NIDA WATANGAZA NJIA MPYA YA KUJISAJILI ILI KUPATA VITAMBULISHO VYA URAIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 130

  • @paulmwandala5481
    @paulmwandala5481 Рік тому +5

    Big up! Mfumo huu wa online utakuwa mzuri sana,hongera sana

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 Рік тому +4

    Tunashukur sana.kwa kuturahisisha maana sie wengine tupo inje ya Tz na vitambulisho vya uraia hatna 🙏

  • @muna9741
    @muna9741 Рік тому

    Shukurni sana kwa ss tuliopo nje na huduma hii ya online itakuwa vizuri

  • @musttafamkulo7517
    @musttafamkulo7517 Рік тому

    Ni kweli hamjakosea n shida mm mwenyewe nlikosewa mwaka wa kuzaliwa kila nkienda waniambia hawawez kubdilisha mpk hii leo tn sina vya kufnya n km kuna namn y kurekebisha tutarekebisha

  • @kibiligi
    @kibiligi 9 місяців тому

    🤝🤝🤝 Safi San tunashukulu kwa kutulahisishia

  • @jan6703
    @jan6703 Рік тому

    Kwa heshima kabisa nawajulisha ndugu zangu wa NIDA kuwa hakuna lolote la maana mlilotuambia hapa. Jipangeni mjifunze kutoa taarifa kwa umma!!!?

  • @danielmkulat1598
    @danielmkulat1598 Рік тому

    Asante sana mkuu mimi nimmojawapo aliyekosa namba ya nida nilijaza fomu mara tatu lakini mpaka sasa sijaipata kufanikiwa hivyo kwa hili nina imani nitafanikiwa

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 Рік тому +1

    Vitamburisho mpka leo ,,,daaa

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 3 місяці тому

    Tangia tujiandikishe huu ndo mwaka watatu hamtuletei vitamburisho au mnataka tutoe rushwa ndo mlete nakipindi tunajiandikisha wasimamizi mrikua mnatuomba hela ngoja tuone kama vyampiga kura mtakuja mtuombe rushwa mnapenda rushwa mbona hamtajiriki shida ziko pele pale

  • @clementphilipo3340
    @clementphilipo3340 Рік тому +4

    Naomba KUFAHAMU wageni hawawezi kuingia kwenye mfumo huo ?

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Рік тому

    Kwanini msiweke mitambo hapohapo mtu akijiandikisha ndani ya wiki iwetayali nyinyi nida igeni mfano wa idara ya uhamiaji wanafanya vizuri sana

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Рік тому +1

    Nida mnafeli sana kwani ni miaka mitano sasa tangu raia tujiandikishe lkn raia waliopata namba za Nida wachache kuliko ambao hawajapata baadhi ya watumishi wenu wameweka urasimu mwingi ili kutengeneza mianya ya rushwa badala ya kuwasaidia watu kuwapa namba zao

  • @LeticiaEliasMahamood
    @LeticiaEliasMahamood Рік тому

    Naomba fomu ya NiDa

  • @NassoroRajabu-qf7oo
    @NassoroRajabu-qf7oo 11 місяців тому

    Kwenye powt

  • @JanethNdomo
    @JanethNdomo Рік тому

    Mm ninaomba niwasiliane nanyie moj Kwa moja

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Рік тому +2

    Tatizo la kwanza mpaka sasa hivi Kuna watu wana no lakini kitambulisho mpaka hii leo hakuna

  • @kefrenikefreni1903
    @kefrenikefreni1903 Рік тому +3

    wengi tunaombwa rushwa jamannnnnnn

  • @lubengomakumu6386
    @lubengomakumu6386 Рік тому

    Ktk sekta ambayo haijui ifanyeji ipo ipo ni NIDa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Рік тому

    Vitambulisho ni kitu endelevu , siyo kitu cha Mara moja.

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Рік тому

    Mnasumbua. Mnaanzisha mifumo halafu ukiingia unasumbua watu.

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Рік тому

    Visomi vya bongo bwana vinapenda uongo uongo tu tena hivi vinavyopenda kuvaa miwani ni hatar sana kione

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 Рік тому

    Mmeshindwa kutoa huduma hiii kwa wanchi,kubalini..mmetanguliza rushwa,mnamwomba mtu elf ishirini apate kitambulisho! Rais Shaw tu imejaa,hamna lolote. Mazidi kutesa wananchi. Hiyo online wengine wazee wetu hawaijui.

