MPINA KAMA MPELELEZI ANASA NYARAKA / ABAINI UOZO HUU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 91

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 місяці тому +12

    JEHOVAH MUNGU Akulinde Mpina Kazi yako ni nzuri

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 3 місяці тому +3

    Unafaa kabisa kuwa Raisi wa nchi hii .Mungu akusaidie

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 3 місяці тому +6

    Bashe mwenyewe sio mtz ataanza vp kuwa mzalendo

  • @FatumaHizza
    @FatumaHizza 3 місяці тому +7

    Mafisad wanalindana mungu akulinda mpina tunajua wenzako hawapendi ukwel tunakuombea

  • @jamesmartin7026
    @jamesmartin7026 3 місяці тому +5

    Hivi tangu Magufuli amefariki Takukuru imejifia wapi? 😔😢

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 3 місяці тому

      Soma dalilli za nyakati zama hz Ni za..........

  • @SamwelJohn-dh9kk
    @SamwelJohn-dh9kk 3 місяці тому +5

    Mhe mpina. Nakupata vizuri sana. Wewe ndie mbuge pekee unaepambana kwamasirahi ya watanzania.

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 3 місяці тому +2

    Dah pole sn Mh.Mpina 😢😢😢,najua tu baada ya taarf hii,watakuchkulia hatua ya kinidhamu,kisa kuvujisha taarf kwny vyombo vya habari

  • @mayanmlingwa4250
    @mayanmlingwa4250 3 місяці тому +2

    Kwa madudu haya naamini kabisa kuungua kwa kiwanda cha sukari morogoro kuna kundi la mafisadi papa nyuma yake.

  • @EmanuelJophet-pp8qs
    @EmanuelJophet-pp8qs 3 місяці тому +1

    Halafu kuna mibunge wakati huyo choko spika, anakanusha yanapoga makofi mamayo zenu....

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 3 місяці тому +1

    Hivi serikali mnafeli wapi? Mbona inaonyesha ni namna gani? Serikali inavyobariki wizi ,Hivi ni kwanini? Yaani mnatuona sisi watanzania ni Mafala kwa kiasi gani?
    Sasa kama serikalini hakuna wa kukemea hili ni nani? Awe mwokozo wetu.
    Basi niwaombe watanzania wenzangu njia ni moja tu Katiba na kuwapiga chini wabunge wote wanaobariki wizi ndani ya serikali.
    Hongera mpina ,naona una nia ya dhati kabisa na sisi wa Tanzania.
    Mungu akubariki.

  • @VASCoMgoli-to7ql
    @VASCoMgoli-to7ql 3 місяці тому

    Tatzo la ccm mtu kama huyu wanamhalibu kwa kumpa uwazir yan akiwa wazili tuu amekua chwa hata usema ukweli tena

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 3 місяці тому +1

    Mupina Yuko vizuli anauzalendo na ichi yake,munataka mumupe azabu ya Nini tatizo wabunge wa muchongo,Tanganyika kwanza

  • @LucasKisioki
    @LucasKisioki 3 місяці тому +2

    Toboa Siri Dr mpina na Mungu akutangulie mbele ya maadui wko

  • @kasomishedrack5027
    @kasomishedrack5027 3 місяці тому +1

    Nchi hii basi tu Mungu airehemu la sivyo anaweza kuiteketeza kama sodoma na Gomola.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 3 місяці тому +3

    Mpina wewe mwamba upo vizuri

  • @jamesmartin7026
    @jamesmartin7026 3 місяці тому +4

    Mbona serikali imekaa kimya? Au ndio inaupiga mwingi😂😂😂

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 місяці тому +2

    hawa watu wakimbizi kama bashe na wengineo kwanini serikali ya Tanzania inawapa uongozi hawa tena uwaziri, bashe rudi somalia

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 місяці тому

      Kabisa arudi Somalia huyu mwiz

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 3 місяці тому +2

    😢huy Bashe mpigaji tu km wapigaji wengine

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 3 місяці тому +3

    Huy Bashe mpigaji tu km wapigaji wengine

  • @humbimusisa-db1tg
    @humbimusisa-db1tg 3 місяці тому +1

    Luhanga shija mpina......Hakuna Ngosha boya aisee 😅

  • @EmmanuelSimion-d3e
    @EmmanuelSimion-d3e 3 місяці тому +2

    Ila nchi hii jamani tumepigwa na vitu vizito dah!!!

