Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
HAYA JAMANI SERIES YETU MPYA HII WEKENI MAONI YENU HAPA TUENDELEE NAYO AU VIPI 🤔🥰?
Tuedeleeni kama Kawa na goma mtuwekee uko twazidai kelvin
Tuendelee Kelvin huna baya twakukubali kinoma ujuwe
Tukiona ikosawa tutakuambia
Tuendeleeni
upo vzuri kaka
Ukahaba iko ndani ya hii cinema waaaa😂 sawasawa lina na mamake kweli mtoto mleavyo ndivyo akuavyo
Kunambi anapenda umbeya umbeya sunaaa❤❤🥰🥰🇧🇮🇧🇮💯
🎉
Uo mshangazi wa James una mideko balaaaa😂😂😂😂😂
Uo ni mshangazi
James ameua sana , safiiii
Naipenda San donta tv kaka kelvin eka vipande vingi bhn❤
Hongereni movie nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉
Nachukia hii mijimama inayo lea hivi vidude vya mikia ya chini sana
Mosesi amependeza sana jameni hadi raha❤❤
Mshangazi nampenda buree Aisee 😂😂😂😂 kaigiza vizuri
Ni movie nzuri sana ❤❤❤❤
Unyama kaka naombeni nami mnisubscribe wa mwisho leo😂
Mbona tume subscribe kitambo
❤❤
Shangazi analea😂😂😂😂
Niko russia nikiamka asubuh nazimiss chapati na maharage
Nakpnd sna kevi
Ila boss wa kelvin ..... ameuaaaa yupo vyema
Tunaelekea kuzuri much love team Strong ngongeni likes 5 Guys 😢 🔥🇱🇷💪💪
Sawa
@@Dontatv255 kelvin naomba kufanya kazi nanyi
Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😊😊😊😊😊 ETI AH KEVI MAKAHAWAAAAAA
Kunambi unanibambanga sanaa😂😂😂😂😂😂😂
Mko vizurr sana hongereen wanadonta tv
Mshangazi una sauti tamu balaa❤
para bem 😍😍😍😍
James reo kapata mshangazi
Aaaah kwa james bebiii huyoo weeeh shangaziiiiii😂😂😂😂😂😂
Lina na mamake wako na tabia moja kwa kweli mototo umleavyo ndivyo akuavyo hii movie iko na mafunzo mno❤❤❤
Jem's naona upo na mshangazi😂😂😂😂🎉
Mwaelekea pazuri mwenyezi mungu awaifadhi
James umetisha na huyo baby wako mshangazi😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kevi makahawa 😂😂 napenda wllhy😅
😂 😂 😂 😂 😂 kumekucha james n mshangazi
Mshangazi nae kwa mideko.nawapendeni DONTA TV jamani ❤❤🎉🎉🎉
Fanyeni kazi tuna wapenda sana muna tupa mafunzo
Nimeikumbuka ile ya dada wa kazii vick alicheza vizr sanaa
Jaman huu mshangazi wa James unamidekooo duuh Yani nacheke peke yangu hapa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂james🙌🏻
On top Sana Wana Donta Tv ❤❤ kazi nzuri
♥️♥️♥️🔥🔥🔥
Library yangu wana kubali San mov zenu ndomana silali bando haliish nawawaza vibayaaa nipen like zang leooo
😂😂😂😂😂hulali😮😮😮
James umependeza sana bado iyo shanga ya kisukuma shingon
Nomaa
Hahaha shanga ya kisukuma tenaa😂
Nifikir nimeona peke yangu
Uyu bibi harusi mutarajiwa vip bona Ni Malaya sana jamaniii
Ni km mamayake tu
An hyu kelvin kazingua hapo
Pia nami nashangaa
like mother like daughter 😂
Ety sema suh uone😂😂😂😂
Mnazngua bhan 2cizo itaji mnaacha muendlezo fasta 2nazoitaji changamoto😢😢😢😢😢
❤❤❤Mtoto wa boss episode 41😂😂
Moses wewe nomaa sana aiseee hii balaa
The BEST love story nimisapoti kutokea Congodrc kalemie🔥🔥🔥
James naona umepata mshangazi 😁😁nawakubali sn
Mbona hamsemi jamani kumbe kun move mpya , nimekuwa wa mwisho leo . Dontatv ahsant sana ❤❤❤❤
Jaman tungekuwa tunawadaini hivo jamn so mgetukimbia Jem's wew noma🤣🤣🎉🎉🎉
😂😂😂ona ilo jicho la kelvin😂😂😂
I was just chilling then boom sugar mummy ndie mpenzi wa james😅😅😅😅
Jaman ushauli tu movie zenu zinakubilika sana Ili location yenu imekua moja movie zone nyumba iyo iyo badilikeni
❤ na wapenda sana nyie
Haaaaswaaaaaa hapo umenena
Uyu shangazi ameni shangaza sana eeeh
Nawapenda ❤❤❤❤
Tunaelekea kuzuri much love team Strong gongeni likes 5 Guys 😢😢 🔥 from 🇧🇮🇧🇮🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Asante
Kellv hongera ekuji u maon ya wat @@Dontatv255
Huyu linah ni shidaaa sana.
