Mm ni mkristo lakini... Somo nzuri sana limenitia nguvu sana Kwanini nife mnyonge eneo nililozaliwa lazima niame na kwa uwezo wa Mungu litafanikiwa ...Nitarudi siku moja hapa kuja kuweka shuhuda yangu pale jambo hili la kuhama litakapo fanikiwa
Assalaam alaykum, shekh upo vizuri na umelipa nguvu wazo langu, mimi sehemu ninayoishi nimepata mtihani wa maisha, nikapata wazo la kuhama kuna walionipinga lakini kwa mada hii nahama shekh.
Maashaallah Nimekuelewa maalim... hata katika Qur'an ALLAH ametuambia "ametuumba mataifa na makabila tofauti tofauti ili tupate kujuana hakika aliem'bora niyule amchae mwenyezimungu." Sasa ikiwa mtakaatu sehemumoja bila kuhama mtajuana vipi. Shukran shekh .
MaashaAllah mawaidha mazuri, na kuhama faida yake sio kufanikiwa kimali tu bali na fikra zinahama na kujifunza mengi, ndio maana ya wahenga wakasema tembea uone.
Sheikh ni kweli kabisa hili Nimehama kwenye nyumba moja hivi hata wiki moja haikuisha nikapata nafasi kazini. Nilikuwa na kiwanja nikaanza ujenzi Alhamdullah nilimaliza na ujenzi
Mwalimu uthmaani hii hta mimi niliiona niliishi sana Tanga lkni kiukweli vijana walio hama kutoka tanga kuja dar walibadirika kiuchumi kiukweli hata mimi baada ya kupata fursa ya kuhama nimejaaliwa sasa nataka nianze kujenga chamazi insha'Allah na hukohuko tanga nipo kwenye kumalizia kununua kiwanj, shekhe usipo hama kiukweli hata ubongo wako unakuwa na fikra mgando.جزاك الله خيرا
Nimepiti baadhi ya comenti wanamkosoa shekhe na ndio tatizo letu sisi watanzania, shekhe kamaanisha ukikaa huo muda woote halafu huna maendeleo yoyote ya kidunia na akhera basi hama hiyo sehemu huenda kwa kufanya hivyo huko unakokwenda mungu ndiko alikokupangia wewe kupata mafanikio,, na Mimi naamini hilo
Mimi ni Mhanga wa kung’ang’ania Mahali nilikozaliwa . Hakika nimedidimia Sana Na Siwezi kujikwamua tena Maana umri umekwenda, Nimehamia Mkoa Mwingine nijaribu Kuiona tofauti ya Maisha ya Mwanzo Na Sasa.
Hata usipo fanikiwa lakin utakua umejifunza mambo mengi sana ukihama kama mimi hapa namshkr Allah nimehama nimejenga na kujenga mjini nanyumbani pia maana kwetu hakuna lakufanya zaidi ya kushinda vijiweni bora nilihama kweli kabisa maalim
Aya hiyo inahusu watu waliokuwa waisilam kisha kwa kuzidiwa nguvu na makafiri watu wale wakarudi kwenye ukafiri tena. Ndio muda wanapokufa huulizwa na malaika sababu ya kufa makafiri nao hujibu Tulikuwa wanyonge tukazidiwa nguvu na makafiri wakaturudisha kwenye ukafiri. Ndio huulizwa ni kwa nini hamkuhama hapo mlipozidiwa nguvu mkaenda mahala pengine ambapo huko mngepata utulivu na ardhi ya Mungu ni pana!? Hii ndio hoja ya aya hiyo sio kuwa ni lazima mtu ahame mahala pa asili yake ndio afanikiwe. Hizo ni katika tawaaqui za kimaarifat kwa sababu huwezi kusema leo kuwa mtoto wa bakhresa asipoondoka alipozaliwa na kwenda kuishi kwingine atakuwa hana maendeleo!!
