Polisi Washitukia Mchongo Watoa Tamko Zito Kudhibiti Nia ya Vijana wa CHADEMA Mbeya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 13

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 Місяць тому

    Hongereni police lindeni amani tunawashukuru sana

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 Місяць тому

    Hongera asikali
    Mkosahihi
    Wanatoa rugha chafu

  • @YangaNews
    @YangaNews Місяць тому

    Yaani ccm jueni hatuwataki kabisa hilo juenu

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 Місяць тому

    Hivi hawana familia zao wakae na familia zao kila siku barabarani labda hawa ni,,?

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Місяць тому

    Tatzo nini sasa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Tunatoa kodi yetu inawalipa mshahara badala y kutulinda mnawatesa kwa kulinda watawala wa CCM

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Mnatesa watanganyika utakaa polisi mpaka mwisho wa Dunia? Utaishi polisi sisi wanainchi tunamlilia Mungu atawahuzunisha siku moja

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Viashiria gani mlivyo viona? Hamna lolote ila ninyi mnania ya kuuwa watu kwa kutetea vyama vyenu

  • @levispaultitus8623
    @levispaultitus8623 Місяць тому

    Jambo la kiusalama halihusiani na mambo ya vyama vya siasa kuvuruga amani ya nchi yetu kama vyama vya siasa vinashindwa kufanya siasa za kistaraabu zisilete hoja za maandamano yenye uvunjifu WA amani jeshi la polis mko sahihi akionekana mtu barabarani fanyeni kazi yenu.

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange Місяць тому

    Wewe Kama una double standard.Mbona CCM kupitia jumuia ya wazazi wameandaa michezo ya Mpira wa miguu nchi mzima ili kurubuni vijana kuichagua CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa .Polisi mnapendelea CCM tu.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Huwashughulikii kwa mujibu wa sheria. Katiba inaruhusu wewe ni zaidi ya katiba?

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Sasa kama unataka kuandamana kama huwezi kuarifu watu utaandama peke yako. Hatukubaliani na ninyi polisi. Kwahiyo walianzisha vijana kukusanyika ni wajinga duniani?