  • @muddsaid-kn2dq
    @muddsaid-kn2dq Рік тому

    taarifa hizo mpya ukiangalia ndani zaidi bado sana hazina msaada kwasabu ili uingie kwenye njia ya kimtandao ninazima uwe na line ya simu iliyo sajiliwa kwa kutumia namba ya nida jee kwa wale wasio na namba ya nida hatima yao nini hawa walio pata namba za nida ndio watakao endelea na kunufaika je kuna njia nyingine ya kuwasaidia wale wasio kuwa nanamba za nida kwani ndio wengi apa nchin

  • @kibiligi
    @kibiligi 9 місяців тому

    Msaada jinsi ya kupata namb ya nida ni elekezi kitambulisho me kipo ofisi ya mtendaji me nipo Kenya nilikatia kigoma

  • @danielmkulat1598
    @danielmkulat1598 Рік тому

    Mimi jina langu Daniel Mkulat kafuna tarehe 2/2/1974 naishi kijiji cha mabalanga kata ya mabalanga tarafa ya mswaki wilaya ya kilindi mkoa wa Tanga

  • @MothersBoy-ip8nh
    @MothersBoy-ip8nh 5 місяців тому

    Thanks

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 Рік тому +7

    Maneno mengi! Be short and precise!

    • @niggachad8137
      @niggachad8137 Рік тому

      Unauma ADHD wewe

    • @mariamjamali1444
      @mariamjamali1444 Рік тому

      @@niggachad8137 siyo kweli I don't have Attention Deficit Hyperactive Disorder Hawa watu hata kuwasikiliza ni kichefu chefu. Hyo press conference yote Ina content Gani in reality

  • @kitejamgema9154
    @kitejamgema9154 Рік тому

    Ahsanteni sana

  • @cleverlandmusicbyshakur423
    @cleverlandmusicbyshakur423 Рік тому +1

    Thanks for creativity

  • @nurubilali8025
    @nurubilali8025 Рік тому

    Tatizo ukienda kufuata kitambulisho unazungushwa makusudi Ili uwape pesa

  • @MaufundKawa
    @MaufundKawa 2 дні тому

    Hizo form zina patikanaje

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Рік тому

    Mnasumbuwa sana wananchi

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 Рік тому

    Rushwa sanaaa sijui ulilijua hili , ulikuwa usumbufu kumbe unajua

  • @oretetionjorio8374
    @oretetionjorio8374 Рік тому

    Pia na grama pia ya kufika wilayani kwamfano kutoka tarafa ya ngorongoro mbaka wilayani ni 100000

  • @josephinamoshiro
    @josephinamoshiro Рік тому +1

    Tumekuwa tunapoteza muda mwingi bila mafanikio kwani ukifika unaambiwa urudi yaani tumekuwa tunahangaika bila mafanikio

  • @emmanueldrawerhq7526
    @emmanueldrawerhq7526 Рік тому

    Toeni maelekezo namna ya kujisajili. Mseme website ya kujisajili inaitwa hivi ama inaandikwa namna hii.. Porojo nyiiingi lamsingi halijatajwa!!! hovyo kweli kweli

  • @erickkamala
    @erickkamala Рік тому

    Mmm yaan keep ukweli mm sjawaelewa maana hamja twambia tunafanyaje Ili kuweza kijaza kupitia online

  • @benardLeonard-ss7fe
    @benardLeonard-ss7fe Рік тому

    Tanzania kila kitu ni dili leo miaka migapi hatujapa vitamburisho

  • @georgewambura7695
    @georgewambura7695 Рік тому

    Mimi najiuliza , mbona vitambulisho vinavyowanufaisha wanasiasa vinakuwa rahisi sana kupata

  • @allynkussa-gb8nu
    @allynkussa-gb8nu Рік тому

    Maelezo nimarefu Sana tuelewe , Changa Moto tunajua

  • @josephsureeliajosephmion9997
    @josephsureeliajosephmion9997 9 місяців тому

    Habari za majukumu watendaji NIDA
    Sisi ambao vitambulisho vyetu hatujaviona ama majina katika orodha mtatuletea lini!?