Huyo anaelezea faida za hijra ila kuhusu ile aya makusudio ni wale wanaorejea ktk ukafiri baada ya kuzidiwa na makafiri ndio wataulizwa kwani ardhi ya Allah ni wasaa .ila hijra ina faida sana sana
Ndio maana sisi Wapemba tunafanikiwa kumbe ukenda Marekani utamkuta London yupo China hakosekani Dubai ndo usiseme Tunduru yupo Mtwara Moshi Arusha shikamoo mpemba
11:40 Dunia inatembea pia sio jua peke yake linalotembea na kutembea kwa Dunia zipo aya katika Qur-an zimebainisha kutembea kwa Dunia, shekh soma vizuri Qur-an.
Jitahidimni msome tafsiri za wanachuoni ili utowe tafsiri sahihi Aya haizungumzii ulazima wa kuhama ulipozaliwa Bali inazungumzia waislam waliobakia maka hawakumfata mtume s a w kuhama maka kwenda madina
Muhidin Ali .....endelea kubaki hapo hapo ulipozaliwa maendeleo yko yatakuwaje ....halaf baadae ujiangalie tofaut kati ya awal na mara ya pili ...........akili yko uciigandisha kufaham kitu pekeee lazma uwe na (istim-batw) .....pia jitahd Kuwa na adabu ktk elimu yko ...akhui SHUKRAN fkir ndpo utende
Kuhama maana yake ni kuonna, kufanya, kupanga pia ni kusoma mazingira mapya na kuona jinsi ya watu wengine wanavyoishi. Hakika kusafiri ni elimu lakini sina uhakika na usemi wa Sheikh kuwa utakuwa maskini kama hujaondoka kwenye maeneo yako.
mie naona kaongea kweli ukihama unapata hata ufumbuzi au akili nyingine nn cha kufanya mm kipindi niko kijijin maisha yalikua ya dhiki sana nikaja dar nikakaa miaka saba kwa sasa nipo oman nashukuru mungu nimebadilisha hata maisha yangu
Mm ni mkristo lakini... Somo nzuri sana limenitia nguvu sana Kwanini nife mnyonge eneo nililozaliwa lazima niame na kwa uwezo wa Mungu litafanikiwa ...Nitarudi siku moja hapa kuja kuweka shuhuda yangu pale jambo hili la kuhama litakapo fanikiwa
Ubarikiwe broh
Mungu akupe njia haki amin
Yeni mm mkristo lla nimekuelewa sana jinsi yakuama Mungu Akulinde
Shukran
Karibu kwa dini ya haki
Mungu akujalia na akupe njia haki
Nimekuja kufungukiwa kimaisha Alhamdulilah baada ya kuhama sheikh shukran Allah akujaze kheri nyingi
Assalaam alaykum, shekh upo vizuri na umelipa nguvu wazo langu, mimi sehemu ninayoishi nimepata mtihani wa maisha, nikapata wazo la kuhama kuna walionipinga lakini kwa mada hii nahama shekh.
Usitafutie nyumbani sheikh ni mtihani.
Natamani nikuone nikupe nguvu kwenye swala zima la hijra au kuhama.!!
Safar njema na Allah akufungulie!!!
@@HassanHassan-sn5cj mmmm
Maa shaAllah sheikh
@@HassanHassan-sn5cj aamin, Allaah atufanyie wepesi Inshaallaah.
Kweli
Shehe asante sana mi mkiristu lkn hapo kwenye kuhama ni kweli ukitaka maendeleo toka nje ya eneo lako ulikozaliwa na kukulia
Debora Komba Hii ndo dini ya kweli.
Debora Komba InshaAllah Mungu akufanyie wepesi uweze kuingia katika Uislamu
Kweli shekhe wetu
@@Rolemodel_wa_taifa IN shaa Allah
@@saidmbanga2867 IN shaa Allah ipo cku atakuwa mwezetu
Daaah,nimekubali,nimehama maisha kabadilika namshukur Allah
Maashaallah Nimekuelewa maalim... hata katika Qur'an ALLAH ametuambia "ametuumba mataifa na makabila tofauti tofauti ili tupate kujuana hakika aliem'bora niyule amchae mwenyezimungu." Sasa ikiwa mtakaatu sehemumoja bila kuhama mtajuana vipi. Shukran shekh .
Allah akbar
MaashaAllah mawaidha mazuri, na kuhama faida yake sio kufanikiwa kimali tu bali na fikra zinahama na kujifunza mengi, ndio maana ya wahenga wakasema tembea uone.
