Mziki mzuri suruali zimekaza viunoni,Dunia ya kizazi ilichojitambua Mungu awarehem wengi wao hatunao tena duniani,wametuachia hazina kubwa ya muziki wenye mashairi safi,Hamisi Dale USA
Hii nyimbo mtunzi ni ilunga banza mchafu nikama alimtunga baba yangu tulikua tukiishi nyumba moja mtaa wa mikumi.. Jina alilotumia la arafa ni la mama yangu wa kambo alikua anaishi na baba na hiyo watoto wanne tulikua wanne sisi watoto mimi na wenzangu wawili baba yetu alikua huyo aliyemfumbia kwa Jina la maburuki alafu mama yetu wa kambo alikuja na mtoto mengine ambaye akuzaa na baba yetu na pale nyumbani tulikua kweli tumepanga
wimbo mzuri , ujumbe bado una nguvu ktk dunia yetu ya leo, ingawa wimbo una miaka mingi, ahsante kwa kazi nzuri bro, huu ni urithi wetu acha hizi nyimbo za nailon za bongoflavam unatungwa leo kesho umeyayuka
Da poleni sana, pole na mimi pia sababu mi mpenzi mkubwa wa Tumba,dada Grece, Dekula2 kahanga na wana maquis du zaire. lakini kazi kweli ni nzuri imefanyika.
Though by that time nilikuwa sihudhurii kumbi za dansi kwa kigezo cha umri ,bado hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana mkuu,nakumbuka baba yangu mdogo(now retiree army man) na Shangazi Zahra(R.I.P) alikuwa akija kutoka zenji kufata hizi mambo almost kila mwisho wa mwezi
@Grace nakumbuka marehemu Mjomba wako Sid Moris Marquis walimtoa Msondo kisha ilipokuja kuanzishwa bendi ya The Mk Group akaamia huko Ngoma za maghorofani
Enzi hizo kule kwetu kusini mwa Pwani ya Kenya radio zote stesheni ilikuwa RTD na Idhaa ya Biashara tu.Miziki ni kama hii kwenye vipindi kama vile -wakati wa kazi,mchana mwema,jioni njema,mziki ni upendao,club raha leo,kipindi cha majani chai cha idhaa ya biashara,.......Watangazaji mahiri kama vile uncle J Nyaisanga,Khalid Ponera,Samadu Hassan,Sarah Dumba .......bado wapo kweli?
Mziki mzuri suruali zimekaza viunoni,Dunia ya kizazi ilichojitambua Mungu awarehem wengi wao hatunao tena duniani,wametuachia hazina kubwa ya muziki wenye mashairi safi,Hamisi Dale USA
Hii nyimbo mtunzi ni ilunga banza mchafu nikama alimtunga baba yangu tulikua tukiishi nyumba moja mtaa wa mikumi.. Jina alilotumia la arafa ni la mama yangu wa kambo alikua anaishi na baba na hiyo watoto wanne tulikua wanne sisi watoto mimi na wenzangu wawili baba yetu alikua huyo aliyemfumbia kwa Jina la maburuki alafu mama yetu wa kambo alikuja na mtoto mengine ambaye akuzaa na baba yetu na pale nyumbani tulikua kweli tumepanga
sasa unambishia Vumbi yaan we bana
Hatar sana polen sana
Duh aisee. mziki unaweza kukupeleka kumbukumbu za mbali sana
Wow, nami najiona kama Mabruki wa Dar. Mwaita hope umetokezea
Tumba ilipigwa na Siddy Mori🪘🪘
wimbo mzuri , ujumbe bado una nguvu ktk dunia yetu ya leo, ingawa wimbo una miaka mingi, ahsante kwa kazi nzuri bro, huu ni urithi wetu acha hizi nyimbo za nailon za bongoflavam unatungwa leo kesho umeyayuka
That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell the Song Mabruki is saying🙏
@datch mkally That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell me what the Song Mabruki is saying🙏
Nakumbuka mwaka 1987 mwezi June siku nimefika nyumbani likizo ya muhura wa kwanza F1 Kantalamba nilipokelewa vizuri sana na baba nazi r.i.p
Dah hiyo likizo ya f1,,,umenikumbusha nami likizo ya f1 kigonsera sec 1993,, baba alinihusia sana,,,RIP mzee mwl mpanji
maburuki miaka 10 ya kazi hata msingi huna hatari kwa family, hili kweli selebuka chekecha rumba limetulia
Da poleni sana, pole na mimi pia sababu mi mpenzi mkubwa wa Tumba,dada Grece, Dekula2 kahanga na wana maquis du zaire. lakini kazi kweli ni nzuri imefanyika.
Nyimbo nzr sana
I can hear the voice of Kasongo Mpinda Clyton, big up Dekula
Sidi Moris R.I.P ni habari ingine ati
Though by that time nilikuwa sihudhurii kumbi za dansi kwa kigezo cha umri ,bado hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana mkuu,nakumbuka baba yangu mdogo(now retiree army man) na Shangazi Zahra(R.I.P) alikuwa akija kutoka zenji kufata hizi mambo almost kila mwisho wa mwezi
Safi sana Hawa jamaa walikuwa ni shida ya mjini jama i
Nazikia hizo Tumba zilipigwa na mjomba wangu marehemu Siddy Moris.
ooo pole sana kumpoteza mjomba wako hua mimi nachanganyikiwa na hizo tuma
nikweli Morris six ndo aligonga hizo thumba
Namkumbuka sana mjomba wako Morris sid kwenye rumba alikuwa vzr
Nikweli siddy Morris alikuwa fundi kweli na hapa naitikia mikito ya Tumba
Kwenye saxophone namuona king maluuu
Mafunzo tosha.
Grace huyu mjomba wako bado yupo hai? kama yupo mpe hongera kwa kazi nzuri,
@@Dekula2 kwa kweli kaka Dekula kazi mlifanya yani mnastahiri pongezi zote bila kupepesa Macho. Dekula mola akupe maisha marefu..
Alisha tangulia mbele ya haki
Alisha tangulia mbele ya haki
@Grace nakumbuka marehemu Mjomba wako Sid Moris Marquis walimtoa Msondo kisha ilipokuja kuanzishwa bendi ya The Mk Group akaamia huko Ngoma za maghorofani
Thumba ilipigwa na sid mpaka raha
Asante kwa hizi Nyimbo za mawaida.
Enzi hizo kule kwetu kusini mwa Pwani ya Kenya radio zote stesheni ilikuwa RTD na Idhaa ya Biashara tu.Miziki ni kama hii kwenye vipindi kama vile -wakati wa kazi,mchana mwema,jioni njema,mziki ni upendao,club raha leo,kipindi cha majani chai cha idhaa ya biashara,.......Watangazaji mahiri kama vile uncle J Nyaisanga,Khalid Ponera,Samadu Hassan,Sarah Dumba .......bado wapo kweli?
john mundo kumbe Samadu Hassani ni mkongwe?
Hata Mimi nilikuwa napenda vipindi hivyo via RTD
Nilikuwa napenda hivyo vipindi vikiletwa na hao watangazachi
john mundo - Uncle J alishatangulia mbele ya haki
Nilikuwa nasemaga Jina la Arafa halijawahi tumika kwanyimbo 😂😂😂😂
🎉
Hivi nani anamiliki masters za hawa waheshimiwa?Nani ana mamlaka ya publishing?