Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Alafu wa Zanzibar wanatuita sisi wa bara makafiri any way my opinion. Wangejenga reli Zanzibar mpaka dar
Zanzibar tunajenga light rail yaani Trams
😂😂😂😅😅😅😅
Zanzibar kamili ndio kinachotakiwa
Mchukueni KADO awaonyeshe kazi
Upigaji mpaka huko
Reli Zanzibar inaenda wapi, sehem yenyewe ni kama Kijiji tu, huo utakuwa mpango mbovu wa serikali na matumizi mabaya ya fedha, labda wajenge zile metro treni za mijini kama daladala
Tuta weka Metro kama Dubai, isiwe tabu.
Msiende mkawaumiza maana mmezoea kuchakachua
Kipande Cha sita kimewashinda
Mita geji imewashida, sasa mnataka mkawaumize na znz
Alafu wa Zanzibar wanatuita sisi wa bara makafiri any way my opinion. Wangejenga reli Zanzibar mpaka dar
Zanzibar tunajenga light rail yaani Trams
😂😂😂😅😅😅😅
Zanzibar kamili ndio kinachotakiwa
Mchukueni KADO awaonyeshe kazi
Upigaji mpaka huko
Reli Zanzibar inaenda wapi, sehem yenyewe ni kama Kijiji tu, huo utakuwa mpango mbovu wa serikali na matumizi mabaya ya fedha, labda wajenge zile metro treni za mijini kama daladala
Tuta weka Metro kama Dubai, isiwe tabu.
Msiende mkawaumiza maana mmezoea kuchakachua
Kipande Cha sita kimewashinda
Mita geji imewashida, sasa mnataka mkawaumize na znz