Shetani akiwa ndani ya mtu kuna wakati anataka ajulikane mnahitaji elimu ya Mungu kupambanua hayo shetani amaesha ropoka kupitia mwili wake na sasa hapo alipo anashangaa imekuwaje karopoa hayo...Hivyo ukifanya uovu kwa siri ogopa ipo siku itajulikana tu .Kwa kusema mwenyewe au kwa kufichuliwa na watu.
siku za uflme zikipimwa ufalme huanguka wenyewe na hutekwa kirahisi sana,hawa ccm wasipomuogopa Mungu,wamepimwa kwenye mzani nao wamepungua ,hawa watu wenu wanasema kweli hii ndio siri yenu ,acha muwalize upya watu waliopotelewa na nd zao
Mwenyezi Mungu aliye HAI amejidhihirisha wazi kwa kumleta huyu DC wa Longido kusema hayo tena mbele ya kikao cha Madiwani wa chama tawala. Watanzania mnataka ushuhuda gani zaidi? AIBU kubwa!
Kila anyoshae mkono kumdhuru binadamu mwenzake hulawania yeye na uzao wake.Sasa wanaofanya hivyo waendelee tu kwani majibu ya Mungu hayana haraka kama chumvi kwenye mboga.
Tafadhali msilazishe awajibu mnaweza fariki mapema kabla ya muda wenu. Mtaambiwa hata raisi wenu aliyepo ni wao walimuweka bunge lote limewekwa na selikali na hivyo haliwezi simamia serikali ni michezo ya kuigiza tu. Father kitima alisema hivyo hivyo juu ya wizi wa uchaguzi.Mbungo bishop Gwajima ulipatikana huku mawakala wa upinzani wakiwa wamechoshwa wewe uko happy tu na unajiita bishop huna chochote rohoni na waumini wako wanasema wewe ndio Rais wa baadae na kwamba umefunuliwa. Nape pia alisema mchezo unaofanyika sisi tunawàngalia tu siku tukichoka hata makabiri yatawakataa.
DAMU YA BINAADAM HAIPOTEI ALLAH ATAWAUMBUA WOTE WANAO TENDA ZAMBI YA KUMUUWA BINAADAM MWENZIO KWA KULINDA VYEO VYA WATU MMESAHAU KAMA KUNA MUNGU NA KUMUABUDU SHETWENI
hebu mcheze na ile video kijana wa CCM akiwambia polisi “sisi tunawapoteza huku halafu ninyi msiwatafute” Alaaa halafu unataka tusema siyo nyie mnahusika na mauwaji???? Tunaendelea kuzidisha sala majibu mtayaona karibuni sana
Kamwe! Serikali ya chama cha Mapinduzi, haimtupi mtu anaewafanyia kazi kubwa eyt kwa kosa la kusema hadharani kuwa anafanya kazi kubwa. , unadhani akiondolewa ..je, ukubwa wa kazi utafanywa na nani? Who is ready to loose ?
Mbona mnaanza kuitetea serikali Wakati amesha sema kuwa kazi ya kushinda madiwani wenye biti na wabunge nk kuwa serikali imesaidia kupita bila kupingwa mnataka Nini Sasa msigeuze ajenda amesema ukweli kwani uongo?
Hii redio naipenda sana
Mungu wangu endelea kuvifungua vinwa vyao
Hamisha Wana mzanzibaa.ujue gaza
Kurujuani inafanya kazi, na bado!! Akamatwe na akaonyeshe hayo mapori na alichokifanya huko na yeye amehusika.
Ccm ni shida kunankatibu wa ccm mkoanfulani anasema Hakuna maendeleo bila ccm kutaka hii inchi inaongozwaje jamani
Dam zinawalilia Bado watasema mengi yatakaa wazi,mbona mpaka sasa hajaojiwa napolice mpakasasa Kama selikali haiusiki.
