wanawake tufike mahali tukae mbali na mwanaume wa wenyewe"""watu mnakaa na mbavu za wa2 zikianza kuwasumbua mnaanza kulalamika""Cha mtu MAVIIIIII"""aaaa!!!nasikia hasiraaa
Media za BONGO noma ndo maana amhendelei yaana maswali yenu upuuzi tu sasa badala yakuoji maswali muhimu eti mna focus kwenye maswali yakipuuzi tu lini Bongo movie ita songa mbele.
Mimi nanyamaza maana NANA alikua akisema kistarabu kweli kama hana mahusiano n rayvan lkn mwisho siyuko n rayvan junior so mtashindana n huyu kigosi husu n msanii mkubwa anajua kupanga maneno,,,,,langu n moja watajijua wenyewe😂😂
Sasa kama ukikaa na wanawake unavimba vimba mbona hujapasuka maana chuchu mwanamke johari mwanamke nahao unaoigiza nao 90/ niwanawake siungeisha pasuka zamani sana?
sasa nyie watangazaji kwa kweli mnashuhulikia kusapiti zina, huyu Ray hajamuowa huyo chuchu, wameanzia zina, na Ray yuko anatafuta mchumba mbichi wacheni kumsumbuwa, awo wabibi wanopenda kuzalishwa bila ya ndowa wataingiza akili mwaka huu 😏...
Nana inaonesha anapenda kudanga, na Ray maji yameisha maana ushakuwa mweusi, Na Chuchu Ray hakutaki kashakuchoka maana sio kwa majibu hayo, lea mtoto single mother sikuhizi ni kutafuta pesa,
Huyo alimchoka chuchu sasa hivi ana mwingine na vipi ray uliacha kunywa maji mengi maana umekuwa mweusi sana au hela ya kununua vitu vya kuchota imekwisha
Pole chuchu, wakat unamliza Johari ulitegemea ninii, pole sana
Muosha huoshwa
Kwa mwali uliwa na kwa somo huliwa pambana
Alijua akizaa nae ndio ataishi nae milele
wanawake tufike mahali tukae mbali na mwanaume wa wenyewe"""watu mnakaa na mbavu za wa2 zikianza kuwasumbua mnaanza kulalamika""Cha mtu MAVIIIIII"""aaaa!!!nasikia hasiraaa
alipenda aanze kuziniwa halafu nyumayake afkiri ataolewa, never 😏
Ray siezi kukulaumu kaka uko sawa na uko tofauti na wasani Wa Tz
Nmecheka sana Huy ndo Ray 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼etiiii nn akikaa na wanawake karibu anapat malenge malenge 🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
Safi umejibu kiume bro!!
Tajiri mwenye aki pia💫
Hahaha! et labda anapenda yeye kulialia...
Kama hili neno limekufurahisha kama mm gonga like apa 2juane
😀😀😀😀
😂 😂 😂 😂
😂😂mi limenichekesha sana
Kaka Rey ww uko poa wala siwezi kukuhukum sawa katika mtu hana skendo mbaya moja wapo ww wakuache
Kabisa
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake
Joharii Dada Yangu chukua kapu ukavune
Tatizo media hawasapoti bongo movie why wasiwaite kwenye show kama wanavyofanya kwenye bongo fleva,wape support please!!!sio umbea tu
ray baba una teseka sana
Ray uko sawa
Ety ana areji na wanawake anavimba vimba malenge renge 😂😂🏃♀️🏃♀️
😂😂😂😂😂
Ushangingi na ushangingooo🤣🤣🤣
Jokha Suley weee🤣🤣😂😂🤣🤣
🤣🤣🤣😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ahahaaaaaaaaaaa
Sina uzoefu na uandishi wa habari lkn mtazamo wangu huyo jamaa hajuwi kuuliza maswali!!!
Nkweli kabisa
Bila shaka ndugu yangu mtangazaji ovyo sana
Msimchafue Ray bnaaa mtakula magumi 👊👊👊👊ya uso aiseee
Mtangazaji anavotngsha kchwa,utasema Ni JINI.🤣🤣😂🤣😂Oyaaaaah gonga like hapa,Kama mmemuona JINI anamuhoji RAY KIGOSI???
