MSIGWA ATANGAZA VITA na MBOWE - LEMA - LISSU - "WAPINZANI WASIPATE KITI HATA KIMOJA - NINA SABABU"..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 539

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Місяць тому +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @juliasmtundu442
    @juliasmtundu442 Місяць тому +10

    Yuda msalt yupo wapi WA yesu

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 Місяць тому +4

    Kuna waati nikiona viongizi wa dini kama hawa napata mashaka hata kwa mahubiri yao
    Mungu nisaidie nibaki kwenye imani yangu,

  • @user-qn8pb9er6c
    @user-qn8pb9er6c Місяць тому +18

    Nyoka hajawahi kutema maji ni sumu tu. 😂

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Місяць тому +1

      tatizo chama ulichokimbilia umeruka mkojo umekanyanga mavi

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Місяць тому +15

    Unaogopesha watu kuusu kuitwa mchungaji kwani umegeuka laana katika kanisa

    • @chezariboy
      @chezariboy Місяць тому

      Kweli, nilaana kuitwa mchungaji

  • @sautiyawanyonge2511
    @sautiyawanyonge2511 Місяць тому +3

    Msigwa anahitaji msaada sana hayuko sawa kiakili

  • @maryhando227
    @maryhando227 Місяць тому +11

    Msingwa jamani mwogope Mungu.

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Місяць тому +5

    Mungu akulaani wew povu kibao hamna kitu apo nakuaidi nyota yako umesha zima kitambo saana

  • @user-ql3xm7ix4r
    @user-ql3xm7ix4r Місяць тому +7

    Umeingia kwenye kumi na 8 za lisu

  • @mapendomeela7166
    @mapendomeela7166 Місяць тому +3

    Mungu utusaidie huyu ndie msigwa ninae mjua tena mchungaji yuda msaliti

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Місяць тому +10

    Mna uhakika kuwa uyu ni mchungaji au mchungwaji 😅

  • @user-cf4cs9qp1k
    @user-cf4cs9qp1k Місяць тому +8

    Yeeee!! Hege ipa msaliti mkubwa!!

  • @anthonylusuva6039
    @anthonylusuva6039 Місяць тому +8

    Njaaa wanakuchangia leo😅😅😅😅

  • @danielkanso
    @danielkanso Місяць тому +6

    Baada ya kushindwa uwenyekiti kanda za juu kusini mhhh njaa nenda huko

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Місяць тому +13

    Huna tofauti na mtoto mdogo. Ni aibu Kwa kweli.

  • @pendobruno111
    @pendobruno111 Місяць тому +2

    Hata Mungu siku moja utamsaliti

  • @yesayaambayuu2240
    @yesayaambayuu2240 Місяць тому +2

    Mungu hawapende watu wa kauli mbili.

  • @allenmoshi5125
    @allenmoshi5125 Місяць тому +12

    Umemuelewa huyu jamaa kweli chizi 😂😂😂😂

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Місяць тому +8

    Kweli siku ya mwisho tutachomwa vibaya saaana 😂😂

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Місяць тому

      Huyu Msigwa anayekula matapishi yake atakuwa kuni aungue kwanza aliitukana sana CCM kuwa wana akili ndogo sasa yeye nadhani atakuwa na akili isiyoonekana kwa macho mpaka utumie darubini

  • @josephk90
    @josephk90 Місяць тому +14

    Msigwa anaongea naona aibu mimi😢

  • @user-xd1jj8cg2c
    @user-xd1jj8cg2c Місяць тому +20

    Historia inaeleza kuwa ukoo huu ni hatari kwenye usaliti. Kabla wajerumani hawajajua Mkwawa watampataje, kuna mtu ambaye ni ukoo huu wa Msigwa alimsaliti Mkwawa na aliwaelekeza wapite njia ipi ili wampate Mkwawa. Huu ni ukoo hatari sana.

