Looo! Unamuua mama yako kwa sababu ya shamba???Wala sio ushirikina ni tamaa ya kidunia tu. Kutokana na maelezo yao. Huyo mama Alitia nia ya kumuua mama yake masikini.
Binafs sina ukabila, lakin kutokn na historia na mambo yanayoendelea, Mungu anisaidie saana, Hatakama demu wa Arusha cjui mosh kilimanjaro ni mzuri vipi, Sioi na narudia sioi hawa watu ni zaid ya wanyama na ndomaan mikoa hiyo ina wajane weng na imagn ni wao kwa wao, je wakutan na kabila lingn unadhan unatoboa??
Dktari WA mawenzi hospto ndo anaweza towa ushahidi kupitia Cheri Cha kifo hao wengine wote wafunge midomo Yao hata huyo mdogo wake asubirie ushahidi WA daktari
😢😢😢 inalilaahi wainalilah rajighun binadam tumejisahau sana hatujui kama kuna mwenyezi mungu maana kwa sasa tunatoana roho vibaya sana Tumrudie Allah jaman tusali japo Kila mmoja na dhehebu lake
Ila Mimi Nina maononi tofauti hii inaonyesha Kuna biivu za wanandugu sdhani kama mtu Tena mtoto WA like kumuua mama yake siaminiamini ila kabla ya you're maybe apewe nafasi ya kujieleza pia apimwe akili na pia viongozi WA dini wainggilie kati ili ndo wazo langu
Wachaga dini yao ni mali leo unafika kumua mamayako kwa ajili ya mali ni msiba mkubwa kuishi na mama ktk nyumba ni baraka kubwa leo munauwa wazazi wenu kwa ajili ya mali
Wachaga Mungu awasaidie kwa kweli mali kwenu ni sawa na roho ya mtu yani nime kaa machame matukio kama hayo si mara ya kwanza kusikia mna hitaji neema ya Mungu japo si wote Ila wengi wana kasumba hizi mali zina tafutwa jmn uwai nikitu kingine
Ukojela ndiyo atapata shamba kubwa. apewimtu mbaka sikuyake yakufa. Anaakili umri wahuyo bibi angekaa miaka mingapi mpaaamuue yeye tena mama yake laanatu alikuanayo sikunyingi. Ndiyo imemzidi mpaka kauwa
Huyo mzee mwenye tishet ya blue anaongea nawaandishi lakini akiliyake haipo anajibu anachanganya kwani hapo kuna sms imeingia ameisoma inasema kwa vyovyote vile, ndio mana kachanganya na lugha gongana
Kwakweli atakama sio ndugu yangu siwezi kuuwa mtu kwa sababu ya mali na Mungu nakuomba unisaidie ila kwa saaa mali zimekuwa tatizo sana kwa watu wasio na hofu ya mungu lakini tukumbuke yote yanapita tuache uvivu wa kufikiri jamani 😢😢😢
Uchingz umefanyika kama kauwawa mana apo kunamgogolo unaonekana Wenda alimchukua kwaupendo alf mama ikatokea amefaliki gafra kwasababu kwenye family maelewano hakuna lazma itaonekana kamuuwa ,,,,,nimawazoyangutu,,,chamsingi uchunguz ufanyike napia izi tabia zakuuwana zikomeshe mana imekuwa kawaidada sasa
Ndio maana siwezi kuowa wanaweke wachaga kwakweli labda niwe nimelongwa Kwa uzuli niwanzuli sana ila kasolo nimoja TU wao kuuwa mtu Kwaajili ya kitu awaoni tabu sijuwi Kwanini wapo ivyo wanaichafua kabila lao 😡😡😡😡😡😡😡
Tamaa za mali Dunia kuona kama ni ya milele serikali yetu inapokea lawama kwa mambo mengi ambayo kudhibiti ni kazi kubwa.mchaga huyu na wengine walio na tamaa zilizo zidi mwenyezimungu yupo na atawalipa.
