RAY KIGOSI AMJIBU CHUCHU HANS/NIKIKAA KARIBU NA WANAWAKE NA VIMBAVIMBA/ANAPENDA YEYE KULIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 236

  • @jenfan8781
    @jenfan8781 4 роки тому +65

    Pole chuchu, wakat unamliza Johari ulitegemea ninii, pole sana

    • @monicamwanjisi693
      @monicamwanjisi693 4 роки тому +3

      Muosha huoshwa

    • @sifathabit4969
      @sifathabit4969 4 роки тому +2

      Kwa mwali uliwa na kwa somo huliwa pambana

    • @wemaomarywema6852
      @wemaomarywema6852 4 роки тому +3

      Alijua akizaa nae ndio ataishi nae milele

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 роки тому +2

      wanawake tufike mahali tukae mbali na mwanaume wa wenyewe"""watu mnakaa na mbavu za wa2 zikianza kuwasumbua mnaanza kulalamika""Cha mtu MAVIIIIII"""aaaa!!!nasikia hasiraaa

    • @cestlaviecestlavie4073
      @cestlaviecestlavie4073 4 роки тому

      alipenda aanze kuziniwa halafu nyumayake afkiri ataolewa, never 😏

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 роки тому +3

    Ray siezi kukulaumu kaka uko sawa na uko tofauti na wasani Wa Tz

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 роки тому +9

    Nmecheka sana Huy ndo Ray 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼etiiii nn akikaa na wanawake karibu anapat malenge malenge 🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼

  • @wabaremasandiko1024
    @wabaremasandiko1024 4 роки тому +5

    Safi umejibu kiume bro!!

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH 2 місяці тому

    Tajiri mwenye aki pia💫

  • @zuhrajafari7006
    @zuhrajafari7006 4 роки тому +87

    Hahaha! et labda anapenda yeye kulialia...
    Kama hili neno limekufurahisha kama mm gonga like apa 2juane

  • @stellandege5594
    @stellandege5594 4 роки тому +22

    Kaka Rey ww uko poa wala siwezi kukuhukum sawa katika mtu hana skendo mbaya moja wapo ww wakuache

  • @mariabora1358
    @mariabora1358 4 роки тому +2

    Joharii Dada Yangu chukua kapu ukavune

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 4 роки тому +19

    Tatizo media hawasapoti bongo movie why wasiwaite kwenye show kama wanavyofanya kwenye bongo fleva,wape support please!!!sio umbea tu

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 3 роки тому +1

    Ray uko sawa

  • @dottnatta310
    @dottnatta310 4 роки тому +12

    Ety ana areji na wanawake anavimba vimba malenge renge 😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @jokhasuley3661
    @jokhasuley3661 4 роки тому +40

    Ushangingi na ushangingooo🤣🤣🤣

  • @hamidsaid2572
    @hamidsaid2572 4 роки тому +10

    Sina uzoefu na uandishi wa habari lkn mtazamo wangu huyo jamaa hajuwi kuuliza maswali!!!

  • @stellandege5594
    @stellandege5594 4 роки тому +1

    Msimchafue Ray bnaaa mtakula magumi 👊👊👊👊ya uso aiseee

  • @jumaradhm3926
    @jumaradhm3926 4 роки тому +24

    Mtangazaji anavotngsha kchwa,utasema Ni JINI.🤣🤣😂🤣😂Oyaaaaah gonga like hapa,Kama mmemuona JINI anamuhoji RAY KIGOSI???

  • @esterkimario1126
    @esterkimario1126 4 роки тому

    safi ray labda anapenda kulia

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 4 роки тому +1

    Huyu ray ana choyo sana. Hapendi mtu apate alimkaa kooni kanumba sasa na yeye kafa kama kanumba. Bora mwenzie kazikwa kajulikana yeye kapotea duniani

  • @modricnoma3686
    @modricnoma3686 4 роки тому +30

    Ila jamaa huwa yupo na majibu ya fasta sana yani 🤣🤣🤣🤣

  • @merveillekasai8936
    @merveillekasai8936 4 роки тому +1

    eti sina tabiya ya shagigi na ushagogo ahhha kasema kweli tu na kukubali sana ray

  • @tatuheke1483
    @tatuheke1483 2 роки тому

    Natamani kuigiza na wew

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 4 роки тому +2

    Kwel Rey wewe noma yaan ukikutana na wadada bac kwako majanga ujumbe umewafikia haoo mashakugongoo

