MPIKE KUKU WAKO HIVI UTAPENDA👌👌ROSTI LA KUKU TAMU SANAA
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- #recipes
Assalam Alleyhkhum/Hi Lovies
Asante sana kwa kufika hapa ukitaka video za Biashara ya chakula Link⬇️
• BIASHARA
◼️Ukitaka snacks⬇️
• Eid Snacks
◼️Halfkeki za kila aina⬇️
• Halfkeki
◼️Vyakula vya kiswahili⬇️
• Ramadhan 2022
Thanks for stopping by please Subscribe Road to 50K Subs💃💃
#roadto50k
Nimejaribu nitamu sana
Shukran kipenzi Allah akulipe kheriy na akuzidishe ujuzi zaidi
Hongera sana kwa pushing tamuuuu
Napendelea sana mapishi yako dada yangu mungu akubariki
Ameen kipenzi❤️ na asante sana
Maa shaa Allah
Ipate wali wa nazi na chutney tosha kabisa
Shukraan luv for everything ❤
Weeeh hapo umejulia love 🥱🥱Most Welcome nitapika na wali wa nazi InshaaAllah
Wapi kelelee kwa dadake na mie🥳🥳🥳 MashaAllah nimefunga ila daaa wanitamanisha mwenzio
Machkiniiiii mpenzi poyeee🤣🤣upike hii baada ya eid InshaaAllah
Na sima hii yaweza kweli inakaa tamu🤗😋. Im going to try this na ugali before tutoke uku 👌
Yes sis utapenda sana mwanzo na ugali unakula unaenjoy usiniambie haufiki mld
MashaAllah hadija
Asante kwa recipe
Karibu sana dearest😘
Rahisi na tamuuuuuuuuuuuu
tamu sana
TABARAKA ALLAHU KHAIRAN
🤲🤲🤲❤️❤️
Nakupenda san dad❤❤❤
Asante sana ❤️
Maa sha ALLAH
Tabarakallah
Adija shaban tunakupenda pia
Asante sana
Kuku mtamu Sanaa. Lemon juice add a nice flavor 😋😋
Eeh asante love
KUKU wa kienyeji aweza pikwa kwa style hiyo? Au ni broiler tuu!!
Shukran sister ❤🇴🇲
Most Welcome 🥰🥰
Asante
wowww
Asante
màa shàa Allah utamu kuruka❤❤, wapi ya samaki
Loading mpenzi
Thank you
❤️❤️❤️
😋😋😋😋😋😋😋😋
❤❤❤
❤️❤️❤️
Maziwa tunaweka ya mala?
Yes darling
Dawa ya pilau ni ipi saidia data hapa miye si mslamu
Garam masala
Thank you
❤❤❤❤❤
❤❤