PATA POTEA _EP 07

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 269

  • @gloiregloirekamirigado
    @gloiregloirekamirigado 2 дні тому +1

    Naipenda iyi kabisa❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 дні тому

    Kumekuchaaaàa😂😂😂 baba mwenyenyumbaa katimbaaa ndani 😂😂kisai toa sauti sasa mana wewe ndokusema baba jengo😂😂

  • @ThaskyCaga-mi9hb
    @ThaskyCaga-mi9hb 9 днів тому +67

    Kila nikiona kisai namuona kama mtu mbaya zaidi mnipe like zangu jamn😅😅

    • @JustinaWilliam-nq8ft
      @JustinaWilliam-nq8ft 9 днів тому +3

      Kabisa ila niuhusika tu anao kuwa anapewa😂

    • @SurprisedBeachVacation-te9qz
      @SurprisedBeachVacation-te9qz 9 днів тому +4

      Yaani saiv me namuonea kisai huruma jamaniii

    • @miriamwainaina2664
      @miriamwainaina2664 9 днів тому +2

      We tukomeshe 😂

    • @MercyMoses-fi1fd
      @MercyMoses-fi1fd 9 днів тому +3

      Kama Basi ukimuona unaona mtu mbaya Ni kumaanisha amevaa uhusika wake vizuri...
      Napenda sana team KP Na zebuu.fron Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Queenofjungle254
      @Queenofjungle254 9 днів тому +1

      Mimi pia nishaamzoea hivyo 😂😂😂ila namshangaa mbona leo ako mpole hivi ama muda bado wa kuonyesha rangi zake kamili

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 5 днів тому

    Dah!kisai ndio kulia gani mikamasi hivo😂😂😂😂

  • @johnsonx805
    @johnsonx805 6 днів тому +3

    Pengo la Sheila aliwezi kuzibwa na keta pia dibozi hana mbadala wake anayekubalika na na mm adondoshe like

  • @PascalPerer
    @PascalPerer 9 днів тому +24

    Ukitaka kumjua KETA kama kaiva mfatilie kwenye ALBASTIN ni noma sana utainjoi mtu wangu wahi albastin bado yamoto epsod ya 3 tu lakini ishachangamka balaaaaaaaaaaa

    • @GemiJuma
      @GemiJuma 8 днів тому +1

      Episode ya 4 Tyr mbn

  • @NeemaMzur
    @NeemaMzur 9 днів тому +14

    Nampenda sana uyu mdada KETA❤❤ Mungu amtunzie kipajichake🎉🎉

  • @Derya-q4b
    @Derya-q4b 9 днів тому +12

    Yan ukiangalia picha ya wamangushi na Binti nyoka kisai alikuwa mwembamba sana lakin hizi za sas daah Kawa bonge la baba au sio jaman

  • @DominicKE-x6c
    @DominicKE-x6c 9 днів тому +26

    Kisai namuona mbaya tokea movie za kitambo,, nipeni likes

    • @Kabujeson
      @Kabujeson 7 днів тому

      Plan B na last card

  • @DavidEdwin-i7x
    @DavidEdwin-i7x 5 днів тому

    Kisai Leo wamekuweza sanaaa by me david boy

  • @DicksonShirima-q7o
    @DicksonShirima-q7o 4 дні тому

    Kwel hil kams sio poa kbs kumb kisai naww ukiachn na kufok una machz

  • @RoseLuchivya
    @RoseLuchivya 9 днів тому

    Kisai kisai kisai ❤❤ dawa yk iko jikoni 😂😂

  • @ClemoMulinge
    @ClemoMulinge 9 днів тому

    ❤❤❤❤ safi kazi nzuri sana kisai

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 9 днів тому +32

    *Yaliyopita, kwenye Pata Potea. 😂 Huyu baba yake Norah namfananisha na msanii mmoja wa Nigeria alicheza na Steven Kanumba filamu ya THE DEVO KING DOM. ( Ramsey ) kama sijakosea jina lake 😂🌹🌹🌹🌹 Kazi nzuri*

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 9 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤Hongeren sana kwa kaz njma Dkt Aghaly

