Mwamba wanae wanatamba naye. Ila tz tunapenda shangwe. Mpira ndio kazi ya Chama kama mkataba kwetu umeisha hakuna kulazimishana.Mwisho wa siku ni maslahi tu kama kuna deal nono why not. Kuondoka kwa Chama kisiwe chanzo cha ugomvi na migogoro ni kutafuta tu Chama mwengine vipaji mbona vipo bado. Simba itarudi na nguvu yake ni suala la muda. Hongereni watani kumpata muliyehangaikia kwa miaka mingi. Mulianza na mkude sasa Chama mukihitaji mwengine msisite kuimarisha timu yenu. Mpira ni mchezo wa amani. Tutamkumbuka mwamba kwenye uzi wa SIMBA
Hayawi hayawi,hatimae yamekuwa !,hii fujo c ya kuchezea/moto huu ni wa tiper.Sasa shughuli inazidi kupata washughulikaji,TABU IPO PALE PALE,❤❤❤❤Yanga mie !
Chama ndio mchezaji no 1 kwenye league ya Tanzania aliependwa na Timu zote Tanzania Chama ndio mchezaji no 1 Duniani or Africa aliesuburiwa na Timu kwa ziadia ya misumu 5 fululuzo Chama ndio mchezaji no.1 Duniani alesajiliwa na Timu fulaan afu akachezea SIMBA YANGA ndio pekee DUNiani ilivyovumilia kwa misumu 5 ili imsajili mchezaji CHAMA Huo ndio mpira kama Kuna mchezaji yoyote duniani mwenye historia kama ya chama tunasuboria kumjuwa😂😂😂❤
Mwamba wanae wanatamba naye. Ila tz tunapenda shangwe. Mpira ndio kazi ya Chama kama mkataba kwetu umeisha hakuna kulazimishana.Mwisho wa siku ni maslahi tu kama kuna deal nono why not. Kuondoka kwa Chama kisiwe chanzo cha ugomvi na migogoro ni kutafuta tu Chama mwengine vipaji mbona vipo bado. Simba itarudi na nguvu yake ni suala la muda. Hongereni watani kumpata muliyehangaikia kwa miaka mingi. Mulianza na mkude sasa Chama mukihitaji mwengine msisite kuimarisha timu yenu. Mpira ni mchezo wa amani. Tutamkumbuka mwamba kwenye uzi wa SIMBA
Wataita maji mma 💚💛🖤
Hayawi hayawi,hatimae yamekuwa !,hii fujo c ya kuchezea/moto huu ni wa tiper.Sasa shughuli inazidi kupata washughulikaji,TABU IPO PALE PALE,❤❤❤❤Yanga mie !
Hay bhn ,ndo maish ya mpil yalivy tutampat mbadal wa chama,wanasimba tusilaum lzm tukubal chama sio simba ni mpitaji
Yanga hamnajambo dogo
Akuna shidoo😂 chama ndo ivo yaan ❤❤❤❤❤❤
it's crazy
Nashangaa tulimuita kilema xaxa jamani ngoja nikae kimya
Inaonesha wananchi walikuwa wanamtolea udenda san hatimae wamemsajilu
Leo ndo nmeamini yanga ni tim ndogo😂😂😂 yaan kusajir chama imekua ka wamebeba kombe
Mnapigwaje goli 7 na tim ndogo?😂😂😂
Duuu 😂😂😂😂😂😂mmenishinda tabia Wana yanga kama Gen z
Yan vile manara anasema wenye akili yanga niwawili2
Nika mashara aiseee Yanga mmetisha.
chama mwamba wa lusaka kaz kwako wananchi hawana jambo dogo
Yangaaaaaaaaaa 😅😅😅😅
Mchezaji wa ndoto wa ijinia sio mataktakwa yane hii gemu mtajitafakari,mmepata au laa
Ila yanga watatuesa sana simba
😂😂 pole kaka
Húo wenu niujinga naúshamba what's çhama çhama ni uchàfu uchama ni úchama ondoeni uchàfu huo
😂😂😂 ni mbaya tuuuu
Chama ndo nani😀
Imetokea wap ww usiyemjua chama
Utamjua tu tarehe 8 mwezi wa 8
Ni mwenye kiti wenu wa.mtaaa
Mbon mna hasira sas😀
mmeanzaaa kuponaaa nyiieee simbilliissssiiii😂😂😂😂
Hao ndo Yanga hawanaga dogo yaani nchi ngumu wamepata pa kuchekea wanavizia tu
Sasa wewe ndio chama kwa hii tu utafia uwanjani utajilaumu ulikuwa wapi kuhamia bado kule avic maisha mazuri mpk basi
Chama kumbe nimeamini ni zaidi ya pacome leo ndo nimejua pakome hana chake yanga
Chama ndio mchezaji no 1 kwenye league ya Tanzania aliependwa na Timu zote Tanzania
Chama ndio mchezaji no 1 Duniani or Africa aliesuburiwa na Timu kwa ziadia ya misumu 5 fululuzo
Chama ndio mchezaji no.1 Duniani alesajiliwa na Timu fulaan afu akachezea SIMBA
YANGA ndio pekee DUNiani ilivyovumilia kwa misumu 5 ili imsajili mchezaji CHAMA
Huo ndio mpira kama Kuna mchezaji yoyote duniani mwenye historia kama ya chama tunasuboria kumjuwa😂😂😂❤
Aiseee hata mm nimefurah kuona watanzaniaa mna aman na mnafirah jmn eeeeeh furahinnnn jmn ONGEZENNNNNNN SIKU ZA KUISHII AMINA
Nini hiki jamani kichwa cha mwendawazi kweli sasa yupi wa kumfagilia sijui kila mmoja anamtizamo wake mimi hapana hafai