SHEIKH MZIWANDA BILA UOGA AMWAMBIA MUFTI "UMETUONDOLEA TUNAEMPENDA, UMETULETEA TUNAEMPENDA ZAIDI"
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Kongamano la kuukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhani na kujadili mmomonyoka wa Maadili, leo March 20 Ukumbi wa Karim Jee Dar Es salaam.
Hii safi sana, moja ya hutuba bora kabisa za Sheikh Mziwanda, hii bomba.
Mashaallah Allah tuwekee masheikh wetu tuzidi kupata dawa
Huyu mziwanda ana akili huyu, masha ALLAH!!
fantastic 💪 Allah akuhifadh na hassad
Sikujua sheikh mziwanda upo vema hivi, Allah akupe mema katika kila unachokifanya Insha Allah
Maashaa Allah ! Shukran shekh nakupenda kwa ajili ya Allah
Masha Allah, Allah Akbar Sheikh Mziwanda Alhamdulillah.
Mola akupe umri mrefu na kukupanulia elimu yako na maarifa yako na uongezi wako wa maarifa inshaallah. Kullu aam wa antum bukheir wa Ramadhani kareem
Sheikh mziwanda ALLAH akubariki nakupenda. Kiboko cha Mashia wakikuona wanatamani wakutafune kisha wakuteme baharini
Eti kiboko ya mashia toka lini awe hvyo mnajidanganya utam san
@@khuswayikidaghanya6321 manake aliwambia ukweli yakuwa wanawatukana maswahaba. Na hakuna sheikhe aliyewahi kutoka hadharani akawambia ukweli. Ndio maana nikasema ndie kiboko wa wa Mashia
Mashaallah ya sheykhe muharram mziwanda
بارك الله فيك الشيخ المفتي
Jazaakallahul khaira jembe!
Sheikh Mziwanda ni azina ya Taifa
Mash Allah
Shekh unaongea kwa makinisana Allah akuweke inshallah.
Mashallah mungu akulipe kila LA kherii
Mashallah
Hii mashine sio mchezo Allah amuhifadhi
Mashaallah lahaula Wala kuwwata illa billahi
Asante sana
MAA Shaa Allah 🙏
Maashaallah ❤❤❤❤❤
Maa Shaa Allaahu
Vizuri mwalimu
Mashaallah
Marshallah Marshallah
MashaAllah ❤️❤️
MashaAllah!
Mimi ni mkristo lakini huyu jamaa amenikosha sana kama marehemu shk.gorogosi
Ma shaa Allah
Mwenyezi Mungu Akuongoze zaidi nafsi yako izidi kuipenda kheri na uingie katika kheri kubwa zaidi ya Uislamu 🤲🏽.
Allah baarik
Hayo maneno ya mziwanda Niya jinsi ya kuzibiti njaa yake,acheni unafiki,HAo mashee wawili wamikoa nao wanalijua hilomtakuja kuumbuka zaidi e,
❤
Wakristo tujifunze kwa wenzetu kwenye dini yao hawaigizi bali wako siliaz
🙏🙏🙏
Asalaam ALEIKUM NDUGU zangu wapiga picha Hao WANAWAKE hapo waliojipamba wamefuata Nini? MBONA hawajavaa vazi letu hijab wamejipamba KWELI NDIVYO Mwenyezi MUNGU alivyotuagiza?
Nime kukbali kitambo siyo leo we nifundi wa qiraani
Fundi ❤
احستم
Hongela Sana shehe mziwanda mungu akudhidishie heli ,
Bingwaa wa kufundisha!!!
Mzuwanda wewe nifundi wallah nakuelewa hasa kwenye hujah
Chuma mziwanda
Fundi mmoja
Kama mwijaku
Kama kabudi!!!!
Mwamba
hawa ni wanafiki akiondolewa huyu wa sasa watasema maneno kama haya
hawana hata aibu wala haya
Haya ni maneno ya hekma huwezi sema kua ametolewa mbaya kaletwa mzuri hvo cyo wenye ilimu wameelewa alichozungumza sheikh
Allah Akusamehe, Kuwa staha kwa viongozi wa dini
@@jafarimruke9111 ni unafiki na kujipendekeza tuu siyo jingine
tumewazoea wanakumbatiana ktk masherehe wakitoka hapo vijembe mwanzo mwisho
mfano mzuri sheikh abuuid na sheikh alhadi mpaka clips za kukashifiana zikatoka mara ghafla wakaita waandishi wa habari ooh tumemaliza tofauti zetu ha ha ha haa haa
mbona Una wivu hivyi @hamynas,,
Waombee Wenzio kheir na lio sema ni Mmoja umewaunga wote Allah akuongeze katika kheir
ila sheikh kasema Kwel Sheikh Walidi anapendwa sna na atazidi kupendwa ma Allah Ndio alifnya awe Hivyo alivyo sio kwa kutaka yy Ila Allah
@@jafarimruke9111 kwelii Kaka
⁰
L0
Maashallah
Mungu akuzidishie inshaalwah
Mashaallah