Jamani James na bibi 😅😅😅😅
Waa dada kamzmia kln
Nice work 🎉😢
Kiukweli mimi binafsi naipenda sana tena na sana kazi ya Kalvin,unajua unapo fanya kito fanya ukiwa unamanisha,sio unafanyafanya
Owa mwanang kunambi eeh naku appreciate knom unaigiz sf sem unanogexh movii knom
😂 😂 😂 😂 😂 sasa kev mbn unauliza jibu ww endelea kushusha mambo kazi yako sio mbaya
Ila shangazi anajua mpaka ananishinda😂😂😂😂😂😂
Kabisa yani kazidi
Hongereni sana Donta Tv kwa kufikisha 401k subscribers
Asante sana
Series hiyi kali kabisa
😂😂😂😂😂😂 hapo ni noma
Kelvin fupisha matangazo bhana❤
hahahaaaa😅 James acha zakoo ko unamaanisha wasichana wameishaa??
Ila huyo mama ake vick 😅😅😅😅😅😅duuh htr so kwa mideko hiyo
😂😂noma
kaz nzur vijana mnagusaualixia wamaixha
James unapendeza sab usipo suka minywele yako Ila umependeza san❤
Kabisaa
Atoe na vipuli apendeze zaidi
😂😂😂😂😂😂😂Jensi mbon wizo wetu ni bibi😂😂😂
😂😂😂😂😂😂uyu mpenzi wa james bana nimzee kumliko
😂😂😂😂😂 nyie watu mbona Leo James mpezi wake ni bibi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 anyway l love DOTA TV
😂😂😂😂😂mbavu zangu jameni
😂😂😂Wanaita sugarmumy
Jamani shangazi mzima ni kipenzi chake😁😁😁🙆🙆
Nikajua nimeona mm tu😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Jemsi kaamua kuwa Marioo mzee wa mishangaz
Iko pw endeeli
Woe kaz nzurii🥳 kam unamkubal kev nipen like🫣
❤❤❤❤❤❤
Nimeipenda hii jamani
Boss kamupenda mukaka wakazi jameni penzi haricaguwe❤❤❤
Kumbembeleza mwaume haha😂😂😂
Mmh James na mshangazi James utabemendwa ww😅😅
❤❤❤ nzul SN napenda seriues zénu film burundi❤
Naomben like zenu bas wapendwa 😂😂❤🎉🎉😢😢
Usijri kaka
Yan kwenye apo boss kamletea kelvn kahawa. Mmevocheka ad na mm nimecheka kiukwer
sema huyo mshangazii anazinguaaa
Unaempenda kampenda mwingne hyo mwingne nae ana mwingne😂😂😂😂 ndo hii sasa
Shangazi nae jamni haloo 😂😂😂❤
Mshangazi unadeka kuliko Mpenz wake😂😂😂😂😂
mshangazi😅😅😅😅
Eti kalvin makahawa 😂😂😂 noma sana
Mijitu isopendwa ndio iko romantic loh😂😂😂
James huwa hadisappoint kwenye scenes zake😂
James amepewa shugamommy😂😂🤣🤣🤣🙌
Sijapenda vick alivocheza ktk movie hiii
Nawakubal sana mko sawa pongez kwenu ila Kevin punguza upole kaka vp kuhus penzi la mtoto wa boss imeisha
Lina ww nifata pia nakukubali
Tunawapenda sana
Kama kua shungermummy ni hivi kumbe ni kazi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 dah mama mt2 mzima uyu mapenz ya ut2mwa uxipompa pesa akuna penz
Ahhh Kelvin makahawa
Kazi nzuri sana
Tunapo pendwa hatupaoni jma😢😢
Bona sioni part 1
HAYA JAMANI SERIES YETU MPYA HII WEKENI MAONI YENU HAPA TUENDELEE NAYO AU VIPI 🤔🥰?
