Tanueni barabara kwanza ndo kwanza mnaongeza mizigo vibarabara ulimi wa nyoka magar yashakuwa mingi mnawachia watu wanajenga kiholela tu njian hamsemi chochote badae muje wavunjia wakat mumewausia nyie
Mheshimiwa bomoa upande wa kariakoo mpk kwalinatu kwahani jenga maduka soko nyumba nk kituo hicho kitafunction vzr ajira itaongexeka kwakua enjoy hilo ni mradi ulioanxishwa na Dr shein
Mukajenge kituo cha mabasi kijangwani wakati mji unaanza forodhanii, mabasi watu walikuwa wakipanda darajani mkahamisha, leo kijangwa hamuoni huo ni usumbufu kwa sababu nyinyi mnamagari yenu mnasimamisha sehemu yoyote. Wengine wazee anamizingo akapande kijagwani. Au mimi ndio sijaelewa.nieleweshwe yaniingie .
🤣🤣🤣🤣Subiri utaona June July utaburura mizigo mpaka mjino na wagomjwa mpaka MMmoja Hospital. Madalala mabovu na matinga Tanga ya mbao yatafutieni pa kuyapeleka wakubwa wanaleta moradi yao. Tupo na tutafika mwisho
Tanueni barabara kwanza ndo kwanza mnaongeza mizigo vibarabara ulimi wa nyoka magar yashakuwa mingi mnawachia watu wanajenga kiholela tu njian hamsemi chochote badae muje wavunjia wakat mumewausia nyie
Mheshimiwa bomoa upande wa kariakoo mpk kwalinatu kwahani jenga maduka soko nyumba nk kituo hicho kitafunction vzr ajira itaongexeka kwakua enjoy hilo ni mradi ulioanxishwa na Dr shein
Mukajenge kituo cha mabasi kijangwani wakati mji unaanza forodhanii, mabasi watu walikuwa wakipanda darajani mkahamisha, leo kijangwa hamuoni huo ni usumbufu kwa sababu nyinyi mnamagari yenu mnasimamisha sehemu yoyote. Wengine wazee anamizingo akapande kijagwani. Au mimi ndio sijaelewa.nieleweshwe yaniingie .
Ujio wa mabasi au kituo cha mabasi? Kasomeni uandishi msiige tu kazi za watu.
Hana lolote huyu kamba tupu
sawa
Nyie wote wanzanzibar ni wanyamwezi usiwaseme vibaya kuwa ushahidi wa kinyamwezi
Hahaha
Mimi nauliza mji umeanza kijangwani au stand tu pale yatafanya kazi mpaka darajani au ndio uburure mizigo mpaka unapokwenda
🤣🤣🤣🤣Subiri utaona June July utaburura mizigo mpaka mjino na wagomjwa mpaka MMmoja Hospital. Madalala mabovu na matinga Tanga ya mbao yatafutieni pa kuyapeleka wakubwa wanaleta moradi yao. Tupo na tutafika mwisho
Darajani hakuna nafasi
Hongera rais wetu