Amakweli waswahili walisema kibaya cha jiuza na kuzuri cha jitembeza uzuri wa mwanamke ni kujisiri sio hujiweka rahisi . Ukifikiri sana mwanamke ni shimo la mataka sasa mwanamke ukijirahisisha kwa wanaume nikupata maradhi tu. Juu la umbo lako kwa mwanamme nitaka taka tu.Ungekuwa unafikira yakuheshimu wanawake usinge piga hizo picha harafu unajuta baada ya nini Dada maji yakisha mwagika hayazoleki inabakia majuto tu pole kwa kujifedhehesha
Pole lnsha Allah yataisha dada jipange upya mamboyatakuwa sawa ila nakuomba uwe na mambo ya privet kwani simba mwendapole ndiomlanyama na usikubali ukiwa na mwanaume akuchukue video na achana kabisa kudet na wanaume wasiojitambua kingine achana na pombe endapo kama unatumia mana unaweza ukalewa upo na mpenziwako akachukua video bila we kujijua anapost anajichukulia umaalufu
Asma Asma ; anaeza kua kweli anaumwa coz unaelwa hiyo mahaba ilikua moto,, tena kw sasa hana waknyonya ' nn' lazma awe ka mgonjwa coz alkua amezoeshua kupewa
haumwi huyo nihaya imemshika shame On her.... km nimapenzi kila mtu uwayajua nauwafanya kwanini yeye arushè picha chafu mitandaoni,,, hakuna wakubwa kule alikotokea
Wema simgonjwa anajidanganya kulingana na aibu alio ifanya kila kukija ni wema wema ametujosha na vituko zake mimi nipo Kenya nakila kukija nikifungua UA-cam nakuta niwema wema wema wema jamani
Angelah Moraa wema alimpa mahaba ikamchizisha akafyatuka na kpotea kabisa hajlikani alipo...bt tnamsaka coz wema amezoea ' nn' yake hadi alkua ananyonya kama lollypop
msimlaumu kwa kosa sio lakutegemea shetan kampitia msimuone Malaya wapo zaidi yake nampenda akivaa mavazi yakizanbar anapendaza Sana'a mungu yupo pamoja nawe
Pole sana my lovely actors wema sepetu tunakuombea sana upone haraka Jackline from Kenya 🇰🇪
Dah! Pole sana dadaabg wema me spend hata huwe na stress dadaang maana nim2 ulie utawara moyowang nakuerewa sana dadaang mungu mkubwa
kama anaumwa tumuombee apate shifaa maana sio vizuri kumpendelea mabaya kiumbe mwenzako,Wema Allah akupe shifaa
Pole Wema jipe moyo Allah akuzidishie Subra In Shaa Allah.
Pole.sana.omba.mungu.tu
Usimtaje ALLAH kwa mtu anayejisambazia ngono kwa ulimwengu mzima
@@bachushureim3514Ataacha tabia huenda labda.
@@mwanahalimamwachili9679 Ameeen!!!
@@bachushureim3514 Aamiin.
Pole dada wem mm nakupend tu jiangalie mwenyew na usikubali kupelekwa kam mtu asiye jielewa
Duuh atapata taabu sana
Pole mamii barikiwa mpaka madui zako washangae
Pole sana wema majaribu nisehemu mojawapo katika maisha ya mwanada muombe Allah akupe nguvu ya kuyashinda
Hao wanaomtukana utadhani wao ni malaika kumbe Mungu angetufunulia dhambi zao tungekuwa bubu wote kwa mshangao. Acheni kunyoosheana vidole 👈 jamani.
Pole wema wangu ni mapito yatapita
Wema mama wasikuhukumu huanzi wewe kumkosea mwenyezi Mungu. Laajabu wanao mhukumu huenda ndio wachafu kumshinda. Wema lakufanya ni kutafuta uhusiano wako mzuri na muumba wako
Pole sana swrry jtie moyo utapona tu .
jamani hill LA wema limepita .je ambaye Hana makosa awe wa kwanza kuchukua mawe na kumponda.