Allah akupe maisha marefu xana shekhee mm ni mkristo nimekuelewa xana nimepata moyo
Sheikh ni kweli kabisa hili
Nimehama kwenye nyumba moja hivi hata wiki moja haikuisha nikapata nafasi kazini. Nilikuwa na kiwanja nikaanza ujenzi Alhamdullah nilimaliza na ujenzi
wiki moja umejenga ww noma
Masha Allah
Shekhe hayo maneno nikweli kabsaa nshayaona..yani mada zako uwanisafi sana na zinaeleweka...mashaallaah
Somo liko mzuri
Mwalimu uthmaani hii hta mimi niliiona niliishi sana Tanga lkni kiukweli vijana walio hama kutoka tanga kuja dar walibadirika kiuchumi kiukweli hata mimi baada ya kupata fursa ya kuhama nimejaaliwa sasa nataka nianze kujenga chamazi insha'Allah na hukohuko tanga nipo kwenye kumalizia kununua kiwanj, shekhe usipo hama kiukweli hata ubongo wako unakuwa na fikra mgando.جزاك الله خيرا
Kweli kabisa
Masha Allah
Inshaa Allah subhaanahu akuzidishie kila lilokua lakheri kwa elimu unayo tupatia
Mashallah mufti asante sana kwaujumbe mzito kwakila mja amekuelewa vizuri kabisa
Shukraan Sana sheikh wetu uko sahihi kabisa sheikh kwa swala la kuhama Allah akuhifadhi sheikh wetu umetuzindua jazakallahu kher
Mashaallah Allah akuweke na akujaalie pepo iwe ndo makazi yako shekh Asante Kwa darsa
Shukrani nimeta da'awa inshaallah nitalifanyia kazi mana shekhe kanigusa
Nimepiti baadhi ya comenti wanamkosoa shekhe na ndio tatizo letu sisi watanzania, shekhe kamaanisha ukikaa huo muda woote halafu huna maendeleo yoyote ya kidunia na akhera basi hama hiyo sehemu huenda kwa kufanya hivyo huko unakokwenda mungu ndiko alikokupangia wewe kupata mafanikio,, na Mimi naamini hilo
Swadakta
Mmh
Mashaallah sheikh wewe unaongea point sana
Shukrn shekhe
MashaAllah jazakalahu kheri.Allah atupe wepesi katika mambo ya kheri
باراك الله فيكم وجزاك الله خير
Mada nzuri sana Allah akuhifadhi sheikh!
kwakweli asemayo ni hakika sasa hivi kariakoo yote inamilikiwa na wageni.
WALE WALIOGOMA KUHAMA NYUMBANI NA KUZEEKEA KWAO POVU LINAWATOKA.
Sana
Be blessed shekh
Usipo hama na ukipata maendeleo kuna tatizo
Mashallah shekhe ALLAH akuhifadhi ujumbe mzuri
Mimi ni Mhanga wa kung’ang’ania Mahali nilikozaliwa . Hakika nimedidimia Sana Na Siwezi kujikwamua tena Maana umri umekwenda, Nimehamia Mkoa Mwingine nijaribu Kuiona tofauti ya Maisha ya Mwanzo Na Sasa.
MashaAllah!
Masha Allah
سافر تجد عوضًا عمن تفارقه وانصب فإن لذيذ العيش في النصب.
Maashallah Allah akuweke sheikh
MashaAllah Tabarakallah
Sheikh kweli kabisa miepia nimehama niko omani kimaisha ni meamini usemayo
Alhamdulillah
Jaman
Allah atup wepes inshaallah
Mashaa-Allah shukrani jazeela napendaga kumsikiliza huyu shekhe
maashaallah Alhamdullillah
Barak'Allahu fiiQ
Masha Allah shukuran saana
Swadakta kabisa shekh wetu jazakallah kheir
Masha Allah shekh khamis Allah akuhifadhi, ameen.
Mawaidha mazuri yarabi tujaalie mwisho mwema
Uisilamu ndio dini ya haki.
