SAIDA KAROLI| UGUMU wa MAISHA wa MAISHA UNAVYOMTAFUNA kwa SASA, DHURUMA ya PESA ILIVYO MUUMIZA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 356

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 місяці тому +24

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 4 місяці тому +2

      Lanenepa.mashalah

    • @Ramlakimaro
      @Ramlakimaro 4 місяці тому +1

      Mpaka leo bado zinaishi

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому +1

      SAIDA UMEWAIMBIA SANA WATU LAKINI HUJAMWIMBIA YESU KRISTO WA NAZARETI.Nakuomba nakusihi ANZA SASA KUMSIFU YESU KRISTO WA NAZARETI ATAKULIPA ZAIDI.

  • @officialdogobdance672
    @officialdogobdance672 4 місяці тому +23

    I respect her so much namuombeaga kila siku mungu amuweke miaka 1000 maana huyu alinilea miaka 7 nilienda kwake nikiwa mdogo sana mpaka saii niko Star kwa sababu ya huyu mama heshima kwake❤❤❤❤❤❤

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 4 місяці тому +42

    Saida tunakupenda sana!!👑

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 4 місяці тому +35

    Ukiachana na usanii bado ww ni mama la mama Mungu akubariki sana mdogo wangu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 4 місяці тому +37

    Maskn anapambana kwa ajili ya watoto wake hongera sana❤❤❤

  • @ettienewand9850
    @ettienewand9850 4 місяці тому +7

    Hivi mtu akitaka kumzawadi huyu mama amfikie vipi.She deserves to be appreciated. Nyimbo zake zinanigusa sana.

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 4 місяці тому +26

    Hizi interview zinafundisha sana hasa kwa watu wanaoongea ukweli kama mama Saida MWENYEZI MUNGU akujalie zaidi kwa moyo wa kuwasaidia na kuwafunza wengine

  • @BENARDKATETE
    @BENARDKATETE 4 місяці тому +9

    Mbona kaacha kuimba kipawa akiozi ats kwe. Mie Mkenya ningali na kumbuka nyimbo zako nikiwa jijini Nairobi. Mie Mkenya. ❤

  • @MartinsAgufana
    @MartinsAgufana 4 місяці тому +3

    Hongereni sana kwa Interview yenye mafunzo makubwa na kumleta Bi. Saida Karoli. Tunampenda sana🙏🏿🤗

  • @SimonBinde
    @SimonBinde 4 місяці тому +24

    Mungu akupe maisha marefu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 4 місяці тому +8

    Wow I'm happy to see her,akipata profession interviewer anavitu vingi vya kufundisha vijana

  • @linahnyongesa9359
    @linahnyongesa9359 2 місяці тому +2

    Surely Tanzania,give us Kenyans this woman tumjengee ,tumpee Gari Kisha tuwakabidhi mnamwacha ateseke huyu star Kisha akifa mtatusumbua sana mtandaoni na nyimbo zake.

  • @bodyaman
    @bodyaman 4 місяці тому +14

    Hongereni Global TV Kwa kufanya interview na Saida Karoli rejendri WA Muziki wa bongo akiwa hai

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 4 місяці тому +24

    Huyu mama nampenda sana mpaka kesho

  • @SimonBinde
    @SimonBinde 4 місяці тому +66

    Huyu tumuheshimu kashfa so nzuri ni mama yetu

    • @evakessy3282
      @evakessy3282 4 місяці тому +4

      Kwani nani amekoment kashfa na wewe hovyo

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 місяці тому +2


      😅😅

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 4 місяці тому +1

      ❤❤❤

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto 4 місяці тому

      ​@@evakessy3282kwani wewe huoni hiyo title ya hapo juu walivoandika eti UGUMU WA MAISHA UNAVYOMTAFUNA SAIDA KAROLI sasa siuongo huo kwa maisha gani mabaovu alonayo??ni usenge tuu wanataka wapate views wengi

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 4 місяці тому

      😂😂😂muambie huyo.​@@evakessy3282

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 4 місяці тому +2

    MashaAllah nafurahi kumuona huyu mama nimekuwa nikisikiliza nyimbo zake za zamani karibia nusu nakujua kuimba kilugha chake❤wote nyumban tunapenda sana saida karoli,

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 4 місяці тому +22

    Mungu anatupenda sote huyu mama kanigusa sana lakini mafanikio yapo haijalishi ni umri upi ulio nao jina lako mama nikubwa sana na sio Tanzania tu africa kwa ujumla Mungu akusimamie mshirikishe pia Mungu katika kila jambo kama unavyo kubali ukuu wake katika maisha yako una moyo mzuri Sana Mama

