FAHYMAH Afunguka RAYVANNY Kubadili DINI/PAULAH/MKE wa PILI niko TAYARI/DINI inaruhusu
Вставка
- Опубліковано 22 сер 2023
- Mpenzi wa Rayvanny Fahymah amefunguka kuhusu Mpenzi wake Rayvanny kubadili Dini (kuwa muislamu, kuoa mke zaidi ya mmoja
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Fahymah #Rayvanny - Розваги
Kama umegundua hiyo nyumba ni Ile anayoigizanayo JB na watoto wake kwenye huba em tugongeni like apa jomonnn
Kabisa
Bora ametreat mpenzi wake vizuri
Nilijua nmeon peke yng😂😂😂
Hio nyumba ni jiran yangu kabisa kibada
Hakusema yake hata hivo so relax
Nimeangalia comments za watu wengi wana wivu mara oh litamkuta jambo mara anajimaliza jaman ukipata nafasi ya kuringa we ringa tu acha nidham za uongo za kufikiria watu watasemaje mnaboa mjue fanyeni kitu mnataka big up fayma love you 💓💓
My favourate❤❤❤much love mamaaa❤❤
Nakupenda xan fahima lakn ucjimalize dada atakuja kumuoa mwengine utalia wew
Kashasema sheria wanne, anajikubal, hapingi uke wenza Sasa anajimaliza vipi
@@nahlahassan-fd6leNa mbona aliondoka mara ya kwanza basi after Ray kucheat😂si angekaa tu juu amekubali
Mdogo wangu Unajielewa sana,Mungu akulinde ulee mtoto wako na mwenzako,nakupenda utaki drama,nakupenda 🇺🇸🇹🇿
fey mzuriii❤❤❤❤
Mammy hiyo make up apana ata natural u are very beautiful banaa
So nice 👍👍👍
Congratulations Amazing voice❤❤❤ Media
❤❤❤❤❤❤
Congratulations ❤❤
Ache wivu fahym ni mzuri ❤
Hana wuziri wowote😅
Mzuri sana mashallah❤
@@kadino_jcwivu nayo itawaua
Sema mkorogo anaoga
Kazuri sana❤
mwezenu nimeipenda sauti yamtangazaji ipo kama ya strng wngu kibibi👈🏻😘😘😘 😂😂😂
Afu kweli
Fayma I love Yu❤️❤️❤️❤️🤣🔥🇰🇪
Mimi nilichogundua fayma zamani alikua anajiamini sanaaa Kama rayvanny hawezi muacha ju alikua anampenda sanaaa nakwasasa anajilekebisha anajalibu kua mtu mwema sema tu namuoneya huruma ju moyo wakwanza ukishabadili haubadiliki tena kasha honja inje nakashafanyiw mzuli kabla sasa apo ata achwa tu
Umeongea point
Hacheni wivu muache fahma ale raha na mpenzi wake.
