Hallelujah BABA nisamehe nakataa roho yakujihukumu na lawama kwa watu wengine nifungue eee BABA kimawaza na katika kila hali niwezeshe naachilia yote na wote ambao walinikosea kwa JINA LA YESU KRISTO NAAMINI BWANA UNATENDA AMEN 🙏 barikiwa sana pastor
Mungu ninakili mbele ya madhabahu yako kujisamehe na kukua kiroho kwa nafasi ya upendeleo wa Neema yako kwangu, Nakupenda pia napenda uwepo wako kwangu, Amen❤🙏.
Ninakushukuru kwa yote MUNGU wangu ,na ninakuomba unipe nguvu na unihuishe upya ninapoenda kukutana na kikosi BETHREHEMU uniinue niendelee kuliendeleza na kulisimamia NENO lako kwa usahihi.Vikwazo vyote sasa basi.
Roho Mtakatifu niongoze ili nijisamehe katika jina la Yesu amen
Hallelujah BABA nisamehe nakataa roho yakujihukumu na lawama kwa watu wengine nifungue eee BABA kimawaza na katika kila hali niwezeshe naachilia yote na wote ambao walinikosea kwa JINA LA YESU KRISTO NAAMINI BWANA UNATENDA AMEN 🙏 barikiwa sana pastor
Asante yesu kwakutumiya mutumishi wako azidi kutuonesha mahali tunapo koseya asante sana tunajifunza mengi sana
Ninakupenda Yesu wangu mwokoz wa maisha yangu
Mungu ninakili mbele ya madhabahu yako kujisamehe na kukua kiroho kwa nafasi ya upendeleo wa Neema yako kwangu, Nakupenda pia napenda uwepo wako kwangu, Amen❤🙏.
Amen amen amen
Kweli mtumishi wa Mungu,uniombee niweze kujisamehe mwenyewe
Amen
Ubarikiwe inosent, Mungu nisaidie kujisamehe
Amen 🙏
Amina nabarikiw san na mistar ya biblia 🙏
Yesu nakushukulu maana mambo nisiyoyajua kwa Sasa unanifungulia napata kujua na kujua kiroho thanks you God
Ninakushukuru kwa yote MUNGU wangu ,na ninakuomba unipe nguvu na unihuishe upya ninapoenda kukutana na kikosi BETHREHEMU uniinue niendelee kuliendeleza na kulisimamia NENO lako kwa usahihi.Vikwazo vyote sasa basi.
Naomba roho mtakatifu aniongoze kwa jina la yesu ❤❤
Ukabali yaliyotokea alafu mruhusu Mungu akusaidie
Amina
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Nakuomba Yesu unifundishe kuji samehe
🙌🙌🙌🙌🙌
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏 thank you
Kabisa kabisa
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ni Mimi huyu yananihusu
Umewaona walionikataa,naomba uniinulie wapya kwa ajili ya kuendelea kuliongoza kundidi BERTHRHEHEMU KWA UFANISI.
Ni kanisa Gani hili nihamie huko
Amen
Amen
Amen