Namkubari sana huyu Sheikh, Allah amuweke insha Allah
nam shekh Allah akulipe
Do
Do mile nimekubali maneno yako kuhama kumenipa utajir kila nlipohamia nmejenga asante she he
Allah akulipe pepo
Nabii akubariki kwao
UKWELI MTUPU .MASHAALLAH
Hata usipo fanikiwa lakin utakua umejifunza mambo mengi sana ukihama kama mimi hapa namshkr Allah nimehama nimejenga na kujenga mjini nanyumbani pia maana kwetu hakuna lakufanya zaidi ya kushinda vijiweni bora nilihama kweli kabisa maalim
Msha alah sheq Osman
Swadakta kabisa sheikh wangu
Kweli kunamaeneo mengine usipo hama huwez endilea ndomana mungu akaona likukalia vby eneo unahamia kungine.
MashaAllah
Shukran shekh una mistari mashaalah
Shukran shekhe, Ni kweli kuhama sehemu moja kwenda sehemu nyingine ni dawa!
Swadakta sheikh maneno ya kweli kabisa. Yassin Kakiyo
Kweli kabisa shehe wetu shukran wajazaka llahu heri
سافر ففي الاسفار خمس فوائد.
شكرا وجزاك الله خيرا
Assalam alaikum, wale wote tuliohama tujuane kwa like ❤
Vipi faris salaam Allah alleykom Mimi kama hivyo uko wapi.
Inshaallah
Kwli kbsa sheikh MUNGU akuweke na akulipe kila la kheir.
Shehe kweli kabisa maneno yako
Mashekh wengi wanapenda raha tu vijijini wanapakwepa sana unakuta msikiti mmoja mashekh kumi hapo ni mjini
Na wewe pia uhame uta ongeza akili
mawaidha mazuri sana
Nimepata hidaya kutoka kwako Shekhe langu
Mm shekh mguu wa kutoka mtume kauombea mm nyumban nilipigaka kinoma lkn tokea niondoke nashkur maisha yang kidog afuen
Mashallah Shekhe uko vzl Sana kielim na kutuelimisha
Nikweli hata maendelo ya mji huwa yanaletwa na wageni maan ht ukifanya kz huwa hawakuungi mkono zaidi yakukuombeya ushindwe
Aya hiyo inahusu watu waliokuwa waisilam kisha kwa kuzidiwa nguvu na makafiri watu wale wakarudi kwenye ukafiri tena.
Ndio muda wanapokufa huulizwa na malaika sababu ya kufa makafiri nao hujibu
Tulikuwa wanyonge tukazidiwa nguvu na makafiri wakaturudisha kwenye ukafiri.
Ndio huulizwa ni kwa nini hamkuhama hapo mlipozidiwa nguvu mkaenda mahala pengine ambapo huko mngepata utulivu na ardhi ya Mungu ni pana!?
Hii ndio hoja ya aya hiyo sio kuwa ni lazima mtu ahame mahala pa asili yake ndio afanikiwe.
Hizo ni katika tawaaqui za kimaarifat
kwa sababu huwezi kusema leo
kuwa mtoto wa bakhresa asipoondoka alipozaliwa na kwenda kuishi kwingine atakuwa hana maendeleo!!
DAH : HUU NDO UBAYA WA CHUKI ua-cam.com/video/7x-DPdj0azs/v-deo.html
Hujamuelewa shekh
Huyo anaelezea faida za hijra ila kuhusu ile aya makusudio ni wale wanaorejea ktk ukafiri baada ya kuzidiwa na makafiri ndio wataulizwa kwani ardhi ya Allah ni wasaa .ila hijra ina faida sana sana
Shekhe yupo sahih mada IPO wide hyo ktk maisha yko yte migration ni KTU cha msing, ww unasemea kipengele kmoja tu
Naam but aya makusudio ni hivii na si alivyosema Sheikh lkn hijra ina depend na mtu mwenyewe hali alokua nayo
iwapo sehemu unayo ishi hupati kufanya ibada kutokana naukafiri ulipo..
Naam sheikh naku kubali kabisa yani umeongeya kweli kabisa
Shehe hamujamfahamu ikiwa maisha yko magumu upo sehemu hiyo hiyo ndio uhame.
