Irene Uwoya avuruga mkutano baada ya kumwaga pesa mbele ya waandishi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 91

  • @clauschristopher4478
    @clauschristopher4478 5 років тому +10

    nitaendelea kuangalia series zang za mambele tu mwanzo mwishooo

  • @alexmwita5426
    @alexmwita5426 5 років тому +4

    vurugu hili limeonyesha hali halisi ya maisha ya watanzania kwamba ni ngumu 😁😁

  • @dismassswai6760
    @dismassswai6760 5 років тому +7

    kuongea tu na waandishi wa habar mnakosea na kuvuruga mipango,,hizo movie sijui itakuaje

  • @user-tw9wu2gz4g
    @user-tw9wu2gz4g 4 місяці тому

    Waandisha njaa Kali aiseeeee.

  • @hamadshen7696
    @hamadshen7696 5 років тому +6

    Duu,waandishi njaa zao zmefungwa turbo.

  • @limolimo4701
    @limolimo4701 5 років тому +4

    ukiwa nahela unakua na nyege hivyo jee ukiwa nanyege zenyewe sasa ndio mana filamu zenu zinaangaliwa na hausigeli 2

  • @herielndosi9460
    @herielndosi9460 5 років тому +5

    Shame on her. No matter how rich you are, Don't split money like that.

  • @kwizerazainabu3804
    @kwizerazainabu3804 5 років тому

    Mashaallah Allah awawekey wepes

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 5 років тому +7

    Kamera tupa okota pesa😂😂, hakuna cha kukosea waandishi mmeokota pesa afu mnaanza kulaumu, c mngeacha zizagae akimaliza kuzirusha nanyi ndio muokote.😅😅😅wabongo bwana

  • @najmasalimsalim2741
    @najmasalimsalim2741 5 років тому +4

    Uwoya misifa tu nahana hata nyumba nanyi bongo movie mutafute mwalimu wakuwafunza nidhamu

  • @bupemwaijumbaambokile6839
    @bupemwaijumbaambokile6839 5 років тому +1

    Yani zamani nilikupendaga sana woya😍.
    Lakin ckuhizi sikupendi kama vyenye cpendi aja kubwa ya mtu mwingine😥😥😥😥pumbavu😩😩😩

    • @edwardsichilengwe2330
      @edwardsichilengwe2330 5 років тому +2

      Bupe mwaijumba Ambokile kwasababu kakunyima hela kawapa waandishi, acha roho mbaya tumwache papa Uwoya amwage noti

    • @bupemwaijumbaambokile6839
      @bupemwaijumbaambokile6839 5 років тому

      edward sichilengwe
      Hahahaaaa sooo hivo.apana yani amezidi kubaka watoto woya

  • @hamadiayossy190
    @hamadiayossy190 Рік тому

    Huyo mwingine anachooonga kisa kakosa ela,angepata hapo wala asingechonga,

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 років тому

    ona iii..anafuta zero anaandika O..wacha nione maneni ya kwambiwa episode 150

  • @victorsir-nga7708
    @victorsir-nga7708 5 років тому +2

    waandishi wa online wananjaaa sana ndo maana makanjanja wengi sana😂😂😂😂

  • @prettyveronica5951
    @prettyveronica5951 5 років тому

    Njaa mbayaa

  • @namangamariam2629
    @namangamariam2629 5 років тому +1

    Nini mnapaniku sasa mmepewa pesa mnanuna angewatukana jee

  • @rosealoyce9143
    @rosealoyce9143 5 років тому

    Kweli maisha magumu sana aisee

  • @deusmallya7384
    @deusmallya7384 5 років тому +1

    Movie zenu mpaka zikubalike ni mwaka 1.4.9000

  • @idrissajumakona5871
    @idrissajumakona5871 5 років тому +1

    mumejizalilisha wenyewe😛😛😛😝😝😜😜

  • @elizabethdavid2270
    @elizabethdavid2270 5 років тому +1

    Irene kiboko hali ngumu etii hahahahahah

  • @idrissajumakona5871
    @idrissajumakona5871 5 років тому +2

    Ackuzalilisheni vp...c mungeziwacha....hamna lolote

  • @lilyanmongi1946
    @lilyanmongi1946 5 років тому +1

    Jamani ni macho yangu au? Kawadhalilisha vp na wandashi wenyewe wameacha kazi na kukimbilia kuokota hela?