😂😂😂
Hahahaha
Hahahahaaaaaa mbvu zngu
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣umeona eeee
safi ray labda anapenda kulia
Huyu ray ana choyo sana. Hapendi mtu apate alimkaa kooni kanumba sasa na yeye kafa kama kanumba. Bora mwenzie kazikwa kajulikana yeye kapotea duniani
Ila jamaa huwa yupo na majibu ya fasta sana yani 🤣🤣🤣🤣
😀😀😀
ujuwe huyo Ray ni mcheza cinéma kwa migeuzo humuwezi...
eti sina tabiya ya shagigi na ushagogo ahhha kasema kweli tu na kukubali sana ray
Natamani kuigiza na wew
Kwel Rey wewe noma yaan ukikutana na wadada bac kwako majanga ujumbe umewafikia haoo mashakugongoo
Aaaah naona ray unajibu shot Kati tu duuuuh 😅😅 Aya Baba nmependa kauli yako eti labda anapenda kulia duuuuh hatari sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenifurahisha sana rey atiii ninaalaji na wanawake zeen ushangingii na ushangongoooo😅😅😅😅😅😅nakupenda sana rey
Huyu mtu anavyo foka kwenye movie zake nyinyi wenyewe majibu mnayo
Naongea kiswahili lakini ya TZ imenishinda. .waaaah! !!!!
@Change Mindset sure
kwa sababu ni kizuri mnoo nakipenda sn kiswahili lugha yetu
@@zaitunijuma7831 na hao wanaipenda ya Mombasa
@@danneismail5442 sijuwi man siwez kusemea mioyo ya wtu
Acha cha TZ tu ata kiswahili cha Mombasa (Pwani ya Kenya) kinaweza kukushinda😁
Jama Rey n mu handsome 😍. wana mwonea tu. Iia ata ukipeana aijiandiki kisogoni nimepeana inje leo😜🤣🤣🤣🤣 Ela kuwa makini kaka
watanzania sijui watakuwa lini mwanamme mmoja anatembea na wasichana karibu wote leo huyu kesho huyu yaani mnabadilishana kama dala dala panda shuka
Tatizo Wagogo wanajisikia huyu wa Mpwapwa hana tafauti na Wagogo wenzake Dodoma
Ww hataree sana wagogo tuko good 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ray kweli huna sikeñdo mbaya
Media za BONGO noma ndo maana amhendelei yaana maswali yenu upuuzi tu sasa badala yakuoji maswali muhimu eti mna focus kwenye maswali yakipuuzi tu lini Bongo movie ita songa mbele.
Nimechek majibu ya ray🤣🤣🤣🤣hatak maswal ya chuchu kuulizw jmn Haw ndio wanaume bhna 👌ana vimba
Brother usibadilishe tabia good guy Disco hazina maana
Nana anaonesha anapenda kudanga
Sanaa
Danga mdogo anakuja kuja kuja
Wajinaaa!
Ushangingi ushangingo😂😂😂😂😂
Majibu yake kama anaect.mchezo.ivi
Yaliomkuta kibeku ungo nae yamemkuta🔥🔥🔥
Ray mjinga tuu. Ana majisifu sana, anajiona kama boss lady wa uganda hahaaaaaa
Duh! Boss lady Tena??!
Umekuwa black mjuba..maji yalikauka au 😀😀😀😀
Huyo ndo Kigosi bhana.
Ushangingi na ushangingooo😂😂😂😂😂😂 duu rey
HEEEE HUYU MTANGAZAJI MWANAUME😢😢MBONA USHUNGI 😁😁😆
Wamempata show siku hizi watangazaji Wa bongo kuvaa shungi wanaboa
Huyu ndo zake ushungi sjui anann
ehéee ndo wote hawo wa Juma Lokole 😂😂😂
Hii ni for security reasons
😁😁😁
Kumbe unayo..yaigiza it's not kuigiza..ndo urivo??very disappointed🙄
Nana we malaya kwann unaharibu ndoa za watu
🤣🤣🤣 sina ushangingi na ushangingoo
Kumbe umesikia
Yan rey jinsi anavoongea na anavoigiza hamna utofauti 😂
Nanyinyi watu hajasema ndo kitu anachokipitiya ila alisema ni expérience aliyo ipata kwa watu wa karibu walipokuja kumpa tatizo zao
RAY:Kuna tofauti ya Playboy na Malaya
MTANGAZAJI: Ww tukuweke wapi apo?
Me: Hii ndo WCB 😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Rày umezungmza vizur
Aaaaa alegi hiyoo veeeep
Hahahaha Ray buana eti labda yeye anapenda kulialia.
Ray uliacha kunywa maji mengi?
kaacha naon
@@zaitunijuma7831 😂😂😂😂😂😂
@@janewashe7276 ndio my ss tusemej
Umeona we pia🤣🤣🤣🤣
@@zaitunijuma7831 shidaaaaaa😂😂😂
Mtangazaji mbona kama huwa unackitika sana hadi kichwa unainamisha nn tatizo?