Wasafi tushawachoka mnajitahidi kuwatetea serikali lakini wapi?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanaogopa kwani unadhani hapo hawajui kwamba alichoongea huyo ni Cha kweli wanajua sana ila wanaogopa
Hawa wasafi wapuuzi sana
Wapo sahihi , kufanya hivyo . Mambo yanawabana.
Mlango umefunguka kaingia bila kuona nyuma😂
😂😂😂😂😂😂😂😂jamani mnawazagaaaa
Jamani mbona mnatufanyia hivi jamani😂😂😂😂😂😂
Damu za watu zinawalilia
Shetani akiwa ndani ya mtu kuna wakati anataka ajulikane mnahitaji elimu ya Mungu kupambanua hayo shetani amaesha ropoka kupitia mwili wake na sasa hapo alipo anashangaa imekuwaje karopoa hayo...Hivyo ukifanya uovu kwa siri ogopa ipo siku itajulikana tu .Kwa kusema mwenyewe au kwa kufichuliwa na watu.
Shetani Gani ww ukweli tu😂 kwahiyo ukisema ukweli shetani😂😂😂
Siku zote shetani akishakutumia tu ..ujue ni yake kwa baadae aje akuaibishe tu..
Maripo nihapa duniani
@@OmarrySingano-kf9il malipo siyo maripo
Ok
Tunapoona akina tundu lissu wanalalamika sana , Sasa tunazidi kuwaelewa daaaahhh siasa bhana
Watu wengi sana wameshatolewa kafara ndugu acha tu😭😭
Mmeshatolewa kwenye issue ya Bint wa yombo.
Nikweri kabisa ila hata hili ni kubwa pia Tena saana@@newtonnyembe8228
Wakati wa mungu ni wakati sahihi,waofu wameanza kuumbuliwa..raundi hii mtasema yote mnayo yafanya kwenye mapori
😂
Wasafi mpo moto sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mbona mnajizima data amkumbuki yule Kada wa CCM alisema si ndio tunawapotezaga watu. Hivi vitu kitambo vipo wazi.
Lakini mmesema hata polisi aliniambia mbowe hatasihinda Ina maana ni serikali ilihusika
Ngoja ninywe chai kwanza
😂😂😂
siku za uflme zikipimwa ufalme huanguka wenyewe na hutekwa kirahisi sana,hawa ccm wasipomuogopa Mungu,wamepimwa kwenye mzani nao wamepungua ,hawa watu wenu wanasema kweli hii ndio siri yenu ,acha muwalize upya watu waliopotelewa na nd zao
Kutupa taka ovyo maporini nayeye alihusikaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu watetee watanzania❤
Wee zembwela Fala sana unaongea tumbo sana, kwanini unageuza maneno?
Wananchi wataibwaga CCM kuanzia serikali za mitaa mpk uchaguzi mkuu mwakani.
Huyu jamaa ni jasiri na sio katika watu waoga, mkimchokonoa sana atajibu maswali yenu.
Kwanza ameshapoteza kila kitu,
hana tena kitu cha kupoteza.
Beware of someone who has nothing to lose
Mwenyezi Mungu aliye HAI amejidhihirisha wazi kwa kumleta huyu DC wa Longido kusema hayo tena mbele ya kikao cha Madiwani wa chama tawala. Watanzania mnataka ushuhuda gani zaidi? AIBU kubwa!
Kamakweli Serikali haihusiki kwanini huyu Dc wa Longido hajafikishwa kwenye vyombo vya dola wala hajahojiwa wala hajakamatwa.!? CCM wanajua.
mungu Asante sana damu ya mtu hapotei mungu anataa majibu Amina
CCM mwaka huu mnalo, lazima wananchi tuwabwage, kwa kuuwa watu!
Kila anyoshae mkono kumdhuru binadamu mwenzake hulawania yeye na uzao wake.Sasa wanaofanya hivyo waendelee tu kwani majibu ya Mungu hayana haraka kama chumvi kwenye mboga.