Wewe ni mzuzi sana malkia wa Tanzania gogogogo wema!!! umesifiwa na uzuri fanya utakavyo tu
Sorry my dear wema mungu akulinde
Amakweli waswahili walisema kibaya cha jiuza na kuzuri cha jitembeza uzuri wa mwanamke ni kujisiri sio hujiweka rahisi . Ukifikiri sana mwanamke ni shimo la mataka sasa mwanamke ukijirahisisha kwa wanaume nikupata maradhi tu. Juu la umbo lako kwa mwanamme nitaka taka tu.Ungekuwa unafikira yakuheshimu wanawake usinge piga hizo picha harafu unajuta baada ya nini Dada maji yakisha mwagika hayazoleki inabakia majuto tu pole kwa kujifedhehesha
kwani anajuta hajuti hana aibu kama mwanamke kinachomsumbua ni kusumbuliwa na police na bodi ya filam lakini mimi naona anaona ni kawaida tu
Hamida Alhabsi ,,,,amezoea huyo acha wanaume wamwage taka kw iyo dastpin yke ndo aturingie vizri na future husband wake nka ss hatpatangi mabwana
..
Inshaallah mungu amchukue tu sioni faida yake
Hivi Wa Tanzania mna Mambo. 🤨🤔
Pole dear mungu you nawe daima
Mungu ni wamilele si yule wakukumbukwa wakiwa namatatizo wakati alikuwa akijiposti tupu zak hamujamwambia kuna Mungu
upo sawa kanisa badala limtafute mungu linatafuta kiki
wema nakupnda san nataman ata nipte nafsi kukutan na wew pole utapoa pia usijal yashapita hayo ilove you fany ibada
Ishaallh mungu atasaidi
Kuombewa nivizuli.sana ila kumuombea muntu sio.pablike unamuombea kimya kimya.halafu mungu anajibu
Jamani hata mahombezi ahutaki dada wema , mungu yupo mahali popote
Pole lnsha Allah yataisha dada jipange upya mamboyatakuwa sawa ila nakuomba uwe na mambo ya privet kwani simba mwendapole ndiomlanyama na usikubali ukiwa na mwanaume akuchukue video na achana kabisa kudet na wanaume wasiojitambua kingine achana na pombe endapo kama unatumia mana unaweza ukalewa upo na mpenziwako akachukua video bila we kujijua anapost anajichukulia umaalufu
Haumwi hiyo ni tahayuri kwa aliyo yafanya anaona aibu tu huyo
Asma Asma upojuu kinoma
Asma Asma ; anaeza kua kweli anaumwa coz unaelwa hiyo mahaba ilikua moto,, tena kw sasa hana waknyonya ' nn' lazma awe ka mgonjwa coz alkua amezoeshua kupewa
Hata marehemu Masogange walikataa aliposema anaumwa hadi Mungu alipomchukua ndio watu wakaanza kujifanya wanaona hudhuni. Binaadam hatuna mema.
Pole hani
Allah akuhifadhi wema ila we mtangazaji bana unatueka roho jujuu y umeeka umbiulence niacheni ajali dho ama kweli mutatuua
Nyumbu watu washakusahau endelea kupost pic na future husband wko
Wala huumwi, ungekua waumw hungepata nafasi yakuandika waraka huo nakupost
Kabisaaa watangazaji hawaa
Wewe mama pumzika ziba masikio kwa muda. Ihi mechi aitaji hasira. Pumzisha akili yako mama.
haumwi huyo nihaya imemshika shame On her.... km nimapenzi kila mtu uwayajua nauwafanya kwanini yeye arushè picha chafu mitandaoni,,, hakuna wakubwa kule alikotokea
Tena wema wachambe wakufanyie maomb wew mkristu kwan hunaposali hawakuon,,,,,mfyuuu nmekerek wew mchungany wagonjwa wakristo wameixha mpka ukamfanyie mtu aliyekuwa anapta rah zake huku anaukichaa gani huyooo,,, wakristu tuache upumbafu mungu hataniwi
binadamu kuweni na huruma kwani hakuna mkamilifu, utapona dadang
Pole sana wema
Wema mungu atakusaidia tuu achana na wachugaji njaa wanatafuta kiki wanafiki
Watumish wa MUNGU mnawaita wachungaji njaa kwasabab ya uyu hayawan mweny pepo la ngono.. Kwel sikio la kufa...
Huyo sio mtumishi wa mung ni njaa tuu tena anatimiza unabii uliotabiliwa mchungaji gan wa hivyo anatafuta kik
You know him exactly?
heeeeee mrudieni mungu muwache kiki
shikamoo Raisi wetu,kweli konk konk konk master,duuuh usipokadha papuchi,zipu zinakonk,konk sana.
Pole daa wema
pole San lv
Polee bby wema
😂😂😂😂😂laana hiyoo rudi kwa mungu wako wewe
Pole wema
Wema usikubali ..... weye si muislam kwa nini usitafuti ma sheih wakuombeye dua.....
