Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Yaani wooiiii oiiii!! Ndo msemo wangu siku hizi.... Much love❤
🤣🤣🤣🤣
Woiiiiiiii woiiiiiiiiii😂😂😂😂
Safi sana,,, tulitamani sana kumuona mnakilishaji wa sauti ya Kazim😃👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Jamaaa kauwa yani tamthilia bila uyu mimi nakuaga kinyonge sana yn
Kauwasana
😂😂😂
Daah!!! Nimefurahi kumuona mwenye hyo sauti, aisee umejua kutufurahisha 🌼🌼🌼🌼
Huyu si NI WA Jambo na vijambo
😂😂eee
Hongera kaka hyo sauti ya kazim Aga Sio rahisi
Hongera kwa kazi nzuri 🎉
Huyu ndo mwenye sini ngumu na ya kuvutia kuliko wote.
Huyu alipwe pesa ndefu maana tamthilia kaipa hadhi.
Yan mm naangaliaga kwaajil y kazim na farit😂
Jamaa anajua
Hand Sam kichogo , chongo ndingoo, mlembo mzeee , kengeee weee, aiseee umetishaaa aaaaa mkuuu
Hakika anajua zaidi ya kujua 🌹
Big Up watu tunaifuatilia kufata sauti hiyo tu
Jama anajua sana kweli ongera baba
Nilikuw nataman kumjua aliyeigiza sait ya kazim bee hatimae nimemjua honger kwako
Imetosha Sana hongera😊
Big Up 👊👊
Amenogesha sana tamthilia aisee
Oii oiii nyumbani na wapangaj wenzangu ndo msemo wetu kifupi ndo tunaongea kikazim aghaaaaa woiiiiii❤
Hongera kaka,ubarikiwe.
❤❤ respect I lov it
A😅😂 ahaha aha jamn me nakupenda Bure Yan kwel me uyo Mzee ndo anae nivutia kutizama mana lazima nicheke kwakwel ..hongera sana
Mzome wa mzome unajua,ulipwe Hela nyingi
Noma sanaaaa😂😂😂
Mmmmh eeeh 😅😅😅 yani umetisha mimi nimtu wakwanza nikiangalia dolden boy haswa napenda upande wa hagaa mbwembwe zake haki unaweza hadi raah mungu akujalie kabisa
Aliua kwenye saut ya kibaraka wa hurrem kwenye sultan ila na humu kaua
Umeona ee
❤
Oh alkuaga sumbra 😂😂😂😂
sumburaaa
Hongera sana
hongera Sana
Woiiiiwoiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera kaka umetisha jamaniiii
Yaani hii sauti nilikuwa natafuta ni nani kumbe ni wewe. Yaani nachekaga mpaka nalia hii sauti. Hongera sana sana
Kareem wa desire .
Hahahahahaha nampemdaa jamanii kazim bila huyu sijisikii rahaaa
Anaweza sana,saluti kwake
❤❤❤❤❤ndie alienifanya niipende na kuifatilia gold boy😂😂😂😂
Umetisha Kaka umeipa hadhi tamthilia hii inapendwa na wengi
Hongera bhn
Mbarikiwe Ndugu Zangu Bongo Touch 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kaka unatufurahisha sana , duh tamthilia bila huyu jamaa bado haijawa nmzuri bado
Pale kweny sumbula aliua noma sana
Mwanagu nimekukubali sana namkubali sana huyu mwamba 😅🎉😂
Umetisha ❤
Katishaa sanaaa😊
❤❤❤❤
Kaka unatufurahisha mmno😊 'we kuweza'
Kaka mkubwa mpe sifa mungu nashukuru kwa kitu kikubwa
Wou nimependa uko vizuri.
Mm angalia kwaajili ya kasm aga
Kwenye sultan pia sungura
Kazimu akulipe bwana unemtambulisha sana huku bongo kwetu 😂
Jaman mzome😂😂😂😂
Nampenda ila kuna wakati lazima avuruge. Ila yuko vizuri sana
Agaaa kichogo ndio mjukuu wako woii wooi😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i lov him
Waooow
🤣😂😂😅😁 Yaani ww Mbavu zangu unazivunja siku zote ila ww ndo umeipendezeaha ile kazi
Natamani nimjue alieigiza sauti ya Mzee Fikri wa kwenye Our story
Ni yule baba mrefu kwenye mizengwe ya ITV
Anaitwa sumaku wamizengwe
Huyu c ndo wa yule wa sultana kimanumanu..
