ila tuache utani Mnatutesa sisi Mashabiki zenu et 3 Week tunagoja Ep 1 msitufanyie Ivyo Jamani daaa ...tunawaomba Ata Baada Ya week tyu mtuwekee UA-cam et ....ila nawakubaliiii KinYama👊🔥🔥🔥🙏
Nawaelewa sana. Movie kali ila sema inatoka kwa machale. Nilikua nomba kama inawezekana mtoe utaratibu watu tuinunur. Wekeni namba tunalipia au mtengeze group la whatsap watu tujoin tulipie movie zenu. Aio kama hibi mnatuweka wiki mbili, tatu tunasubiri ep 1. Mpk inagikia watu tunasahau ipoishia.
Asikwambie mtu. Ni bonge la series ebe. Ni promo tu mazee. Lakini ni bonhe la series haijawahi tokea. Ukianzia katikati halafu ukaja ukasimulia tulikoanzia unaweza kudhan are two different stories. Bonhe la utundu, bonhe la utunzi, bonhe la ubunifu. Anayebisha mh.....
Sema mnatuchelewesha sana mnatunyima uhondo from dom
Kazi nzuri shida mnacherewa kutoa
MASTER G ANAJUA SANAAAAAA KUIGIZA✊✊✊✊✊
Nakubali family
Moto unazidi kuwa mkari❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Kikosiiiiiiiiiiiiih!!!
Yaaani nimecheka sana kusikia anakupenda sana!!!
Yaan my brother mdachi haendan na hii tabia ni mpoleee mno😂😂😂 NASHANGAA humu alivyo na roho mbay
Nitamwimbia bwana shetani ashangae ❤❤❤ nawakubali yaani mnavo cherewa kureta mwendelezo mnatukana sitim
Wela welaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaa Miamba imerudi tena ila mnafanya tuwamiss sana an jaman tunaomba Muwe munajalibu kuwah💪💪💪💪💪
Wanangu kikosi....father g....mpenzi kasi...na wote mnajua kikosi noma dady ❤❤❤
Mpo vzur nasubirig kwa hamu sana episode zenu
Kaka benroyal mbona mpo kimya sana kiasi kwamba movie inakaa mda mrefu sana msitusubilishe mashabiki kiasi hicho.
I love you Tim mtuuuu. Nawapenda Sanaa. Jamani. Kutoka kibelegee
mnachelewa sana kutoa episodes inapunguza uzuri wa series
waze haya sasa ndo mambo nawakubali sana mike from kenya
"JINA" Ni
bonge kitu asee and iko unique
Nilikuwa nasubiri matriyo ya mtuuuuuuuuu sanaaaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 here from Mozambique 🇲🇿 boy from Tanzania 🇹🇿 pamoj Sana
Jaman iyo movie ni kali kinyama nyama, Ila tatizo inachukuw mdaa sana, I'm waiting for the next part.
Mko vizuli sana Ben team sema mnakawia sana jamani mwezi mzima pls angalau siku nne nne jamani❤❤❤ nawapenda sana🎉
Benroyal mnazingua jaman jitahidini kuwahi mashabiki zenu mnatuangushaaaaaaa😔
Master G ndo mfano wa wale jamaa zetu wanao tukubali sana na wenye True Love kwa wana..Appreciate sana 🤞
Uko sahih kbs
Nikwel kabasa nampenda joyc
Tumesubiri saana asee ✊
Mamb ni motoo🔥🔥🔥 nakubali San kikosi ila msitucheleweshee ❤❤
❤kazi nzuri sna
Nimeisubili Kwa muda murefu sana
Nakubal wazèe igdimaa
Oya hakuna kufake humu, wali unabebwa kwenye Rambo 😂😂🙌🏽
😂😅 Sana family
Nawakubali sana Wanangu ❤❤ sema tunawa miss sana
Nakubali sana kazi nzuri,ila jitahidini kuwahi muda wa kuachia hizo kazi , maana zinachelewa sana, From Mozambique
Kadogo lakini katam🎉❤
Kikosi umetisha sana 😂😂 mtu wangu ila kweli mungu ndio kilakitu
Daa mmetusubilisha sanaaa nyie wat asaiv mtuwaishie jmn c mnajua tunavyowapenda eee🥰🥰🥰
ila tuache utani Mnatutesa sisi Mashabiki zenu et 3 Week tunagoja Ep 1 msitufanyie Ivyo Jamani daaa ...tunawaomba Ata Baada Ya week tyu mtuwekee UA-cam et ....ila nawakubaliiii KinYama👊🔥🔥🔥🙏
Naona picha ndio imeanza sasa utamu sana big up sana jamaa
Safi sana, nyinyi wote ni WATU..mnatisha kila episode ❤❤❤❤
Nisinge penda abel unijue mimi ni nani! 😢😢😢
Kazi safi sana ❤❤
zimenonaaa 3 mia tano karibuni sanaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣.mmeiskia au n mm 2
Mtu .mbeya all the bst❤❤🎉🎉🎉🎉
Nawaelewa sana. Movie kali ila sema inatoka kwa machale. Nilikua nomba kama inawezekana mtoe utaratibu watu tuinunur. Wekeni namba tunalipia au mtengeze group la whatsap watu tujoin tulipie movie zenu. Aio kama hibi mnatuweka wiki mbili, tatu tunasubiri ep 1. Mpk inagikia watu tunasahau ipoishia.
