Kama hataki kufanya mazoezi anataka nini? au anataka alete ujinga kama msimu uliopita au Yuko kimaslahi tu!! apishe wengine bhana Ahmed tuambie white and black
Kama hataki kufanya mazoezi anataka nini au anataka alete ujinga kama msimu uliopita Ahmed tuambie white and black tunaumia bhana mi nakerwa na watu ambao hawana mapenzi na simba yetu naona Yuko kimaslahi tu
Kibu vipi.Jamani,lakini mbona wasumbufu sana.Kagoli kamoja tu msimu mzima
KIBU KITAMKUTA TU. HII ITAKUWA FUNDISHO KWA WENGINE. ATAFUNGIWA MPIRA DUNIANI KWA MAISHA YAKE YOTE. AMINI MSIAMINI ITAKUWA HIVYO
Huyo kbu anazngua,
Aende hana msaada simba
Nakereka kuisapoti serikali ambayo kila mara hututenga wanasimba.
Abakie hukohuko yeye Nani Kwan?kwenye tim yasimba
Kibu anabaki simba au nandoka 6:24
Goli moja tuu! Rasta na shobo kibao atembeezake kwanza anakunywa kiroba na msuba
Mzee magomaaa
Huyu kibu mbona hata msimu uliopita alifanya hivyo hivyo??
Kama hataki kufanya mazoezi anataka nini? au anataka alete ujinga kama msimu uliopita au Yuko kimaslahi tu!! apishe wengine bhana Ahmed tuambie white and black
Kibu anaringa anaringia nini simba wamuache yatosha
Kibu aondoke t ye nan
🎉🎉🎉
Anamaneno mno hadi anakera mpira hautaki siasa.
Msije mkayararua makochi, myatunze.
Ongelea mpira achana na mambo ya siasa
Upuuzi huu unakera.Kujikomba kwa serikali inayotutenga kila siku.
Duh!!
Kama hataki kufanya mazoezi anataka nini au anataka alete ujinga kama msimu uliopita Ahmed tuambie white and black tunaumia bhana mi nakerwa na watu ambao hawana mapenzi na simba yetu naona Yuko kimaslahi tu