PASTOR EZEKIEL AONYOA SUALA LA USHOGA "MKO NA RAIS AMEOKOKA MNAPIGWA KULIKO NCHI YEYOTE MNANAJISI"
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Mungu akuinue Mtumishi uko salama salimini Mungu akutukuze juu. Aim from Tanzanian i agree with u be blessed ❤❤❤❤ denay ushoga in Africa in general
The best of the best shine and shine we love u
I believe this prophecy 100% I know when the word is from God.
THATS TRUE PASTOR EZEKIEL MAY GOD ALMIGHTY HELP US KENYANS
MUNGU wa ISRAEL NA DANIEL NA IBRAHIM TUHRUMIE PLEASE PLEASE PLEASEA PLEASE GOD
Mungu akubariki sana mchungaji kwa kuwaambia ukweli
Kenya walisahau Mungu kabisa,how come wanaruhusu ushoga,thanks my spiritual father kuwambia
Truth will set us free
Thank you so much pastor May GOD guide you all the time because you tell always the truth 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️❤️❤️😭😭😭😭
afathali upande WA MUNGU
Asante man of god
@@JudithMatoro n vizuli kuandika jina GOD na jina kubwa please
Yaaaaa true gospel
Amen umesema vema na hakika ni kichapo hadi muinue mikono juu
Amen na madhabao ya uchawi kwetu ipigwe kwa Jina la Yesu
ABSOLUTELY! Ushoga utatumaliza, sababu mungu anaweza kuleta hata ❤❤maafa kama ya misri covid mafuriko ma upepo haielezeki.
umenena vizuli sana na n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina kubwa please
It's true Pastor, Kenya must repent.
the same message hes delivering in kasarani,God heal our land🙏
Why only pastor Ezekiel condemning ushoga? WENGINE MKO WAPI? Anglican and catholic bishops. Teresia Wairimu, Bishop Oginde, Mwai, Nganga, mark Kariuki, Gitonga and others please strongly urge our government not to embrace Homosexuality.
Mbona unauliza wako wapi na unaelewa vyema wamo mle ndani ?
Exactly hawasikii na sidhani kaa wataitoa ju walishakula pesa za ushoga
Yesu akutunze sanaaaaaa!!!!!
May God bless you man of God.
❤❤❤ kabisa pastor
Amen 🙏🙏 hubiri ukweli paster waambie wasikie
Upo sawa baba
Ongeza volume pastor
Thanks for being courageous like Joshua, Shallom pastor Ezekiel
Amen
He is a true pastor
Ameeeen
Exactly mchungaji waeleze ukweli
True pastor Ezekiel,
Thanks 🙏🏽 nobody is addressing it .
True
Amina on Jesus name
Hongera sana pastor
Very very true...
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu
n vizuli kuadka jina ya MUNGU na jina kubwa yote please
You are speaking truth 😮
mtumishi wa mungu ni ukweli ak ❤❤❤❤❤❤❤
It's true pastor.Amen.
Ukweli kabisa
Good thing is tht Ezekiel u give prophecy they don't follow or even bother but message is delivered
Hii ni yenyewe mchungaji Ezekiel ubarikiwe.
Mko wapi mnaosemaga eti Pastor Ezekiel siyo mtumishi wa Mungu mbona anayapinga mashetani wazi wazi bila kuogopa tangu leo muwe na akili mjue hakika huyu ni mtumishi wa Mungu.
n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina yote kubwa please
WanatamamunguAkasirika👍👍🙏🙏
n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina Kubwa please
Pastor na usisahau kuwakumbusha Tena ikiwezekana kwa mwezi ubiri Tena na Tena na uongeze volume
Mungu ndie ajuae ka ameokoka
SPEAKING THE THE TRUE
KENYA the best
Huyu baba ni mkali ila anasemaga ukweli.barikiwa
Amen 🙏 pastor uwambie kweli.
🙌
True infact but Ruto ni shetani
Kwa kwli MUNGU wa mbinguni akutunze mtumishi wa MUNGU umesema ukweli MUNGU tusamehee
Hiyo ni laana ya viongozi
Walaanike hadi siku ya mwisho watoweni kwenye madaraka hawafai
May God open their ears to obey,Servant of God,Speak it once more...Rom 1:18-26,You have spoken of what Satan did to David to count people (2 Chro 21:1-7,17)
n vizuli kuandika jina GOD na jina kubwa yote please
Mtumishi wa Mungu Ezekiel nakupenda bure, wewe ni mtumishi wa msimamo sana ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu. Lakini tuangalie upande wa pili. Dhambi hata tufanyeje kwa kutoa ushauri kama huo kwa serikali zetu za kiafrika kupinga na kuondoa sheria ya ushoga haitafaulu kwa sababu HATUHUBIRI INJILI YA KWELI. Injili ya kweli ni ile INAPINDUA ULIMWENGU wa uovu. Wahubiri wengi wanahubiri ili watajirike na si watu waokoke. Kwa hiyo wahubiri warudi msalabani watubu, warejee kwa Mungu na kisha wapokee ROHO MTAKATIFU WA KWELI na si roho MTAKAVITU. We si unajua watumishi wa sasa wamejaa tamaa ya mali. Lini watahubiri injili ya kweli?
