#BREAKING
Вставка
- Опубліковано 30 лис 2022
- #BREAKING: AJALI MBAYA! LORI LAGONGA MAGARI 4 MWANZA, WATU KADHAA WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA....
Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maishakatika ajali mbaya ya barabarani, iliyoyahusisha takribani magari saba, tukio lililotokea asubuhi ya leo katika eneo la Nyakato jijini Mwanza.
Taarifa za awali, zinaeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo, ni lori lililokuwa limebeba matofali likitokea upande wa Igoma, kupata hitilafu katika mfumo wa breki na ambapo baada ya kufika katika eneo la taa za barabarani za Nyakato Sokoni, lilianza kuyagonga magari yaliyokuwa yanasubiri taa za barabarani ziruhusu.
Taarifa kamili zitakujia hivi punde!
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Hayo mataa muyatoe
My God what's wrong with our neighbors from Tanzania? kila kukicha ni mauti, Mungu wangu kumbuka rehema zako, nchini Tanzania poleni Sana majirani zetu.
Polen sana Kwa wale wotee waliopatwa na ajali😭🙏🙏
Poleni sana ndugu zetu mliopatwa na changamoto hiyo Mungu awape nguvu
Inna lillahi wainna ilaihim raajiun, ndugu zangu almuhimu tujiandaeni na mauti,hakika kifo huja ghafla.
😭subhanallah
Allahu Akbar,wakti/pindi tunakaposkia/kuona ajali tuchunge ndimi zetu kwan tusije sahau/kosea kwamba kila litufikalo ni mipango Yake Allah Rabbul Izzah al muhim tudumishe ibada, tuwe na subra natujue kwamba Allah Nimuweza wa kila jambo wa'adha as'salaam aleikum wamin'kum,Innalillahi wainna ilayhi rajioun. Alhamdulillah
Hui mwisho wa mwaka ajali zimezidi sasa kila siku watu wanakufa
Mungu tusaidie watu wako. Wapendwa
Kila tutokapo ndani tusisahau kumuomba Mungu atuepushe na ubaya wote.
hiyo sehemu huwaga ni balaa
Duh niliona asubuhi kipindi nipo kwenye gari
Daah asee hii nchi kuna nini saahv
duh
😰😰😰
Malor yakaguliwe mara kwa mara
Ajali za kizembe zembe tu poleni