Aaaah...wamechemka..eti milioni 13..wahusika wasionyeshe ukali wa kuchanganyikiwa...Hivi milioni 13 kwa life la sasa ni mchezo...harafu wanaongea huku wanawaegemea ...Aaaaa...No reaction yoyote ? Siyo kabisa
Kwani mimi sijui kwamba hilo ni igizo? Na siku zote kinachoigizwa kinabeba taswira halisi kwenye maisha ya jamii inayotuzunguka...Hata kama wakiigiza katika uhalisia wote bado litabaki kuwa ni igizo tu linalotoa ujumbe ndani ya jamii inayotuzunguka....Kwa hiyo nilichokiona mimi ni kwamba kuna kakipengele kadogo hakajakaa sawa katika kuigiza
Mzee Matata upumzike kwa amani mzee wangu. Pia, team yako uliyoiacha inaendelea vizuri sana.
Imenitoa machozi kwa kicheko duuu kweli.mpo vizuri
R.I.P mzee matata allha akuhifadhi
Mpo vizuri sana mizengwe daima. 17.10.2020.
Asante kwa kutuunga mkono.
Ndio baba
Sjachelewa sana mizengwe mko juu
Asante kwa kutuunga mkono.
Hataliii
Nyinyi mume muuwa mzee kwa mateso
Mizengwe msiochuja ❤
Asante kwa kutuunga mkono.
Pamoja
mko vizuri sana mbarikiwe
Asante kwa kutuunga mkono.
Inajenga sana kwa vijana kama wataelewa
Asante kwa kutuunga mkono.
Noma saanaaa
Heshima kwenu
Asante, nawe pia. Asante kwa kutuunga mkono.
Kwa nn hamruhusu kupakua video offline ,tutaacha kuangalia shauri zenu
😌😌😋😋😋😋😋😋
Safina ukijipamba unapambika
Ktk PESA hata mtoto wako wa kumzaa haaminiki KWA ULIMWENGU tunaoishi🙌🙌🙌🙌🙌🙌
True thoughts
we thank you for your surport
Mkwele wew husikii usia wa baba mkubwa duh wew kwel kiboko hahahaaa
Kwel upande mwingn mtu unasoma ajira akuna
Myamba iyoo
Sawa mizengwe pambaneni
Mizengwe
Hilo sofa mbona liko nje
Palipo na wazee hakiharibiki kitu
Pesa ilivyo haimuamini mtu hata ukimpa mwanao pesa ya matumizi shuleni lazima atahesabu mbele yako.
Hili ni somo kwa vijana wa mjini wenye kauli ya nyie wakuja sisi tumezaliwa mjini
Aaaah...wamechemka..eti milioni 13..wahusika wasionyeshe ukali wa kuchanganyikiwa...Hivi milioni 13 kwa life la sasa ni mchezo...harafu wanaongea huku wanawaegemea ...Aaaaa...No reaction yoyote ? Siyo kabisa
Tickets za regular zilikuwa ngapi na VIP zilikuwa ngapi?Tuanzie hapo.
Hivi ni vichekesho.
Hakuna uhalisia
Kwa hiyo unatakiwa ucheke tu uhalisia kaangalie Panguso
Kwani mimi sijui kwamba hilo ni igizo? Na siku zote kinachoigizwa kinabeba taswira halisi kwenye maisha ya jamii inayotuzunguka...Hata kama wakiigiza katika uhalisia wote bado litabaki kuwa ni igizo tu linalotoa ujumbe ndani ya jamii inayotuzunguka....Kwa hiyo nilichokiona mimi ni kwamba kuna kakipengele kadogo hakajakaa sawa katika kuigiza
@@bakarisongoro4789 Asante kwa kutuelewa na asante kwa kutuunga mkono.