Tuedeleeni kama Kawa na goma mtuwekee uko twazidai kelvin
Tuendelee Kelvin huna baya twakukubali kinoma ujuwe
Tukiona ikosawa tutakuambia
Tuendeleeni
upo vzuri kaka
Ukahaba iko ndani ya hii cinema waaaa😂 sawasawa lina na mamake kweli mtoto mleavyo ndivyo akuavyo
Kunambi anapenda umbeya umbeya sunaaa❤❤🥰🥰🇧🇮🇧🇮💯
🎉
🎉
🎉
Uo mshangazi wa James una mideko balaaaa😂😂😂😂😂
Uo ni mshangazi
James ameua sana , safiiii
Naipenda San donta tv kaka kelvin eka vipande vingi bhn❤
Hongereni movie nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉
Nachukia hii mijimama inayo lea hivi vidude vya mikia ya chini sana
Mosesi amependeza sana jameni hadi raha❤❤
Mshangazi nampenda buree Aisee 😂😂😂😂 kaigiza vizuri
Ni movie nzuri sana ❤❤❤❤
Unyama kaka naombeni nami mnisubscribe wa mwisho leo😂
Mbona tume subscribe kitambo
❤❤
Shangazi analea😂😂😂😂
Niko russia nikiamka asubuh nazimiss chapati na maharage
Nakpnd sna kevi
Ila boss wa kelvin ..... ameuaaaa yupo vyema
Tunaelekea kuzuri much love team Strong ngongeni likes 5 Guys 😢 🔥🇱🇷💪💪
Sawa
@@Dontatv255 kelvin naomba kufanya kazi nanyi
Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😊😊😊😊😊 ETI AH KEVI MAKAHAWAAAAAA
Kunambi unanibambanga sanaa😂😂😂😂😂😂😂
Mko vizurr sana hongereen wanadonta tv
Mshangazi una sauti tamu balaa❤
para bem 😍😍😍😍
James reo kapata mshangazi
Aaaah kwa james bebiii huyoo weeeh shangaziiiiii😂😂😂😂😂😂
Lina na mamake wako na tabia moja kwa kweli mototo umleavyo ndivyo akuavyo hii movie iko na mafunzo mno❤❤❤
Jem's naona upo na mshangazi😂😂😂😂🎉
Mwaelekea pazuri mwenyezi mungu awaifadhi
James umetisha na huyo baby wako mshangazi😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kevi makahawa 😂😂 napenda wllhy😅
😂 😂 😂 😂 😂 kumekucha james n mshangazi
Mshangazi nae kwa mideko.nawapendeni DONTA TV jamani ❤❤🎉🎉🎉
Fanyeni kazi tuna wapenda sana muna tupa mafunzo
Nimeikumbuka ile ya dada wa kazii vick alicheza vizr sanaa
Jaman huu mshangazi wa James unamidekooo duuh Yani nacheke peke yangu hapa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂james🙌🏻
On top Sana Wana Donta Tv ❤❤ kazi nzuri
♥️♥️♥️🔥🔥🔥
Library yangu wana kubali San mov zenu ndomana silali bando haliish nawawaza vibayaaa nipen like zang leooo
😂😂😂😂😂hulali😮😮😮
James umependeza sana bado iyo shanga ya kisukuma shingon
Nomaa
Hahaha shanga ya kisukuma tenaa😂
Nifikir nimeona peke yangu
Uyu bibi harusi mutarajiwa vip bona Ni Malaya sana jamaniii
Ni km mamayake tu
An hyu kelvin kazingua hapo
Pia nami nashangaa
like mother like daughter 😂
Ety sema suh uone😂😂😂😂
Mnazngua bhan 2cizo itaji mnaacha muendlezo fasta 2nazoitaji changamoto😢😢😢😢😢
❤❤❤Mtoto wa boss episode 41😂😂
Moses wewe nomaa sana aiseee hii balaa
The BEST love story nimisapoti kutokea Congodrc kalemie🔥🔥🔥
James naona umepata mshangazi 😁😁nawakubali sn
Mbona hamsemi jamani kumbe kun move mpya , nimekuwa wa mwisho leo . Dontatv ahsant sana ❤❤❤❤
Jaman tungekuwa tunawadaini hivo jamn so mgetukimbia Jem's wew noma🤣🤣🎉🎉🎉
😂😂😂ona ilo jicho la kelvin😂😂😂
I was just chilling then boom sugar mummy ndie mpenzi wa james😅😅😅😅
Jaman ushauli tu movie zenu zinakubilika sana Ili location yenu imekua moja movie zone nyumba iyo iyo badilikeni
❤ na wapenda sana nyie
Haaaaswaaaaaa hapo umenena
Uyu shangazi ameni shangaza sana eeeh
Nawapenda ❤❤❤❤
Tunaelekea kuzuri much love team Strong gongeni likes 5 Guys 😢😢 🔥 from 🇧🇮🇧🇮🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Asante
Kellv hongera ekuji u maon ya wat @@Dontatv255
Huyu linah ni shidaaa sana.