  • @mrhuba7
    @mrhuba7 Рік тому

    Wanachelewesha vitambulisho miaka miwili tunasubiri vitambulisho😢😢😢

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Рік тому

    Naomba kujua ikiwa Jina langu limekosewa nafuata utaratibu Gani ili jina langu lisomeke vizuri

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Рік тому

    Hamna kitu nyinyi vitsmbulisho toka tulivo sajiliwa migamboo wale

  • @PeterMuli-m3k
    @PeterMuli-m3k 9 місяців тому

    Muige wenzunu kama wakenya vile wanafanya kiurahisi sana kupata kitambulisho wiki mbili ushakuwa nacho

  • @samwelgeho2602
    @samwelgeho2602 Рік тому

    Pamoja na hayo yote vitambulisho vyenyewe hakuna toka mmeanza zoezi hill.

  • @danfordmahumi232
    @danfordmahumi232 Рік тому +3

    Jifunze kuongea kwa mantiki.
    Unakera sana.

  • @zakariasimkoko4617
    @zakariasimkoko4617 Рік тому +2

    Natamani kujua, naweza kusaidiwaje ikiwa taarifa zangu za nida zilikosewa, na nikapata namba ya nida yenye makosa?

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 Рік тому

      Mimi si husikin Unaweza Wewe nenda ulipojiandikishia na Kina Garma Kama 20/30 Labda kama wamezitoa

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 Рік тому

    Mkuu, tuliojisajili kipindi kile Cha vurugu na kuishia kupewa namba, "Je ? Vitambulisho tutavipata lini ??? Kwa sababu ni miaka Mingi imepita.

  • @barakakasamia5036
    @barakakasamia5036 Рік тому

    nenda kwenye kusudio unaonea hadi bando linaisha kabla sijapata cha muhimu

  • @الزغويالزغوي-ض3ن

    MAZUNGUMZO YENU NI MENGI SANA KIASI KWAMBA MPAKA MNAMALIZS HAMJA TUELEZE HUO MFUMO UTAENDESHWA VIPI?!

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Рік тому

    Sijuwi kwa nini sehemu nyingi za serikali Kuna changamoto nyingi hupati kitu na haki Yako lakini lazima usumbuke ili utowe rushwa ndio upate jamani watanzania tubadilike tushukuru tunacho kipata tunasumbuka katika haki saa nyengine unakata tamaa kwa haki yako mama samiya atatizama mangapi mlochaguliwa mumsaidie madudu mengi mungu ibariki tanzania ameen

  • @laizersam570
    @laizersam570 Рік тому +2

    So mnataka tuanze tena upya au namba za nida tunazo na zipo kwenye system ya mtandao lakini nida card sasa hapo ndio shida hatujapata nimezunguka katika ofsini zenu hadi kuchoka

    • @abdulkidebe1707
      @abdulkidebe1707 Рік тому

      Mi nimejiandikisha toka 2019 mpaka leo nafatilia tu holaaa

  • @OggNyalo-jy8dk
    @OggNyalo-jy8dk Рік тому

    Mimi nimejiandisha..IlA kira nikienda nambiwa kesho kesho

  • @Mosesswalehe
    @Mosesswalehe 9 місяців тому

    Nielekeze namna ya kupata namba ya nida

  • @moffatnganikani5014
    @moffatnganikani5014 Рік тому

    Mtajuaje kuwa anayeomba kwa njia ya mtandao ni Mtanzania halisi?Maana vitambulisho kwa njia hii nadhani hata wachina watakuwa navyo.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Рік тому

    Mnabadilisha badilisha mchakato kila kukicha mtengeneze mianya ya rushwa na wizi. Iwenye Mimi niliyejisajili mwezi Desemba, 2018 hadi Leo sijapata kitambulisho halafu mnakujja na story za usajili wa online? Taasisi nyingine ni mapango ya ufujaji wa fedha za serikali tu!

