FAHAMU CODE ZA KUZUIA KUPIGIWA SIMU BILA KUZIMA KWA NJIA YA HARAKA
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Mambo ya kidigital yote hupatikana hapa, matumizi salama ya simu yako, Usiwe na wasiwasi kuhusu mchepuko wako, mchunguze mpenzi wako kadri utakavyo, wakamate wezi wa simu yako pindi uibiwapo, na mengine mengi utayafahamu hapa. Hakikisha umesubscribe
Ubarikiwe kwa somo zuri
Aamiiin, pa1 🙏🙏🙏
asante sana broo kunajamaa alitaka kuniibia akajifanya yeye wakala akanambia nipige *33*0000# nikajifungia bilakutarajia shukran broo🙌💯💯💯💯
Pa1 ndugu
Maelezo yamenyooka. Safi sana
Pa1 🙏
Je ukitaka kujiondoa kwenye huon mfumo
Anza na reli
safi mani
Pa! Mzee 🙏🙏🙏
nashukuru sana Kwa kunisaidia,niliifunga laini yangu nikashindwa kuifungua lakini ulipofundisha nikaifungua, Asante sana
Pa1 ndugu
Kaka embu nilielekeze mbona me sjui kaka
Yangu imefungwa na mtu nisiemjua Ani simu nikipiga haziendi kabsa
Daaaah kaka Asante sana
Pa1
Unyama sana
Pa1 sana mzee
Asante sana
Pa1
P1 sanaaa kiongozi
🙏🙏🙏
Good
Pa1 🙏🙏
Code ya 35,iliniponza sina hamu nayo...ni miezi 6 sasa,sipokei incoming yoyote,sina hamu nayo......mtandao ni ttcl
Kwani uliweka bila kujua, na je ushafahamu namna ya kurejesha mawasiliano?
bonyeza #35*0000# kurudi hewani..
Calvin Kitare hapa
😮😂😂😂😂😂
Nimekubali weng walikua wakinidanganya kwasasa nikukufatilia sana
Pa1🙏🙏🙏🙏
Hallow mr
Hello
wamenitapeli nikajifungia kupiga sm na kutuma sms nifanyeje?
#33*0000#
Mi nikipig inasem huna salio la kutosh mi nilitak ifany call ended isisem mambo ya salio hamn
Tazama video hii👇👇👇👇
ua-cam.com/video/dJTBjS4vFH8/v-deo.html
@@IfahamuTeknolojia
Kwenye halotel je
Jaribu hivyo hivyo,, Kama inagoma tumia manual setting, tazama video hii👇👇👇
ua-cam.com/video/dJTBjS4vFH8/v-deo.html
❤❤
Pa1
Kwel kbx
Mm Naomba kuuliza . Code gan unatumia kuweka ktk cm yako mtu akipiga iite tu lkn kwangu isiingie call zake ?? Naomba Nifahamishe
In progress
Kaka kumblock mtu kwenye kibatan cha nokia asikupigie wala mesej zake zisiingie unafanyaje?
Je hiyo simu yako ina sehemu blacklist? Nichek WhatsApp 0716494444
Inakuaje kwenye tigo na halotel
Tigo ndo mtandao ambao huduma hizo inakubali fasta, je ni huduma gani kati ya nilizoelezea hapo unataka kuitumia kwenye halotel?
Naomba no. Nnashda
Namba zipo kwenye hiyo hiyo video, anyway,
0716494444
0736494444
Sasa broo mim Kuni code nilibonyeza kutoka mtandaoni nimezisahau ila nikipigiwa wenginenwanasema mda wote wakinipigia sim inatumika nawakati siongei na sim nifanyaje ?
Je ni muda inakuwa hivyo?
Apo kwenye namba ikitimia itakua inaita bos au
Ndio, utakuwa umefoward
Kaka mm nataka kwa mtu mmoja tu akinipigia ambiwe sipatikan
Hiyo hakuna labda utumie blacklist
Bonge la elimu🙌👏👏👏👏
Pa1 sanaaa
Hy baba nakusoma
Kak sm yang imejifunga nimejirog nimedanganywa please
Natumai ni wewe uliyenipigia nikakuhudumia boss wangu
Je akinitfuta ntajuaje sasa
Huwezi kujua
Mwanang we noma asante sana sanaaaaaa
🙏🙏🙏
Artell mbona haikubali
Natumai nishakusaidia
Me nataka nisaidie mtu akipiga nisiwe napatikana ila sms napata za mhusika
Ndugu, tazama vizuri video hii hii ndipo nimelielezea swala hilo
Ukimpigia mtu simu akipokea uwezi kukata screen haiwaki mbaka akate yeye
Cjakuelewa boss,
Apo cm yako mbovu
Brother mm nimeibiwa cm yng
Je wataka kuitafuta na kuipata?
Nitumie namba ako kaka
Namba ipo hapo kwenye video mwisho 0716494444
Je kumu hki una fAnyje
Kufanyaje?
Chief naomba namba yako..,
0716494444
Mi nataka simu yangu isitoke yani isiwe inapiga simu
*33*0000#
Acha usenge wewe unazunguuuka eleza mara moja usiwe na mboyoyo
Sawa boss
halotel jaman tunafanyaje
Nipigie kwa maelekezo zaidi, 0716494444
huduma hii bado ipo
Nimeelezea nyingi, ni ipi hapo
Mbn mm nime jarb ika ita
Labda umekosea maelekezo, umefanyaje?
Naomba namba yako
0716494444
Nifahamishe bc kule whatsapp
Nataka nipokee sms.tu
Cjakuelewa boss, hujaelezea vizuri
Unyama nimwingi sema hii code nitigo navoda tu
Hata airtel pia, ila baadhi ya cmu zinagoma
Mambo yako vip tz broo maomba unitumie number
Namba nimeiweka kwa video hiyohiyo, anyway 0716494444
Kwa sasa hii haifanyi kazi😓
Ipi haifanyi kazi?
Me naitaji code ambayo inaonyesha kama unaongea na sim afu ukapigiwa
Cjakuelewa ndugu
@@IfahamuTeknolojia yani naitaj code ambayo me nikiwa naongea na mtu kwenye sim af mda huo huo mtu mwingine akanipigia.sa sim yng aionyeshi kama kuna mtu mwingine ananipigia ivo nd naitaj iy code
Hiyo cyo code bali ni setting kwenye cmu, naweza kukupa mwongozo kwa WhatsApp 0716494444
@@IfahamuTeknolojia ok saw
Mada pendwa kaka
Pa1 kaka 🙏🙏
Airtel je
Ni hivyo hivyo pia
Kuzuia SMS zisiingie tigo
Ndugu, itazame vizuri hiyo video nimeelezea kuhusu kuzuia msg
Naitaj kujua kudaivert
Tazama video yangu nyingine yenye title inayofanana na hii
Ukitaka kutoa utatoa aje bro
Anza na #
safi broo
Pa1 mzee 🙏🙏🙏