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 4 місяці тому +7

    Huyu ni Muanga wa cloudz FM ..Walimtumia sana kwa faida yao

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 4 місяці тому +25

    Mme wangu anapenda nyimbo zako zote ❤

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 4 місяці тому +14

    Kiukweli mama yangu nikushauri tu, kama hakuna affect unayoipata usukumani; naomba endelea kupiga chaka to Chaka, kama malengo yako Huwa yanatimia; usichague mama kikubwa Hela. Mi najua kilichokufelisha ni technology ya muziki haikuwa imekomaa mpo wengi sana mlipiga kazi kubwa ila hakuna kitu Leo.
    Watu walichezea sana kazi zenu walitajirika, na mbaya sana mama yangu hukuwa na Elimu kabisa. Piga kazi mama yangu kikubwa Hela. .

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 4 місяці тому +2

    Interview nzuri sana, story nzuri sana. Mwenyezi Mungu awabariki nyinyi note wali kwenye kipindi hiki.

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 місяці тому +9

    Hongera sana mama yangu wewe ni mwanamke na nusu,sema rudi kwenye asili ya nyimbo zako utabaki kuwa juu lakini huu ukisasa ndo utakudidimiza.Natamani nikuone wa moto siku zote

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 4 місяці тому +8

    Asante Saida kwa kumkumbuka meneja wako.

  • @RoseKesi-zj4yy
    @RoseKesi-zj4yy 3 місяці тому +1

    Nakupenda sana nasikiliza nyimbo zako kila siku naomba nikutumie ata ya soda mama nipee namba

  • @AishaMaganga-vd1jg
    @AishaMaganga-vd1jg 4 місяці тому +2

    Kikubwa uzima mamangu. Hatahivyo Mungu amekubaliki nyumba yakuishi na watoto wako! Tunakupenda sana.❤❤❤❤

  • @zainabrobbykoroso8912
    @zainabrobbykoroso8912 4 місяці тому +1

    I'm from kenya I truly like this mamaa because nikikua songs zake ndio nilipenda kwaza afu anakaa mama mpoa sana much love ❣️❣️

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 4 місяці тому +2

    Natazama toka Kenya.hongera sana dada kipenzi ❤❤❤❤❤❤ nakupenda .sana.nakukubalia kabisa🎉🎉🎉

  • @mathsngasadm3093
    @mathsngasadm3093 4 місяці тому +2

    Napenda mno jimbo zako, yaani kila nikisikiliza najikuta napata radha ya kipekee mno.
    Hongera sana Mama saida kwa kipaji ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu

  • @philbertzacharia3087
    @philbertzacharia3087 4 місяці тому +2

    Nimependa sana aliposema ivi "nikazama mtoto wa kike itakavokuwa na iwe Mungu akupe maisha marefu @said

  • @ReginaManyangu-u4j
    @ReginaManyangu-u4j 3 місяці тому +1

    Binafamu hawana wema, walimleta Dar wakajinufaisha wao bila kumjali ,Mungu atamuinua tena ❤❤❤

  • @Rahmapastory
    @Rahmapastory 4 місяці тому +8

    Tunakupenda mno saida

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 місяці тому +4

    Safi sana saida. Ludi ktk mziki wako. Tunakupenda sana❤❤❤

  • @albashakluninshaah3727
    @albashakluninshaah3727 4 місяці тому +2

    Mungu akuweke sana

  • @maduhumanyangu1544
    @maduhumanyangu1544 4 місяці тому +2

    Hongera sana...mama Saida kwa Kipaji chako

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 2 місяці тому

    Jamani ivo saida mpaka Leo anatafuta kutangazwa? Huyu ni legendary wakutunzwa kwenye hali ya juu sana. Bado hakuna anomfikia sauti yake, wala style yake. Yafaa ashikwe mkono jamani wakati anauwezo. Mungu aendelee kukutunza na azidi kukupa mafanikio unayo stahiki ❤

  • @athanasjoseph9529
    @athanasjoseph9529 4 місяці тому +2

    Icon. Halafu hataki maisha ya kufake. Nimependa hiyo spirit.

  • @increaseTv148
    @increaseTv148 3 дні тому

    Much ❤ from Kenya

  • @Boaz-Gwanko
    @Boaz-Gwanko 4 місяці тому +18

    Nashauri Saida akahojiwe na Milard ayo,au atafutiwe mwingine ndani ya global, huyu mwingine hajui kumuhoji mtu aliye kaa mda mrefu bila kuhojiwa, ana mambo mengi kifuani lakini hana mtu wa kuyachokonoa... Nimehuzunishwa na mwandishi wenu anaye chekacheka tu bila kuhoji maswali ya msingi.

