Hamorapa alivyompigia Magoti Alikiba Airport
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Watu wengi walijitokeza kumpokea Alikiba alipotua uwanja wa Mwalimu Nyerere Dar es salaam ambapo msanii Hamorapa alijitokeza kuungana na na mashabiki wa Alikiba kumpokea mkali huyo
Muachen namaisha yake jaman anaejiona mzur katimia bas akifa ajioshe akajizike
Fafi 90 kweli kabisa
Fafi 90 ndiooo
Fafi 90 wew Fifi gan vl
Video
Umeweza kukomesha udaku mkunduni za wajinga
Huyu Harmosomething ni mjinga sana!
watu wengine bwana wanatia kichefuchefu,unampigia magoti huyo jamaa ya nini sasa!
Alietaka kufunga kioo mxenge nini, asa si zawadi tu anampa au tisheti ina Mabomu hio?
Kyusho JitsuTV
kiba huwa na maringo sana
Kyusho JitsuTV bt hajafunga kiba jmn
Kyusho JitsuTV Ana fukuza baraka za allah
ukihitaji chochote lazima unyenyekee ...kila mtu ka fight namna yake tofauti tofauti....so ..mi s shangai...mwacheni .kwani mafanikio hayaki kwa starehe.....
I think the dude is living his life and no one should judge'em
sasa huuuniuchixi hixikikihaziishi unampigia magoti mwanaume mwenxio hatakwamungu hujawaimpigia magoti
Kiba ni Kama Maji usipo yanywa utayaoga wakuache mfalme wa kariakoooo #Kingkiba
Jelly msemwa hujafa hujaumbika usicheke alicho umba mungu ipo cku utajuta na wewe
Kwel kaka hujafa hujaumbika
uyu dogo vp mjinga nini unampigia kiba magoti we vip acha izo ww binadamu mwenzako kumpigoa magoti kisa colabo leo nimekuona mzinga sna ww 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Harmoropa he is not crazy he is having true love to alikiba
Hamorapa Kiki za kifala izo unampigia magoti mtu mnaopumua kw oxygen ya free alafu anakufungia kioo...... rudi shamba ukalime si lazima kila mtu awe msanii
kumpigia magoti binadamu mwzako kama mungu ni zambi wew msanii mtafute kisaanii sio kihvyo haise hamorapa kick yako hiyo haise
wanaosema Hamorapa ni mjinga kumpigia magoti kiba kwani mnafikiri kila kitu kinakuja rahisi tu hiyo ni moha kati ya mihangaiko akitoka mnasema alitoka mbali aliwahi kumpigia magoti kiba
yote tisa kumi sioni ubaya yamtu kumpigia mwenzie magoni hiyoni iyariyake amependa na anampenda so mm pia kumpigia mtu magoti kando sioni kitu kikubwaaaaaa kwa raha zake.
Mwenzake PNC alimpigia magoti Ostadh Juma Namusoma mpaka leo amepotea kwa game.Mwanaume kumpigia magoti mwanaume mwenzako na simzazi wako unaomba radhi,hiyo ni LANA KUBWA SANA.
Mlash Chusa mm buck
Wtz bhana cc tunachoyo sasa huyo alikua anapsndisha kioo ili iweje yan
Ziliatan Humud anaoga juu wkupigiwa magon n mungu tuu haahaa
Ziliatan Humud inaelekea aliyepandisha kioo ni yule msela wa seat ya mbele atakua baunsa wake. alaf ni kwa usalama zaidi
duuuu? abadili najina ajiite kiba lapa mama tumemchoka ataukijifanya nano kuimba ndio kutakubeba ujui brother bola ukauze maji ubungo
SEMA HARMORAPA KAMA ANATUMWA......MNAONAJE WADAU?
well said kama ulikuwa kichwani kwangu
ndio hivyo
Mnyaru Fulani ndio sio kawaida hiiii kumpigia magoti binadam mwenzio ata ukipimpigia magoti kuwe nasababu maalum ametishaaaaaaaaaaa
Mnyaru Fulani na yle boss yke
Ndio
nan kamuona shilole kiuno wa insta.??
clara johnson haha huyo magula anamkubaki kiba sana
clara johnson ni yupi shilole kiuno
clara johnson nimemuona na inaonekana kaenda kumpokea boss wake anaemfanya atukane watu
+joyce john
angalia 0:40 yule aliye nyuma ya harmorapa akitafuna jojo.
