Umeongea kwli kaka mashaallah Allah atakulipa kwa ukwli wako ccm niwizi t hawana lakufanya wemehemewa na simba OMO rais wetu 2025 inshaallah wanamuogop nasisi hatukubali ushaguz wa siku mbli tutapigana sisi kwa sisi ujinga ujinga sasa basi
Na hawo Wana wanaletwa kwa wingi Zanzibar hivi sasa kwa kidungizio Cha kujakufanya kazi kumbe wote wabaingizwa wajewanchague mwinyi 2025 kwasababu Wazibar halisi hasa hawamtaji mwinyi hapa.
Hatutaki kura ya mapema sisi na wakileta machafuko kwa kulazimisha wao kukaa madarakani basi nguvu ya Mahakama ya wananchi tutawapindua inshaallah na huku tukiwa na nguvu ya Mungu
CCM Yale malalamiko ya misingi yaliyokuwa yakililiwa na upizana pamoja na wakaguzi wa chaguzi wa ndani na nje hawakuyaona wameona la uchaguzi wa mapema tu kwasababu ya maslahi yao
Kiongoz anapoona kuna ktu kinaweza kuhatarisha amani ni kukiondoa tu yanini kulazimisha hicho kitu ilihali watu wengi hawataki pia.. Au hao wanaokataa kura ya mapema wao si raia? Hekma tu zinakosekana unalazimisha jambo ambalo mnajua linaleta madhara ilimradi muwe madarakani
Milipokua na magufuli hamukuisemea sababu na nyny mulipata ulaji humohumo kwenye kura ya mapema lkn safar hii mumeshutuka kuwa hamna chenu ndio umeujuwa ukweli,yangu ni maneno tu wala sina jengine
We domo kayaa hata icho unachokisema hujiamini unaogopa ogopa sikwakua unasema hakki hapana bali umetumwa tuu uonekane kama hutumiki huko uupande fulani
Hii ya kueka uchaguzi siku 2 znzbar ni mbinu za CCM kufnya unyang'au wao mbona Bara hawafnyi ivyo wakati kuna idadi kubwa mno ya wabiga kura lkn uchaguz ck moja au huku hakuna jeshi au huku huku hakuna wafnyakaz wa serekali !!? au ndio kw sababu jeshi lote hua wamelihamishia huko maana mzanzbar 1 kila ikifika kindindi cha uchaguz hua analindwa na askar 10 huku bara mitaani hua kweupe wallah askar unawaona mmoja mmoja tu hujui wameenda wapi kumbe wako huko maana wabara huku hawaaminiki mtu anatoka kwenda kituoni kumpigia kura mgombea wa cha upinzani lkn akifika kituoni tu anabadili maamuzi anapia kura CCM hakiya Mungu na serekali ya jamuhuri ya Muungano inalijua hilo na ndio ata hawana wasiwasi nao .
😂😂😂😂😂 siasa bwana usituchezee akili wewe sema ukweli lakin wewe ni ccm hata kinana alisema kuhusu ubaya wa uchaguzi wa 2020 lakin baado ni ccm kwaio tunakujuwa mzee
Umeongea kwli kaka mashaallah Allah atakulipa kwa ukwli wako ccm niwizi t hawana lakufanya wemehemewa na simba OMO rais wetu 2025 inshaallah wanamuogop nasisi hatukubali ushaguz wa siku mbli tutapigana sisi kwa sisi ujinga ujinga sasa basi
Angalau umesema kweli duh
Hongera Hamad Massoud Umeanza kuiona haki! M/Mungu akusaidie urudi waliko wengi kuidai haki ya Nchi hii
Hotuba nzuri kabisaaaaaa
Correct father it's true
Safi sana kaka uchaguzi siku moja tu masheikh wa zanzibar wapo kimya
nashallah mungu atakuongoza utakua sawa na utashirikiana na wenzako kudai hakii
Ukisema kweli utasifiwa ww umeongea hongera kweli haki sawa kwawote
Hongra sana mungu atakulipa kher
Saa mbovu kuna muda inasema ukweli
😅😅😂
Hapo umeongea nakukubali,ukiongea ukweli tunakupenda.❤
Na hawo Wana wanaletwa kwa wingi Zanzibar hivi sasa kwa kidungizio Cha kujakufanya kazi kumbe wote wabaingizwa wajewanchague mwinyi 2025 kwasababu Wazibar halisi hasa hawamtaji mwinyi hapa.
uchaguzi wa siku 2 ni aina nyengine ya wizi wa wazi wa haki ya maoni
Hatutaki kura ya mapema sisi na wakileta machafuko kwa kulazimisha wao kukaa madarakani basi nguvu ya Mahakama ya wananchi tutawapindua inshaallah na huku tukiwa na nguvu ya Mungu
leo mmekupendaaa bure
Hapo umeiona haki hamadi Masoud Allah bado hajakuacha mkono Tena akuendeleze kwa msimamo wako huo.