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 4 місяці тому +2

    Mtangazaji kuna maswali ya msingi ulipaswa uulize kwa hii interview huyu mama ni legendary

  • @nangabohh3
    @nangabohh3 4 місяці тому

    We need you in Kenya my dear Saida,I loved your music,Ngoma Zako zilifanya nimpende Sana make wangu(mapenzi kisungusungu)

  • @MASAYUSIDA
    @MASAYUSIDA 2 місяці тому

    Nakupend xana saida

  • @gracepaul4194
    @gracepaul4194 4 місяці тому +8

    Dada saida anza kumwiimbia Mungu sasa

    • @NasoroZubery
      @NasoroZubery 2 місяці тому

      Huyu ni Muislam weweee….

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 3 місяці тому

    Namkubali sana

  • @josephjaleen127
    @josephjaleen127 4 місяці тому

    My late bro loved nyimbo zako sana nikiwa shule ya msingi uku Kenya,maria Salome na zingine.

  • @ElisoniMahamba-fr7nu
    @ElisoniMahamba-fr7nu 4 місяці тому +2

    Uko sawa dada. Yetu kukopamoja nawe mungu akulinde type vit😊

  • @Vaiva4254
    @Vaiva4254 4 місяці тому +3

    Hata Saida akija kampala sasa hivi... Hawezi-shindwa kupata watu... Tena watu wengi sana...usikate tamaa mama

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 4 місяці тому +2

    Legend kabisa 🙌🔥🙌

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 4 місяці тому +4

    Safi sana mama uko vzr kw kujiamini bila hofu ktk upambanaji kimaisha.Endelea kupambana na husikose kumtanguliza na kumuomba mungu💪♥️

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 4 місяці тому +2

    Pole Sana Mama Saida Kaloli
    Shoo ya Kampala Uganda uwanja ulijaa akatapeliwa pesa yote akaja Tanzania kwa msaada wa lift.Akina FM walimfilisi wakatajirika wao

  • @hawababy120
    @hawababy120 4 місяці тому +4

    Mashaallah Allah Akutunze zaidi❤

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 місяці тому +8

    Wasukuma watu pouwa sana❤

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 місяці тому +3

    Uko vizuri Mama

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 4 місяці тому +2

    Nakupenda sana mama yangu Saida ❤❤❤

  • @KenedyGodwin
    @KenedyGodwin 4 місяці тому

    Asante tunakupenda mama

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 4 місяці тому +9

    Pole saida ila umenichesha

  • @REMEASYPIANO
    @REMEASYPIANO 4 місяці тому +2

    nimependa sana anavyo ongea ukweli uhalisia wa maisha yake

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 4 місяці тому

    Duh Saida Karoli ❤❤mpaka leo bado nasikiliza Ngoma zako

  • @ReginaMwongeli-bt4jv
    @ReginaMwongeli-bt4jv 3 місяці тому

    Twakutakia kila raheli mama,kimbali cha mungu,kikuandame, twakupenda sana huku🇰🇪🇰🇪

  • @asupiaalbertoalberto8122
    @asupiaalbertoalberto8122 3 місяці тому

    Eu amo essa mamãe más anos de vida , estou online apartir de Pemba Moçambique.❤

  • @VailethBeautus
    @VailethBeautus 4 місяці тому

    Hongera Sana mama ulifanya kazi nzri kwa muda mrefu

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 4 місяці тому

    Mm nakupenda sana sana tangia umeanza nyimbo Yako yakwanza nakutafuta sana sana dadaangu

  • @jmm1840
    @jmm1840 4 місяці тому +8

    Habari studio
    Naitwa J.M
    Nahitaji kuonana na Saidia Kaloli.
    Naomba mniunganishe nae.

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 4 місяці тому

    Dàh had roho inaumaà kweliiiiiila jaman , maboss hata kama mtu akiwahajui mlipe kisitahiki, mtu mweleze ukweli umepata kiasi hiki mnaweka mezani yote na mnagawana kiasi gani❤❤❤❤❤❤❤

  • @OberdKahwa
    @OberdKahwa 4 місяці тому

    Nakupenda

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc 4 місяці тому

    Mamangu anapenda nyimbo zako sana mpaka anatulela kila mda muweken saida

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 4 місяці тому

    Ubalikiwe sana

  • @dinahBarige
    @dinahBarige 3 місяці тому

    Uko vizuri mama mi naona kile kitu kilichokufanya uhit, ndo uendelee nacho Kwa kukiboresha ili uwike zaid

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 4 місяці тому

    Umebarikiwa

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 4 місяці тому

    Heshima sana

  • @WitnessChristian-t7i
    @WitnessChristian-t7i 4 місяці тому +2

    Mungu akutunze mafanikio hayana umri.