Hongera zako kaka
Astagavirulah ulikunywa maji kwa ajili ya kitu cha kipuuz 😢
Kazi nyengine mtihani, sasa hapo aliharibu funga yake kwa ajili upuuzi
Muombeeni afe😂😂 km kawaida yenu
Alikuwa kazini lakini alivunja swaumu yake kwa mpango wa kuilipa baadae
Sumbulaaaa
We ndiyo unafanya niangalie hii move😂😂😂❤
Anamuwezea sana
😂😂😂😂 wow! Yaani anajua mpaka anajua tenaa!!
😁😁naenjoy sana
Jamaa kaua
Wooi woooi hatuchi wangu haraka saaanaa habibt kipenzi
Kengee. ❤❤😂😂😂
Ba mkwe wa ferit😂😂😂mzee wa faida🎉
Yaani nimesikia sauti tu nikamkumbuka Karim wa Hulya
Sultanaaaaaaa
🎉❤
Kusema kweli huwa ninacheka saana haswa kwa manjonjo anayoongeza kama kugunaguba.
Yaan familia yetu wote tunaongea km mzome wa mzomeeeeee yaan tunampenda sana
😂
😂❤
Brooo unajua sanaa
Ni noumaaaa
Nimependa saa yaKe (kijiko)
😂😂
😂😂😂😂😂natqman nikutame nae nna zawad yake
kaka upewe mauwa yako jamani bila wew movi hainog kabsa
Kaka yetu huyo
Aisee mwamba kauwa mbaya yani sauti imefanana na kazim mwenyewe 😅
Kamanda simon wa kwenye Eltugrul mzee wa Alee alee aleee
Kweli kabisa Simon mule aliua kinyama😅😅😅
Woiiiiiwoiiiiwoiiiiii
Nyie mbona naona wameanza kufanana 😂
Safi sana
Wamemkosea sana sauti ya kazin
Kumbe ni kermal soidere
Yaani ni km yeye ndio anamuigiza kazim aga 😂
Woooy hoooy ohhy 😂😂😂
Oioi wee
Daaah 😂😂😂🙌
Me nampenda bure
Itabidi aongezwe mshahara woi woi woi
Huyu pia amefanya sauti ya KEMAL
Alichokivaa mkononi nikijiko
Ndio😂😂
Hundsome kichogo ferit hahhahahhhHHHHHHH😂😂😂😂😂😂😂
woiwoi
Hatari
Yaani nilikua nawish kumjua sana maana katisha
Nimefurahi mwenzio 😂😂😂😂😂😂
Hata mm naona huyu ameuwa apewe mauwa yake
Yaani wooiiii oiiii!! Ndo msemo wangu siku hizi.... Much love❤
🤣🤣🤣🤣
Woiiiiiiii woiiiiiiiiii😂😂😂😂
Safi sana,,, tulitamani sana kumuona mnakilishaji wa sauti ya Kazim😃👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Jamaaa kauwa yani tamthilia bila uyu mimi nakuaga kinyonge sana yn
Kauwasana
😂😂😂
Daah!!! Nimefurahi kumuona mwenye hyo sauti, aisee umejua kutufurahisha 🌼🌼🌼🌼
Huyu si NI WA Jambo na vijambo
😂😂eee
Hongera kaka hyo sauti ya kazim Aga Sio rahisi
Hongera kwa kazi nzuri 🎉
Huyu ndo mwenye sini ngumu na ya kuvutia kuliko wote.
Huyu alipwe pesa ndefu maana tamthilia kaipa hadhi.
Yan mm naangaliaga kwaajil y kazim na farit😂
Jamaa anajua
Hand Sam kichogo , chongo ndingoo, mlembo mzeee , kengeee weee, aiseee umetishaaa aaaaa mkuuu
Hakika anajua zaidi ya kujua 🌹
Big Up watu tunaifuatilia kufata sauti hiyo tu
Jama anajua sana kweli ongera baba
Nilikuw nataman kumjua aliyeigiza sait ya kazim bee hatimae nimemjua honger kwako
Imetosha Sana hongera😊
Big Up 👊👊
Amenogesha sana tamthilia aisee
Oii oiii nyumbani na wapangaj wenzangu ndo msemo wetu kifupi ndo tunaongea kikazim aghaaaaa woiiiiii❤
Hongera kaka,ubarikiwe.
❤❤ respect I lov it
A😅😂 ahaha aha jamn me nakupenda Bure Yan kwel me uyo Mzee ndo anae nivutia kutizama mana lazima nicheke kwakwel ..hongera sana
Mzome wa mzome unajua,ulipwe Hela nyingi
Noma sanaaaa😂😂😂
Mmmmh eeeh 😅😅😅 yani umetisha mimi nimtu wakwanza nikiangalia dolden boy haswa napenda upande wa hagaa mbwembwe zake haki unaweza hadi raah mungu akujalie kabisa
Aliua kwenye saut ya kibaraka wa hurrem kwenye sultan ila na humu kaua
Umeona ee
❤
Oh alkuaga sumbra 😂😂😂😂
sumburaaa
Hongera sana
hongera Sana
Woiiiiwoiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera kaka umetisha jamaniiii
Yaani hii sauti nilikuwa natafuta ni nani kumbe ni wewe. Yaani nachekaga mpaka nalia hii sauti. Hongera sana sana
Kareem wa desire .
