Ninachokiona hapo ni kwamba DAWASA hawana utaratibu mzuri, wao wameweka kipaumbele kwenye kukata maji kwa wasiolipa. DAWASA ni taasisi ambayo inahitaji customer care ya hali ya juu, wajifunze basi hata kwa Tanesco, tanesco ukiwapigia simu kwamba umeme umekatika wanashughulikia na wanakupigia simu wakati mwingine kujua kama tatizo limeshatatuliwa. Sasa DAWASA mtu unaenda halafu wao wanakupatia namba ya fundi kwamba umpigie mwenyewe wao hawamwambii kitu. Hili si tatizo aisee
Omary ni shida sana
Dah
Ila mwanza jamn awesu angalia watu wako, mkandarasi wa butimba hamalizagi mradii?
Ninachokiona hapo ni kwamba DAWASA hawana utaratibu mzuri, wao wameweka kipaumbele kwenye kukata maji kwa wasiolipa.
DAWASA ni taasisi ambayo inahitaji customer care ya hali ya juu, wajifunze basi hata kwa Tanesco, tanesco ukiwapigia simu kwamba umeme umekatika wanashughulikia na wanakupigia simu wakati mwingine kujua kama tatizo limeshatatuliwa.
Sasa DAWASA mtu unaenda halafu wao wanakupatia namba ya fundi kwamba umpigie mwenyewe wao hawamwambii kitu. Hili si tatizo aisee
Njoo morogoro mh AWeso morowasa wanawabambikia watu bili
Punguzeni Gharama maji yanapita mlangoni kwako ukita kuvita maji unaambiwa 270000 ni wizi
idara hii have the worst service everywhere in Tz
KUMLIPIA DENI MTU NDIO KUFURU,..WAANDISHI WA HABARI HOVYO KABISA
😂😂😂😂