+Shallzbaro YellowPopo
magula ndio jina lake??
Sasa niwaulize wadau wenzangu
Kuna mtu kweli anaweza kujisifu mimi ni mzuri? ?????
Na kila binaadam kaumbwa kwa mfano wa Mungu .
Halafu mimi naona kupiga magoti kwa harmorapa hakuna makosa - (kwa nini ????)
Yeye kwanza maskini kama mimi
pili bado mchanga kwenye music
So si ati amemsujudia laa
Ila mtafuta riziki lazima anyenyekeee
Sawa mwenye kutoa riziki ni Mungu
lakini hutomuona Mungu anakunyoshea mkono akupe riziki
Think twice before u comment on something .
Sasa niwaulize wadau wenzangu
Kuna mtu kweli anaweza kujisifu mimi ni mzuri? ?????
Na kila binaadam kaumbwa kwa mfano wa Mungu .
Halafu mimi naona kupiga magoti kwa harmorapa hakuna makosa - (kwa nini ????)
Yeye kwanza maskini kama mimi
pili bado mchanga kwenye music
So si ati amemsujudia laa
Ila mtafuta riziki lazima anyenyekeee
Sawa mwenye kutoa riziki ni Mungu
lakini hutomuona Mungu anakunyoshea mkono akupe riziki
Think twice before u comment on something .
siomchezoooo!!!!! baada ya kuona WCB hakuingiliki, jamaa anapiga goti kwa kiba,
sema kilichokupelekaaa sio yukojuuu.
😍🤣😎😃😊😄😁😋😋😚😂😉🤣😂😎😃duh mutapata tabu saaana
Jelly samweli.......angalia bana hamorapa hakushiriki chcht alipokua akiumbwa so unaposema sura yk mbaya it means aliyeumba ushamtia kasoro kazi yake...hali ya kua sote tunasadikisha kua kazi yake haina makosa.........hayo si maneno ndugu kua makini sn....dunia sio yetu.....
kila MTU ana staili take kutoka kimaisha.kila MTU ajitahid kadili awezavyo mafanikio yapo tu.wanaomsema vibaya hamorapa ,siku akitoboa watajishangaa.maisha ni nikihustle kivyovyote vile.
hii sura baba baba 😂😂😂😂😂😂
jmn😂😂😂
ndg yng unajisahau xan ,xio manen yakuongea hayo akat u bdo haujafa na bdo unaendlea kuixh ,uxtumie machung yko kutoa kaxoro za mwinzio ,jianglie unafeli mdg wng
Pablo Aimar umeongea kweli aisee hujafa hujaumbika
+Marko Samuel kwl broo ,wengn wanaongea 2 kwkua wamepew midom au kixa wa comment 2
Marko Samuel
umeogea kakangu hujafa hujaumbia 👏👏👏
'nakumbuka ile nyimbo kama sijahisahau ni "mapenz pesa" kuna kamjistal kinasema "walisemaga unabonge la domo"
Sasa nasubir kuona kweli "mapenz pesa?
kuna kipindi kibabaliwqinkusema wenzakebtuzo wananunua.hopebnaye kanunua safari hii. naona anapita walipopita wenziwee
weye hormorapa mungu tuu njo unaweza pingiya magoti
halafu alikiba hawez kufanya collabo na huyu msenge ....alikiba namuelewa sana yuko makin na selective ktk kufanya kazi xo hawez kufanya kazi na MTU ambaye yupo kwa ajili ya kutaka kiki bila kujituma yy km yy
Huyu dogo ni fala wana hiphop hawapo hvooo hadi magotiii????? Huyu mwanahiphop fekiiii
jamani mbona mimi sijaona kitu cha zaidi kwa huyu harmorapa hana panch za hiphop kama madogo wenzie wanaojua PRESS acheni kusaport issue zisizo na maana au mnapiga hela kupitia huyo dogo?
kwa mtazamo wangu harmorapa sio msanii Bali anatumwa kuitangaza campuni ya boss kijanja,fikiria hiyo T-shirt alikiba akiivaa nifaida ya harmo au ya nani? kwanza wanaosema kafanana na Nize wamchunguze vema
Siku diamond nae akitua nchini toka u.s.a atakua na tishirt ya mond die fan huyo hamorapa
duu anaforce jina BT hana talent hatakidogo hadi anaboa et ,,,,,,rapa .duuu!!!