Hahahahahaha nampemdaa jamanii kazim bila huyu sijisikii rahaaa
Anaweza sana,saluti kwake
❤❤❤❤❤ndie alienifanya niipende na kuifatilia gold boy😂😂😂😂
Umetisha Kaka umeipa hadhi tamthilia hii inapendwa na wengi
Hongera bhn
Mbarikiwe Ndugu Zangu Bongo Touch 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kaka unatufurahisha sana , duh tamthilia bila huyu jamaa bado haijawa nmzuri bado
Pale kweny sumbula aliua noma sana
Mwanagu nimekukubali sana namkubali sana huyu mwamba 😅🎉😂
Umetisha ❤
Katishaa sanaaa😊
❤❤❤❤
Kaka unatufurahisha mmno😊 'we kuweza'
Kaka mkubwa mpe sifa mungu nashukuru kwa kitu kikubwa
Wou nimependa uko vizuri.
Mm angalia kwaajili ya kasm aga
Kwenye sultan pia sungura
Kazimu akulipe bwana unemtambulisha sana huku bongo kwetu 😂
Jaman mzome😂😂😂😂
Nampenda ila kuna wakati lazima avuruge. Ila yuko vizuri sana
Agaaa kichogo ndio mjukuu wako woii wooi😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i lov him
Waooow
🤣😂😂😅😁 Yaani ww Mbavu zangu unazivunja siku zote ila ww ndo umeipendezeaha ile kazi
Natamani nimjue alieigiza sauti ya Mzee Fikri wa kwenye Our story
Ni yule baba mrefu kwenye mizengwe ya ITV
Anaitwa sumaku wamizengwe
Huyu c ndo wa yule wa sultana kimanumanu..
Hongera zako kaka
Astagavirulah ulikunywa maji kwa ajili ya kitu cha kipuuz 😢
Kazi nyengine mtihani, sasa hapo aliharibu funga yake kwa ajili upuuzi
Muombeeni afe😂😂 km kawaida yenu
Alikuwa kazini lakini alivunja swaumu yake kwa mpango wa kuilipa baadae
Sumbulaaaa
We ndiyo unafanya niangalie hii move😂😂😂❤
Anamuwezea sana
😂😂😂😂 wow! Yaani anajua mpaka anajua tenaa!!
😁😁naenjoy sana
Jamaa kaua
Wooi woooi hatuchi wangu haraka saaanaa habibt kipenzi
Kengee. ❤❤😂😂😂
Ba mkwe wa ferit😂😂😂mzee wa faida🎉
Yaani nimesikia sauti tu nikamkumbuka Karim wa Hulya
Sultanaaaaaaa
🎉❤
Kusema kweli huwa ninacheka saana haswa kwa manjonjo anayoongeza kama kugunaguba.
Yaan familia yetu wote tunaongea km mzome wa mzomeeeeee yaan tunampenda sana
😂
😂❤
Brooo unajua sanaa
Ni noumaaaa
Nimependa saa yaKe (kijiko)
😂😂
😂😂😂😂😂natqman nikutame nae nna zawad yake
kaka upewe mauwa yako jamani bila wew movi hainog kabsa
Kaka yetu huyo
Aisee mwamba kauwa mbaya yani sauti imefanana na kazim mwenyewe 😅
Kamanda simon wa kwenye Eltugrul mzee wa Alee alee aleee
Kweli kabisa Simon mule aliua kinyama😅😅😅
Woiiiiiwoiiiiwoiiiiii
Nyie mbona naona wameanza kufanana 😂
Safi sana
Wamemkosea sana sauti ya kazin
Kumbe ni kermal soidere
Yaani ni km yeye ndio anamuigiza kazim aga 😂
Woooy hoooy ohhy 😂😂😂
Oioi wee
Daaah 😂😂😂🙌
Me nampenda bure
Itabidi aongezwe mshahara woi woi woi
Huyu pia amefanya sauti ya KEMAL
Alichokivaa mkononi nikijiko
Ndio😂😂
Hundsome kichogo ferit hahhahahhhHHHHHHH😂😂😂😂😂😂😂
woiwoi
Hatari
Yaani nilikua nawish kumjua sana maana katisha
Nimefurahi mwenzio 😂😂😂😂😂😂
Hata mm naona huyu ameuwa apewe mauwa yake