apo ume ongea na n vizuli kuandika jina ya MUNGU na jina kubwa yote
That's true handi kuna bishop kadha wameongea kuhusu mashoga na lesibians wasipotoa watakipitia kenya ni ya mungu
ZAKAYO GET THE MONEY 💰 SHEAR THE MONEY WITH POLITICIANS AND OTHER CHURCHES
Tell them pastor ezekiel
❤AMINA, JE NANI KAWEKA SASA USHOGA KENYA?
Yale niliona ikitendeka Brazil,tuombe sana
Watu hawaijui injili ya kweli kwa sababu ya wahubiri wasio wa kweli. Watu wanadhani wameokoka wakati injili waliyoisikia siyo ya kweli. Kwa hiyo makanisa yamejaa watu wanaodhani wameokoka wakati ukweli wake hawajaokoka, sababu ni kwamba hawakuwahi kuisikia injili ya kweli kutoka kwa watumishi ambao hawana Injili ya kweli. Ndio maana kila mtu kanisani anatamani asikie maneno yanayotosheleza tamaa yake ya mali kwa kigezo cha kubarikiwa na Mungu. Wakristo wako makanisani kwa lengo moja tu kubarikiwa na vitu vya Kimwili tu na si baraka za vitu vya kiroho maana hawavijui na hawajawahi kuhubiriwa hivyo. Waefeso 1: 3
kweli Na n vizuli kuadka jina ya MUNGU na jina kubwa yote please
Mtumishi wa mungu hapo sasa mimi ndipo nilikua na subiri
pastor Ezekiel ame ongea ukweli na n vizuli kuandka jina ya MUNGU na jina kubwa please
Daaah lakin binadamu acha tuu
😂😂😂!!
nn ime kumbamba
Sauti ya mtu aliae toka nyikani
Pastor enda nyangori PAG talk to those pastors
Tuko nyakati za mwisho na za hatari sana
please astor tell Ruto these kama ameokoka, kila siku america kwa Biden, kanisa ndio ilimleta huyu ruto sasa hayaanayo yafanya je ni ya Mungu?.
Tell them pastor abroad is hell am here
Kwanza kunaeza nyesha usiku na mchana one week mafiriko juzi niliomba mvua itulie at least siku tatu tumeona jua
Watumishi wakubwa wa kubwa wa kenya wako wapi? Mbona wamenyamazia hili jambo. Sasa MUNGU aanze kuwapiga hao viongozi wote wa kenya
Ruto is not born again,thats is a lie....but the message is correct
Please Kenya repent b4 is too late hiyo sheria toeni Kenya
ruto ana pigana na Vita yenye sio ya kawaida
Wewe ruto toa ushoka kenya uokoke
Ngai..ata Kenya imeweka hiyo..basi president hajaokoka
mm uwa na cheki ruto akiwa CHURCH na sidwa ya kusema wa Kenya kitu ya macho na n vizuli kuandika JINA NGAI na jina yote kubwa please
I thank God I didn't vote for hypocrite Ruto
aki mm na omba MUNGU wa Israel na Daniel na Ibrahim ani samehe na wa Kenya please mu n forgive
Ushoga haufai tumuombe mungu
iyo MUNGU ame kata na n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina kubwa please
Kidgo umeanza kuwa mtu
Which president is saved?
Or you meant he will be saved?
Ni laana kubwa sana kama Sodoma na gomora
TANZANIA USHOGA UPO SHERIA HAIJAWEKEWA MKAZO MASHOGA WAPO TENA WANAONGEZEKA
Hajasema ushoga hamna nchi zingine kasema sheria iondolewe.. Sheria ni agano kiroho,, kuna madhara yake.
@@josephmaleri7570 asante kwa kumuelzea
haja sema hamna ame sema Tanzania ija pitiswa ume elewa jameni
Hubiri injili ushoka ahiondolewi sheria
Shoga umesema na Mungu atakupiga
ume n stuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa i hate ushoga
Ulisena kuna mtu mkubwa atakufa alikufa?waongo kila saa
Mwezi wa tisa
Myb ni wewe uta kufa kwani unapenda mtu aki kufa wewe uta ongoza uoni ata aibu
@@janemwavita2050Lesbian ako anachart kwa page ya mtumishi ya Mungu sasa we nyang'au si uokoke isejekukufa kwa moto ya jehanamu
100/ right
Exactly mchungaji waeleze ukweli
Amen
Ameeeeen