Amorapa anaingiza pesa mnabaki kubwabwaja yaninyie hamjitambui wallah
Tukitoka kwa makonda
mwatuleta kwa Wema
Mara kwa harmorapa
Kwanza kaimba nyimbo ipi
Huyu Jamaa duh I'm sory anampigia magoti binadamu Jamani Aibu ndiye Yule Jamaa alimuuita bad name kkkkkkkkkk
That face is amazing.
ni kweli kabisa uko juu kiba
uyu msenge anafanya biashara kwa hizi kiki zake ...wacha maneno Fanya muziki dogo
ebu cheken mashabiki wanavyomwangilia hamorapa
uyu jamaa kwa kiki
Huo sasa ujinga zaidi ya ule alioufanyaga pnc unampigia magoti mwanaume mwenzio alafu eti unajiita msanii kajidharaulisha kiboya ila anapoenda huyu ipo cku atakubali kuliwa tigo ilimradi ajulikane tu
yaani ndo maana cmpendagi kiba, anajiona kama mfalme,,anawezaje kumfungia mwenzie vioo
Kiba achadharau usupasta hupanda nakushuka fikilia kunaleo nakesho ivotu
coz hata walimu nao hupigiwa magoti sembuse kiba the king himself
Harmorapa umetuuzi sana kumfata kiba ungeenda kwa mond kama upo fresh kwamaana unakipaji
cjampenda staili yake anapiga magot mwenzake anamfungia kioo toka kwa uwezo wako dogo
khaaaa una msujudia bnadam mwenzio we #harmorapa unahitjtaj maomb sio bure
hamorapa mungu akubariki
Nzomukunda Fatuma ameen
hamorapa kuma wewe utampigiaje binadamu mwenzako magoti
this guy is just pure madness and I have no clue why media za TZ mnampa so much attention.
we inakuuma nini dogo kupewa airime au unamlipia mbona jelous, mna roho mbaya kama shetani!
hahahhaaaa shetani hanifikii
Afra Salum haaahaa
Afra Salum daaah umeona eeeh yan sioni sabab ya kumzingatia hata
unampigia magoti organism ???
mambo vpi mzima ww
sikuizi mademu wanaangalia poch sio sura daaa siokwadurahiyooo
kwan kipi kilicho fanyika kibaya mbona kawaida tu 😄😄😄watanzania tunaongea saaaaaaaaaaan jmn tooooo much
KUNA BAADHI YA WATU WANA ROHO MBAYA KILA MTU ANA STAILI YAKE YA KUTOKA NA HIYO NDIYO STAILI YA HARMORAPA, ACHENI HIZO BULLSHIT ZENU.
Mungu ndio WA kupigiwa magoti co kiumbe yoyote
mpumbavu huyu mtoto yan unampigiya magot binadamu mwenziooooooo.
Homorapa Hana Jipya Mwisho Wa KK Umekarbia
huo ni utumwa wewe unampigiaje magot mtu anayekwenda choon kama wewe
😂😂 mbna kuchanganya huku kwajina harmo kwa timu kiba...
Uyu Dogo tena too much unampigia magoti Binadamu mwenzio kisa Collabo sio Mzima
Omar ali kapagawaa angempigia mola magoti angembarikiwa zaidi yuwataka kuwa star sasa hajui yuwafanya nini
omar ali tooo much kwan kiba n barabara ya kwenda wpi aiiiii
basi toa nae wewe korabo,maana ndyo anahtaji kutoka kimuziki asipo jipendekeza
itakuje?wewe unadhani kazi rahsi?