Wema simgonjwa anajidanganya kulingana na aibu alio ifanya kila kukija ni wema wema ametujosha na vituko zake mimi nipo Kenya nakila kukija nikifungua UA-cam nakuta niwema wema wema wema jamani
Si bora afe
They still talk about wema?
anaogopa kesi huyo
Sikio la kufa haliskii dawa kweli
Wema utaombewa vipi na ww ulishaingia Illuminati? That y umepinga kwa haraka it's because unajijua ulichokiweka sahihi, Kama tuko pamoja gonga like
Kwani huyu wema ni muislamu au ni mlokole mbona sielewielewi
usimhukumu MTU kwamabaya yake hujui baina yy namolla wake yuko VIP
Hiyo ni kweli kabisa, Umenena, dada yangu Mungu akubariki
Kuna.wat niwaisilam majina.wakiumwa wanamsahau mungu.wao.wanaenda makanisani.kuwombewa lakn ailie muislam waukweli hawezi kwenda kanisan hatakama.yuko taaban
bwana acheni watu wadendeke buanaaaa kwani denda ni utupu teeteeteee basi midomo ivikwe kondom baassssiiiii
Samira 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 exuctly
Maombi kwani ana tatizo gani
Shangaa na wew,,,,unaugonjw gan huyoo,
Kwan nyie huko tanzania hta muislam anaingia kanisani eee makubwa
pole sana dada wema🇰🇪🇰🇪🇰🇪
uyo mchungaji ajiombeye yy na familia yake .kitu gani cha ajabu alicho kifanya wema . mmeshajimshikiya kweli wema ,naka nisani eti mnamuitaji kumuombeya mnajuwa kumkazaniya kweli. mweyemweye wama kanisa mnayenu mangapi .akitaka maombi ataika kumsalaaa awo amtafute shekh amsomeye duwa siyo eti kumuita kanisani . ..
Umeshindwa kutubu peke yako maraya ni maraya nan ampe pole mchafu huyo
poleee wema sepetu
raha za future husband imegeuka kuwa sumu ya ugonjwa? acha umalaya
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Ali Mbugua haha we ally we!
Future husband alitoweka wapi,simwoninagi tena hahaha
Angelah Moraa wema alimpa mahaba ikamchizisha akafyatuka na kpotea kabisa hajlikani alipo...bt tnamsaka coz wema amezoea ' nn' yake hadi alkua ananyonya kama lollypop
Pole xna ddangu wema mungu atakusaidia inshallah.Na pole kwa wakti mgumu ulionao.kwani maombi church wewe ni mkiristo
pole
Angekufa
@Twaha Thabiti Na siumuue basi, wacha ujinga!!
Atakaebaki ni nani?
afadhali afe tu
mungu muweke adabu huyo mtu
Apambane na hali yke hamna namna
Achana nao wakuombee nipoa dada qr
Hata akafa hamna hasara wengi to walienda na bado tutaenda
Pole mamy
Huyo ameishakengeuka
Bora afe2 mnamuombea shetan
@Ramadhan Kibwana, Kwa hivyo wewe ni Shetani pi? , Shetani na Shetani wanajuana Au?
Wewe ungekuwa Muumba ungemuua lakini haiwezekani unaweza tangulia wewe umwache huyo unaemchukia.
@asha ali kweli kabisa
Komaa dada
rashidi Ngwawile
Jina lawema limeweka watu mjini
noor salim : kwnza mm
@@alimbugua5903 😂😂😂
Kabisa.
Utaponaa mpnz yatapitaa tuu
Utajiju
konk konk konk mamba
Is she the first one to post such nonesence n wengi sana bt umeonewa wema hp u will nt repeat it again
Kajinga tuu, Haka kadada! Ctak habari zake hataa bure,! (Bongo movie/Bongoporn)
wanaandaa maombi kwani simhuni mwenzao huyo
Sebastian Ngimba anayeandaa maombi si ni yule shoga was zamani!!nasijui kwann dudu hajamtaja kwa mashoga commando wa mashimo
Dah pole Sana dadangu wema mungu akupe nguvu jmn
Sebastian Ngimba pole sana
Sebastian Ngimba pole kwa kuumwa
Roho mbaya halipi yeye ni binadamu. Give wema abreak .seriously u guys r so evil man.it was just a kiss n u r going crazy
Nilikuwa nisha msahau bibie
Nabado hatazidi kuwa homa kwenu, mutapata tabu nyinyi musio mupenda WEMA SEPETU dada wawatu
Pole shangazi wema
msimlaumu kwa kosa sio lakutegemea shetan kampitia msimuone Malaya wapo zaidi yake nampenda akivaa mavazi yakizanbar anapendaza Sana'a mungu yupo pamoja nawe
Si mfano
Pole wema