  • @alexsnama9450
    @alexsnama9450 5 років тому +1

    Mutangaza abari nakuomba unisaidie kufikisha ujumbe wangu niombeye nina talent nxuri ya kucheza movis nakuomba kama kigosi atanisikia munitafute 968 98560781 nipo muscat lakini mimi muburundi

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 5 років тому +1

    na kikao kimeishia hapo na uwenyekiti sijui ubalozi hamna tena. Maana kama kaharibu kikao cha kuitangaza ataweza kweli kuwa kiongozi hahahaha. Bongo kazi ipo

  • @edwardsichilengwe2330
    @edwardsichilengwe2330 5 років тому +1

    yuda mwnyw alimsaliti mwana wa adam kwa hivyo vipande vya msimbazi, sembuse hao wadaku 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬

  • @j...876
    @j...876 5 років тому +1

    Kosa Hilo kweli, akuna pesa hapo!!

  • @husnangapu502
    @husnangapu502 5 років тому +1

    Zamani kwny kaole kulikuwa na wazee wa nidham kina Bi mwenda lkn siku hizi mmmm

  • @frankdaniel9813
    @frankdaniel9813 5 років тому +1

    Apo kuna jitu limekusanya ata 40

  • @jafarimzelu1626
    @jafarimzelu1626 5 років тому

    Waaaandishiiii njaaaa aooooooooooooooooo

  • @biashaallyally3701
    @biashaallyally3701 5 років тому +1

    Ndo mashariti yake atafanyaje jamani mwacheni hii ni ndunia tu amakweli hela shikamooooooo

  • @mustafagaula3166
    @mustafagaula3166 5 років тому +1

    Steve Nyerere, hiyo mtu wako mkanye.........! Tunakuamini na tunakuelewa mzee. Lkn kwa hili huyo dada yako kakuvunjia heshima.

  • @opiumtaavi4966
    @opiumtaavi4966 5 років тому

    bongo amna mastar kunawapenda sifa na mandez ndio maana hamna movie ya kibongo Egypt wala South Africa

    • @MsemajiMkuuwaSerikali
      @MsemajiMkuuwaSerikali 5 років тому +1

      Kwanza Bongo hakuna mastaa ila wapo Celebrities,nani unaweza kumuweka kwenye level za akina Denzel Washinton,Jack Chan,Jet Lee,Jason Straham na wengine kama hao?..wana mashauzi yasiyo kuwa na tija,hawana stori kazi yao kuiga na kukopi stori za wengine...mimi sijawahi na sitakuja kuangalia hizo wanazodai movie hioz ni video tu.

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 5 років тому +1

    Ombeni haya mambo yasiwakute jamani!muyaonege tu humuhumi!

  • @kwizerazainabu3804
    @kwizerazainabu3804 5 років тому

    😀😀😀😀😀irene

  • @silvabelmsuya7041
    @silvabelmsuya7041 5 років тому

    Waandishi wameonesha njaa hapo, so sad

  • @victorsir-nga7708
    @victorsir-nga7708 5 років тому

    1:01 ka-stive kanamambo ya kizushi 😁😁😁😁😁😁😁

  • @onlinemovie8580
    @onlinemovie8580 5 років тому +3

    Elfukumi inakufanya unaharibu kitu cha million tano kinacho fanya ulipwe kwa mwezi laki tano..ulishe familia Tz wht f**ckk

    • @jp1780
      @jp1780 5 років тому

      boe_bryn tv ndo tabia zetu hizo sisi wa africa inabidi tubadilike

  • @mwigakatumpula2175
    @mwigakatumpula2175 5 років тому

    Pesa isikie tu yaani waandishi wa habari wamegeuzwa machokolaaa!!! Kwa kurushiwa pesa duh money power!

    • @MsemajiMkuuwaSerikali
      @MsemajiMkuuwaSerikali 5 років тому +1

      broo hapo hakuna waandishi wa habari pale kulikuwa na cheap Labour wa wamiliki wa Blogs na other Social Media,waandishi wa habari wako kwenye Tradition Media,huko ndiyo wako wenye abc za uandishi wa habari wameenda shule na mpka kuna PHD za taaluma hiyo.katika kundi hilo naamini hakuna hata mwenye Diploma ya Journalism,hapo ni suala la vipaji kufuatia teknolojia ambayo sasa kila mtu ni mwandishi wa habari (Citizen Journalism),hakuna Editorial,hakuna Ethics hakuna News Pillar..ujinga kabisaa.

    • @mwigakatumpula2175
      @mwigakatumpula2175 5 років тому

      @@MsemajiMkuuwaSerikali hiyo kweli maana kwa MTU aliepitia taaluma ya uandishi hawezi Fanya ivyo lkn nafikili tyr itakuwa fundisho kwa wamiliki wa hizo blogs kuajili watu wenye uweredi mzuri ,pamoja sana kiongozi!!

  • @hafidhchoi3186
    @hafidhchoi3186 5 років тому

    Ulimbukeni Wa vicent uwez kuwatupia watu Pesa kiungwana kw mwenye kuelewa maisha

    • @bonitatembonitate257
      @bonitatembonitate257 5 років тому

      Yaan kuna kitu najiuliza cjapata majibu,hivi hapo mkoxefu aliyetupa pesa au waokotaji?