Sema kweli japo ina uma ukweli utabakia ukweli tu la haki lisemwe bila kutafuna maneno
Baba mm ni ACT lakin umeongea point
Washenz wanatafuta kuiba tu hawana Nia njma hao washenz
Kweli kk wanatak kutuwa t bas sisi wazanzibar wanatufanya muhanga WA kutuwa
Washenz wapo kimaslah ya madarak sio maisha ya watu kila kitu bei wao wanashiba fresh tu
Jamani chonde chonde hatari mwataka kuleta mauwaji tena Rais hili jukumu ni lako kesho mbele ya mola utaenda kujibu nn
CCM Yale malalamiko ya misingi yaliyokuwa yakililiwa na upizana pamoja na wakaguzi wa chaguzi wa ndani na nje hawakuyaona wameona la uchaguzi wa mapema tu kwasababu ya maslahi yao
Wanafanya kwa yao hayoo zanzibar kupiga kura kwa siku 2 wakat bara hamna ivo
Safi sana
hongera
Ama kweli mtu si mbwa
Kwa CCM kuuwa watu ili kulinda madaraka kwao sio shida kwani maisha ya watu kwao hayana thamani
Apo nikupe maua yko hamad masod Ningepeda sn muheshimiwa ungane na viongozi wa act kwa ajili zanzibar nawe umo kwenye istoria ya ukombozi wa znz
Kauli zenu ndiyo zinazo sababisha yote haya
Ccm wanachekesha kwa kweli
Kiongoz anapoona kuna ktu kinaweza kuhatarisha amani ni kukiondoa tu yanini kulazimisha hicho kitu ilihali watu wengi hawataki pia.. Au hao wanaokataa kura ya mapema wao si raia? Hekma tu zinakosekana unalazimisha jambo ambalo mnajua linaleta madhara ilimradi muwe madarakani
Wilaya ya ilala ina watu wengi kushinda Zanzibar ila huku tuko wengi siku ya uchaguzi
Milipokua na magufuli hamukuisemea sababu na nyny mulipata ulaji humohumo kwenye kura ya mapema lkn safar hii mumeshutuka kuwa hamna chenu ndio umeujuwa ukweli,yangu ni maneno tu wala sina jengine
Bao la mkono halitakiwi mara hii
ASANTE NITAKUPA KURA YANGU
Mzuri akiwa hayupo yule mbaya anakua mwema😅
Naona umezinduka juu yahili akilin imerud
Upo saw mkuu
Kumbe cuf ipo!?
Bara wanaogopa wapinzani watakinukisha wakileta hio mapema
Hawa ccm ni mbwa!!
Tangia uasi njo kwza uzungumze km mtu
Balahau huna chama ingawa maccm ni madhalim
We domo kayaa hata icho unachokisema hujiamini unaogopa ogopa sikwakua unasema hakki hapana bali umetumwa tuu uonekane kama hutumiki huko uupande fulani
Hana lake huyu
Kumbe chama chako bado kipo hai
Hii ya kueka uchaguzi siku 2 znzbar ni mbinu za CCM kufnya unyang'au wao mbona Bara hawafnyi ivyo wakati kuna idadi kubwa mno ya wabiga kura lkn uchaguz ck moja au huku hakuna jeshi au huku huku hakuna wafnyakaz wa serekali !!? au ndio kw sababu jeshi lote hua wamelihamishia huko maana mzanzbar 1 kila ikifika kindindi cha uchaguz hua analindwa na askar 10 huku bara mitaani hua kweupe wallah askar unawaona mmoja mmoja tu hujui wameenda wapi kumbe wako huko maana wabara huku hawaaminiki mtu anatoka kwenda kituoni kumpigia kura mgombea wa cha upinzani lkn akifika kituoni tu anabadili maamuzi anapia kura CCM hakiya Mungu na serekali ya jamuhuri ya Muungano inalijua hilo na ndio ata hawana wasiwasi nao .
Ccm,wezi,sema,popote
😂😂😂😂😂 siasa bwana usituchezee akili wewe sema ukweli lakin wewe ni ccm hata kinana alisema kuhusu ubaya wa uchaguzi wa 2020 lakin baado ni ccm kwaio tunakujuwa mzee
Bora pemba kuwe na raisi wao na unguja kuwe na raisi wao.ili porojo litaisha mana hutuna nchi wala bendera wala paspoti vyote ni vya Tanzania..
Acha ujinga.
@@JabirJabir-c9o unatumika Tu
Acha ukuma ww yule mama samia nim2wabala achen ubakuzi nyie mbeha
Huna lolote wewe kibaraka tu wa ccm