    • @davidchambulila6318
      @davidchambulila6318 Місяць тому

      Msigwa ni mtu wa njombe sio Iringa , wahehe hatuna ukoo unaoitwa msigwa

    • @GaradiGaradi-zq1wf
      @GaradiGaradi-zq1wf Місяць тому +2

      Amekosa kanda ya nyasa

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Місяць тому

      ​@@davidchambulila6318lakini ndio ana asili ya kusaliti hasa njaa inapopamba moto.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Місяць тому +3

    Njaa mbaya Sana

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y Місяць тому +7

    Acha kupotosha

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 Місяць тому +4

    Unatia huruma wew siochungaji mchungaji gani anae kimbia kondoo pumbavu

  • @FredrickKinyaha
    @FredrickKinyaha Місяць тому +14

    Yuda

  • @waweruwaweru3303
    @waweruwaweru3303 Місяць тому

    Mchungaji wa maslahi ya tumbo. Msaliti wa maendeleo ya wananchi. Tamaa mbaya Msigwa. Ogopa Mungu

  • @maryhando227
    @maryhando227 Місяць тому +12

    Huyo Mungu amsaidie amrudishie ufahamu.

  • @PaulLeo-em5dh
    @PaulLeo-em5dh Місяць тому +15

    Ata kama umekuja ccm watu awatakupenda uliwahi kumtukana magufuli mwehu namba moja wew

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw Місяць тому +9

    Njaambaya😢😢😢

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Місяць тому +14

    Ameanza kutunzwa kwa kumtukana mbowe kesho atatunzwa kwa kumtukana yesu uyu ni mtumwa wa pesa

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p Місяць тому +5

    Njambayasana imezalilishamsigwa

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Місяць тому +2

    Unapomsifia samia hapo unaharibu maana 90% ya watz hawamtaki ila kwakuwa unatafta uongozi endelea kumsifia

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Місяць тому +9

    Kitu nilicho kuja kukigundua hapa kwetu tz. Hakuna upizani niwaganga njaa tu mmh aise. Mwana siasa wa upinzani akikwambia usiku mwema toka njee uangalia niusiku au ni mchana,

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Місяць тому

      Acha uzushi, upinzani ni suala la kimaumbil, likichochewa na ñguvu ya akili ya ufahamu, utambuzi, utashi na uamuzi wa kuchagua kupenda (kutenda) au (kukataa (kupinga). Upunzani ulikuwepo tangu Mungu alivyomuumba binadamu na kumpa uhuru utashi wa maamuzi. Upinzani si suala la CHAMA fulani bali ni hulka ya binadamu!

    • @jaanjaan111
      @jaanjaan111 Місяць тому

      Hata katika imani kenge huingia katika msafara

    • @nicodemashaggite8429
      @nicodemashaggite8429 Місяць тому +1

      Kumbuka maneno ya MAKONDA
      Aliwahi kusema hakuna upinzani Bali Kuna watoa taarifa 😂😂😂😂

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Місяць тому

      Kwani we unamwamini msigwa tu au unayako Kumbuka yuda eskaliote nae alimuasi YESU kristo akaanza kunadi Pesa ..ndicho nnachokiona ni msigwa

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 Місяць тому

      Hapana sio hivyo ni baazi tu ndg yangu sio wote na hata ccm ndo kubovu kabisa ndg yangu

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k Місяць тому +1

    Unatokwa na mapovu,hauna hata haya ulaaniwe msigwa wewe siyo mchungaji, mungu akulaani

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Місяць тому

    Hatari sana..huyu jamaa si alikuwa yeye na chadema damu damu! Njaa mbaya sana!

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella7516 Місяць тому +4

    Ivi izo hela si mngechangia vtuo vya yatima!!

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Місяць тому +12

    Wapumbafu ndo wanaweza kukuelewa wewe umepelekwa tumbo lako wewe njaa mbaya juzi tu ulikuwa siginda ulizungumza nini wewe wapuuzi kweli watakueelewa

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 Місяць тому +5

    Njaa mbaya sana

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Місяць тому +1

    Ufai Mzee 😱

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Місяць тому +1

    Arf ata awakushobokei niashara tu kuw ccm pia awakupendi IRA sasa wafanyeje 😊

  • @user-rt8lv3jj8l
    @user-rt8lv3jj8l Місяць тому +1

    msigwa mwogope Mungu mchungaji.kuwa na akiba ya maneno

  • @ev.augustinehizza6584
    @ev.augustinehizza6584 Місяць тому +3

    Mhe Msigwa unajidanganya huwezi kitu,chadema ni taasisi sio kikundi Cha wahuni kama chama ulichoingia

  • @muhammedkaku9972
    @muhammedkaku9972 Місяць тому +5

    Lbd kwa asiye jua msigwa pesa ya ccm ameanza kuila tangu kwa marehemu magufuri tena alitaka kuhama kipindi hicho na siyo msigwa tu kuna mtu maalufu anatoka chadema muda siyo mrefu

  • @YeseMoses-l4v
    @YeseMoses-l4v Місяць тому

    Daah Nenge Mbaya sana

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Місяць тому +3

    Wewe ongelea sera za chama cha ccm na si kubwabwaja maneno yasiyo na maana. Hatakisemaje Chadema haifi bora ukafunga domo bro.

