Mabruki by Maquis Original

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2024
  • Mabruki was composed by the Bass player Banza Mchafu (R.I.P)

КОМЕНТАРІ • 41

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 3 роки тому +2

    Mziki mzuri suruali zimekaza viunoni,Dunia ya kizazi ilichojitambua Mungu awarehem wengi wao hatunao tena duniani,wametuachia hazina kubwa ya muziki wenye mashairi safi,Hamisi Dale USA

  • @mwaitamlanga1485
    @mwaitamlanga1485 7 років тому +11

    Hii nyimbo mtunzi ni ilunga banza mchafu nikama alimtunga baba yangu tulikua tukiishi nyumba moja mtaa wa mikumi.. Jina alilotumia la arafa ni la mama yangu wa kambo alikua anaishi na baba na hiyo watoto wanne tulikua wanne sisi watoto mimi na wenzangu wawili baba yetu alikua huyo aliyemfumbia kwa Jina la maburuki alafu mama yetu wa kambo alikuja na mtoto mengine ambaye akuzaa na baba yetu na pale nyumbani tulikua kweli tumepanga

    • @mapimwankemwa6778
      @mapimwankemwa6778 6 років тому

      sasa unambishia Vumbi yaan we bana

    • @bintiiddy7043
      @bintiiddy7043 5 років тому +1

      Hatar sana polen sana

    • @user-sp2fm4qd2h
      @user-sp2fm4qd2h Рік тому +1

      Duh aisee. mziki unaweza kukupeleka kumbukumbu za mbali sana

    • @mpunga40
      @mpunga40 Рік тому +1

      Wow, nami najiona kama Mabruki wa Dar. Mwaita hope umetokezea

  • @patricksagai7093
    @patricksagai7093 Рік тому +1

    Tumba ilipigwa na Siddy Mori🪘🪘

  • @MrSinafungu
    @MrSinafungu 14 років тому +3

    wimbo mzuri , ujumbe bado una nguvu ktk dunia yetu ya leo, ingawa wimbo una miaka mingi, ahsante kwa kazi nzuri bro, huu ni urithi wetu acha hizi nyimbo za nailon za bongoflavam unatungwa leo kesho umeyayuka

    • @msponab
      @msponab 2 роки тому +1

      That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell the Song Mabruki is saying🙏

    • @msponab
      @msponab 2 роки тому +1

      @datch mkally That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell me what the Song Mabruki is saying🙏

  • @isayamazani22
    @isayamazani22 3 роки тому

    Nakumbuka mwaka 1987 mwezi June siku nimefika nyumbani likizo ya muhura wa kwanza F1 Kantalamba nilipokelewa vizuri sana na baba nazi r.i.p

    • @christophermpanji2961
      @christophermpanji2961 Рік тому

      Dah hiyo likizo ya f1,,,umenikumbusha nami likizo ya f1 kigonsera sec 1993,, baba alinihusia sana,,,RIP mzee mwl mpanji

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 10 років тому +3

    maburuki miaka 10 ya kazi hata msingi huna hatari kwa family, hili kweli selebuka chekecha rumba limetulia

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 8 років тому +2

    Da poleni sana, pole na mimi pia sababu mi mpenzi mkubwa wa Tumba,dada Grece, Dekula2 kahanga na wana maquis du zaire. lakini kazi kweli ni nzuri imefanyika.

  • @bensonmero8919
    @bensonmero8919 10 місяців тому

    Nyimbo nzr sana

  • @bcamerounne
    @bcamerounne 12 років тому +3

    I can hear the voice of Kasongo Mpinda Clyton, big up Dekula

  • @mbujifrancis5860
    @mbujifrancis5860 6 років тому +2

    Sidi Moris R.I.P ni habari ingine ati

  • @pambasr2345
    @pambasr2345 10 років тому +1

    Though by that time nilikuwa sihudhurii kumbi za dansi kwa kigezo cha umri ,bado hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana mkuu,nakumbuka baba yangu mdogo(now retiree army man) na Shangazi Zahra(R.I.P) alikuwa akija kutoka zenji kufata hizi mambo almost kila mwisho wa mwezi

  • @THEGSMGSM
    @THEGSMGSM 10 років тому +3

    Nazikia hizo Tumba zilipigwa na mjomba wangu marehemu Siddy Moris.

    • @victormkongewa235
      @victormkongewa235 10 років тому

      ooo pole sana kumpoteza mjomba wako hua mimi nachanganyikiwa na hizo tuma

    • @PatricksagaiSagai
      @PatricksagaiSagai 8 років тому

      nikweli Morris six ndo aligonga hizo thumba

    • @PatricksagaiSagai
      @PatricksagaiSagai 8 років тому

      Namkumbuka sana mjomba wako Morris sid kwenye rumba alikuwa vzr

    • @patricksagai7093
      @patricksagai7093 2 роки тому

      Nikweli siddy Morris alikuwa fundi kweli na hapa naitikia mikito ya Tumba

  • @kudramasoud2694
    @kudramasoud2694 7 років тому

    Kwenye saxophone namuona king maluuu

  • @michaellimu2332
    @michaellimu2332 5 років тому +1

    Mafunzo tosha.

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 10 років тому +1

    Grace huyu mjomba wako bado yupo hai? kama yupo mpe hongera kwa kazi nzuri,

    • @twahamtumbi7823
      @twahamtumbi7823 3 роки тому

      @@Dekula2 kwa kweli kaka Dekula kazi mlifanya yani mnastahiri pongezi zote bila kupepesa Macho. Dekula mola akupe maisha marefu..

    • @patricksagai7093
      @patricksagai7093 2 роки тому

      Alisha tangulia mbele ya haki

    • @patricksagai7093
      @patricksagai7093 2 роки тому

      Alisha tangulia mbele ya haki

  • @senatormwinyi9065
    @senatormwinyi9065 8 років тому +2

    @Grace nakumbuka marehemu Mjomba wako Sid Moris Marquis walimtoa Msondo kisha ilipokuja kuanzishwa bendi ya The Mk Group akaamia huko Ngoma za maghorofani

  • @gilbertmasaki2965
    @gilbertmasaki2965 6 років тому

    Asante kwa hizi Nyimbo za mawaida.

  • @johnmundo816
    @johnmundo816 11 років тому +4

    Enzi hizo kule kwetu kusini mwa Pwani ya Kenya radio zote stesheni ilikuwa RTD na Idhaa ya Biashara tu.Miziki ni kama hii kwenye vipindi kama vile -wakati wa kazi,mchana mwema,jioni njema,mziki ni upendao,club raha leo,kipindi cha majani chai cha idhaa ya biashara,.......Watangazaji mahiri kama vile uncle J Nyaisanga,Khalid Ponera,Samadu Hassan,Sarah Dumba .......bado wapo kweli?

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 5 років тому

    Nilikuwa nasemaga Jina la Arafa halijawahi tumika kwanyimbo 😂😂😂😂

  • @patricksagai7093
    @patricksagai7093 Рік тому

    🎉

  • @yusuphmligiliche8353
    @yusuphmligiliche8353 5 років тому

    Hivi nani anamiliki masters za hawa waheshimiwa?Nani ana mamlaka ya publishing?