❤❤❤❤
Huyu mtoi wa Paula ni wa Rayvany, mm huku Kenya nimepea Dem fulani mimba but tukakuja tukakosa Alf akaenda kwa boy mwengine anadangaya huyo boy ety ni mimba yake.. but alitoka kwangu alikuwa mimba juu ya kukosa aliniambia nisiwai sema Ety mtoto ni wangu juu pia mm nko na mke mwengine nilikubali😢🎉❤
very good girl
Waoooooh fayma fayma ilove tooo
penden lugha znu za kiswahili sio kujifnya wazungu pndeni lugha ynu
Mh! Nilijua kavaa papasi mavazi mengine ila juu ngu ipo vizuri ila chini lakini hongera zako mwana❤❤❤
Pia mimi nikadhani hivyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
🤣😂🤣😂🤣🤣nikajua pampas namim nguo nyingne wazungu tunaomba poo
Kí@@aishaz1
Happy Valentine dada fayvanny
Kafanana na umber Lulu
hujapendeza ww Albino michubuo nenda huko
Mungu awajaalie
Fay loves you so much ❤❤❤❤❤❤
Hongera
Nakubari😂
Nakupendagafaivani mwanamme kujiamini
Good job mama jay but io lipstick yakh ijakutokea
❤❤❤ asanteni
Faima mrembo❤❤❤❤❤
Not to worry if I have missed it but I will also send the money to your bank account in person as soon as possible as I am currently on
Sura baya alafu unatafuta kumgombanisha abigail chams na rafiki zake
this girl is amazing ❤❤
Oooh fay tulia sijui nini nini 😂😂we umetulia kwanza ndiyo umshauri 😂😂😂ukipendwa onesha 😂break up pia onesha😂😂dunia kuna raha na kulia na bado tunaishi😂
Teeenaa
Fahyma vizur sana nimependa
Fahima nikwambiye tuuuu utuliye mana matukiyo tunayasubiri mana wewe unajuwa kujimaliza afu unajifanya uko mwenyewe subiri yetu macho
Pepoo shtn
@@perisnekesa8117😂😂
Anajifanya tu
Wewe ni Mungu??
Wale wali kuwa ni Matapeli 😂😂😂
Faihiyma chui❤❤
🎉🎉
FAHMAH napenda unavyoongea ❤😊
Faymaah mrembo sana❤❤❤
Mwana dada anapenda baby daddy sana
Kabisa
A we paula ni kiboko mrembo mbele ya huyu dada hata waseme nini aghhhhh❤❤❤
Lakini ana domo sana
Hapa ndio NAAMINI FAHMA ANATUMIA MKOROGO😂😂MHM ATISHA. PAULA NAMPENDA SANA NI ZILE MAMBO ZAKE. FAHMA ANAJIKWEZA SANA. VIJITU VIFUPI NI SHIDAA😂😂😂
Daaah ila wabongo sisi😂😂😂
Nmempenda mtangazaji
Mi piaa❤
Huyuu dada ni mzurii ilaa make up anazotumiaa ndoo issue😢
Shida kope ndefu mno,zingepungua kidogo angependeza zaidi
Mtu kazeeka lakini linavaa chupi njenje
Apo nani kazeeka mbona una2changanya au ulikua una coment Sehem nyingne
😅😅😅
❤❤❤
Fai we love you❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbona mdomo wa Faymah umechongoka kwa juu. What's the matter!!
Mfyuuu Kwa uzur gan lbd mbona wa kawaida sana
Fahyma kanenepa❤
Alafu uyu mbona..ajamzidi..paula .
Fayma❤❤❤❤
Mtangazaji anajua
Fayma mrembo natural achane na makeup kabsa
Sio kwa ubaya...fahma ni mzuri ila iyo makeup kawa kama mzee.
Mmmh kama weupe ndioo huo wacha tu nibaki na weusi wangu
subr uolewe ndio uite mume wko kw haki yko pnguza wivu na hasira binti hasra ztkuponza
Wivu gani Sasa, nyinyi ndo mna wivu tu, watu huitana mume na mke na wiki mbili Sasa ndo itakua Hawa Wana mtoto
@@zenahmugo1974mtoto si kitu kama hajakuoa bado si Mume wako
Dah huu jmn🥲🥲🥲Mungu amsimamiye...
