🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR 06 - 17 JUNE
Вставка
- Опубліковано 16 чер 2024
- 🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR 06 - 17 JUNE
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
Efmtanzania:
TWITTER:
Efmtanzania
FACEBOOK:
Efmtanzania:
Saa nyingine tujifuze kutii kauli za wazazi wetu😢pole sana teacher eddiga
Aisee pole sana eddiga watu wajifunze kauli za wazazi nimuhimu kuzifata ili kulinda amani yako
Tukisoma hatuamini tunayoambiwa na wazazi. Hilo ndo tatizo.
Siyo kila mfungwa ana hatia jmn dah
Pole sanaaa Mwl Edgar
Daaah 🥹🥹nimeumia sana wallahy
Mimi mwenyewe nimeshawahi kusingiziwa kama hivyo pole Mungu amesha kuvusha.
daaaa Veronica upewe maua yako
💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭
Duh!
Hello me nipo mwanza nisaidie ni namba ngapi 91.3imegoma kushika
Sisi kizazi hiki tunajifanya wasomi na wa kisasa kiasi cha kutosikia tukionywa haya ndo matokea yake. Labda wangemwambia Edgar kuna laana kwa mkewe labda angetafuta ufumbuzi
Hapana asingehangaika kutafua maana mtu akisoma sana 😂😂msomi et hawaaminigi uchawiii nyiee urogo upo 😢😢 ila wanaelewaga wakishapigwa na matukioo moja baada ya jingine akiri inanza kumrejea
Asiyesikia la mkuu,huvunjija guu Edgar
Hii stori niliwahi kuisikia tena mwisho ataitwa mchawi
Ile nyengine zimetaka kufanana tu
Sio hiii
Sio hii zipo tofauti
Nimewahi Leo nipeni maua yangu 😅🎉
Mpaka muda huu saa3 uko peke yako.
Walikuwa bz na sikukuu
Mbona simulizi ya saa nne ma nusu haipo huku na ile simulizi ya saa tano kamili
Kumbe Kuna zingine
Zipi hizo mbona mie sina habar
😮😮😮
Za
Mmmh nadhani kuna namna hapo siyo bure,labda Edgar alishatembea na huyo binti,sasa akaamua kumpotezea hivyo
Ivi wewe upo sawa kiakili😮
Mmmh kuna watu ni wagumu kuelewa aisee kama umesikiliza kuanzia epsd 1 usingesema hivi
Wajamen huku Mwanza hatuwapati kabisa tangu wiki jana
Jamani Mimi pia nipo mwanza tunapata tabu sana Toka ile week
Poleni
Mtihani saaana 😢😢😢😢😢