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Місяць тому

    alahu Akbar duniahi inamajabu mungu ivi haogopwikabisa namajitu mikubwa kamahi jaman dahh hunimsiba mkubwa wataifa na Jami kwaujimla

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu Місяць тому +8

    Usaliti mbaya we msigwa labda mwendawazim ndo atakuelewa

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Місяць тому

    Nchi yangu ongelea ugumu wa maisha ya watu chadema hawajawahi kuongoza nchi kwanini miaka ya sitini ya uhuru watoto wanasoma wamekaa chini,bima za afya watu hawazimudu

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Місяць тому

    Yuko anapewa pesa kajisahau kasema sisi wapinzani 😂😂

  • @charlesmbise2344
    @charlesmbise2344 Місяць тому +2

    Huyu msigwa hana msimamo njaa nyingine kwanini anaisema chadema wakati alikuwa huko ,anatakiwa atoe hoja zake za kuijenga CCM siyo kukisema chama alicho toka nitaishangaa CCM kumpa huyu uongozi

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Місяць тому +1

    Pesa Ya Hongo Bwana.. Msigwa Usinye Kwenye Pango Kabla Mvua Haijaisha.

  • @khamiskulasha
    @khamiskulasha Місяць тому +1

    Maneno ya Msigwa. Niyakijinga sana anatafuta frusa na huruma kutoka kwa Mh Rais Samia. Ampe uku wa Wilaya nk Ninampá pole sana.

  • @twahamaulid
    @twahamaulid Місяць тому +1

    CHAMA cha MAPINDUZI huwa kinashinda kwa kukubalika kwake na sio nyinyi WAPINZANI akina MSIGWA na wenzako mnaokuja CCM na kutaka kuyuaminisha kwamba mumekuja kwaajili ya kukiletea ushindi Chama cha MAPINDUZI.
    Nazichukiaga sana Kauli zenu nyinyi WAPINZANI.

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Місяць тому +6

    Mwogope sana kigeugeu anae yakataa maneno yake,,

  • @ojmang6505
    @ojmang6505 Місяць тому

    Umefeli vibaya msigwa hata aibu huoni una laana ya mungu ni heri ungekaa kimya kuliko kukejeli chama kilichokupa umaarufu muogope mungu sijutii kuhsma kwako

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Місяць тому

      Chama kilichompa umaarufu kikigeuka kuwa Mali mtu unaacha unafiki na kukisema ipasavyo ili kujenga vyama imara vya siasa kama CCM ili kuwepo ushindani na nchi ipate maendeleo! Hongera sana Kuna hili na endelea kuelimisha watu ili vyama viendeshwe kitaasisi!

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Місяць тому +6

    Jamaa atakufa vibaya huyu
    😢 . Karma itamtafuna tuu
    Usaliri wa yuda ..

  • @muttae2
    @muttae2 Місяць тому

    Usimuamini mtu katika maisha yako. Suspect everything Trust No Body🎉

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Місяць тому

    Ungestaf siasa umuhubir kristo tu acha. Tamaaa

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i Місяць тому

    Duh kweli Kuna watu na wachungaji😂

  • @zakeoleonard440
    @zakeoleonard440 Місяць тому +4

    Tanzania hakuna upinzani wote ni waganga njaa tu

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 Місяць тому +2

    Wewe msigwa sema ukweli, ungechaguliwa term hii tena kuwa mwenyekiti wa kanda ya nanda za juu ungekwenda kujiunga na CCM? Ni kwasababu ya uchu wa madaraka. Nani aliyewaua hao kama soyo wanachama wa hicho ulichojiunga.

    • @chezariboy
      @chezariboy Місяць тому

      Ukweli asingeenda fisiemu endapo angechaguliwa.. Muongo mkuu.