  • @ndelimbiswai9697
    @ndelimbiswai9697 Рік тому

    Mmmmh hakika mtakuwa mmetusaidia maana nimeangaika na sijapata no.ya nida hadi leo mara naambiwa taarifa sio sahihi

  • @shijasuley
    @shijasuley Рік тому

    Kwanini usiende moja kwa moja kwenye mada toa maelekezo sio kuongea

  • @barakangobuku6031
    @barakangobuku6031 Рік тому

    Nida Bado hamkuweza kasajili laini au kutoa huduma Kwa jamii acheni maneno ya kiingereza kwenye mfumo huo ongeeni kiswahili vinzuri tunateseka sana jamani ikiwezekana mfute mpango wa nida kabisa isiwepo

  • @izackhongoli8099
    @izackhongoli8099 9 місяців тому

    sjaelewa kitu mimi snanida naitaji nida nafanyaje kujisajili

  • @ramadhansururujuma2394
    @ramadhansururujuma2394 Рік тому

    Mama Mafuru umedamshi balaaa

  • @ramsohk
    @ramsohk Рік тому +1

    Tatizo mnaongea Sana nendeni mwenye maada ya msingi

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 Рік тому

    Mambo kama matatu uliyozungumza zinafanana , hujasema change moto za mahimu sana , kunatatizo kwa wahudumu wenu sana ,wanakaulimbovu

  • @MngwaliAllykizangwa
    @MngwaliAllykizangwa 3 місяці тому

    Maneno mengi ndiyo maana mmefeli kwa hili.

  • @elizabethmwamdanga7377
    @elizabethmwamdanga7377 Рік тому +1

    Pasport pia mngetumia njia hii

  • @agnesmwita9315
    @agnesmwita9315 Рік тому

    Nawezaje kupata form

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Рік тому

    Vitambulisho story hadi saizi

  • @israelwisdompower9856
    @israelwisdompower9856 Рік тому

    Sisi ambao tulijisajili miaka sita iliyopita je tutapata lini vitambulisho vyetu? Ijaponamba mmetoa au kazi imewashinda.

  • @joachimmyhima1933
    @joachimmyhima1933 Рік тому

    Napenda kujua kama taarifa zangu zilikosewa Mwanza nifanyeje Ili ziwe sahihi

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 Рік тому

      Nenda ofis za siasa ni kilimo sema nimekuja kubadilisha jina

  • @PeninaDaniel-y2q
    @PeninaDaniel-y2q 10 місяців тому

    Maelezo mengiiiii lakini mpaka mmesahau kilicho wakutanisha hapa, mfumo unafanyaje kazi, namna ya kufanya application??

  • @nockigona5160
    @nockigona5160 Рік тому

    da maneno ni mengi mpaka lengo utasahau sasa

  • @HusseinAli-hr2ru
    @HusseinAli-hr2ru Рік тому

    Kwa mfano leo sabasaba wanakuepo wapi

  • @salumayou3455
    @salumayou3455 Рік тому

    Mimi siitaki hata kuisikia nida nilipoteza kitambulisho tangu 2016 nikaja kuripoti kwao wakanipa maelezo ya kwenda polis nikaenda kuripoti niliporudi wakaniambia nilipie elfu ishirini hiyo ilikuwa mwaka 2021 tangia mwaka huo mpaka Leo sijapata kitambulisho changu mimi namba minato tatizo kitambulisho vipo wapi?

  • @chomwabonzo8811
    @chomwabonzo8811 Рік тому

    Tatizo utakuja sikia mtandao unasumbua hapo ndio utaona mauza uza.

  • @godwinmsakwa373
    @godwinmsakwa373 Рік тому

    Maelezo mengi yasio ya msingi

  • @florencewaane-tn9xg
    @florencewaane-tn9xg Рік тому

    Kama Kuna mahali Serikali imefeli na kuwadanganya watu ni hapo kwenye NIDA. Usajili siyo kupewa namba, kinachotakiwa ni kupata kile kitambulisho. Tangu Serikali ianzishe mpango wa vitambulisho ni miaka mingi Sana, lakini tujiulize ni asilimia ngapi ya watanzania wamepata vitambulisho?Shida Ipo wapi? Watanzania wangapi Wana uelewa wa maswala ya mitandao? Asilimia kubwa ya WaTZ walk vijijini ambako simu Janja na internet ni Shida, tusidanganyane, imarisheni ofisi zenu za wilaya na watu wapate vitambulisho palepale na siyo kupewa namba.