Maneno ya kweli kabisa
Umenipa muamko sheh wng
LA hawla wala quwata illah billah 😭😭😭🤢
Allah akulipe fact tupu
Mashallah shukuran
Kweli kabisa haswa kwa znz niwakarim na ndio io yakufanya kazi za bure mpaka kwa majiran
Duh
Swadakta ni kweli kabisa wallahi nmeona hakika QURAN YA ALLAH IMEKAMILIKA
Ndio maana sisi Wapemba tunafanikiwa kumbe ukenda Marekani utamkuta London yupo China hakosekani Dubai ndo usiseme Tunduru yupo Mtwara Moshi Arusha shikamoo mpemba
yani umeongelea point
Shukurn sana na mimi nitahama umesema kweli kabisa
Uko sawa sheh
Shekhe tunashukuru kwa muongozo
11:40 Dunia inatembea pia sio jua peke yake linalotembea na kutembea kwa Dunia zipo aya katika Qur-an zimebainisha kutembea kwa Dunia, shekh soma vizuri Qur-an.
Allah akujaalie hekima
Nakubali Sheikh mtu anasoma hapo anaolewa ama anaoa then anazekea tu hapo da!
Kweli kaka na anajukuu hapo maendeleo huwezi kuyapata.
Asante
38pp to up 08 up 7 ok 0u up 0l
Kama umemuelewa SHEKH ingia ktk uislamu usiogope watu
Nimemuelewa sheikh lakini hajatuambia tuache ukristo.
👏👏👏
Jitahidimni msome tafsiri za wanachuoni ili utowe tafsiri sahihi Aya haizungumzii ulazima wa kuhama ulipozaliwa Bali inazungumzia waislam waliobakia maka hawakumfata mtume s a w kuhama maka kwenda madina
Muhidin Ali .....endelea kubaki hapo hapo ulipozaliwa maendeleo yko yatakuwaje ....halaf baadae ujiangalie tofaut kati ya awal na mara ya pili ...........akili yko uciigandisha kufaham kitu pekeee lazma uwe na (istim-batw) .....pia jitahd Kuwa na adabu ktk elimu yko ...akhui SHUKRAN fkir ndpo utende
Kwani aya zote katika kurani zilishushwa kwetu sisi?
Asbaabi nuzuli ya aya zote zimeshuka wakati wa mtume
Qur_an Hai jawai kuexpire kwa kuwa Dunia ndo ile ile na mambo ndo Yale Yale
Mashaallaah endeleaa kujifunza uendelee kutufunza tusojuaa pia
Ukweli kabisa
Kuhama maana yake ni kuonna, kufanya, kupanga pia ni kusoma mazingira mapya na kuona jinsi ya watu wengine wanavyoishi. Hakika kusafiri ni elimu lakini sina uhakika na usemi wa Sheikh kuwa utakuwa maskini kama hujaondoka kwenye maeneo yako.
mie naona kaongea kweli ukihama unapata hata ufumbuzi au akili nyingine nn cha kufanya mm kipindi niko kijijin maisha yalikua ya dhiki sana nikaja dar nikakaa miaka saba kwa sasa nipo oman nashukuru mungu nimebadilisha hata maisha yangu
naam bila ya kukosea
سيروا في الأرض
Nipo nilipozaliwa sijahama,na nina maendeleo Shekh,kwa hapo kidogo umekosea.
Ndugu hujamuelewa vizuri
@@hamzaswaibu9470 Wewe si umeelewa?inatosha tu hata ukielewa wewe tu ni Cool😎👍
Ishaallah
Baaraka Allah fyk
Shehe umenilenga kabisa, abubakary a.n.bodley.mola akulipe.
Q 4:97-100
Tupe tafsir ya ibn taymiya kuhusu aya hizo sheikh..maneno matamu lakini kwa quran umejalizia maneno yako
Mimi kunamtu ariniambia maneno hayo hunapozariwa ukiishi apo huenderei kipato
Naked truth
😃😃😃nimecheka wallah
Vp
MAWAIDHA NI MAZURI SANA BALI KAWAIDA YETU TUTAKUTUHUMU KUA UNANIA YA KUWATOA WENYEJI MSIKITINI UBAKI WEWE !