  • @natalyaneyzar2093
    @natalyaneyzar2093 4 роки тому

    Aaaah naona ray unajibu shot Kati tu duuuuh 😅😅 Aya Baba nmependa kauli yako eti labda anapenda kulia duuuuh hatari sana

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenifurahisha sana rey atiii ninaalaji na wanawake zeen ushangingii na ushangongoooo😅😅😅😅😅😅nakupenda sana rey

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 4 роки тому +13

    Huyu mtu anavyo foka kwenye movie zake nyinyi wenyewe majibu mnayo

  • @daisyajanga325
    @daisyajanga325 4 роки тому +10

    Naongea kiswahili lakini ya TZ imenishinda. .waaaah! !!!!

    • @daisyajanga325
      @daisyajanga325 4 роки тому

      @Change Mindset sure

    • @zaitunijuma7831
      @zaitunijuma7831 4 роки тому +1

      kwa sababu ni kizuri mnoo nakipenda sn kiswahili lugha yetu

    • @danneismail5442
      @danneismail5442 4 роки тому

      @@zaitunijuma7831 na hao wanaipenda ya Mombasa

    • @zaitunijuma7831
      @zaitunijuma7831 4 роки тому

      @@danneismail5442 sijuwi man siwez kusemea mioyo ya wtu

    • @husseinchea5524
      @husseinchea5524 4 роки тому

      Acha cha TZ tu ata kiswahili cha Mombasa (Pwani ya Kenya) kinaweza kukushinda😁

  • @teresiamwende8606
    @teresiamwende8606 4 роки тому

    Jama Rey n mu handsome 😍. wana mwonea tu. Iia ata ukipeana aijiandiki kisogoni nimepeana inje leo😜🤣🤣🤣🤣 Ela kuwa makini kaka

  • @rehemaahmed4804
    @rehemaahmed4804 4 роки тому

    watanzania sijui watakuwa lini mwanamme mmoja anatembea na wasichana karibu wote leo huyu kesho huyu yaani mnabadilishana kama dala dala panda shuka

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 4 роки тому +3

    Tatizo Wagogo wanajisikia huyu wa Mpwapwa hana tafauti na Wagogo wenzake Dodoma

    • @ashazubere3837
      @ashazubere3837 4 роки тому

      Ww hataree sana wagogo tuko good 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 4 роки тому

    Ray kweli huna sikeñdo mbaya

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 4 роки тому +1

    Media za BONGO noma ndo maana amhendelei yaana maswali yenu upuuzi tu sasa badala yakuoji maswali muhimu eti mna focus kwenye maswali yakipuuzi tu lini Bongo movie ita songa mbele.

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 4 роки тому +4

    Nimechek majibu ya ray🤣🤣🤣🤣hatak maswal ya chuchu kuulizw jmn Haw ndio wanaume bhna 👌ana vimba

  • @salmaalbarwani2618
    @salmaalbarwani2618 4 роки тому

    Brother usibadilishe tabia good guy Disco hazina maana

  • @FatmaAli-oy7yu
    @FatmaAli-oy7yu 4 роки тому +9

    Nana anaonesha anapenda kudanga

  • @ashaally6662
    @ashaally6662 4 роки тому +6

    Ushangingi ushangingo😂😂😂😂😂

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 4 роки тому +9

    Majibu yake kama anaect.mchezo.ivi

  • @salamamsusa199
    @salamamsusa199 4 роки тому +4

    Yaliomkuta kibeku ungo nae yamemkuta🔥🔥🔥

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 4 роки тому +1

    Ray mjinga tuu. Ana majisifu sana, anajiona kama boss lady wa uganda hahaaaaaa

  • @fatmaamran1335
    @fatmaamran1335 4 роки тому +1

    Umekuwa black mjuba..maji yalikauka au 😀😀😀😀

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 4 роки тому

    Huyo ndo Kigosi bhana.

