MCHAKA BWENGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • Jamani wadada mnavyowafanyia wakaka sio poa muwe na huruma jamani,ukipewa na wewe toa...

КОМЕНТАРІ • 699

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Рік тому +54

    Leo mtu wa makeup kakutendea haki jamani umependeza sana 🥰👌 asanteee kwa mbwinu mpya

  • @gladnesskiwonde5975
    @gladnesskiwonde5975 Рік тому +10

    Good morning tz
    Km Uko Mach naomb like

  • @annaki318
    @annaki318 Рік тому +88

    Nipeni maua yangu wa kwanza leo😂😂😂❤❤❤ love joti

  • @AugustinNkurunziza-b7n
    @AugustinNkurunziza-b7n Рік тому +82

    😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤ joti unaweza hakuna wakukupinga fasi zote unaweza kabsaaa sauti ya kitoto sauti ya kike napia sauti ya babu ila joti nakuomba ebu rudisha kwenye tim yako Sopa anacheza vizuli mno

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 Рік тому +18

    Tunakaribia followers million 1 jaman Joti tumpe zawadi mwezi ujao ifike. Joti king of comedy 🎉

  • @mary2615
    @mary2615 Рік тому +32

    Great episode 🔥❤️🔥

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Рік тому +8

    Sura imeshuka kama ngazi yaudongo 😂😂 you're always the best brother 🎉🔥

  • @monicageorge2181
    @monicageorge2181 Рік тому +12

    Pombe sio sigaraaaaaa........👏👏👏 Asante 😂😂😂

  • @lucychande3059
    @lucychande3059 Рік тому +14

    😂😂Baada ya siku nyingi hatimae Leo nmecheka sn,khaaa Mbona mchakabwengo😂😂Joti akili huna

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Рік тому +25

    My Favourite Comedian Just Keep On Moving

  • @kanjutz3247
    @kanjutz3247 Рік тому +14

    Kwanini kila siku nakosa nafasi ya kuwa wakwanza ila sawa nipo humu mpak nishike nafasi ya kwanza

  • @sheddylewa7240
    @sheddylewa7240 Рік тому +4

    😂😂😂😂Mungu akueke sana joti ww mwisho 😅😅😅😅😅😅Asanteeeeeee!

  • @zebedemirambi3067
    @zebedemirambi3067 Рік тому +9

    JOTI our super comedian 🤣❤️🇨🇩🇨🇩

  • @mlewazitotv
    @mlewazitotv Рік тому +7

    Tuna wapenda sana mashabiki zetu wa joti TV

    • @annaki318
      @annaki318 Рік тому +1

      Tunawapenda piaaa❤️❤️❤️❤️ mashabiki zenu

    • @mlewazitotv
      @mlewazitotv Рік тому +1

      @@annaki318 asanteee

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa1334 Рік тому +15

    Joti miaka 100 hatokei mwingine kama wewe hiki kipaji kimeshindikana 😂😂😂

  • @mulundi
    @mulundi Рік тому +9

    😂😂aise ivi uyu joti mbn ana jua saaaaana ivi good jobs nyipeni like zangu aise❤

  • @nilmadaudi9358
    @nilmadaudi9358 Рік тому +6

    😂😂 leo nimejua kucheka joti hapana kwa kweli

  • @gillybaibe8312
    @gillybaibe8312 Рік тому +1

    Waoh am liking this, much love from Kenya huku sitoki nimeijua hii page leo na mko juu tu sana ....

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому +3

    Jot hizo swaga zako tu utaki kuingia kwa bwana.❤❤❤❤👍

  • @NUH23
    @NUH23 Рік тому +6

    Ay pero que coqueta 😂 jajajaja..SOS el mejor 😘🌠💫🌌🕊️💕jotyyy

  • @Luvunokkabi
    @Luvunokkabi 2 місяці тому +1

    Ila joti umeweza😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @athenaramadhani8889
    @athenaramadhani8889 Рік тому +6

    Da kibogaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethherman3284
    @elizabethherman3284 Рік тому +5

    Ila joti eti bby sura imechoka kama ngaz ya udongo 😀😀😀

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 3 місяці тому

    😂😂 wallah. Gemu nzuri. Magetoni hawakuyingiya. Duhh. Kifafa. Asante 😂

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Рік тому +7

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kifafa kinaambukizwa kwa njia ya ushuziiiiiii

  • @omaryomary1042
    @omaryomary1042 Рік тому +3

    Hahahaha mshkaj wangu David NISHAI NAKUONA

  • @sevenmund
    @sevenmund Рік тому +6

    Hahahaa 😅 daaah eti pombe sio sigara

  • @nurdintaher9840
    @nurdintaher9840 Рік тому +2

    I like da creativity..big up director…..joti unatisha kila sector hakuna zaidi yako….