  • @FrancisNdunda-w3c
    @FrancisNdunda-w3c 8 днів тому +1

    Kisai wew n massa ama😅

  • @kimaromarry643
    @kimaromarry643 9 днів тому

    😂😂😂 kisai leo amelia et jaman duuuh,!😂😂😂😂

  • @Madline-tz8mf
    @Madline-tz8mf 9 днів тому +2

    Kazi nzuri sana aki 👏👏 Kisai hii ni yako tu aki😂 KP kazi nzuri tena saaana 😅😅😅😅

  • @FatumaIssa-g9t
    @FatumaIssa-g9t 9 днів тому +8

    Kisai leo kwamara yakwaza nakuona unalia kati ya mv zako zote ulizoigiza sijawahi kukuona ukilia zaidi yaukatili 2 kama unakubaliana na mm weka like tujuane 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AbubakariMdeve
    @AbubakariMdeve 9 днів тому +18

    Nawahusien na kuihusia nafsi yangu maisha nimafupi jaman tumchen Allah

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 9 днів тому

    Wasiwasi ndio akili,Noraaaah🎉🎉🎉🎉 # kisai mshenyeteni vile inafaa😊

  • @MelaniaFrancis-t1m
    @MelaniaFrancis-t1m 8 днів тому

    Kisai kamas hilo😂😂😂

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva 9 днів тому +4

    Jamani keta hauna huruma mamaneee Jamani kama tupo wanawake kama keta uwiii kisayi ungekuwa mkweli haya yote ni ww kazi nzuri Sana ❤❤❤

  • @NancyNjoki-y3f
    @NancyNjoki-y3f 8 днів тому

    Kisai makamasi hayo baba😂😂😂😂😂😂

  • @Kadii-o9s
    @Kadii-o9s 9 днів тому

    kazi nzur anaa ila mnachelewesa snaan💖💖

  • @KulwaAndrew
    @KulwaAndrew 9 днів тому

    🎉🎉🎉 yang jmn

  • @LovenessJamesi
    @LovenessJamesi 9 днів тому +1

    Kisai kisai bado niko na ww mpaka mwisho😂

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 9 днів тому

    Kaz nzuri sana nawapenda wote ❤❤

  • @Gideonmiselya
    @Gideonmiselya 8 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤ tena sanaaa

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 9 днів тому +1

    Mashallah ❤❤

  • @JoslineKavugho
    @JoslineKavugho 7 днів тому +4

    Heeee ahaa mpaka na makamasi😅😅😅😅

  • @MwanaishaChileta
    @MwanaishaChileta 9 днів тому

    Ramso kumbe pia wewe walia .saluti baba unaweza 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 5 днів тому

    Fanya haraka ondoa huyo kisirani kwanza mtoto siyo wako unajitesa bure😂

  • @JudithOboya
    @JudithOboya 9 днів тому

    😂😂😂 kisai hadi makamazi 🙆

  • @mjeniMchombo
    @mjeniMchombo 6 днів тому

    Heee mbne hivo Tena makamasi niyakazi Kani 😂😂😂😂😂mtanitapisha banaa

  • @ShamilaAbdul-n8b
    @ShamilaAbdul-n8b 9 днів тому

    😂😂😂 baba kachafukwa

  • @RosemaryWilbard
    @RosemaryWilbard 9 днів тому +1

    Jaman nayla ni mcute❤❤❤❤❤

  • @CharityAnubi
    @CharityAnubi 9 днів тому

    Kisai utajua hujui anyway good job but mnachelewesha sana.

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 9 днів тому

    Mnafiki sana kisaii mungu atakulipa kwa huo unafiki wako ungesema tu ukweli hayengifika huko