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 місяці тому +2

    Huyu mbashe ni mtanzania kweli hanata uzalendo bona kwa maelezo haya

    • @hakiyangu
      @hakiyangu 3 місяці тому

      Bashe ni msomali wazazi wake walikuja Tz bashe akiwa mtoto

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 3 місяці тому +1

    Kwa hiyo MO anahusika kutuhujumu Wana Yanga na Simba mpaka kwenye Sukari.

  • @fatumasaidimmependezamjeng8994
    @fatumasaidimmependezamjeng8994 3 місяці тому

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 місяці тому +1

    Mpina Mungu azidi kukulinda

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 3 місяці тому +2

    good and very informative with facts

  • @georgemaganga3804
    @georgemaganga3804 3 місяці тому

    Kuna watu serikalini wanampa ushahidi huu huyu mbunge.Hatari tupu

  • @EnockSamwel-c4h
    @EnockSamwel-c4h 3 місяці тому

    Watanzania tumuombee mh Mpina ni jeshe la mtu Moja

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 3 місяці тому +1

    DUUU!...MWAMBA UNATIISHA!!!

  • @SaidiSheria
    @SaidiSheria 3 місяці тому +1

    Ccm ni matatizo

  • @SalumChema
    @SalumChema 3 місяці тому

    Duu.wamezulumiana.mambohazalanisasa.hashekaziunayohuchomokikwahilo

  • @Didaskamili
    @Didaskamili 3 місяці тому +1

    Hongera sana mpina tuko pamoja nawe

  • @AndreaHango
    @AndreaHango 3 місяці тому

    Hivi, nchi hii kweli haiwezi kuzalisha sukari ya kutosha nchi hii kweli!
    Mama yetu Samia piga marufuku kuagiza sukari nje ya nchi na mafuta ya kula. Baada ya miaka michache tu utaona jinsi watanzania watajiongeza na kuongeza ajira za kutosha nchini.

  • @johnngalya1524
    @johnngalya1524 3 місяці тому

    Mungu akubariki mhe.
    Ukimsikiliza bashe utasema mtu ni huyu lakin kumbe ni chura kiziwi

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 3 місяці тому

    Mungu akulinde na kukutunza,,,Mambo mengi ni magumu hapa Tunanyongwa kwenye kodi kuwanufaisha wageni 3:49

  • @ALEXMARISA-qw6em
    @ALEXMARISA-qw6em 3 місяці тому +1

    Watu kama Hawa wapewe urais

  • @InnocentSanga-zh9ck
    @InnocentSanga-zh9ck 3 місяці тому

    Hizii teuzi za mawaziri ziangaliwe saana huyu bashe sio mtanzania na hawezi kuwa na uchungu na watanzania sukari imeuzwa mpaka 7000 kilo kweli? Na alikuwa anatoka hadharani anasema sababu na vita,mafuliko yaani alikuwa simple kujieleza

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 3 місяці тому +1

    Mpina +Makonda

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 3 місяці тому

      Mpina + Makonda + Silaa + Aida Kenani

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 місяці тому

    Bashe tumuangalie sana ni mpigaji yawezekana

  • @salvatoryboniface1089
    @salvatoryboniface1089 3 місяці тому

    Wakulima wamegomea kununua ufuta mikoa ya kusini kwa ajili ya mfumo uliowekwa wanunuzi wamegomea

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 3 місяці тому

    Bashe ni chizi tu mpina ww kiongozi bora

  • @kasomishedrack5027
    @kasomishedrack5027 3 місяці тому

    Mie najua watakugonga tu wanaotetea serikali kwamba,umewasilisha vielelezo kwa spika kwa nn umeita press kabla ya spika hajalitolea ufafanuzi kwa maana hiyo watakuweeken.