  • @NtoraRollsheet
    @NtoraRollsheet Місяць тому +12

    Msigwa kuwa na Akiba ya maneno, Kumbuka siasa haina Adui wa kusumu wala Rafiki wa kudumu.😂😂😂

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Місяць тому

    Izo changamoto urzozikuta ww kama mchungaji urifanyann , daaa njambaya sana🤣🤣

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl Місяць тому

    Sasa Msigwa unatakiwa kuiongoza CCM uwekezaji uende sambamba na kuimarika kwa sailing dhidi ya dola . Mishahara,maisha ireflect uwekezaj

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому +5

    Kwa kweli Msigwa ni mnafiki mkubwa sana. Kwani ulikuwa huko kama kiongozi. Wewe msigwa wewe ni mchungaji gani anayeshindwa kuwa kama kiongozi mchungaji. Fanya kama mchungaji.

  • @godwinshoo5032
    @godwinshoo5032 Місяць тому

    Tatizo wanachadema wengi ukiondoka kwao ni njaa imesababisha, lakini ukijiunga nao ni ushujaa!!!Acheni siasa za kihuni!!

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Місяць тому +5

    Maraya wewe muchungaji wa ccm

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl Місяць тому +1

    Msaliti wa watanzania

  • @deodatusmugalulamugalula
    @deodatusmugalulamugalula Місяць тому

    Msingwa kuondoka Chadema ni kama mtu kuchota ndoo ya maji ziwa victoria ukitarajia kina kupungua .Chadema ni jeshi kubwa waliondoka watu wengi maarufu kuliko Msingwa cha ajabu chadema ilizidi imalika shida hapo ni njaa ushauri wangu wampe hata Ukuu wa Wilaya atulie na aweze lipa madeni yake.

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Місяць тому

    Kama naweza kufanya Kama msigwa anavyo fanya hata kufirwa Sinto ona aibu , Kama nikiwa na sura mbili Kama msigwa hata kufirwa ni sawa tu,

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk Місяць тому

    Umejiunga kuhakikisha Mnaiba kama ulivyokua unalalamika kwamba Ccm niwezi.

  • @danielymbangwa3742
    @danielymbangwa3742 Місяць тому

    Nakuapriciate Mh MSIGWA wewe ni mtu na nusu nafarijika sana kwa weledi na umakini wako katika uwanja wa siasa hakika wewe ni kioo kwa vijana wa taifa hili katika kujifunza siasa

  • @somymoivanlukumay4198
    @somymoivanlukumay4198 21 день тому

    Nilimsikia wakati moja akisema yeye ni tai kumbe ni kunguru mla misoga😂

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Місяць тому

    Tuwe wakweli hapa Chadema imekula kwao jamaa atawasumbua sana 🤣🤣

  • @meckyphilipo9177
    @meckyphilipo9177 Місяць тому

    Ww ni sawa na mwanamke........,

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k Місяць тому

    Mungu amekulaani huji kufanikiwa

  • @florangido202
    @florangido202 Місяць тому

    Njaa inakusumbua.
    Umekosa Cheo, Kapewa Sugu Mdiyo Umehama
    Ovyo kabisa wewe 😂😂😂😂

  • @chezariboy
    @chezariboy Місяць тому

    Huyu jamaa huyu kesha kufa kiroho kabisaaa ni aibu moyoni mwake.

  • @user-rs2oi1gg5p
    @user-rs2oi1gg5p Місяць тому

    Njaa imekukong'oli umejirusha chubwii
    Unafanya siasa ya biashara Ila kwa tumbo lako litakuhangaisha sana

  • @hamadsaid2232
    @hamadsaid2232 Місяць тому

    Watu WA aina hii wapo katika vyama vyote. Mwanadamu ni kiumbe Cha hatari. Kaa uwasome tu. Yote haya ni kwa sababu hatujifunzi
    ipasavyo. Siasa si kivutio Tena ni balaaa la wanaadamu aridhini.

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Місяць тому

    Acha vyama vya siasa viwepo ccm imejisahau sana ulinyamaza bandari zimepewa watu miaka thelathini watanzania wameongezewa mzigo wa watu vitu kupandabei Yuda scarioti.

  • @VitalisMmassi-oh4jb
    @VitalisMmassi-oh4jb Місяць тому

    Huyu ndio mchungaji ana ata aibu kweli hela imelaniwa.

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 Місяць тому +1

    Mimi huwa siamini watu wa namna hii

  • @jeremiahmagau8623
    @jeremiahmagau8623 Місяць тому +2

    Integrity unaizungumzia CCM hahaha.