  • @Mkitunda
    @Mkitunda 9 днів тому

    Number one😂😂

  • @najmaawadh3837
    @najmaawadh3837 9 днів тому

    Kisai😂😂😂round hii kimekuramba

  • @RamaKenga-u9h
    @RamaKenga-u9h 9 днів тому

    Waaa kumechafuka hali ya hewa 😂😂😂😂kisai kwisha

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 дні тому

    Mtaka vyoteuhukosa vyote Mali wataka mtoto wataka

  • @LorineIminza
    @LorineIminza 9 днів тому +8

    Number one from Kenya,❤❤nipate like tafadhali

  • @ClemoMulinge
    @ClemoMulinge 9 днів тому

    ❤❤❤ nimeipenda hiyo hapo mwisho hapo

  • @Faithkerubo-v4r
    @Faithkerubo-v4r 9 днів тому

    Kiasi nakuhurumia 😢😢😢😢😢😢

  • @MusembiHellen
    @MusembiHellen 9 днів тому

    Movie tamu Shida mnakawia sana😢

  • @YurithaMwombeki-s9c
    @YurithaMwombeki-s9c 9 днів тому +2

    😂😂😂 ila hii movie n ya kihindi

  • @SaumuRuwa-r7j
    @SaumuRuwa-r7j 9 днів тому

    Kisai leo umepatikana hua unajifanya sana roho mbaya 😂

  • @Selemanirashidi260
    @Selemanirashidi260 9 днів тому

    Kazi mzuri 🎉🎉

  • @AbdulKiba-w1e
    @AbdulKiba-w1e 4 дні тому

    badilixheni na music maana kila movie iyoiyo

  • @SarahJaphet-bm3yg
    @SarahJaphet-bm3yg 9 днів тому

    Wa kwanza 🎉🎉🎉🎉

  • @AliceMariam-w2y
    @AliceMariam-w2y 9 днів тому

    😮mr kisai nko na ww😊

  • @PlacideLwabagumaHeri
    @PlacideLwabagumaHeri 8 днів тому

    Kisai ana dondosha kamasi puani kama ngombe.

  • @Nadzuwamangale
    @Nadzuwamangale 9 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 9 днів тому

    Nafurahia sana kuona kisai anapata shida 😂😂😂😂😂

  • @BeatriceAbonyo-i3y
    @BeatriceAbonyo-i3y 9 днів тому +5

    Yaani leo kutoka kingdom wapi makofi

  • @SalhaSandra
    @SalhaSandra 9 днів тому

    Kumekucha 😂😂😂😂😂😂😂

  • @FaithChepkurui-l2l
    @FaithChepkurui-l2l 9 днів тому +1

    Munakawiya sana sana

  • @AbubakariMdeve
    @AbubakariMdeve 9 днів тому +2

    Wa tisa leo jaman

  • @webnet5652
    @webnet5652 6 днів тому

    Lakini uyo Keta Mimi simpendi anachonganisha ndowa ya Norat na mume wake kisai😢😢

  • @Odrelle
    @Odrelle 9 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @willychokoch1306
    @willychokoch1306 9 днів тому

    Sometimes watu ndio wanafanya kisai kuonekana mbaya😂

  • @Latefa-z7m
    @Latefa-z7m 9 днів тому

    Kisayi na mschozi mpaka kamasi 😂yaani wewe unafaa kuigiza ukatiri2 ila kulia wala😢😮

  • @isaiebizimana8935
    @isaiebizimana8935 9 днів тому

    Keta umekuja vizul wangu Hadi laha kbx

  • @AdanGalgallo-q3q
    @AdanGalgallo-q3q 9 днів тому +4

    Kisai kimekuramba this time round,,, am from Kenya

  • @m.csundayvin3584
    @m.csundayvin3584 6 днів тому

    Good job

  • @purity134
    @purity134 5 днів тому

    Good advise mwenga,u can't serve 2masters at a time;either you hate one and the other😊

  • @rechomusango2184
    @rechomusango2184 9 днів тому

    Na bado kisai ujasema na utasema😂

  • @winniemwaka3202
    @winniemwaka3202 6 днів тому +1

    Keta mauwa kwako nimewapa funzo🎉wanaume wanaoeka wanawake mimba na kuikimbia asante🎉🎉🎉keta❤❤❤

  • @buswita
    @buswita 9 днів тому

    Noma sana

  • @SharifaSaid-v7m
    @SharifaSaid-v7m 3 дні тому

    Hii move poa sana

  • @SAITOTILENATIRI
    @SAITOTILENATIRI 9 днів тому +4

    Am from Jerusalem wapi like zangu.

