Hongera sana mh. Meja General... Unamtazamo wa mbali sana kila kijana angalau awe na nafac ya kulima eka moja itasaidia sana... Tuwe wazalishaji wa chakula kwa bara zima la Africa.... Tuna kila sababu ardhi tunayo, amani ya nchi iko vizuri watu wa kutosha ambao ni vijana wapo so we have every reason!
@Medani Tv; nakuomba sana uhamishe ile nembo ya kampuni yako kutoka katikati ya picha uiweke pembeni chini au pembeni juu kwa sababu inaziba sehemu kubwa ya video. Ni maoni yangu tu; huna haja ya kuyakubali wala kujibizana na mimi hapa kwenye sehemu ya maoni. Wewe yasome tu halafu ujue utakavyoyafaniya kazi itakavyokupendeza mwenyewe mwenye kumiliki channeli hii.
subscribe kwenye channel hii ya vita ni amani(link : ua-cam.com/channels/f4W_zZjLJN1mC0Bq9q34Dg.html) ili uwe wa kwanza kupata habari na uchambuzi mbalimbali za matukio ya vita na mbinu na silaha ua-cam.com/video/3Td3TkSPlwM/v-deo.html
Hongera sana mh. Meja General... Unamtazamo wa mbali sana kila kijana angalau awe na nafac ya kulima eka moja itasaidia sana... Tuwe wazalishaji wa chakula kwa bara zima la Africa.... Tuna kila sababu ardhi tunayo, amani ya nchi iko vizuri watu wa kutosha ambao ni vijana wapo so we have every reason!
Kurutu wa Ruvu jkt kama mm mikono juu........Mungu akutangulie Mbuge ktk utendaji wa kaz!!!
2013-2014 chini ya co Meja C.Mbuge na ci Meja Msira
Ahahahahahahahahahahahah huyu ndio General anaekuja kama unakubaliana na Mimi gonga like za kutosha
Ibrahim Jobu mimi nakubali
Historia wengi wa wakuu wa majeshi walipitia kuwa wakuu JKT sema jana ana bahati sana kapanda vyeo haraka sana..
GENERAL JJ MKUNDA🔥🔥🔥
Namkumbuka sana Mbuge, kpnd hko nikiwa 832 KJ RUVU
Hakika huyo ni kiongozi.....
kabisa, papaa Mbuge
Kj 832 ruvu jkt namkumbuka xn mwaka 2016
Joyce Lucas kumbe ulikua RUVU??
Na kwathatha upo wapi?😊😊,,
@@affaanothmaan6287 Lindi..
Mungu azidi kukuinua CM Mbuge
Da OP kikwete 832 kj ruvu mwaka 2015 tunakupongeza Sana mkuu wetu ulitulea vzr Sana kuwa vijana wakakamavu na majasiri
Hongera sana mkuu kwa juhudi ulioionesha mpaka umekubalika
Kafata nyendo za babaake jamani!babaake alikuwa muaminifu sana
@Medani Tv; nakuomba sana uhamishe ile nembo ya kampuni yako kutoka katikati ya picha uiweke pembeni chini au pembeni juu kwa sababu inaziba sehemu kubwa ya video. Ni maoni yangu tu; huna haja ya kuyakubali wala kujibizana na mimi hapa kwenye sehemu ya maoni. Wewe yasome tu halafu ujue utakavyoyafaniya kazi itakavyokupendeza mwenyewe mwenye kumiliki channeli hii.
On point
Fact
Fact
Naomba na mimi kujiunga na jeshi napenda sana
Nafasi za jeshi zinatoka lini?🇹🇿
Mungu akubariki sana
I wish nitaend jkt
Wp 957 nachingwea kikosi cha hasia awiii?
namkubali mno huyo mkuu wangu
💪💪💪💪
Mkulya atari
Big up
Nakumic Sana 2015 mkuu wakati nipo ruvu
subscribe kwenye channel hii ya vita ni amani(link : ua-cam.com/channels/f4W_zZjLJN1mC0Bq9q34Dg.html) ili uwe wa kwanza kupata habari na uchambuzi mbalimbali za matukio ya vita na mbinu na silaha
ua-cam.com/video/3Td3TkSPlwM/v-deo.html
148 big like
Ujingaujinga
💪💪💪💪