Mwijaku kaa tayari na wewe umeoa mchaga anasubiri afike malengo yake na wewe utapotezwa na wachaga na gorofa la bilioni au mali zako andika jina mama yako kama yule mchezaji wa morocco
Hata akishinda hiyo kesi hatokuwa na amani kabisaaa maisha yakee yootee
Hata sio kwelk hajaua ila hao wanafanya figiso huyo dada afugwe wachukue shamba
Umemuua mzaz unaenda kuozea jela na umepata laana ya mama hata hilo shamba hutolitumia kuna watu akil sijui hua wanazipeleka wap
Yaani unajiuliza mpaka unakosa jibu
Inauma sana.😢😢😢😢
Mwisho wa siku atakuja kusema alitumwa na mganga maana ushirikina umeshika kasi watu wamekuwa na tamaa ya kutajirika haraka😢
Looo! Unamuua mama yako kwa sababu ya shamba???Wala sio ushirikina ni tamaa ya kidunia tu. Kutokana na maelezo yao. Huyo mama Alitia nia ya kumuua mama yake masikini.
Binafs sina ukabila, lakin kutokn na historia na mambo yanayoendelea, Mungu anisaidie saana, Hatakama demu wa Arusha cjui mosh kilimanjaro ni mzuri vipi, Sioi na narudia sioi hawa watu ni zaid ya wanyama na ndomaan mikoa hiyo ina wajane weng na imagn ni wao kwa wao, je wakutan na kabila lingn unadhan unatoboa??
mungu wangu mbona hii kitu kuuwa imekua jambo la kawaida subhallah muwe na subra wafiwa
Dktari WA mawenzi hospto ndo anaweza towa ushahidi kupitia Cheri Cha kifo hao wengine wote wafunge midomo Yao hata huyo mdogo wake asubirie ushahidi WA daktari
😢😢😢 inalilaahi wainalilah rajighun binadam tumejisahau sana hatujui kama kuna mwenyezi mungu maana kwa sasa tunatoana roho vibaya sana Tumrudie Allah jaman tusali japo Kila mmoja na dhehebu lake
Hii dunia sijui inaelekea wap yan unamuua mama yako kisa shamba ambalo na ww utakufa utaliacha😢
Ila Mimi Nina maononi tofauti hii inaonyesha Kuna biivu za wanandugu sdhani kama mtu Tena mtoto WA like kumuua mama yake siaminiamini ila kabla ya you're maybe apewe nafasi ya kujieleza pia apimwe akili na pia viongozi WA dini wainggilie kati ili ndo wazo langu
Huyo Mtoto au jidamiz umemuua Mamayako kwasababu ya shamba malipo kwa Allah
Huyu baba mwenye tshert ya buluu anawasiwasi mpaka mate yanamkauka na uoga yaan mmmmh
Anaonekana anataka shamb
Yaan watu wanashindwa kutafta mali zao wanaanza kuwauwa wazazi wao
Kuoa Uchagani ni kujitaftia kifo cha bure
Wachaga mnaa mambo
Kweli kabisa
Kila anayeua tz n mchaga ?
Ukweli sijawahi kuwapenda wachaga hata kama wanatafuta aje,Roho zao mbaya
@@Magdalene-er2ur 🤣🤣🤩
Wachaga wana roho mbaya sana mbele ya Mali ni kawaida sana kuuwa !