Jaman huyu Ray mbona kawa mweus au ni hii lockdown mchina akakosa usafir. Au. Mapipi yameisha maji
Aliacha kunywa maji mengi na zoezi😂
Aaaliyah mwaaahest
Nampenda rey baba tandi
Acha usenge play boy sio Pub na disco, may be una piga house Girls www 😂😂😂😂
Hahahahaaaahaaaa rey umenifulahisha et huna ushangingi Wala ushangingo
Kama uliskia ushangingi na ushangingo gonga like
Mnafeli na maswali yenu kwa kweli...mnauliza watu maswali yanayaoudhi
Ray ka pole kweliii 🤣 lkn kwangu mm ray anajitetea
😂😂😂 ushangigi na ushangongo kumbe Ray anaongea ivi!
Yaani ray unazingua eti labda anapenda kulia kulia😂😂😂😂
Udaku!!!
Huyu Jamaa Alimchamba Soudy brown, dah yule brown alijichanganya sanaa😁😂
Mimi nanyamaza maana NANA alikua akisema kistarabu kweli kama hana mahusiano n rayvan lkn mwisho siyuko n rayvan junior so mtashindana n huyu kigosi husu n msanii mkubwa anajua kupanga maneno,,,,,langu n moja watajijua wenyewe😂😂
Hahaha Rey hana tabia ya ushangingi na ushangingo
Kuku wa kienyeji😂😂😂😘
UNALIA NINI CHICHU KWANI AMEKUOA WANAWAKE BADILIKENI MNAWEZA MBONA BILA MWANAUME
Tena sana. Tunaweza sana,
kama sio umalaya ni nini 🙄🤔, halafu mtoto wa kiarabu, hovyooo mchiiiiiii
nashangaaa
@@zaitunijuma7831 kulilia ona sasa huyo mwanaume sasa anavyojibu,
@@queenwinnie256 yan anajibu utumbo2
Mtangazaji huyu ana maswala ya maudhi 😁😁😁!!
Nakubal xn
Mbn huo mdomo wako hauko sawa kama nilixoea
Hili sengee saanaa nalo
Hicho kichwa Cha mtangazaji hakitulii Kama robot mweeh...Ana vitukooo
this journalist hawezi kabisa
Nlikuwa nasubir aseme UNASEMAAAAAAAA
Huyu nana mbna km mdangaji
I never New Ray is super Ego 😳
Exactly
Anaaleji na wanawake
eti nikionana na wanawake navimbavimba malengelenge😆😆😆😆😆
Sasa kama ukikaa na wanawake unavimba vimba mbona hujapasuka maana chuchu mwanamke johari mwanamke nahao unaoigiza nao 90/ niwanawake siungeisha pasuka zamani sana?
Mahinda nayy alilia sana zamu yko
Njoo kwangu chuchu achana nae uyo play boy
sasa nyie watangazaji kwa kweli mnashuhulikia kusapiti zina, huyu Ray hajamuowa huyo chuchu, wameanzia zina, na Ray yuko anatafuta mchumba mbichi wacheni kumsumbuwa, awo wabibi wanopenda kuzalishwa bila ya ndowa wataingiza akili mwaka huu 😏...
Fact
Dada enu mtangazaji leo kava nini nyie😑
Ray munamsingizia sio play boy
Wakati kamuondoa johari alijiona mwamba xx yamemkuta yeye
Kabisa alilinga ngoja nae aone
Huna ushangingi wala ushangigo
Ray bana et anaushangingi na ushangingo 😂😂😂
Play boy niyule mwanamke anaye cheza cheza na wanawake
Alafu hili jomba halijui kudanganya haahaa laonekana tu lapenda madem ata venye laongea haahaa
Nana inaonesha anapenda kudanga, na Ray maji yameisha maana ushakuwa mweusi, Na Chuchu Ray hakutaki kashakuchoka maana sio kwa majibu hayo, lea mtoto single mother sikuhizi ni kutafuta pesa,
Kwa majibu ya Chuchu tu inaonekana kabisa hamjali Chuchu .
Malengelenge😆
Huyu mtanzaji choko?
Yaani chuchu kazi unayo, uyu ray atakuliza mpaka macho yafumbe, anavyo ongea tu unaelewa
Mwanamume kama huyu ambaye simuazi aki nihatari sana anaumiza moyo sana
Hahahaaa tunaishi Kama mnavyoishi ninyi Ila kinyume chake, mkijipendekeza sisi tunawalipua
Chuchu ray hakutaki
Itakuwa
Ooh
Huyo alimchoka chuchu sasa hivi ana mwingine na vipi ray uliacha kunywa maji mengi maana umekuwa mweusi sana au hela ya kununua vitu vya kuchota imekwisha
Eti nikikaa na wanawake navimbavimba