MWENYEZI MUNGU awalinde Mapadre na Maaskofu wetu Daima awaepushe na hatari zote za roho nazamwili mzidi kuchunga kondoo wake, tunatambua Kuna wakati mnahudumu katika mazingira magumu Sana pasipo uwepo wake MUNGU nibure
inapendeza lkn maandamano ya mapdre siyo mbele ya Makamu wa Rais ,hapo mkubwa ni Mungu na Yesu kristo hapa azimisho ni Misa hapa mgeni rasmi wa kimwili hana nguvu ,mjaribu kuelewa maana ya Litrujia ,hapa azimisho ni sadaka ya mwili na damu ya Kristo,mgeni rasmi ni MUNGU.
Tuilinde iman ya kanisa letu katoliki la mitume
MWENYEZI MUNGU awalinde Mapadre na Maaskofu wetu Daima awaepushe na hatari zote za roho nazamwili mzidi kuchunga kondoo wake, tunatambua Kuna wakati mnahudumu katika mazingira magumu Sana pasipo uwepo wake MUNGU nibure
Amina amina wa Heshimiwa watumishi wa Mungu katika ubora wenu!💪💪🫶🤝🤲🤲🙏🙏
Ashukuliwe mungu kwa tukio la kipekee asante mungu
Utukufu Kwa MUNGU wetu milele.
MUNGU tu upande wetu.
Asante Mungu Kwa zawadi ya Imani katoriki
Nimewaza mbali sana nakaka yangu angekuwepo hapo.asante Mungu kwa yote
Hongera saana Baba Askofu 🙏🙏
Amina
Hili ndiyo kanisa Katoliki ambalo Yesu alisimika msingi wake
Mungu atukuzwe
Amen
Imependeza kweli kweli. Mungu akubariki Mhashamu Baba Askofu, Tarcius Ngalalekumtwa.
inapendeza lkn maandamano ya mapdre siyo mbele ya Makamu wa Rais ,hapo mkubwa ni Mungu na Yesu kristo hapa azimisho ni Misa hapa mgeni rasmi wa kimwili hana nguvu ,mjaribu kuelewa maana ya Litrujia ,hapa azimisho ni sadaka ya mwili na damu ya Kristo,mgeni rasmi ni MUNGU.
Asant
hakika inapendeza kristo yu pamoja nasi daima
Amen
Mwe jaman hata ambao hatukufika kama tupo baba etu alifurahia mungu amlnde
Bwana ni Mwema na Mwingi wa Rehema.
Jmniiiiiiiiii mbona sisi wengne video zinafifia? Au ni cm zetu🙄🙄🙄
Hogoleni
hakika inapendeza kristo yu pamoja nasi daima