😀😀😀Adui ya Mwanamke ni Mwanamke Mwenzake 📌📌📌 Kuhusu kupika hakunaga Chakula kibayaa kamwe ukitaka kujua uwe na njaa mana unaweza kula Mchicha chukuchuku na ugali ukaona vitamu Sanaa🔥🙌 Shilole upo viwango vya juuu umekuwa inspired Kwa biashara ya Chakula acha uyo mwenye chuki binafsi apambane na Hali yake
Shilole anajua sana kuanzia huduma hata usafi wa maeneo yake.Esha uswahili ndo umemjaa bora angelaa kimya tu kulikuwa na haja gani kuanza kuongea ovyo.Mwaka juzi mbona Shilole alikaa kimya tu na maisha yakaenda.Esha acha roho mbaya sio kila siku upate wewe
@@FanyJimmy kabisa sasa kama shilole anapika chakula ambacho wengine hawapendi si waende wakale kwingine kwani lazima wale kwake na hawa wanaokula kwa esha waendelee kula huko maana wamependa alafu hawa wateja wakae pembeni waache kuingilia hiyo vita. Hiyo vita ni ya watu watu wawili mwisho wa siku wanaunda timu. Timu shilole na timu esha yote hayo ya nini. Kuna maisha baada ya tuzo kupokea kwa hiyo shilole akipata tatizo esha asimsaidie sasa, esha akiwa na shida ya mkopo mtu wa kumkopesha ni shilole ambaye anafanya kazi kama yake na anaelewa mzunguko wa hiyo biashara sio majungu hayo majungu hayajengi na wala hayamuinui mtu kimaisha
Hivi jamani haya maneno yate munao ongea tuzo tu au kunaringine jamani khaa eisha nyama usijibu chochote Achana na wadishi wa habari wanakuharibisha sivi yako kataa itavuyu uriyo ongea yanatosha jifanye tu mjinga nyamaza
😀😀😀Adui ya Mwanamke ni Mwanamke Mwenzake 📌📌📌 Kuhusu kupika hakunaga Chakula kibayaa kamwe ukitaka kujua uwe na njaa mana unaweza kula Mchicha chukuchuku na ugali ukaona vitamu Sanaa🔥🙌 Shilole upo viwango vya juuu umekuwa inspired Kwa biashara ya Chakula acha uyo mwenye chuki binafsi apambane na Hali yake
Umenichekesha 😂 na umeongea ukweli ukiwa na njaa kila kitu kitamu na mara nyingi tunaenda kula kwenye sehemu za kuuza chakula tukiwa na njaa.
@@jikonikwamamaSwaumualafu chakula hata kama hukipendi, ukiwa na njaa utakila
Shilole anajua sana kuanzia huduma hata usafi wa maeneo yake.Esha uswahili ndo umemjaa bora angelaa kimya tu kulikuwa na haja gani kuanza kuongea ovyo.Mwaka juzi mbona Shilole alikaa kimya tu na maisha yakaenda.Esha acha roho mbaya sio kila siku upate wewe
Esha anajua kupika sana
Mashabiki wanawapoteza esha na shilole hamkupaswa kuwa na ugomvi dada zangu
Kabisa mwaya maana sio watu wote wanakula chakula kwao
@@FanyJimmy kabisa sasa kama shilole anapika chakula ambacho wengine hawapendi si waende wakale kwingine kwani lazima wale kwake na hawa wanaokula kwa esha waendelee kula huko maana wamependa alafu hawa wateja wakae pembeni waache kuingilia hiyo vita. Hiyo vita ni ya watu watu wawili mwisho wa siku wanaunda timu. Timu shilole na timu esha yote hayo ya nini. Kuna maisha baada ya tuzo kupokea kwa hiyo shilole akipata tatizo esha asimsaidie sasa, esha akiwa na shida ya mkopo mtu wa kumkopesha ni shilole ambaye anafanya kazi kama yake na anaelewa mzunguko wa hiyo biashara sio majungu hayo majungu hayajengi na wala hayamuinui mtu kimaisha
@@RehemaMasunga-ml7ktumesema maneno mazuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Musema ukweri mupenzi wa mungu 😂😂Esha number one ❤❤❤
Waache ujinga sani watanzania wamezidi kila mtuu na riziki yake
Wengine hawajawahi kufika hata dar kama mimi af kwenye koment tunajua chakula ya nani tamu😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Shilole bora ukae kimya umekua kama takataka
Kumekucha
Buheti anajua kupika tena chakuka chake kitam
Ulienda kula au ndo mjumbe hauwawi 😂😂😂😂😂
Ulisha kula???
Hivi jamani haya maneno yate munao ongea tuzo tu au kunaringine jamani khaa eisha nyama usijibu chochote Achana na wadishi wa habari wanakuharibisha sivi yako kataa itavuyu uriyo ongea yanatosha jifanye tu mjinga nyamaza
Shilolo yy ndio anaroho mbaya anawachkia wezake alitokea kumsema yula dada aliimba chura alimsema mbele zawatu shilolo anarohombaya
Awe anajua ajui bahati ya mtu mwingine roho mbaya tu esha Ako naroho mbaya msambaa uyu
Wakapigane tena watumie miko na masufiria😂😂😂😂 watu wazima visheti
😃😃😃
😂😂😂😂😂
Chakula kibaya ukiwa umeshiba
Uwaneni tuje kuwazika
Ushamba mwingi...chapeni kazi acheni Uswahili. Rizki inatoka kwa Mungu. Shame on you both 😢 👎👎