Fahyma mbona anakua mweupe sana
Mkorogo
Some kidogo kapendez
Ana kithembe dah
Kama shetani mtuu
Umependez
Naomba nipokee simhmhmh😅😅😅😅
Acha naye atese kwa zamu lake paula hanalake tena
Yaani Anafanya interview kama Kalewa, Hayuko Sawa.. Kama Kachoka.. Acha kuongea Kiingereza Fahyma unatuchosha achana na Kiingereza mdogo wangu
Wewe muache ajimalize tu itamkuta yakumkuta 😢😢😢😂😂😂😂😂😅😅😅
Kashazoea ukipata nafasi ya kuringa ringa bhana sio unaogopa watu watasemaje acheni nidham za uoga
Nawapenda Sana nyie watu nimependa mlivyo ludiana Tena
Mtt wa JB hiyo
Huyu hamwezi paula😢ana jisura baya kweli😅😅je akitoa makeup😮😂😂
Hilo lisura libaya Lina maisha kulko ww purity wacha wivu msichana 😂😂😂
@@zenahmugo1974 😂😂😂nimewacha kapsaaa
@@zenahmugo1974asantee beine😂😂😂
🙄🙄🙄bora yako ww unasura nzuri
Ata Paula ukiangalia kishalia wala sio msuri ni wakawaida
Comment section mna wivu na roho mbaya wachawi nyinyi
🤣🤣🤣
Ila faima inaonesha paula anakutesa sana huwezi ongea midia usimtaje pau
❤❤❤ Happy birthday @rayvnny
Nguo hizi mwanangu jitahidi sana wewe ni mama sasa!!
Weupe bila mvuto,,hyo sura yke n y makeup natural n wa kawaida
Haujui chochote wewe fahyma mzur bila make up
Umemuona fyama Leo wewe mtoto mzuri hata mbila makeup mtoto natural 😊
Fahyma kwa Paula wa kawaida sanaaa,Paula mrembo sanaaaa hyu angekuwa mweusi angefanana na bi chau😂😂😂😂😂
Uko sahihi afande 😅
Wivu tu iyo 😏
Ndiomana ukaitwa tatu maana akil zko km namb tatu😃😃😃😃😃
Paula uzuri hana me up tu na kulivuta domo lol
Kwan hyo hapak makeup??😃😃😃😃
Shangazi uzee una karibia
Huyu Mtangazaji naye Kibada napo ni Mbali???? Ushamba tuu wa Makazi ya Nje ya Mji mnashangaa sana.. Fahyma ni wa kawaida tu sema weupe unambeba basi na hvi nguo za uchi na kujiongeza makeup anaonekana kanoga
Afanya mchezo na dini hawa wameshafanya uzinifu wanazidi kufanya uzinifu tu
Ila nyie zile pic za insta nyie mh 😂 ila haviwez kuendana maana zile edit kibaooo ila hii live no edit mdomo mpana sura pana jaman akaaa
Uyu nyieee ataumbuka 😅😅😅😅😅
Mbona namuona mbaya leo
Pia Mimi nadhani katumia make ya wazungu😂😂😂😂
Make up ya wazungu
penda san❤ fayma
Ila mtangazaji mbaya jmn sulangumu kama yakisukuma khaaa
We ukome wasukum ni warembo San kam mm
Hamna mty mbya jmn,ameumbwa Kwa sura na mfano wa mungu
Hlf nyie mnaosema watu kama mme waumba mnajua nn kuhusu uumbaji wa Mungu unajua uchungu wa mwana wewe????unasema watoto wa watu as I your perfect...NB kila mtu ni mkamilifu katika ukamilifu wake.....just the way she is she is beautiful...very beautiful ❤acha makasiriko ndugu yangu...Mungu pekee ndo Mkubwa na muumbaji have manners...Hujafa hujaumbika
Picha na alivyo tofauti
Mbona hapa ni kwa jb😂😂😂
🤣🤣 kumbe
Umeona eee anaefatilia huba ataelewa
mi spndi mswahili kujifnya mzngu kwni hmuezi kuongea kiswahili kwny kaz znu wa wndshi wa hbari w sku hzi kz hpo
Limbukeni mbwa hao
But faima plz acha kuvaa nusu uchu yaani uchi kabisa vaa kaa nandy
Wewe dada saraha
Dah😅😅😅
nilicho kiona we maridadi unajipenda mnoo
Hii SI Ile nyumba ya JB yawa
Paula typing and delete 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 kiswahili yahuy dem ss khaaaaa
😂🤣🤣🤣
Kamelewa hakaa😅
Hapo kwa mavazi 😏😏😏
Mikorogo itakuwa