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Місяць тому +2

    Sasa tunangoja SIKU Moja utasema shetani hoyee kama mchungaji Kwa sasa si unampinga kama mchungaji hatutashangaa kama utamgeukia kwani kama ulikuwa unawapinga ccm Leo wamebadili nini mazuri yakakuvutia kama uko sahihi ungetafuta chama kingene ambayo labda haujui tabia Yao pole

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 Місяць тому

    Njaa tu uje uku kwetu utashiba! Ila ushauri Jenga hoja za chama uliko sio kukisema vibaya chama ulichotoka maana kilichokutoa ni cheo tu hakuna na Liko wazi na si lingine!

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Місяць тому

    Msigwa amegeuka kuwa shetani kumbe hatambinguni ilikuwa kamanilivyoshuhudia Leo yaani msigwa ameaibikampakanguo ya ndani eemungu tusaidiye utujariye roho ya utu,

  • @AdamuIbrahimu-e9m
    @AdamuIbrahimu-e9m Місяць тому +1

    Karibu kwetu Chama kubwa CCM. Lakini nakupa pole sana. Umepitia njia ngumu kumeza.

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Місяць тому

      Msigwa katumia haki yake ya kidemokrasi lakini wajinga wengine hawamuelewe nadhani shida ni kuja CCM ndo maana wengi wanamtukana lakini ukweli unabaki palepale Msigwa ni CCM kwa sasa hata mkimtukana Hongera sana Msigwa

  • @boaztimoth6044
    @boaztimoth6044 Місяць тому

    Nilikuamini sasa hapana kumbe unapenda sifa na maneno iko siku utatoa Sili za askofu wako na huduma hata mimi ni mchungaji siwezi fanya hivyo uwe na moyo wa kushukulu

  • @fredyjonaa4053
    @fredyjonaa4053 Місяць тому

    Njaa mbaya sana aisee

  • @rinasmart5123
    @rinasmart5123 Місяць тому

    Of all the people!!
    Msigwa unafungua kinywa kuongea upupu huu dhidi ya Chadema.
    Kwamba unadhani utakuwa bora ktk CCM??
    Kwa huo ubongo mdogo ulionao,
    Unaongea kabisa kama upae!!
    Mbowe, bado anabaki kuwa mwenyekiti wa Chadema. Na ataendelea kuwa. Wafuasi wake tuko mamilioni.
    Wewe ni kirusi, tunashukuru umetoka, tutapumua sasa. Nenda,
    Wewe tapatapa tu.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Місяць тому +2

    Bro hubiri sera

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Місяць тому

      Mwache ajibu hoja na mikutano ya CHADEMA inamsema yeye haihubiri sera.

  • @noellema9109
    @noellema9109 Місяць тому +1

    Doh? Kunishawishi ni pige kura mtapata tabu Sana, kwani siwaelewi nyie wanasiasa kwani msigwa tulikuamini Sana leo, umesahau kauli zako tata, ambazo mtu mzima apaswi kusema, kunasiku ulisema ukihamia ccm magari nyumba zako zichomwe, na leo uko ccm, unajua sisi ni watanzania, tunaipenda nchi yetu tunaipenda Sana amani, kwaiyo kwa kauli ile nakusihi utubu kwa mungu na kwa watanzania wote, na pia atu kuamini kabisa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Місяць тому

      Usipopiga kura maana yake ndio hasa umemchagua usiyempenda.

  • @user-gn4br6jo8w
    @user-gn4br6jo8w Місяць тому

    Njaaa mbaya sana 😭😭😭😭

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Місяць тому

    Kama reoii mchungaji unakua kigeugeu ivo mtu wakawaida je aisee siasa noma sana urio waponda ww mwenyewe kwakinywa chako saiz wamekuw wema tayar 🤣🤣🤣

  • @saimonmsigwa1093
    @saimonmsigwa1093 Місяць тому

    Chadema mjibuni msigwa kwa kumnyang’anya uwenyekiti huyo mkurunzinza acheni porojo huu ndio ukweli

  • @FurahaJeremiah-kd5ht
    @FurahaJeremiah-kd5ht Місяць тому

    Sio kweli

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z Місяць тому

    Tamaa mbaya msigwa kajidhalilisha

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Місяць тому +1

    Huyu sio mchungaji, ni tapeli kama matapeli wengine

  • @deodatusmugalulamugalula
    @deodatusmugalulamugalula Місяць тому

    Ushauri wangu wa bure huyu jamaa anatakiwa kufanyiwa derevarence afunguliwe tutampoteza kimchezomchezo ohoo!!