LIVE : Mwana FA na Harmonize Walivyokutanishwa na Ommy Dimpoz kwenye
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- The Choir Master ,Mwana FA yupo live muda huu kuweka maneno kuhusu Ngoma yake na Harmonize #CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #XXL
Mwana fa is kind of a Tate fan💪🏾❤💯
🙌🙌🙌🙌Mmetumaliza Yani Ommy dimp kakushauri vizuri jeshi ndo kiboko yao🔥🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwana FA mueshimiwa
Msani ninae mpenda kutokea nikiwa shule maneno yake yanatia hasira upambane kwenye maisha
Ngoma ya kumalizia mwaka ni moto sana
I have
I can't stop watching Fa's interviews.. Ni Darasa Tosha 🙌🏾
Ni ngoma ambayo asee fa kaka umefanya vizuri sana big up sana broo
Interview yamwaka🔥💪
Ngoma kama Album
🎶MWANA FA+KondGang🐘🔥🔥💪🐘🐘🦣🦣🦣🎶🎶🎶🌏🌏🌏🔥💪
Una akili sasa Kaka hii ni Album sio single 😂😂😂. Wanatakiwa wajifunze kutokea kwa FA na TEMBO
@@hassanedwardchivatsi8970 ukweli hii nijiwe lililo hiva, kama mkaa Badoo upo watupe lingine jiwe.
Regardless of your status, bro you're full of wisdom.always wish you the best
Ngoma yenye akili bro nakuelewa sana mbunge wangu tanga moja muheza district one love najivunia ww bro May Allah blessed you
Kila interviews za F A huwa ni hot 🔥 saaaana,shule kila siku,,,anajua sana huyu jamaa
Fa the legend kwny game..muziki wake unaishi anayemini hivo agonge like za kutosha..
ngoma zake ni darasa.
Hii ngoma ni hatari 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ommy dimpoz katoa ushauri mzuri
Mwana FA kaenda shule Kweli. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Big love.
Toka natoka sijawahi mfano wa nyinyi kukosea, ukibisha unabisha ubishi tu moyoni mwako unajua, roho inakuuma demu wako anavyonishabikia.. fa noma Sana
Goma la dunia
JESHIII 🔥🔥🔥🔥
Ni kweli ht mm natumia sana mistar ya fa ktk captain zng
Kazi nzuri
Ngoma ya moto kwl kwl🔥🔥💥. Ila chid benz mbna kma kandibua tayari au kesharudia ugali wa escoba!!
kweli bhan mpen section XXL
It's a beautiful song, big up to the both of the singers
konde ni kiboko yaoo,🔥🔥🔥🔥
Bg up sana😍🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤔🤔kond jeshi😍😍
I got more inspiration from this man he is more than enough hip-hop artists.. Yoooo appreciate @mwanafa. 🙏🙏
FA. FA.FA..aka mh.Mbunge after.waziri ajae.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
FA MUNGU AMUWEKE SANA AISE MANA KIPAJI CHAKE KIKUBWA SANAAAA HALFU NGOMA ZAKE NI ELIM TOSHA
unajua sana Man
ngoma kali san
Kazi Kaz baba mwana F A konde boy jeshi big up sana
Ngoma kali
Mimi mcongo, uyu jamaa nimemkubali sana tangu enzi ziiiile, jama ana akili sana.
#Tunawapenda ndugu zetu wa Tanzania 🇹🇿.
Tunawapenda zaid wakongo sisi ni ndugu
Big up san mmetisha san hapo mjengoni ila hii #sio kwa ubaya
Huyu F A uwaga anikwaza sana kutokutoa Ngoma kila mda maana ninavyopenda ngoma zake nibalaa
Ngoma kali saaana hiii
Mwana f.a Baba
Napenda MWANA FA
Kaka zangu niwambie mm ni shabiki wa FA nampenda sana naomba mfikishieni ujumbe mwambie apunguwe ule uwembamba wako mm ndo napenda kuliko unene asinenepe adi kitambi apendezi😁
KAMANDA MWANA F.A
Nice
Kiukweli Mwana FA kwenye HipHop ya bongo Mimi Nampa namba Moja, sababu mistari yake inaeleweka na inamaana zaidi moja katika uhalisia wa MAISHA, tofauti na Wengne wanaimba ngumu hadi MTU utafute kamusi...!! Hongera Muheshimiwa kiongozi
Ngoma kali sana
Kweli
Unasauti zuri bro
Mwana fa ni balaa lingine
Jamaa nimtu mbaya sana
Ikiwa umekaa na hauingizi chochote 'hiyo ndo inaitwa kupoteza muda 'lakini ikiwa unaingiza hata miamoja au zaidi ya iyo 'hapo ndo inaitwa uvumilivu kwamba ipo day utaiingiza elfukumi .
FA akili mingi kaka be blessed
Uyu msanii ana uwezo mkubwa sana
Kuna wakati uvumilivu unaonekana km ni kupoteza muda
Ujawai kosea kaka
I'm
That is why i call him KAKA Sababu ana ni inspire sanaaaaaaaa
😁😁😁 sema huyuuu turupaturupaaaaa hatareeee sanaaaaa
Jamaa akil ming san
AKISHAA KUWA WAZIRI KURUDI KWENYE UBUNGE ITAKUWA MBALI SANA!!
Ila w chenga Sana
@@stephanomayai265 sasa uchenga wake nini jaman maana lengo la mana f a nikuwa wazir wa michezo
🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣♥️♥️♥️♥️
Mwana FA... wewe ni akili kubwa Mungu akuzidishie kheri
Umechanichambulia vizuri mpaka nikafurahi kaka😂😂😂
Nakukubal sana toka ingekuwa vip nilipe buku kila pmzi
Chidibenz kama kasharusha vitu zake
Dah
jamani da chid adi zambi yan Maisha yana badirika
Falsafa Akili Mingi Sana Mwamba
Chid ana akili Sana huyu
Chid ye pesa2
F a na kindergarten wameuwa
Wanatangulia kunga ila sipotezi mapambano 🥱💪🔥 Falsafa Baba👊🤣🙌
Tanga hakutoki mafalaaaa
Hhhhhhh
Mwana falsafa hekima nyingi busara kibao
FA SCOBAR.AK.A JAMES 0007 MWENYE A.K.A ZA KUTOSHA