Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Me leo ndio wakwanza Kucomment naombeni Like Zenu
She is a beautiful girl, and he looks like someone that has good heart too.
Hakika dada MNYENYEKEVU mnoo hongera Sana Kaka umepata kitu chema Mana apataye MKE apata kitu chema
Mwenyezimungu awalinde katika ndoa yenu mashaallah 💓
Congratulations, I love thisGod bless your Union
MASHA ALLAH MASHA ALLAH ALLAH awape penzi la dhati Amin Amin
Mwenyezi Mungu ni mwema ameonekana kwa Mh Magoti ninaomba pia aonekane kwangu katika ndoa takatifu
Mr handsome with his beautiful bride love is what counts.
Joice hapoo hakuna kuwaza utakula nn unachotakiwa ni kuwaza nifanye nn iliniendelee kumrithisha Mme wangu kila sikuuu
Mungu azidi kumpa upndo huyu dada.....mungu awafikishe mbli inshaallah 🙏
Hongera Sana wajina wangu mwaaaaaa 💋💋💋
Inshort bwana harusi ako sweet.Brother kama kakako yupo niwekeni kwenu kwa familia
Mungu awatangulie na maixha mema
Wawoooo cute
Kwani huyu kaka hastaili kupendwa mmekazana tutafute pesa pesa, hata Mimi ningepata kama huyu ningefurahi mno no stress
kama huyo bila pesa ungemkubali dada. kuwa huru kusema tu ukweli dada
😂😂😂😂😂😂😂nimemuona siro kavaa suti leo
Mungu awatanguliee
Mungu awabariki sanaaaaa
Hongereniiii sanaa
🤣🤣🤣,wacha weeeeeee 🥰🥰🥰
Mashallah
Congratulations 🎈🎉🍾🎊
So amazing
Hongereni mungu awe nguzo yenu
Mungu awatunze
I Love this couple
Tutafute helaa😂😂😂
Hakika Mungu awabariki na kuwasimamia katika maisha mapya
Bravo
Ndo hapa tunapokiri kuwa upendo wa mungu ni mkubwa sana kwa sisi wanadamu
Wapare visu hatari...njoeni upareni mpate majiko bomba
Joyce mi Mchagga siopate watani mmeanza🤣
😍😍😍😍
Mungu azid kuwabless nawapenda sana♥️♥️
From Nigeria
Mungu awatangulie
You are so funny. Joyce be great fun good choice my dear. You will leave happily
Hmmmmmmmm
Mmoja tu ame unlike jmn ubaya wa nn xx
Mungu awatunze daima mkapendan ❤️
❤🎉
Joyce umeupiga mwingi wallah
Mwalimu nyerere memorial academy oyeee
Oyeeeeeee
Mungu awajaalie mema na mazuri matupu
Kafwata pesa huyo
Amani na upendo vitawale katika ndoa hii
Inshallah
TUZENI VIAPO VYENU MSISIKILIZE YA WATU
Mh kwan we umeona nn kusema hivyo ! mpaka apo walipofikia kufunga ndoa awajasikiliza watu
Wachaga kwa tamaa
Ameeen ameen
Mwaaaaa
Mungu nae mtu?Acheni masihara na mungu.
Irudiweeeee❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹
Ikawe heri
Hongeren
May God bless you union 🇹🇿🇹🇿
Kumbe mpo mbinguni, twende mbinguni
Nimeamini huyu binti ana moyo mzuri.
She si not Happy at all
Tutafute pesa jamani,sitaki maneno mengi yakakuchosha , tutafute pesa jamani wandugu.
Hhehehehheeeheehe
Kweli kabisa tutafute peeeesa
naungana na wewe
Umeonaeeeeeee
Huyu ni nani kwani??
Ni mmoja wa wasaidizi WA mh RAIS toka JPM Hadi sasa
Okay, aiseee, nguvu ya pesa apooo
@@francismigongwa4146 sźźź zdĎdrssďedx
DC kisarawe
Nguvu ya pesa 🤔
Si nguvu ya pesa, ni nguvu ya upendo my dear. Nani kasema nae hakustahili kupata mke mrembo like Joyce?
kwakwer bibi harusi ana jambo lake
@@judithmwambe4767 watu hawaamini katika upendo wanabaki tuh katika pesa
Unawaza pesa tu unafikiri wote wapo kama wewe? Acha tamaa
@@boyochu1308 punguza hasira kijana😂😂😂😂😂
Duuu! Mpo mbali sana,yaaani mkeo unamfananisha na Baba akoo?Qur'an (3:19)."Bila shaka dini mbele ya MwenyeziMungu ni Uislam"
Me leo ndio wakwanza Kucomment naombeni Like Zenu
She is a beautiful girl, and he looks like someone that has good heart too.