Innalillah unaua mama kisa shamba lisilokuwa na pepo Subhannallah 😢😢😢
Nikwnini uliuliza kama anaongeya vizuri ilikuwa na hovu ipi na yule ni mwanae WA kumzaaa
Wachaga jamani tupunguze tunapenca mali kupitiliza
Sasa amemuuwa kwahiyo iyo shamba ataipata au unaenda kuzekea jela shezi kweli
Wanajua sikuhizi ukiwa na pesa huendi jela rushwa imekithiri
Jela hawezi kwenda mama,tunaenda sisi watu wadogo
Wachaga dini yao ni mali leo unafika kumua mamayako kwa ajili ya mali ni msiba mkubwa kuishi na mama ktk nyumba ni baraka kubwa leo munauwa wazazi wenu kwa ajili ya mali
Mmhh hii kesi ifatiliwe kuna ualakin sitetei inaonekana watu wanatolea macho hilo shamba kun kitu hakipo sawa kbsa
Mungu bariki kizazi changu mana mungu ndiyo kimbilio letu mana mzazi wako unamuuwa jamani
Wachaga Mungu awasaidie kwa kweli mali kwenu ni sawa na roho ya mtu yani nime kaa machame matukio kama hayo si mara ya kwanza kusikia mna hitaji neema ya Mungu japo si wote Ila wengi wana kasumba hizi mali zina tafutwa jmn uwai nikitu kingine
Acha uongo hapo ni machame
Hao siyo machame ni kibosho
T-shirt ya blue the way anaongea ni mashaka hivi 🤔
Mnanini lakini wachaga jamani
Nilijua tu ni kilimanjaro..rip mama
Umeona eeeee,ni washenzi hao Kwa Mali pyuuu😢
mmekosea sana wana ndugu
mlitakiwa mchunguze mkishajilizisha
na yy mumtafutie timing mnaua tu malipo ya uhuni b uhuni tu!
Moshi arusha wachaga ni majambazi yani wanawake na wanaume jamani
Unamuuwa mama yko mzazi kisa mali ambazo alizitafuta yy mwenyew na baba yko loooh dunia simama nishuke 😢
Roho ya tamaa tu jmn
Polen sana kwa kumpoteza mama yenu mpendwa...
Mama yako unamuua😢😢😢mimi natamani mama ang angekuwepo.
Ukojela ndiyo atapata shamba kubwa. apewimtu mbaka sikuyake yakufa. Anaakili umri wahuyo bibi angekaa miaka mingapi mpaaamuue yeye tena mama yake laanatu alikuanayo sikunyingi. Ndiyo imemzidi mpaka kauwa
Huyo mzee mwenye tishet ya blue anaongea nawaandishi lakini akiliyake haipo anajibu anachanganya kwani hapo kuna sms imeingia ameisoma inasema kwa vyovyote vile, ndio mana kachanganya na lugha gongana
Mbona kama macho yake yanawasi wasi hivi..achunguzwe juu ya hili
Kwakweli atakama sio ndugu yangu siwezi kuuwa mtu kwa sababu ya mali na Mungu nakuomba unisaidie ila kwa saaa mali zimekuwa tatizo sana kwa watu wasio na hofu ya mungu lakini tukumbuke yote yanapita tuache uvivu wa kufikiri jamani 😢😢😢
Hii Dunia Kuna muda nashindwa nimwamini nani yn ubaya mzazi wako kosa shamba😭
Uchingz umefanyika kama kauwawa mana apo kunamgogolo unaonekana Wenda alimchukua kwaupendo alf mama ikatokea amefaliki gafra kwasababu kwenye family maelewano hakuna lazma itaonekana kamuuwa ,,,,,nimawazoyangutu,,,chamsingi uchunguz ufanyike napia izi tabia zakuuwana zikomeshe mana imekuwa kawaidada sasa
Jamani huyu bibi kaniuma jamani pumzika kwa amani bibi kibosho inatisha jamani😢😢
Kuna mtu atakufa na Mali jmn 😢
Familia yakipumbavu wala hamna ukweli hapo wote hapo wanatamani ilo shamba
Wakibosho na ardhi😢
😢😢😢😢😢wanazaa na vitu vya ajabu ukijua unaacha tu kuzaa
85 jamanii si angesubiriii tu siku za mungu atapopumzika ona sasa utaishia jela
Kibosh moja hiyo🤔
Tunaenda wapi jamani unamuuwa mtu kwa sasabu ya shamba Yesu turehenu sisi waja wako
Biblia inasema mtoto anayemtukana mzazi wake kufa na afe
Ndio maana siwezi kuowa wanaweke wachaga kwakweli labda niwe nimelongwa Kwa uzuli niwanzuli sana ila kasolo nimoja TU wao kuuwa mtu Kwaajili ya kitu awaoni tabu sijuwi Kwanini wapo ivyo wanaichafua kabila lao 😡😡😡😡😡😡😡
oooh my GOD😳😳😳😭😭😭
Nyie familia na nyie ni wajinga mtu ashasema atakuua mlimuachaje huko siku 3 ?hamumuoni mama yenu ?