  • @deborasalum1015
    @deborasalum1015 4 роки тому +1

    Ushangingi na ushangingooo😂😂😂😂😂😂 duu rey

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 роки тому +17

    HEEEE HUYU MTANGAZAJI MWANAUME😢😢MBONA USHUNGI 😁😁😆

  • @katushaberinah3376
    @katushaberinah3376 3 роки тому

    Kumbe unayo..yaigiza it's not kuigiza..ndo urivo??very disappointed🙄

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 4 роки тому +1

    Nana we malaya kwann unaharibu ndoa za watu

  • @lailamohammed320
    @lailamohammed320 4 роки тому +7

    🤣🤣🤣 sina ushangingi na ushangingoo

  • @habibatyntosso1436
    @habibatyntosso1436 4 роки тому +2

    Yan rey jinsi anavoongea na anavoigiza hamna utofauti 😂

  • @divinebernard2624
    @divinebernard2624 4 роки тому +1

    Nanyinyi watu hajasema ndo kitu anachokipitiya ila alisema ni expérience aliyo ipata kwa watu wa karibu walipokuja kumpa tatizo zao

  • @zigespagogba8849
    @zigespagogba8849 4 роки тому +7

    RAY:Kuna tofauti ya Playboy na Malaya
    MTANGAZAJI: Ww tukuweke wapi apo?
    Me: Hii ndo WCB 😀😀😀😀

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 4 роки тому

    Rày umezungmza vizur

  • @winfridamwamban1078
    @winfridamwamban1078 4 роки тому

    Aaaaa alegi hiyoo veeeep

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 роки тому +10

    Hahahaha Ray buana eti labda yeye anapenda kulialia.

  • @janewashe7276
    @janewashe7276 4 роки тому +15

    Ray uliacha kunywa maji mengi?

  • @beatycosta9306
    @beatycosta9306 4 роки тому

    Mtangazaji mbona kama huwa unackitika sana hadi kichwa unainamisha nn tatizo?

  • @luckyrasulyrasuly9823
    @luckyrasulyrasuly9823 4 роки тому +2

    Jaman huyu Ray mbona kawa mweus au ni hii lockdown mchina akakosa usafir. Au. Mapipi yameisha maji

  • @twalib09
    @twalib09 4 роки тому

    Aaaliyah mwaaahest

  • @emanuepeter765
    @emanuepeter765 4 роки тому

    Nampenda rey baba tandi

  • @davejoe5949
    @davejoe5949 4 роки тому +1

    Acha usenge play boy sio Pub na disco, may be una piga house Girls www 😂😂😂😂

  • @tiffatzhemedy9485
    @tiffatzhemedy9485 4 роки тому

    Hahahahaaaahaaaa rey umenifulahisha et huna ushangingi Wala ushangingo

  • @salhaphilmon4436
    @salhaphilmon4436 4 роки тому

    Kama uliskia ushangingi na ushangingo gonga like

  • @fauziakitenge8061
    @fauziakitenge8061 4 роки тому

    Mnafeli na maswali yenu kwa kweli...mnauliza watu maswali yanayaoudhi

  • @shamuada2216
    @shamuada2216 4 роки тому

    Ray ka pole kweliii 🤣 lkn kwangu mm ray anajitetea

  • @nehanasri4531
    @nehanasri4531 4 роки тому +2

    😂😂😂 ushangigi na ushangongo kumbe Ray anaongea ivi!

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 4 роки тому +5

    Yaani ray unazingua eti labda anapenda kulia kulia😂😂😂😂

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 роки тому

    Udaku!!!

  • @deboss5935
    @deboss5935 4 роки тому

    Huyu Jamaa Alimchamba Soudy brown, dah yule brown alijichanganya sanaa😁😂

  • @aamyaamy8504
    @aamyaamy8504 4 роки тому

    Mimi nanyamaza maana NANA alikua akisema kistarabu kweli kama hana mahusiano n rayvan lkn mwisho siyuko n rayvan junior so mtashindana n huyu kigosi husu n msanii mkubwa anajua kupanga maneno,,,,,langu n moja watajijua wenyewe😂😂

  • @hawasandale5595
    @hawasandale5595 4 роки тому

    Hahaha Rey hana tabia ya ushangingi na ushangingo

  • @davejoe5949
    @davejoe5949 4 роки тому

    Kuku wa kienyeji😂😂😂😘

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 роки тому +3

    UNALIA NINI CHICHU KWANI AMEKUOA WANAWAKE BADILIKENI MNAWEZA MBONA BILA MWANAUME

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 4 роки тому

    Mtangazaji huyu ana maswala ya maudhi 😁😁😁!!