Jamani James na bibi 😅😅😅😅
Waa dada kamzmia kln
Nice work 🎉😢
Kiukweli mimi binafsi naipenda sana tena na sana kazi ya Kalvin,unajua unapo fanya kito fanya ukiwa unamanisha,sio unafanyafanya
Owa mwanang kunambi eeh naku appreciate knom unaigiz sf sem unanogexh movii knom
😂 😂 😂 😂 😂 sasa kev mbn unauliza jibu ww endelea kushusha mambo kazi yako sio mbaya
Ila shangazi anajua mpaka ananishinda😂😂😂😂😂😂
Kabisa yani kazidi
Hongereni sana Donta Tv kwa kufikisha 401k subscribers
Asante sana
Series hiyi kali kabisa
😂😂😂😂😂😂 hapo ni noma
Kelvin fupisha matangazo bhana❤
hahahaaaa😅 James acha zakoo ko unamaanisha wasichana wameishaa??
Ila huyo mama ake vick 😅😅😅😅😅😅duuh htr so kwa mideko hiyo
😂😂noma
kaz nzur vijana mnagusaualixia wamaixha
James unapendeza sab usipo suka minywele yako
Ila umependeza san❤
Kabisaa
Atoe na vipuli apendeze zaidi
😂😂😂😂😂😂😂Jensi mbon wizo wetu ni bibi😂😂😂
😂😂😂😂😂😂uyu mpenzi wa james bana nimzee kumliko
😂😂😂😂😂 nyie watu mbona Leo James mpezi wake ni bibi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 anyway l love DOTA TV
😂😂😂😂😂mbavu zangu jameni
😂😂😂Wanaita sugarmumy
Jamani shangazi mzima ni kipenzi chake😁😁😁🙆🙆
Nikajua nimeona mm tu😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Jemsi kaamua kuwa Marioo mzee wa mishangaz
Iko pw endeeli
Woe kaz nzurii🥳 kam unamkubal kev nipen like🫣
Asante
❤❤❤❤❤❤
Nimeipenda hii jamani
Boss kamupenda mukaka wakazi jameni penzi haricaguwe❤❤❤
Kumbembeleza mwaume haha😂😂😂
Mmh James na mshangazi James utabemendwa ww😅😅
❤❤❤ nzul SN napenda seriues zénu film burundi❤
Naomben like zenu bas wapendwa 😂😂❤🎉🎉😢😢
Usijri kaka
Yan kwenye apo boss kamletea kelvn kahawa. Mmevocheka ad na mm nimecheka kiukwer
sema huyo mshangazii anazinguaaa
Unaempenda kampenda mwingne hyo mwingne nae ana mwingne😂😂😂😂 ndo hii sasa
Shangazi nae jamni haloo 😂😂😂❤
Mshangazi unadeka kuliko Mpenz wake😂😂😂😂😂
mshangazi😅😅😅😅
Eti kalvin makahawa 😂😂😂 noma sana
Mijitu isopendwa ndio iko romantic loh😂😂😂
James huwa hadisappoint kwenye scenes zake😂
James amepewa shugamommy😂😂🤣🤣🤣🙌
Sijapenda vick alivocheza ktk movie hiii
Nawakubal sana mko sawa pongez kwenu ila Kevin punguza upole kaka vp kuhus penzi la mtoto wa boss imeisha
Lina ww nifata pia nakukubali
Tunawapenda sana
Kama kua shungermummy ni hivi kumbe ni kazi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 dah mama mt2 mzima uyu mapenz ya ut2mwa uxipompa pesa akuna penz
Ahhh Kelvin makahawa
Kazi nzuri sana
Tunapo pendwa hatupaoni jma😢😢
Bona sioni part 1