@@homan_nkwama we sikuachi nakujibu....usifananishe wimbo unaoupenda ww ukiskiliza na ulio hit utaharibu...hit ni 2 tu kila siku playboy.....afu hit aijalishi unampenda umpendi ni hit na ww ndo utaifuata..
Media za bongo zinatengeneza watu wasiojua kwa undani aina flani ya Muziki na badala yake mmetengenezwa ninyi Mnaolishwa na kushiba kile wakitakacho wao Hamjui ukweli bali mnajua wakisemacho wao Pole sana jamaa Nikki Mbishi ni zaidi ya Upeo wako na hao unaowasikiliza Marehemu Ruge aliwahi ona kitu kwa jamaa ila hawakufikia Makubaliano yenye faida kwa pande zote
Nikki mbishi nireal Hi Hop ananyoosha maelezo
Huyu dada ana kipaji sana big up
Tatizo ana copy swaga za Lily Ommy
@@amriseleman9395jamaa kqamaanisha hapo 5:00 alipo imba kidogo
dada anaimba uyu kuna kionjo katoa sio poa
Zohan
KWELI MZIKI KUCHAGUA...NIKI MBISHI ANA HIT 2 TU TOKA AANZE KUCHANA.
_Prayboy
_Sauti ya jogoo
_KILA SIKU
_SAM MAGOLI
_NYAKATI ZA MASHAKA
...KAKA yaweza kuwa unafuatilia RAP sio hip hop
@@homan_nkwama we sikuachi nakujibu....usifananishe wimbo unaoupenda ww ukiskiliza na ulio hit utaharibu...hit ni 2 tu kila siku playboy.....afu hit aijalishi unampenda umpendi ni hit na ww ndo utaifuata..
Ni mtazamo wako ila Nikki usimpime kwa hit unju kila ngom yak ni hit uwez mwelew mbishi kama kichwa chako ni empty
Chakushur upo mbali na mazingra nayotoka vinginevyo ,tungeongea mengine maana uwez msema Nikki mbishi kwa ubaya mbele Yang alf uwe na aman fuck y
Media za bongo zinatengeneza watu wasiojua kwa undani aina flani ya Muziki na badala yake mmetengenezwa ninyi Mnaolishwa na kushiba kile wakitakacho wao Hamjui ukweli bali mnajua wakisemacho wao Pole sana jamaa Nikki Mbishi ni zaidi ya Upeo wako na hao unaowasikiliza Marehemu Ruge aliwahi ona kitu kwa jamaa ila hawakufikia Makubaliano yenye faida kwa pande zote