    • @danielnyangasi8808
      @danielnyangasi8808 3 місяці тому

      Kama ulijua ndugu yangu ulichoandika ndo kimetokea

  • @remmymmewa307
    @remmymmewa307 3 місяці тому

    Mpina, akili nyingi sana ilitakiwa uzaliwa Korea kaskazin ila huku kwetu daaa hapana

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010 3 місяці тому

    Nafuu wamepopoana wenyewe huko

  • @NeemaKishimbo
    @NeemaKishimbo 3 місяці тому

    Miaka 5 kwa mpina

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 місяці тому

    Rais amtumbue mbashe

  • @SalumChema
    @SalumChema 3 місяці тому

    Wataje.wote

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 3 місяці тому

    Bashe ndo mana kakonda wanangu

    • @aidankakulu398
      @aidankakulu398 3 місяці тому

      Hatari sanaaa mwamba anachimba kinomaaa

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 3 місяці тому

    kanunuliwa na kagera sugar

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 місяці тому

    inaonekana kuna watendaji wa serekali wanashirikiana ba mpina kumuhujumu waziri BASHE kwa akili ya kumuondoa ktkt wizara hizo kwa akili ya MASLAHI yao!!

    • @simonmwaliru8590
      @simonmwaliru8590 3 місяці тому +1

      Bashe ni mtu makini sana,nae atapata muda wa kujibu tuhuma hizi.

    • @ibrahimNkunda
      @ibrahimNkunda 3 місяці тому

      Mpina uko vizur kufichua wezi

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 3 місяці тому

      Bashe hana lolote pale yeye ni mpiga makelele tu anawafilisi tu wakulima wewe utakuwa ni mmojawapo wa wanufaika kwenye utapeli huu anaouweka wazi huyu mwamba mpina

    • @simonmwaliru8590
      @simonmwaliru8590 3 місяці тому

      @@George-jz3jg Jenga hoja acha kutuhumu watu ili kukwepa hoja. Sie sote watanzania,usichukie maoni ya watu wengine.

  • @mbwanajumamohamedi1400
    @mbwanajumamohamedi1400 3 місяці тому

    Taarifa imetakiwa kwa SPIKA.
    Kuisoma kwa waandishi habari ni ukiukaji wa maadili.
    Huu no mchezo

    • @ShinjeMackenzie
      @ShinjeMackenzie 3 місяці тому

      Wew ni mpumbavu

    • @AbshirMubaarack
      @AbshirMubaarack 3 місяці тому

      Km angeifkisha kwa spika,huend ingezimwa kmy kmy, that's why huend amefkiria kuwajuza kwnz wananchi

  • @ALEXMARISA-qw6em
    @ALEXMARISA-qw6em 3 місяці тому

    Huyu Hana uchawa kabisaa

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 3 місяці тому

    Waziri ajiuzulu

  • @shafiilikoko6871
    @shafiilikoko6871 3 місяці тому

    Bashe mtu wa maana sana

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 3 місяці тому +1

    Mm nimuombe tu Rais samia asimsikiliza huyu jamaa inawezekana anatumwa siyo bure. Kuwa kama chura tu kama ulivyosema mwacheni Bashe alete maendeleo na mapinduzi ya kilimo sisi wakulima tunamuelewa.

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 3 місяці тому +1

      Kuna maendeleo gani anayoyaleta bashe zaidi ya kuwafilisi tu wakulima?

    • @shafiilikoko6871
      @shafiilikoko6871 3 місяці тому

      Kama unampinga bashe ww sio mkulima

    • @joctanmtambi895
      @joctanmtambi895 3 місяці тому

      Mimi ni mkulima Ila bashe sio

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 місяці тому +2

      Hakuna haja ya kumtetea Bashe iwapo wewe si sehemu ya serikali. Ajitetee mwenyewe na ukweli utajulikana. Kwani kashfa ya Escrow Richmond na Dowans ilikuwaje?

    • @magesagambajr3546
      @magesagambajr3546 3 місяці тому

      Hujitambui ​@@shafiilikoko6871