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Рік тому +3

    Chezea mtindi weeeeee😂😂😂😂😂

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Рік тому +2

    Joti mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂unaogopa mchaka bwengo🙋‍♀️❤💕🥰

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato9909 Рік тому +3

    😂🤣Joti msenge sana hahaha 🤣🤣

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Рік тому +9

    Much love 🎉

  • @abdallahsalif9020
    @abdallahsalif9020 Рік тому +2

    nimecheka sana leo joti the great 👍

  • @issaothmanhamis4857
    @issaothmanhamis4857 Рік тому +2

    Umeuwaaa mwambaaaa sanaassa pungsssaa jotiiiiii

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому

    Jot Merkep hiyo sio zako,hajakupatia huyo hawezi. JOTI HAKUNA TENA 👍👍❤❤

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Рік тому +2

    Akijamba anawaambukiza wote, mie nikamzoea😂😂😂😂😂😂😂

  • @officialkay823
    @officialkay823 Рік тому +2

    Jati 😂wa kwanza hapa

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 Рік тому +1

    Bodaboda ndukiii hata malipo yake kasahau 🤣🤣🤣🤣ahsanteeee

  • @jamessamwel9456
    @jamessamwel9456 Рік тому +17

    kwa joti stress utake mwenyew tu😂

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Рік тому +2

    Nimecheka kifala sana 😂😂😂😂😂

  • @kambikashama4619
    @kambikashama4619 Рік тому +21

    😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌 Mchaka Bwengo Bongo Hakuna Kama Joti tuzo Utazchukua Sanaa

  • @ernestelias7889
    @ernestelias7889 Рік тому +1

    Hahahahahahahaaaaaaaa buo mzigo wa karanga so poa

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 Рік тому +1

    Kazi nzuri 💯💯💯

  • @dizzobaba_tz860
    @dizzobaba_tz860 Рік тому +15

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aliecheka Kama Mimi tujuane kwa like

  • @aminimwazani9483
    @aminimwazani9483 Рік тому +9

    Joti umeshinda huyo shoga yako kwa urembo haki❤

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pombe siyo sigaraaa asante 🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Рік тому

    Sija elewa mabalia wezangu mchaka bwengo ndo nnn jot sengeee kwer mamaeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Zaynachintowa
    @Zaynachintowa 6 місяців тому

    Uyu babu leo atakoma wallah ndo kwanza wenzie wanacheka na kusema Ahsante 🤣🤣🤣

  • @JordanEmmanuel-dq4pn
    @JordanEmmanuel-dq4pn Рік тому

    Joti wewe daah ni Noma Kaka chukua maua yako 🌺🌺🌺🌺🌺

  • @clodoaldusrutakangwa2702
    @clodoaldusrutakangwa2702 Рік тому +1

    Na mgechezea kweli😂😂

  • @ukhutymamuu7470
    @ukhutymamuu7470 Рік тому +3

    Mchaka bwengo ndio nini 😂😂😂

  • @josephpaul4986
    @josephpaul4986 Рік тому +1

    Sura imekushuk km ngaz ya udongo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Рік тому +1

    Joti anaogopa kupelekewa...🔥🔥🔥

  • @elizabethjackob3816
    @elizabethjackob3816 Рік тому +1

    Eti kifafa kinaambukizwa kwa njia ushuzi 😂😂😂😂😂😂

  • @SuzzyDaudy
    @SuzzyDaudy 4 місяці тому

    Jaman namupenda somo wangu suzi jamn😂😂

  • @janephilip-nf1zw
    @janephilip-nf1zw Рік тому +2

    Yaani Joti!! Unanitoaga stress hasa unapo act kama msichana pashakuna. Yaani unaweza mpk kupitiliza,hongera Kaka.

