wetu kama nchi nyengine yeyote duniani. Heshima ya nchi yetu ya Zanzibar na watu wake. Wazanzibari tunadharauliwa nkusimangwa na kutawaliwa na kunyimwa haki zetu na nchi yetu . Tuachiwe tupumue.
Mbona kama msumbiji😅😅😅😅
Asnt sna mama samia
Hizo bara bara hizo siku 2,3 znabomoka miundo mbinu mibovu watu pesa wanachakachua...ikisha wanazibaziba juu khalasiiiii......utapeli na udanganyifu mwinyi pesa wanazila wahisika Mungu atawauliza
Tunashukuru kwa haya haijambo kidogo. Ila Mamlaka kamili ya Zanzibar yetu ndivyo unachokitaka ili basi tujivunie nchi yetu na utambulisho wetu kama nchi nyengine yeyote duniani. Heshima ya nchi yetu ya Zanzibar na watu wake. Wazanzibari tunadharauliwa nkusimangwa na kutawaliwa na kunyimwa haki zetu na nchi yetu . Tuachiwe tupumue.
Ahsante sana kwa comment kaka
Kutawaliwa na nani tena ??😢
Umenikumbusha kaka. Kweli tuachiwe Tupumue.
Hi itakuwa SIKU ya IJUMAA maduka mengi huwa yanafungwa huku Zenji
katuonyeshe barabara inayo jengwa yajuu nachini kule kwerekwe na amani daraja bovu
Bado hazijaanza kuonekana vizuri zimezibwa na mabati
Nzuri sana ila vizuri andika mda na maeneo unayopita au mitaa
Ahsante sana kwa comment
Zanzibar iyo naona kama singapor
Mdogo mdogo
Mitano tena kwa Raisi wetu Dr Hussein Mwinyi ..Miki yetu iimarike na kuvutia ishaAlllah
Ameen
Greening... Greening... Greening ... Please! ☘️🍀🌱🌿🌲🌳🌴🌵🌻🌹💐🌺🏵️🌸🪷🌷🌺🍁🌵🍀🍀☘️🍃🌴🍀☘️ Itapendeza zaidi!
Hizi ni huduma za jamii😅😅 si maendeleo
Ahsante sana kwa comment kaka
Maendeleo yanakuwa ni kama yepi
Hakuna kupata kudogo
PANDENI MITI ZAIDI NA MUWEKE VYUMA VITENGANISHI BRBR, ALAMA ZA CHINI NA MABANGO ELEZI!!!!
Ndo nn sasa