Hakika dada MNYENYEKEVU mnoo hongera Sana Kaka umepata kitu chema Mana apataye MKE apata kitu chema
Mwenyezimungu awalinde katika ndoa yenu mashaallah 💓
Congratulations, I love this
God bless your Union
MASHA ALLAH MASHA ALLAH ALLAH awape penzi la dhati Amin Amin
Mwenyezi Mungu ni mwema ameonekana kwa Mh Magoti ninaomba pia aonekane kwangu katika ndoa takatifu
Mr handsome with his beautiful bride love is what counts.
Joice hapoo hakuna kuwaza utakula nn unachotakiwa ni kuwaza nifanye nn iliniendelee kumrithisha Mme wangu kila sikuuu
Mungu azidi kumpa upndo huyu dada.....mungu awafikishe mbli inshaallah 🙏
Hongera Sana wajina wangu mwaaaaaa 💋💋💋
Inshort bwana harusi ako sweet.Brother kama kakako yupo niwekeni kwenu kwa familia
Mungu awatangulie na maixha mema
Wawoooo cute
Kwani huyu kaka hastaili kupendwa mmekazana tutafute pesa pesa, hata Mimi ningepata kama huyu ningefurahi mno no stress
kama huyo bila pesa ungemkubali dada. kuwa huru kusema tu ukweli dada
😂😂😂😂😂😂😂nimemuona siro kavaa suti leo
Mungu awatanguliee
Mungu awabariki sanaaaaa
Hongereniiii sanaa
🤣🤣🤣,wacha weeeeeee 🥰🥰🥰
Mashallah
Congratulations 🎈🎉🍾🎊
So amazing
Hongereni mungu awe nguzo yenu
Mungu awatunze
I Love this couple
Tutafute helaa😂😂😂
Hakika Mungu awabariki na kuwasimamia katika maisha mapya
Bravo
Ndo hapa tunapokiri kuwa upendo wa mungu ni mkubwa sana kwa sisi wanadamu
Wapare visu hatari...njoeni upareni mpate majiko bomba
Joyce mi Mchagga siopate watani mmeanza🤣
😍😍😍😍
Mungu azid kuwabless nawapenda sana♥️♥️
From Nigeria
Mungu awatangulie
You are so funny. Joyce be great fun good choice my dear. You will leave happily
Hmmmmmmmm
Mmoja tu ame unlike jmn ubaya wa nn xx
Mungu awatunze daima mkapendan ❤️
❤🎉
Joyce umeupiga mwingi wallah
Mwalimu nyerere memorial academy oyeee
Oyeeeeeee
Mungu awajaalie mema na mazuri matupu
Kafwata pesa huyo
Amani na upendo vitawale katika ndoa hii
Inshallah
TUZENI VIAPO VYENU MSISIKILIZE YA WATU
Mh kwan we umeona nn kusema hivyo ! mpaka apo walipofikia kufunga ndoa awajasikiliza watu
Wachaga kwa tamaa
Ameeen ameen
Mwaaaaa
Mungu nae mtu?
Acheni masihara na mungu.
Irudiweeeee❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹
Ikawe heri
Hongeren
May God bless you union 🇹🇿🇹🇿
Kumbe mpo mbinguni, twende mbinguni
Nimeamini huyu binti ana moyo mzuri.
She si not Happy at all
Tutafute pesa jamani,sitaki maneno mengi yakakuchosha , tutafute pesa jamani wandugu.
Hhehehehheeeheehe
Kweli kabisa tutafute peeeesa
naungana na wewe
Umeonaeeeeeee
Huyu ni nani kwani??
Ni mmoja wa wasaidizi WA mh RAIS toka JPM Hadi sasa
Okay, aiseee, nguvu ya pesa apooo
@@francismigongwa4146 sźźź zdĎdrssďedx
DC kisarawe
Nguvu ya pesa 🤔
Si nguvu ya pesa, ni nguvu ya upendo my dear. Nani kasema nae hakustahili kupata mke mrembo like Joyce?
kwakwer bibi harusi ana jambo lake
@@judithmwambe4767 watu hawaamini katika upendo wanabaki tuh katika pesa
Unawaza pesa tu unafikiri wote wapo kama wewe? Acha tamaa
@@boyochu1308 punguza hasira kijana😂😂😂😂😂
Duuu! Mpo mbali sana,yaaani mkeo unamfananisha na Baba akoo?
Qur'an (3:19).
"Bila shaka dini mbele ya MwenyeziMungu ni Uislam"