  • @sabinamachange6040
    @sabinamachange6040 Рік тому +2

    Tuelekeze jinsi ya kulisajili online ache maneno mengi

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus9962 Рік тому

    Polisi wamewapiga gape sanaa kwenye loss report ni nusu saa tu na imesainiwa

  • @boaziernest4403
    @boaziernest4403 Рік тому

    Je sisi ambao tunasumbuliwa kupata nida jeatakufanya usajili walaini tufanyeje

    • @suleimanmtegwa8968
      @suleimanmtegwa8968 Рік тому

      Lkn mh moaka Sasa tuna miaka 3,tumeshajisajili vitambulisho hakuna nikalenda kwenda mbele, vitambulisho vya kura fasta, Lkn sijui nida Kuna tatizo Gani?

  • @georgewambura7695
    @georgewambura7695 Рік тому

    Lakini vinavyomhusu raia vinasumbua sana, mfano kitambulisho cha kura si tulikipata siku moja tu, why this miaka kibao horaa

  • @ip_header
    @ip_header Рік тому

    Maelezo mengi lkn watu wanahitaji kufahamu wanasajili vipi?

  • @nockigona5160
    @nockigona5160 Рік тому

    sasa unafanyaje mbona maneno tu kuna fail au twende google

  • @barakangobuku6031
    @barakangobuku6031 Рік тому

    Ebu naomba mnisaidie leng'oto ngobuku mbombwe

  • @nockigona5160
    @nockigona5160 Рік тому

    wafanyakaz wenu wanalinga mno mpaka nimeamua nikae bila namba zenu za uraia mje mnipeleke burundi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Рік тому

    Kwani walio nakazi nyingi zaidi siyo RITA? Hata hao wanaform nyingi.
    Sasa sisi tuliokwisha haza Miaka mingi na tulikwisha jaza mtatusaidieaje,

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Рік тому

    Tatzo saizi nyinyi ubabaishaji mwingi sana,,

  • @nockigona5160
    @nockigona5160 Рік тому

    Da afadhali

  • @zakhiagabriel2632
    @zakhiagabriel2632 Рік тому

    Upuuzi mtupu,

  • @miriamgrayson-2843
    @miriamgrayson-2843 Рік тому

    Nakama mtu Alisha jiandikisha namba ya nida amepata, ila kitambulisho hajapata kutokana na majukumu ya kikazi au mengineyo hayupo kwenye mkoa alio jiandikisha Je mtu huyu mnamsaidiaje? Au hadi afuate mkoa alio jiandikisha?

  • @allymakwaya-vy4sb
    @allymakwaya-vy4sb Рік тому

    Porojo nyingi

  • @kissimaplumbing
    @kissimaplumbing Рік тому +2

    Story njingii maneno yanajirudiarudia , aeleze mfumo ulivyo story Ina maliza bando

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 Рік тому +1

    Katika watu mnaotakiwa kutumbuliwa wakwanza kabisa ni NIDA

  • @davidmrema2527
    @davidmrema2527 Рік тому

    Maelezo yasiyo lazima, siasa tupu hizo

  • @mbisemanase
    @mbisemanase Рік тому

    Baada ya kusajili inakaa mda gani upate hiyo namba

  • @hemedimuna1400
    @hemedimuna1400 Рік тому

    Yani bule kabisa sasa nini mlicho kiongea

  • @jenifambafu2682
    @jenifambafu2682 Рік тому

    Hata sisi pia tunapoteza nauli bule na hatupati chochote nyie ni wasumbufu tu

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Рік тому

    MIMI MWAKA WA TANO HUU SIJAPATA KITAMBULISHO CHANGU NINA NAMBA TU YA NIDA,NAOMBA KUPEWA KITAMBULISHO CHANGU.

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg Рік тому +2

    Unaongea sana unatumarizia bando

  • @josephmazuma9347
    @josephmazuma9347 Рік тому

    Tatizo lingine upatikanaji wa hivyo vitambulisho proses ni nyingi sana wengi tuna namba tu na hatuna vitambulisho, kwani hakuna uwezekano wa kutoka vitambulisho hivyo kama ilivyokua vya kupiga kula? Badilisheni utaratibu wazee muda ni mali!