DKT MWINYI AKIFAFANUA UJIO WA MABASI MAPYA ZNZ | SIYO MABASI YOTE YATAKAYOKUJA MJINI TENA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

КОМЕНТАРІ • 12

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Рік тому +4

    Tanueni barabara kwanza ndo kwanza mnaongeza mizigo vibarabara ulimi wa nyoka magar yashakuwa mingi mnawachia watu wanajenga kiholela tu njian hamsemi chochote badae muje wavunjia wakat mumewausia nyie

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Рік тому +1

    Mheshimiwa bomoa upande wa kariakoo mpk kwalinatu kwahani jenga maduka soko nyumba nk kituo hicho kitafunction vzr ajira itaongexeka kwakua enjoy hilo ni mradi ulioanxishwa na Dr shein

  • @rauhiyasaad5384
    @rauhiyasaad5384 Рік тому +1

    Mukajenge kituo cha mabasi kijangwani wakati mji unaanza forodhanii, mabasi watu walikuwa wakipanda darajani mkahamisha, leo kijangwa hamuoni huo ni usumbufu kwa sababu nyinyi mnamagari yenu mnasimamisha sehemu yoyote. Wengine wazee anamizingo akapande kijagwani. Au mimi ndio sijaelewa.nieleweshwe yaniingie .

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc Рік тому

    Ujio wa mabasi au kituo cha mabasi? Kasomeni uandishi msiige tu kazi za watu.

  • @ommykhatib
    @ommykhatib 9 місяців тому

    Hana lolote huyu kamba tupu

  • @bekabeka-ww2mn
    @bekabeka-ww2mn Рік тому +1

    sawa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому

    Nyie wote wanzanzibar ni wanyamwezi usiwaseme vibaya kuwa ushahidi wa kinyamwezi

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 Рік тому

    Mimi nauliza mji umeanza kijangwani au stand tu pale yatafanya kazi mpaka darajani au ndio uburure mizigo mpaka unapokwenda

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 Рік тому

      🤣🤣🤣🤣Subiri utaona June July utaburura mizigo mpaka mjino na wagomjwa mpaka MMmoja Hospital. Madalala mabovu na matinga Tanga ya mbao yatafutieni pa kuyapeleka wakubwa wanaleta moradi yao. Tupo na tutafika mwisho

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 10 місяців тому

      Darajani hakuna nafasi

  • @khamisMakame-x9s
    @khamisMakame-x9s Рік тому

    Hongera rais wetu