Mmmh
Jamanii😭😭🙆🙆
Tamaa za mali Dunia kuona kama ni ya milele serikali yetu inapokea lawama kwa mambo mengi ambayo kudhibiti ni kazi kubwa.mchaga huyu na wengine walio na tamaa zilizo zidi mwenyezimungu yupo na atawalipa.
Sasa alivoua ndo atapata kiwanja?? Si kuozea jela
Uwiiii😢😢😢
Kina shio hao
He is not God he's just human being
Tuacheni natamaa za mali jaman nawale wanaomtupiavifo samia je na hapo kahusika?
NA WEWE KM ALIONĜEA ZAIDI YA MARA TATU KUWA LAZIMA AMUUWE MAMA YAKE JE ULITOA TAARIFA POLISI AU ULIWAAMBIA NDUGU? NYINYI NDY MNAYELEA WAHALFU.
HAO WATOTO WASHENZI SANA WEWE UUWE MZAZI SABABU YA MALI AMBAZO HUJATAFUTA WEWE C UTAFUTE ZA KWAKO? HY NI LAANA KUBWA SANA
Wachaga,wameru nyokooooooo zenu
Sasa wewe Mzee baada ya kumshitakia mungu unamshitakia yesu kwani yesu nimungu ??? Binadamu bwana nimtihani uache mungu aliekuumba umuombe yesu??
Ujinga mtupu
Huyo kaka ni mama yake mdogo kabisa,amepanick kwa kweli
Wewe dada rozi wewe umeumbwa nani na umenzaliwa nani wewe un liana kumbwa nautavuanguo mpaka chupi yako😅
Na wewe kuandika hujui umeandika vitu gani hivi
Kuna matatizo makubwa sana ya Afya ya Akili kwa wananchi, bila kushughulika na kisababishi matatizo ya akili haya tutegemee vifo vingi vikiendelea
Mwijaku kaa tayari na wewe umeoa mchaga anasubiri afike malengo yake na wewe utapotezwa na wachaga na gorofa la bilioni au mali zako andika jina mama yako kama yule mchezaji wa morocco
Yaani kuuwa ni roho ya mto si ukabila.mbona huku singida watu wamefukuliwa.nao ni wachaga?
𝐌𝐢 𝐧𝐝𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐭𝐮 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐧 𝐧𝐢𝐥𝐢𝐣𝐢𝐭𝐨𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐡𝐬𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐧𝐢𝐰𝐚𝐜𝐡𝐢𝐚 𝐰𝐚𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐳𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐬𝐢𝐭𝐚𝐤𝐢 𝐤𝐮𝐠𝐚𝐦𝐚𝐛𝐚𝐧𝐢 𝐦𝐚𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐚𝐳𝐢 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐢𝐞𝐩𝐮𝐬𝐡𝐞 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐲𝐨 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐜𝐭𝐚𝐤𝐢 𝐤𝐚𝐛𝐬𝐚 𝐦𝐢 𝐧𝐢𝐩𝐨 𝐧𝐚𝐩𝐚𝐦𝐛𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐢𝐩𝐚𝐭𝐞 𝐦𝐚𝐥𝐢 𝐳𝐚𝐧𝐠𝐮😢😢😢😢😢😢