  • @SarahChombo
    @SarahChombo 9 днів тому +1

    aky nilikua nikikula nkaacha ju ya hilo kamasii la kisaii😂😂😂

  • @ndayishimiyaazmina-fs5uk
    @ndayishimiyaazmina-fs5uk 3 дні тому +1

    Iyi nyumba ndo mnaigizia movie zenu zote 🤣 Albastin, Likizo , jini kisirani, pata potea 😂

  • @AliceMariam-w2y
    @AliceMariam-w2y 9 днів тому

    😂unamwaga had makamasi😮daaaah

  • @mejubagu6825
    @mejubagu6825 9 днів тому

    Kweli kabisa mtaka yote hukosa yote

  • @mariemtambala4441
    @mariemtambala4441 9 днів тому

    ❤❤❤❤nawapenda sana ❤❤❤

  • @shakwikindolo
    @shakwikindolo 9 днів тому

    kwani hyu dokta dalali hawez kuongea mpk aanz na hy aaa! 😂😂😂😂

  • @lindauma982
    @lindauma982 9 днів тому +1

    Kisai 🙄🙄🤔😜 unafanya nipanguze pua zangu bure nkt

  • @monicahmmassi9557
    @monicahmmassi9557 9 днів тому

    😂😂😂 pressure imepanda unamwekea drip😂muwe mnatafuta uhalisia sasa

  • @fideliswambua3346
    @fideliswambua3346 9 днів тому +2

    K p congratulations. Hio act ya kwa kisai ni noma. Inaitwa "Calculated move"

  • @ElishaOmary-x1z
    @ElishaOmary-x1z 9 днів тому

    mnachelewesha sana movie hii kuitoa

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 9 днів тому +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉wapi kelele kwa kisai mzee wa kuosha uwanja usiku wa manane 😂😂😂😂

    • @QwerQwer-p8x
      @QwerQwer-p8x 9 днів тому

      Kumbe kenge kisai nae anajua kulia mwaka huu nikwake😂😂

  • @Lidya-e1i
    @Lidya-e1i 9 днів тому

    😂😂😂😂wueh kisai kumenuka huku ni kumoto🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MushuRwega-qp4zm
    @MushuRwega-qp4zm 9 днів тому

    Hapo kwa ishara za mtoto na Kisai kutogundua kuwa kuna jambo mmetudangany

  • @fabiansululi7511
    @fabiansululi7511 9 днів тому

    🎉🎉🎉🎉❤

  • @jacobmuchui9585
    @jacobmuchui9585 7 днів тому

    Kisai😂

  • @EzinahOkemwa
    @EzinahOkemwa 9 днів тому +2

    🎉🎉🎉

  • @FatmaMusaifa
    @FatmaMusaifa 9 днів тому

    Kisa usijivimbishe nanyumba ya baba mkwe 😂 kazi ya baba mkwe kitakuramba 😂😂😂

  • @jeanpaulnizigiyimana5997
    @jeanpaulnizigiyimana5997 9 днів тому +1

    Baba mkweeeeeeeeeeeeeee

  • @AmusedClover-hl6mw
    @AmusedClover-hl6mw 9 днів тому +3

    Jamn leo nimecheka paka basi kuona kisai analia paka kamasi waliona kisai na kamasi tujuana hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yake😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RaymondmuneneKabutia
    @RaymondmuneneKabutia 4 дні тому

    mimi niko upande wa k.p nz keta

  • @PaulineHalimaAmosOfficial
    @PaulineHalimaAmosOfficial 7 днів тому

    Yaani Mimi naona kisai anajifanya Analia,kumbe Analia kweli🤔🤔

  • @isaiebizimana8935
    @isaiebizimana8935 9 днів тому

    Iyo muvie haijanoga kbx

  • @TabithaShija
    @TabithaShija 9 днів тому

    Hahaha 🤣 daktar wet w mchong 🎉🎉🎉❤

  • @ReginaAnju-xg3kz
    @ReginaAnju-xg3kz 9 днів тому

    Kisai jmn ad kamasi

  • @SabrinaNoel-sj5zq
    @SabrinaNoel-sj5zq 6 днів тому

    ❤❤❤😂

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 9 днів тому

  • @JULIETHGORWA
    @JULIETHGORWA 6 днів тому

    Next please