KAMISHNA TUME YA UCHANGUZI AFUNGUKA CHAKECHAKE IMEANZA UANDIKISHAJI VIZURI
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- KAMISHNA TUME YA UCHANGUZI AFUNGUKA CHAKECHAKE IMEANZA UANDIKISHAJI VIZURI #ugatvfurafayako #micheweni #makala #makala #kachara #kachara #bandar #bandar #kachara #kachara #makala #micheweni #mwinyi #mwinyi #mwinyi #elimu #elimu #elimu #elimu #ugatvfurafayako #ugatvfurafayako #ccm #ccm #ccm #ccm #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #ccm #ccm #ugatvfurafayako #ugatvfurafayako #live #live #live #micheweni #micheweni #makala #kachara #bandar #bandar #kachara #makala #makala #micheweni #bandar #zec
awadhi. tunakuamini. nawewe. na mungu atakusimamiya ishaalla kwani. hiyo siokazi yamchezo ni lawama. kubwa. ila mungu yupo ishaalla ❤
Allah atawalipa hapa hapa duniani kwa haya mmbo munayoendelea kufanya kwa watu wengine musisahau kama mnachofanya Allah haghwfiliki
Jamaani hatupati mawaidha kw wenzetu waliotangulia mbele ya haki walioyatenda duniani hapa ni mapito huko kuzito twendako tusikumbatieni dunia hii haitutaki kwli mungu anatosha haki ya mtu aisameheki
Awadh sema kweli mccm na tume hawana nia njema kabisa
We awash we usijivue heshima yako ni upuuzi mtupu unaoendelea huko pemba usitumike vibaya babu weye
Kwa nn vidole visisome huo sio ni uzembe
Mungu atawalp hapa hap dunian mkubwa mdog atawaon Kwa dhulm yenu
Mh sisi wa wilaya ya Micheweni tuliokaa kuandikishwa kwa ajili ya vitambulisho itakuwaje
Vidole havisomi je kitambulisho chake hakina picha ya muhusika ?
Kamishna Awadh vp unaziita kesi ndogondogo wakati watu wengi tayari wamekosa kuandikishwa according to ACT report so nani ni mkweli baada ya hiyo kauli yako ulioitoa?
Upuuzi mtupu
Mzeee mizima inafanya mambo ya kisenge ya kihuni hata aibu nyusoni mwao hawana washenzi kabisa 🤮🤮🤮🤮
Wapinzani hawana shinda ila hawa ccm wamelaaniwa
hatupayuki tunayaona yanayo tendeka. na ndio yamesemwa. yatafanyiwa ufubuzi. kama yunge kübalı siingekwa basi
Awadh ni kamishna wa tume ya uchaguzi aliepelekwa na chama Cha ACT WAZALENDO naona mumeanza kumlaani ni mtu wenu huyo mjue Hilo eh watu wanapayuka tuuuu
Nani kamlaani haaa limeulizwa suala zuri sana sio lana Hasbunallah Waniimal Wakiil
Ni mtu wa wazanzibari wote si wachama chochote kwenye maslahi ya nchi😎