  • @drchinamodi6373
    @drchinamodi6373 5 років тому

    hahahahahhaahhahaha daaaah uwoya banaaaaa

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 років тому

    Njaaa mbaya jamani daah!! Bora yako cameraman uliekomaa kurekodi wenzako wakijidhalilisha

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 5 років тому +2

    Pesa zote hizo pengne hata mfanya kaz wako wandan unampa 20000. Lakin huku kwenye kamera unajifanya una hela

  • @hassanjuma2688
    @hassanjuma2688 5 років тому

    TANZANIA KUNA NINI AWAMU HII..EVERYDAY STUPID THINGS LIKE THIS

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 5 років тому

    Pesa mwena Haramu jamani duuuuuuuu

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 років тому

    Hii ni kali wadishi wa habari wanagombania pesa? Jamani pesa ni sabuni ya roho. Lakini woya kafanya vibaya Angetoa kwa kila mmoja , siyo kumwanga kama mchele. Duu woya

  • @allykhatibu2359
    @allykhatibu2359 5 років тому

    Mh waandishi njaa.

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 5 років тому

    Tukuone unapesa acha sifa Dada

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 5 років тому

    Pesa ni ishu nyingine mjue

  • @ashuramiriam6034
    @ashuramiriam6034 5 років тому

    Njaa mbaya

  • @naimanurdin2846
    @naimanurdin2846 5 років тому

    😂😂😂😂Iyo ndo pesa dadekii

  • @sophiajackson5001
    @sophiajackson5001 5 років тому

    shame on you waandishi wa habari yaani unathamini elf 10 kuliko kifaa ulichokishika cha gharama utafikiri hamjawahi kushika elf 10...mbonanajidharirisha nyie wanadnish?sidhani kama wangekuwa waandishi wa habari wakubwa tunaowajua wangefanya hivi......nawewe mwanamke mtupa pesa life haipo hivyo hata kama una pesa kiasi gani.....iga mgano dokta Mengi alivyokuwa MTU wa kujishusha.....bora upate akili kuliko mali

  • @abc-en3em
    @abc-en3em 5 років тому

    Aiseee 😂

  • @rehemasaid6876
    @rehemasaid6876 5 років тому

    Tujipange kuona mnavaa uchi na si vinginevyo yaan kama ndo nishawaona vile

    • @yodenntulo8798
      @yodenntulo8798 5 років тому

      Waandishi wameambiwa wavae suti na wenyewe watavaa nusu uchi vilevile,au uchi kabisa?

  • @josephsebastian9211
    @josephsebastian9211 5 років тому

    Sasa muzimu unavuta sigara boLa masela

  • @estarwakidunda6817
    @estarwakidunda6817 5 років тому

    Uzalendo kwanza

  • @drchinamodi6373
    @drchinamodi6373 5 років тому

    stive uko makini kakaaa hahahahha

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 5 років тому

    Wapuzi wotee

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 5 років тому

    Wivu tu Ameamua kutoa,,😁😁😁😁hela bwana😁😁😁mamae

  • @jafarimzelu1626
    @jafarimzelu1626 5 років тому

    WAAAANDISHII NJAAAA AOOOOOOO MNAJITIA AIBU JAMANI KAMA AMULIPW MH

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 5 років тому

    Kwenyepesa ataniwemimi naokota

  • @meshackalex124
    @meshackalex124 5 років тому

    Ilo jamaa senge kweli eti unatuzalilisha chezea pesa we we kama utakia acha wenzako wanaokota😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aishaabdallah5721
    @aishaabdallah5721 5 років тому

    She's supposed to be burned from acting

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange1370 5 років тому

    Hahahahaha

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 5 років тому

    These wrong my.sister you don't have money me be hundreds dollars

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 5 років тому

    Nduguzagu naoba.m.sanda.wenu.ile.pesa.nyiekudu.ni.shiligi.gapi.siko.Tanzania miaka.ishirini.sasa.a.m. see.red.money how's much for dollars

    • @fainnamvungi4364
      @fainnamvungi4364 5 років тому

      elfu 10

    • @khamisjuma4691
      @khamisjuma4691 5 років тому

      @@fainnamvungi4364 okay five dollars USA naku.shukuru.nduguyagu.pesa i.na.ua

    • @fainnamvungi4364
      @fainnamvungi4364 5 років тому

      @@khamisjuma4691 hahahha kwel kaka nawe ufanye urud miaka yote hiyo kama unatumikia kifungo rud home uone kulivyo kimbia

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 5 років тому +1

    Johariiiii mume muona lakini

    • @bonitatembonitate257
      @bonitatembonitate257 5 років тому

      Mimi nimekuona tena yupo karibu kabixa hapo na mkemwenzie chuchu