Zambi huwa haidumu lazima iwaludie tu Mungu atatenda
Mussa kipanya bhana😂😂😂😂😂, eti amjaze ujasiri😅😅,, mpeni namba jaman
Justice will be found hata kama ni late..
Nyoka akishaonekana maisha yake ni mafupi
Fact
😂😂😂😂
Jelad yuko wapi
😂😂😂😂😂😂😂 ila hii redio kitenge nomaa😅😅😅
Mimi ningepewa kiti cha hakimu,hakika ninawaambia hukumu yangu ningekuwa naitoa ndani ya masaa 6 tu,kwasababu hauhitaji ushahidi umekamilika.
mlevi anasemaga ukweli tu.
tusisingizie pombe
Zembwela.nawenzie.mnafurahisha
Nashauri huyu isiishietu kwenye kutumbuliwa achunguzwe aseme yote anayo mengi huyo yatatokea mengi
Nani sasa wakumchunguza? 😢maana wahusika ni haohao?😢
asa atamkamata nani hapo wakati wenye nacho ndo wahusika itaishia kupotezwa tyu bas
Bila kupingwa inarudi😮 zembwela unashangaa nn tumeshamaliza kaziCHAMA CHA MAJAMBAZI(CCM)
Nashangaa taasisi za haki za binadamu bado hawajampeleka mahakamani mpaka sasa hivi jamaa huyu
Wanatuo Kwenye reli baada ya katibu wa ccm kukataa kutokea Kwenye mdahalo wa vyama vya siasa bila sababu
Aaaaaah,kitenge we noma
Nilikua siwapendi sasa nawapenda redio yenu taaaluma inafanya kazi yake sawiya
Serikalii itamuuwa kabla ukweli wote kutoka!!!
Huyo Moja kwa moja ni muuuaji Msi mteteeee kabisa ndo muuaji wa wapinzani
Tafadhali msilazishe awajibu mnaweza fariki mapema kabla ya muda wenu. Mtaambiwa hata raisi wenu aliyepo ni wao walimuweka bunge lote limewekwa na selikali na hivyo haliwezi simamia serikali ni michezo ya kuigiza tu. Father kitima alisema hivyo hivyo juu ya wizi wa uchaguzi.Mbungo bishop Gwajima ulipatikana huku mawakala wa upinzani wakiwa wamechoshwa wewe uko happy tu na unajiita bishop huna chochote rohoni na waumini wako wanasema wewe ndio Rais wa baadae na kwamba umefunuliwa. Nape pia alisema mchezo unaofanyika sisi tunawàngalia tu siku tukichoka hata makabiri yatawakataa.
Musizime swala la sakata la kutekwa watu .
😂😂😂😂😂kitenge msenge sanaaa ujuee
Unakuwa uwo utaniwenu mtaamua uyo mzee napresha😂😂😂
inchi simameni jameni pls
Dah, ama kweli, mumemkalia kooni haswa ipasavyo... Kongere kwenu watangazaji...
Kwani.yeye.alikua.nani 7:10
DAMU YA BINAADAM HAIPOTEI ALLAH ATAWAUMBUA WOTE WANAO TENDA ZAMBI YA KUMUUWA BINAADAM MWENZIO KWA KULINDA VYEO VYA WATU MMESAHAU KAMA KUNA MUNGU NA KUMUABUDU SHETWENI
Damu ya mtu asiyekuwaa na hatiyaa itakumalizaa tu kivyovyote tu
Sehemu nyingine walifanyia kwenye shule za chekechea
Natakakuunda kabila.naliita sambaramasai.ngorongoro laana ya wenyeji .
Wakiambiwa wanateka watu wanakataa leo mambo yanadhihirika kuwa kweli wanaoshukiwa ni baadhi ya viongozi
Uyo DC kasema ukweli wa serikali Yao ya ccm
Lakini angekuwa chadema lina mhusu itelegensia
Mnachambua kwa kutuchekesha jmn mbarikiwe
😂😂😂 kwenye mapori ndio tatizoooooo
😂😂😂😂eti atueleze huko maporini huko kuna nini
@@رقيهالخصيبيUWENDA ndo wanakowauwa watu😢😢
Na nani alimtuma? Na ilikuwa Serekali ya nani kipindi hicho alichodai 2020?