Fimbo ❤❤
Asikwambie mtu. Ni bonge la series ebe. Ni promo tu mazee. Lakini ni bonhe la series haijawahi tokea. Ukianzia katikati halafu ukaja ukasimulia tulikoanzia unaweza kudhan are two different stories. Bonhe la utundu, bonhe la utunzi, bonhe la ubunifu. Anayebisha mh.....
Hapa sasa ndo picha linaanza kama movie inavyojitambulisha jina 🔥🔥🔥🔥
Niliisubiri sna hki❤❤
Mtuu 👽👽👽
Mbanga name anajua sanaaa asee ndo my favorite actor
Kikosiiii❤❤
Master G na kikosi mmetisha sana aisee, from Germany 🇧🇪
Pamoja family
Aiseee bg up kwenu nyote mnajua mpaka mnajua tena
Motoooooo✈️✈️✈️💥💥💥
Niliwamiss sana jamaniii likes zangu plz
Nimefurahishwa sana baraka I love than them
🔥🔥🔥🔥fire fire fire kazi safii Fam❤
Hakika hii movie ni 🔥 asante washiliki ila tunaomba muwe mnatuwahishia miendelezo❤❤
,🔥🔥🔥🔥
Daah nawakubal sana mnaweza sana
Duuuh kaz nzuri
This is love from Moçambique 🇲🇿😊
Atua kubwa sana hii tuendlee kusapot kaz za nyumbn
Yaani kyejo 😅😅
Nakubali sana kaka😅😅
Aki baraka nakupenda bure kaka unanifuraisha sana ❤❤
Master G 😂😂
Mbeya to the top🔥🔥
🙏🏻🙏🏻
🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Mambo 🔥🔥🔥🔥
next please 🙏
Mtuuu mtuuu❤
Naelewaga sana kaz zenu ni 🔥🔥🔥🔥
Yaleo Kali saana
Master Gee...amina sana😂😂😂
fuegoooo🔥🔥🔥🔥
nawakubar sana mkuuu ila mnatucheleweshea hadi tunasahau
Atujui changamoto mlizonazo ila inachelewa sana
🔥🔥 always good appreciate we still waiting for another one
Mbeya tunaweza san
Asanten xana tumesubili xana❤❤❤❤
ila mnakaa sana wazèe dah
Mbeya city is on top
Wanangu mnaringa sana n Jina yenu ad mnakera.mnatoa kw manati ad bac
Shida moja wanetu zinachwelewa kutoka
Mtu thanks for coming guys I love you so much
🔥🔥🔥
Mhhhhh mmetisha sana
jina🔥🔥🔥
❤nimeisubiri sana jamani 🎉✨☀️💯
Mnazingua saana mna chelewa saana kuachia maise
🇹🇿🇹🇿naiwapenda sana 🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Ogeraa sanaa ✊🏻✊🏻🔥🔥
Atali sana
Next please
Naona bintu biko bye ✌️ 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤ ni Akili 🇺🇸
Tatizo mnachelewesha sana
Shida nini benroyal tunasubiri episode Moja mwezi mzima
Daah ninyi ni wakal sana Saloot kwako Drct BEN
😅😅😅😅mm nichome niambie siz ukweli
😅😅😅😅😅 iko ndn
Mnachelewa kutoa movie wakuuu
Move ni nzuri sema tazio manchelewa Sana mpaka tunafika hatua sasa ya kuchoka tunaanza kufatilia wasanii wengine jamani msifanye Ivo bwana
Noma sanaa man 🔥🔥 sana
Kazi nzuri lkni mnakarisha sans
🎉🎉mmechelewa sana