WEMA SEPETU AMSIFIA SARAH WA DIAMOND ALIKUWA MTU POA SANA DIAMOND ALIMPENDA SANA..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • East African number one UA-cam channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande

КОМЕНТАРІ • 32

  • @happinesswilliam2948
    @happinesswilliam2948 3 місяці тому +2

    Wema play store ndio hiyo moja Apps store acha kutuchanganya😅😅😅

  • @fbr5113
    @fbr5113 3 місяці тому +12

    Ndio sara kajishiba na hana papara na maisha na inaonekana amemkinai sana Diamond na pia hana time yakumchuna Diamond. Kitendo hiki ndicho kinamuumiza sana Diamond nahis raha ya Diamond nikumrudia sana nakumpiga matukio hadi adhalilike lakini bahati mbaya Sara hampi hiyo nafasi kwakuwa tayari alishampiga matukio huko nyuma alipokuwa hana pesa nyingi je sasa ni Bilionea itakuwaje. Lakini Sara kajifunza kutoka kwa wanawake wa Diamond na baby mamas wake maana wamepigwa matukio na kudhalilishwa kila siku hivyo sara anaona bora aendelee na maisha yake tu. Hili ni funzo kuu huyu Sara ametupatia wadada kwamba ukiamua kuachana na mtu endelea kujipigania maisha yako na usimtamani kwamaana kilichowaachanisha kama bado kipo hakiwezi kuwadumisha hata mkirudiana. Big up Sara na nakunda nakuombea upate utajiri sana kupitia hili isiwe Diamond kakutumia tu lakini utajirike pia nawewe upate madili ya pesa nyingi.

    • @efrahfarahahmed8960
      @efrahfarahahmed8960 3 місяці тому +1

      Sarah anajitambua sana umesema ukweli

    • @matridasambali6432
      @matridasambali6432 3 місяці тому

      Yani wema zamani watu walikua wanamungalia kwa macho yote lakini sasa hivi aatu wanamungalia kwa jicho moja kama mamaake alivosema kua alitegemea kua wema atakua barozi mzuri kama babaake akimaanisha angekua muongozaji mzuri katika jamii kama alivojiwakilisha mwanzoni lakini imekua sio hivo wema ametumia vibaya umaarufu wake hatima yake amebaki kama komedy hata Mimi nilikua moja ya watu waliomkubali lakini kwa mambo yake mh! Sina ham nae kabisa yeye aendelee na vibenteini vyake ndo kazi alobakiza kwa sasa.

  • @zuwenanduwimana7730
    @zuwenanduwimana7730 3 місяці тому +2

    Wema utabakiaga kuwa wema tu. Hata wanao kusema vibaya ni wivu tu. Wewe ni mzuri sana❤

  • @priscargodwel8333
    @priscargodwel8333 3 місяці тому +2

    Nampenda wema jamn

  • @dorcas4495
    @dorcas4495 3 місяці тому +3

    Bjb film was based in Leeds mmm nice now it's in Tanzania

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 місяці тому +1

    Kwani kuziniwa imekuwa kama matangazo jaman weah yni adi naogopa

  • @faizaally347
    @faizaally347 3 місяці тому +1

    ❤❤❤ tunaisubiria

  • @cynthiadestiny358
    @cynthiadestiny358 3 місяці тому +1

    Wema alikaa aje na vile alikuwa smart

  • @memeniyonzima9343
    @memeniyonzima9343 3 місяці тому +3

    Karma jamani iendeleeeeeeeeeee

  • @Siasavyanda
    @Siasavyanda 3 місяці тому +1

    ❤❤❤

  • @neemapius3686
    @neemapius3686 3 місяці тому +1

    Nanyie Si mkonde mubakize makomweee🤣🤣🤣🤣

  • @user-nc5vk5pu5z
    @user-nc5vk5pu5z 3 місяці тому +1

    Nc

  • @AbdallahMohamed-wz8lc
    @AbdallahMohamed-wz8lc 4 місяці тому +4

    Sasa Sarah kaingiaje? Kwamba mngekosa views

  • @user-tf9gh8iu5s
    @user-tf9gh8iu5s 4 місяці тому +2

    Alikua kwaN sasa yuko wap

  • @user-ty9tc1cy8u
    @user-ty9tc1cy8u 4 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702 4 місяці тому

    Hii kitu kimkataba baadae italeta shida Tu juu ya mkataba WA awali

  • @rosebeatrice8947
    @rosebeatrice8947 3 місяці тому +1

    Gd

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 4 місяці тому +1

    Ila bado kazuri

  • @gracekahunda
    @gracekahunda 4 місяці тому

    Wema umekonda mno mpaka unatisha kichwa kimekuwa kikubwa...hupendezwi na mwili mdogo

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 3 місяці тому

      Wema Akita kwa screen na movie za kanumba alikua slim chance kushangaza ni nini

  • @alsam4881
    @alsam4881 4 місяці тому +1

    Mwili wote umekwisha umebaki kichwa tu kimekuwa kikubwa.

    • @JulietMakena-kv4uj
      @JulietMakena-kv4uj 4 місяці тому +1

      Alikwabia anataka kunenepa nonsense

    • @dianaonesmo6951
      @dianaonesmo6951 4 місяці тому

      Acha mmbo Ako kilaa mtu ana mapungufu yakee

    • @mycmeranyswai7957
      @mycmeranyswai7957 4 місяці тому

      hiyo ndio raha ya pesa...mwili umeisha kwan alikwambia ni mawazo yamemkondesha hapana katumia hela kua hapo...tafuta hela utazeeka kwa viwu nyau

    • @AfsaAbdul
      @AfsaAbdul 3 місяці тому

      Jari shida zako

    • @AfsaAbdul
      @AfsaAbdul 3 місяці тому

      Uzur haishi kwenye pua zako

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 4 місяці тому +1

    ❤❤❤

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m 4 місяці тому

    ❤❤❤