  • @athumanmgissasimbadamu3316
    @athumanmgissasimbadamu3316 Рік тому +3

    Hahahaha Alaaaaaaa 😀

  • @benjamincirhuza4091
    @benjamincirhuza4091 Рік тому

    Wa dada awa lewiiii🤗🤗🤗

  • @sammybett1105
    @sammybett1105 Рік тому

    Watching from kenya

  • @Elizakilisipinilikolika1996

    ❤❤❤❤❤❤❤nimecheka sana

  • @marylucas6957
    @marylucas6957 Рік тому +2

    🎉🎉🎉🎉Maua yako

  • @husseinmlubo2644
    @husseinmlubo2644 Рік тому +1

    Kiboga akili yake ni Mungu tu na maombi 😂😂😂😂😂

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl Рік тому

    Hahaha 🤣🤣 jamn kiboga mwisho,bahati yako ungechea mchaka bwengo shauriyako😂

  • @LatifaSeleman-x5o
    @LatifaSeleman-x5o Рік тому

    Uko vzr joti ❤❤

  • @luciacosmas-nq8lv
    @luciacosmas-nq8lv Рік тому

    Kibebeo mtindi yaan mtindi Hu hu😂😂😁😆😆😆

  • @MacrissCredit-ol1zx
    @MacrissCredit-ol1zx Рік тому

    Mbona mchaka bwengo🤏🤏😁😁joti sio sirii nakukubali

  • @hosnakamees5454
    @hosnakamees5454 Рік тому +4

    Mchaka bwengo😂😂

  • @lulusubeha6978
    @lulusubeha6978 Рік тому

    Aseee kibogaa kiboko 😂😂😂❤

  • @nicollerodney46
    @nicollerodney46 Рік тому +1

    Hakuna kama joti Tanzania nzimaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @magrethjoseph4623
    @magrethjoseph4623 2 місяці тому

    🎉🎉 mauwa yako hayo

  • @AgripinaPatrice-x8z
    @AgripinaPatrice-x8z Рік тому

    Umetisha❤❤❤

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Рік тому +1

    Na miee nimewahi hapa mnipe maua yangu tena mengi tuu kwa kweli tunainjoi na JOTT🤣🤣🤣🤣

  • @HopeBaby-hm8xq
    @HopeBaby-hm8xq 4 місяці тому

    Pombe so sigaraaaa😅😅😂

  • @Ayshernasolo
    @Ayshernasolo 4 місяці тому

    Huyu Kaka WA tisrt nyeu ataka kafann na joeli lwag😊

  • @uwaniabu2238
    @uwaniabu2238 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂jotiii bwanaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sumaadamson214
    @sumaadamson214 Рік тому +2

    Joti naomba Hilo wigi😂😂

  • @StarlonMsilu
    @StarlonMsilu Рік тому

    Ahsante ya jotiii ndo kalii

  • @martamustini6946
    @martamustini6946 Рік тому

    Kibeberuuu joti nomaaa😂😂😂😂😂😂

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 Рік тому +3

    😂😂😂😂😂 walahi nimecheka Kama mazuri vile 😅😅😅😅😅

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim8744 Рік тому +4

    nimependa iyo AHSANTEEE

  • @khadijaally7723
    @khadijaally7723 Рік тому

    Mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbona mchaka bwengooo 😅😅😅

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂 kiboga uko vizuri 🙈🤣🙈🤣😂

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 2 місяці тому

    Sema we Suzi nakupendaga sana we dada

  • @totoclass2470
    @totoclass2470 Рік тому

    Joti utanitoa roho mie chaka bwengo iyo veeeep bhana bongo stress utake mwenyewe

  • @kizittohescary1213
    @kizittohescary1213 Рік тому

    😂😂😂nmecheka sana asee kiboga nomaa

  • @happymchomvu6766
    @happymchomvu6766 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂ila joti daaah umenishinda 😅😅😅

  • @mangeranestory8225
    @mangeranestory8225 Рік тому +3

    Nakukubali lakni umefanyia kinyaa na asubuhi😢😢

  • @MusaAidano-vw6ze
    @MusaAidano-vw6ze Рік тому

    Ume tisha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr Рік тому

    Chezea mchaka bwengo mbele ya ushuzi mtaambukizwa nimeenda ctaki kuambukizwa mm 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @mathiasshayo6348
    @mathiasshayo6348 Рік тому

    1.Kinachonichanganya ni kwamba hawalewi😂😂😂😂
    2.Kasema hili vibe tulihamishie maghetoni😂😂😂

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    😢😢kutoa wosia tenaaa😊

  • @RidhaaHamisi
    @RidhaaHamisi 5 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jot,nakukubali😂😂😂😂😂😂

  • @sampachino5184
    @sampachino5184 Рік тому

    We msenge kweli 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Рік тому

    Unaogopa mchakabwengo😂😂😂😂😂😂😂😂😂kiboga khatar 😂😂😂😂

  • @veronicakalondji2375
    @veronicakalondji2375 Рік тому

    Haha Leo nimecheka sana 😂😂😂

  • @thobiasemmanuel889
    @thobiasemmanuel889 Рік тому

    Hakuna wakukupita duniani kwakomed ,zaidi kupambana jot

  • @lightnhope8562
    @lightnhope8562 Рік тому

    Ahsante ya wimbo wa jux

  • @rukiamapara-de4mg
    @rukiamapara-de4mg Рік тому

    Pombe sio sigara hahahaha

  • @wilsonjonas5481
    @wilsonjonas5481 Рік тому

    Au Nina kibebelu🤭🤭🤭🤪🔥🔥🔥

  • @HawaTuwa-o7y
    @HawaTuwa-o7y 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu Zang Mimi jaman