KAMISHNA TUME YA UCHANGUZI AFUNGUKA CHAKECHAKE IMEANZA UANDIKISHAJI VIZURI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • KAMISHNA TUME YA UCHANGUZI AFUNGUKA CHAKECHAKE IMEANZA UANDIKISHAJI VIZURI #ugatvfurafayako #micheweni #makala #makala #kachara #kachara #bandar #bandar #kachara #kachara #makala #micheweni #mwinyi #mwinyi #mwinyi #elimu #elimu #elimu #elimu #ugatvfurafayako #ugatvfurafayako #ccm #ccm #ccm #ccm #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #actwazalendo #ccm #ccm #ugatvfurafayako #ugatvfurafayako #live #live #live #micheweni #micheweni #makala #kachara #bandar #bandar #kachara #makala #makala #micheweni #bandar #zec

КОМЕНТАРІ • 17

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 День тому +2

    awadhi. tunakuamini. nawewe. na mungu atakusimamiya ishaalla kwani. hiyo siokazi yamchezo ni lawama. kubwa. ila mungu yupo ishaalla ❤

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch День тому +1

    Allah atawalipa hapa hapa duniani kwa haya mmbo munayoendelea kufanya kwa watu wengine musisahau kama mnachofanya Allah haghwfiliki

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid День тому +1

    Jamaani hatupati mawaidha kw wenzetu waliotangulia mbele ya haki walioyatenda duniani hapa ni mapito huko kuzito twendako tusikumbatieni dunia hii haitutaki kwli mungu anatosha haki ya mtu aisameheki

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 22 години тому

    Awadh sema kweli mccm na tume hawana nia njema kabisa

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 День тому +3

    We awash we usijivue heshima yako ni upuuzi mtupu unaoendelea huko pemba usitumike vibaya babu weye

  • @Freeedom-e4h
    @Freeedom-e4h День тому +3

    Kwa nn vidole visisome huo sio ni uzembe

  • @ZuleikhaMohd
    @ZuleikhaMohd День тому +1

    Mungu atawalp hapa hap dunian mkubwa mdog atawaon Kwa dhulm yenu

  • @KhalfanAbdalla-x7u
    @KhalfanAbdalla-x7u День тому

    Mh sisi wa wilaya ya Micheweni tuliokaa kuandikishwa kwa ajili ya vitambulisho itakuwaje

  • @muhamadsalim5295
    @muhamadsalim5295 20 годин тому

    Vidole havisomi je kitambulisho chake hakina picha ya muhusika ?

  • @HajiMohammed-w2w
    @HajiMohammed-w2w День тому +3

    Kamishna Awadh vp unaziita kesi ndogondogo wakati watu wengi tayari wamekosa kuandikishwa according to ACT report so nani ni mkweli baada ya hiyo kauli yako ulioitoa?

  • @salyali7807
    @salyali7807 День тому +1

    Upuuzi mtupu

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch День тому +1

    Mzeee mizima inafanya mambo ya kisenge ya kihuni hata aibu nyusoni mwao hawana washenzi kabisa 🤮🤮🤮🤮

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx День тому

    Wapinzani hawana shinda ila hawa ccm wamelaaniwa

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 День тому

    hatupayuki tunayaona yanayo tendeka. na ndio yamesemwa. yatafanyiwa ufubuzi. kama yunge kübalı siingekwa basi

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 День тому +1

    Awadh ni kamishna wa tume ya uchaguzi aliepelekwa na chama Cha ACT WAZALENDO naona mumeanza kumlaani ni mtu wenu huyo mjue Hilo eh watu wanapayuka tuuuu

    • @w4058
      @w4058 День тому +1

      Nani kamlaani haaa limeulizwa suala zuri sana sio lana Hasbunallah Waniimal Wakiil

    • @DuuSaid
      @DuuSaid 9 годин тому

      Ni mtu wa wazanzibari wote si wachama chochote kwenye maslahi ya nchi😎