WEMA SEPETU AMSIFIA SARAH WA DIAMOND ALIKUWA MTU POA SANA DIAMOND ALIMPENDA SANA..
Вставка
- Опубліковано 29 сер 2024
- East African number one UA-cam channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
Wema play store ndio hiyo moja Apps store acha kutuchanganya😅😅😅
Ndio sara kajishiba na hana papara na maisha na inaonekana amemkinai sana Diamond na pia hana time yakumchuna Diamond. Kitendo hiki ndicho kinamuumiza sana Diamond nahis raha ya Diamond nikumrudia sana nakumpiga matukio hadi adhalilike lakini bahati mbaya Sara hampi hiyo nafasi kwakuwa tayari alishampiga matukio huko nyuma alipokuwa hana pesa nyingi je sasa ni Bilionea itakuwaje. Lakini Sara kajifunza kutoka kwa wanawake wa Diamond na baby mamas wake maana wamepigwa matukio na kudhalilishwa kila siku hivyo sara anaona bora aendelee na maisha yake tu. Hili ni funzo kuu huyu Sara ametupatia wadada kwamba ukiamua kuachana na mtu endelea kujipigania maisha yako na usimtamani kwamaana kilichowaachanisha kama bado kipo hakiwezi kuwadumisha hata mkirudiana. Big up Sara na nakunda nakuombea upate utajiri sana kupitia hili isiwe Diamond kakutumia tu lakini utajirike pia nawewe upate madili ya pesa nyingi.
Sarah anajitambua sana umesema ukweli
Yani wema zamani watu walikua wanamungalia kwa macho yote lakini sasa hivi aatu wanamungalia kwa jicho moja kama mamaake alivosema kua alitegemea kua wema atakua barozi mzuri kama babaake akimaanisha angekua muongozaji mzuri katika jamii kama alivojiwakilisha mwanzoni lakini imekua sio hivo wema ametumia vibaya umaarufu wake hatima yake amebaki kama komedy hata Mimi nilikua moja ya watu waliomkubali lakini kwa mambo yake mh! Sina ham nae kabisa yeye aendelee na vibenteini vyake ndo kazi alobakiza kwa sasa.
Wema utabakiaga kuwa wema tu. Hata wanao kusema vibaya ni wivu tu. Wewe ni mzuri sana❤
Nampenda wema jamn
Bjb film was based in Leeds mmm nice now it's in Tanzania
Kwani kuziniwa imekuwa kama matangazo jaman weah yni adi naogopa
❤❤❤ tunaisubiria
Wema alikaa aje na vile alikuwa smart
Karma jamani iendeleeeeeeeeeee
❤❤❤
Nanyie Si mkonde mubakize makomweee🤣🤣🤣🤣
Nc
Sasa Sarah kaingiaje? Kwamba mngekosa views
Alikua kwaN sasa yuko wap
❤❤❤❤
Hii kitu kimkataba baadae italeta shida Tu juu ya mkataba WA awali
Gd
Ila bado kazuri
Wema umekonda mno mpaka unatisha kichwa kimekuwa kikubwa...hupendezwi na mwili mdogo
Wema Akita kwa screen na movie za kanumba alikua slim chance kushangaza ni nini
Mwili wote umekwisha umebaki kichwa tu kimekuwa kikubwa.
Alikwabia anataka kunenepa nonsense
Acha mmbo Ako kilaa mtu ana mapungufu yakee
hiyo ndio raha ya pesa...mwili umeisha kwan alikwambia ni mawazo yamemkondesha hapana katumia hela kua hapo...tafuta hela utazeeka kwa viwu nyau
Jari shida zako
Uzur haishi kwenye pua zako
❤❤❤
❤❤❤