Ndiomana walio zurumu uchaguzi ure walikufa gafla
Sasa kama serikali imefanya mambo mazuri meengi kwann isiwe sababu ya watu kupita bila kupingwa?
Acheni uchochezi🤐🤐🤐🤐
Sass si mumwite huyo DC hapo wasafi kwenye interview mumuulize yote hayo
hebu mcheze na ile video kijana wa CCM akiwambia polisi “sisi tunawapoteza huku halafu ninyi msiwatafute”
Alaaa halafu unataka tusema siyo nyie mnahusika na mauwaji????
Tunaendelea kuzidisha sala majibu mtayaona karibuni sana
Ili serikali isihusishwe na kauli ya huyo bwana apelekwe mahakamani akatoe ushahidi kama serikali ndio ilimtuma
Kamwe! Serikali ya chama cha Mapinduzi, haimtupi mtu anaewafanyia kazi kubwa eyt kwa kosa la kusema hadharani kuwa anafanya kazi kubwa. , unadhani akiondolewa ..je, ukubwa wa kazi utafanywa na nani? Who is ready to loose ?
Vipara 😂
Nyinyi mbona mnampiga yeye anasema serkali nyinyi manasema ni wewe mnatuchanganya
Damu zawatu lazima ziofanye kitu
Soon tutasikia Zembwela na Kitenge wameenda porini
Awa jamaa wanajua kukabia juuu😂😂😂
Mbona mnaanza kuitetea serikali Wakati amesha sema kuwa kazi ya kushinda madiwani wenye biti na wabunge nk kuwa serikali imesaidia kupita bila kupingwa mnataka Nini Sasa msigeuze ajenda amesema ukweli kwani uongo?
akaaaaa
Damu za watu zinaongea huwezi kumwaga damu ikakuacha salama. washaanza kua vichaa taratibu
Hamjui nini
Mm nahisi watakuwa wamehama inchi kama Tulia alivosema
Wacha tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chin😢😢
Ipo siku
Hiyo ndo ccccccm inayo fanya mambo ya kishenzi myaka yote,nyie msishangae hayo mambo kwa ma ccccm kawaida
😂😂😂 amekula usembe 😂😂😂
ata hawa watu wanaopotea ni haohao wanahusika ndiomana ata bungeni hawataki yajadiliwe
Mbona mnaishangaa hii kauli wakati ni kawaida Kwa chama tawala kufoji uchaguzi HUYO ni mkweli kasema kweli ila ukweli hauhitajiki kusikika
Aburuzwe mahakamani
Mnaongea sana hadi mnapoteza radha
Lakini watu vijana wetu wamepotezwa na amesema mwenyewe amehusika kwa baadhi ya wilaya fulani kwenye maporini .duu jamaa hawa bana
Kitenge,zembwela na mussa mungu anawaona😂😂
Kitenge ni mmbea!
Huo ndo ukweli,kitokacho mtu ndicho kimjaacho moyoni.
Damu mnazo zimwaga hizo jamani uwiiiii
Serikali ndio watekaji kwa mujibu wa huyu bwana
Amweleze nani
Tuosoma tumeelewa lengo la hii habari…wasafi wazee wa fumbo
Zembwela colour code yako ina onekana 2025 kama sio jimbo la Kigoma mjini basi jimbo la Malindi znz.
Kufukuza tuu ukuu wa wilaya kukamata aaaaaaaaah
Huyu zembwela fala sana
Hata akisema ukweli wewe na mom tuta jua hayo ni mambo ya vyombo vya kisheria
Duuuh kwahyo kumbe ili ule kitengo inatakiwa upitie porin mjalewa mnaanza kuropoka cku mtaongea zaid
Na nyie jiandae kufungiwa