Jamesy Samwel Lkn sio kivo kwani uyo ALI kiba ni Mungu mpaka umpigie magoti au yy ndie anaetoa rizki ushamba tu rizki popote sio lazima uimbe
Jamesy Samwel h
Hamorapa ako sawa coz yy anampenda Tena anakubali alikiba kwa roho yake yote
kwel Ushoga sio lazma ufirwe tu .. upo wa aina nyng
Nikiboeka nasearch interview za huyu mwamba hamorap
Endelea kumueshim kila mtu kaka angu achana namaneno yawatu ipo siku watatambua kama naww nimsanni mzuri t
ujingakumpigiamagotimwanaumemwanzio
yysimuumba
Sasa kiba mwenyewe mubunafsi anajitenga kama mishikaki
HAMORAPA, KAZA, KIKI WAACHIE MADEMU, UNACHOSHA SASA,
naomba msimfananishe na Harmonies jamani Leo nimemuangalia vizuri aaaaaaaaa
inamaana kiba amjui harmorapa ahahahahahahahahhaha daaaaaaaah sema nn kiba sio poah kumkazia harmorapa maana ulipandisha kioo au ndio kumdelete ahahahahahahahha,,,,, sema nn harmorapa music haupo ivyo bob au unataka kutokea hapo????? ni mtazamo tuuuu
wampigia magoti binaadamu mwenzio. Kama hii si devil worship basi ni ninni?
oyoooo nommmmaaaaaa kiba nibaba lao sasa nyie clouds endereheni kuchuahela ya domo huku alikiba hanatoboa nomaaa
kama dogo kapoteana hivi halafu pia sizani kama kuna watu nyuma yake wa kumshauri it seems hata alikiba kama hamtambui hivi maana sio kwa kupandisha kioo namna hiyo aisee
eroooo achen hiyo najeee kwa selaaaah hamorapa bana. binadam tumetofautiana uwezo wa kulikabili jambo lililo mbele yetu,wengine watafanya chochote ili mradi watimize ndoto zao. isitoshe mbona wengi tu wamepiga magoti na wengine wamefanya vitu vya fedhea zaidi. sio mpango kujudge others only God can do that.
Abdallah Mnandi well said
hizo sura duu Mungu mkubwa asije akaniadhibu lakini
hongera king Kiba hiyo fala mtoto achana nae hajitambui
hizo mbembe tu za washika mkia wanashoboka na ka tuuzo saiz saiz na kalikosewa wamevuta kwa kamba
Kumbe mshamba huyu jamaa ndio maana akatukanywa+254
ifike hatua ajitambue na aache kelele na kiki afanye music kama kweli anaweza
Bydha huyo chally anadai suppoter si ety ni nini acheni afanye yake
mtaka chamvunguni sharti ainame sioni kosa lake apo
anajizalilisha tu huyoo dogo kmaa sio mwanamziki
Huyo mtoto mshamba tu coz haina maana yoyote kumpigia ali kiba got
mjomba #lonkenny mbona kama unataka mpiga kofii mselaa hahaha
huyu mshkaji apelekwe milembe maana Co mzima
huyu mshkaji apelekwe milembe maana Co mzima
Kuna media ambazo azina viti vya kufanya na vinafanya ujinga tuu pimbavu
Hahaha ila tuache unafiki harmorappa ni mbaya wa sura
heh jaman mmmmm mpaka kiba anajiona ovyo Kwa kupgiwa magoti dah
duuuh yaan hiz kiki zingine hapana huyu kwer nyan hata kujieleza hajui
hv hamorapa ndo ulikuwa umetoka kuamka hiyo suraa
Muacheni mwenzenu fanyeni yanayo wahusu
uyo jamaa cjampenda kweli alicho fanya lakin cmlaum ndyo mwisho wa kufikili kwake no kiba yes simbaaa
Ramadhani Mponji datz ryt
Ramadhani Mponji yup
😳😳😳😳
titi fo tati🙈
akitoboa Hamorapa mademu watapanga msururu km wa siafu kwenye sukari😅😅😅😅
Mwanahamisi Hella hahaha kweli kabisa na watasahau kuwa anasura mbaya
Bibibabu Fumba 😆😆na jina hubatizwa🙈
be like aaww... baby ur so cute 😝😝😝😊
+Bibibabu Fumba umeona kumbeee see heheheya
Dzame Cbc na atafanikiwa tu koz anabidii alafu watashoboko
Lazma wamlize watoto wa Mjini wanaachajee sasa
Uyooooo hamorapa ni mmbayaa sana duh mungu nisameh
upuzi mtupu awa wasani wa bongo wana uthi na kiki za kutafuta. shenzi
Mbona harmorapa anajizalilixha hvyo
jamaa kupiga magoti imeonesha ni wa hadhi ya chini sana
harmorapa safi
twaongoja collabo
Duuuuh,, anatuangushaaaaaaa wa mtwaraaaaaaaaaaa