  • @hussenyassin3499
    @hussenyassin3499 4 роки тому

    Nakubal xn

  • @lizychris4776
    @lizychris4776 4 роки тому

    Mbn huo mdomo wako hauko sawa kama nilixoea

  • @khatibkhatib2249
    @khatibkhatib2249 4 роки тому

    Hili sengee saanaa nalo

  • @neemathomas2008
    @neemathomas2008 4 роки тому

    Hicho kichwa Cha mtangazaji hakitulii Kama robot mweeh...Ana vitukooo

  • @volo-music2263
    @volo-music2263 4 роки тому

    this journalist hawezi kabisa

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles3370 4 роки тому +2

    Nlikuwa nasubir aseme UNASEMAAAAAAAA

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 4 роки тому +4

    Huyu nana mbna km mdangaji

  • @davejoe5949
    @davejoe5949 4 роки тому +1

    I never New Ray is super Ego 😳

  • @deborasalum1015
    @deborasalum1015 4 роки тому

    Anaaleji na wanawake

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 4 роки тому +1

    eti nikionana na wanawake navimbavimba malengelenge😆😆😆😆😆

  • @mariacassian7892
    @mariacassian7892 4 роки тому

    Sasa kama ukikaa na wanawake unavimba vimba mbona hujapasuka maana chuchu mwanamke johari mwanamke nahao unaoigiza nao 90/ niwanawake siungeisha pasuka zamani sana?

  • @fatmamakalo3068
    @fatmamakalo3068 4 роки тому

    Mahinda nayy alilia sana zamu yko

  • @alimohd1240
    @alimohd1240 4 роки тому

    Njoo kwangu chuchu achana nae uyo play boy

  • @cestlaviecestlavie4073
    @cestlaviecestlavie4073 4 роки тому +2

    sasa nyie watangazaji kwa kweli mnashuhulikia kusapiti zina, huyu Ray hajamuowa huyo chuchu, wameanzia zina, na Ray yuko anatafuta mchumba mbichi wacheni kumsumbuwa, awo wabibi wanopenda kuzalishwa bila ya ndowa wataingiza akili mwaka huu 😏...

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 роки тому

    Dada enu mtangazaji leo kava nini nyie😑

  • @sisterttrouble4331
    @sisterttrouble4331 4 роки тому

    Ray munamsingizia sio play boy

  • @shufaiyammohd5623
    @shufaiyammohd5623 4 роки тому +4

    Wakati kamuondoa johari alijiona mwamba xx yamemkuta yeye

  • @ashrifaabdalla3868
    @ashrifaabdalla3868 4 роки тому

    Huna ushangingi wala ushangigo

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 роки тому +1

    Ray bana et anaushangingi na ushangingo 😂😂😂

  • @eldrednkya1458
    @eldrednkya1458 4 роки тому +4

    Play boy niyule mwanamke anaye cheza cheza na wanawake

  • @sarahogama9540
    @sarahogama9540 4 роки тому

    Alafu hili jomba halijui kudanganya haahaa laonekana tu lapenda madem ata venye laongea haahaa

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 роки тому

    Nana inaonesha anapenda kudanga, na Ray maji yameisha maana ushakuwa mweusi, Na Chuchu Ray hakutaki kashakuchoka maana sio kwa majibu hayo, lea mtoto single mother sikuhizi ni kutafuta pesa,

  • @coletashirima2193
    @coletashirima2193 4 роки тому

    Kwa majibu ya Chuchu tu inaonekana kabisa hamjali Chuchu .

  • @doi255
    @doi255 4 роки тому

    Malengelenge😆

  • @Bam268
    @Bam268 4 роки тому

    Huyu mtanzaji choko?

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 роки тому

    Yaani chuchu kazi unayo, uyu ray atakuliza mpaka macho yafumbe, anavyo ongea tu unaelewa

  • @rachaeldhahabu5096
    @rachaeldhahabu5096 4 роки тому

    Mwanamume kama huyu ambaye simuazi aki nihatari sana anaumiza moyo sana

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 4 роки тому

      Hahahaaa tunaishi Kama mnavyoishi ninyi Ila kinyume chake, mkijipendekeza sisi tunawalipua

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 4 роки тому +5

    Chuchu ray hakutaki

  • @leymundjr5011
    @leymundjr5011 4 роки тому +1

    Ooh

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 4 роки тому

    Huyo alimchoka chuchu sasa hivi ana mwingine na vipi ray uliacha kunywa maji mengi maana umekuwa mweusi sana au hela ya kununua vitu vya kuchota imekwisha

  • @maulakilumile2252
    @maulakilumile2252 4 роки тому

    Eti nikikaa na wanawake navimbavimba