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg 4 місяці тому

    Kazi nzuri

  • @KamgishaIsaya
    @KamgishaIsaya Місяць тому

    Ongera dada yetu saida.

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 4 місяці тому +2

    Mtangazaji hajui kazi yake vilivyo, hajui kuulizwa maswali ya uchokozi na ya udadisi

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 4 місяці тому

    Gosh I love her ❤ good to see Saida

  • @richardmalekela4786
    @richardmalekela4786 4 місяці тому +4

    Safi sana mama anahekima,tujifunze kitu.

  • @happynesfocus
    @happynesfocus 20 днів тому

    Mungu wetu sotee

  • @mariamosaideabdo9953
    @mariamosaideabdo9953 4 місяці тому +4

    Minha mãe foi tua fã em toda minha infância, ela gostava muito de escutar as suas músicas 😚 . Pena que eu xtou muito longe dela ia gostar muito de ver. amo a senhora por causa da minha mãe direito de Mz 🇲🇿🇲🇿

  • @alorineawuor2205
    @alorineawuor2205 4 місяці тому

    Yes mum people learn day after day....
    Dust your gown and continue with the race mum , you are still alive

  • @kasimramadhani4690
    @kasimramadhani4690 4 місяці тому

    Jina la maria salome limekaaje ??

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 4 місяці тому

    In proud of her. Sijawai jua sura lakini sauti yake naifahamu sana

  • @benedictormulagha9022
    @benedictormulagha9022 4 місяці тому

    nimeguswa namaneno yako mama angu ❤nakupenda sana❤🎉🎉

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 4 місяці тому

    Saida karoli nakukubali sana mama yangu ♥️♥️♥️♥️

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 4 місяці тому

    Bonge Moja la interview 💯💯 big up Global TV

  • @AbihudiMbekomize-py8fb
    @AbihudiMbekomize-py8fb 3 місяці тому

    Wakola mama nakupenda sana

  • @DicksonKobe
    @DicksonKobe 4 місяці тому +1

    Sasa online pesa zake anakula nani? Mdundo, boomplay,

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 4 місяці тому

    Huyu mkweli Sana Mungu amsaidie.

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 4 місяці тому

    Upo dar sehemu gani

  • @josephatmgaya7321
    @josephatmgaya7321 4 місяці тому

    Hakika ww mpambanaji sana hongera dada

  • @bodyaman
    @bodyaman 4 місяці тому

    Nashukuru kama umeliona ilo kak

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 4 місяці тому

    Umeanza kujikuza tena Saida.Tulia piga kazi achana na mambo ya brand.Hayo ndo yanakufanya ukose deal.Tunakupenda husijikweze wewe piga kazi.Sema umeiva sana.Umeongea vizuri mno.

  • @IsacRobath
    @IsacRobath 4 місяці тому

    🇲🇿 kutoka Mozambique Mimi ninamuona Saida nikiwa mtoto, nasema ukeelyi Saida Karoli tunakupenda sana, Mimi APA nitampenda milele.

  • @hollysamwel7739
    @hollysamwel7739 Місяць тому

    Hyu mama anaushauri mzr kwel yaan nimeupenda ushauri wake

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 4 місяці тому

    Mi kiukweli mzee Mutta alikuwa na roho nzur sana sana mimi nilimjua kwa mema tu.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 4 місяці тому

    Mashaallah Mungu akupe hitaji la moyo wako❤❤🙏🙏

  • @PrisicaBitaza-lx8sg
    @PrisicaBitaza-lx8sg 4 місяці тому

    Tunakupenda ndugu yetu,, tunakupenda sana ukooo uko pamoja nawe

  • @ramadhaniisihaka295
    @ramadhaniisihaka295 4 місяці тому +2

    Nyimbo zangu pendwa ni kaisiki,iyembe,ngoz zone,

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 4 місяці тому

    Usjali my sister amini hicho ulichonacho ndoalchokupangia MUNGU 😊

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 4 місяці тому +20

    Ili litangazaji halijui kuuliza maswali ya maana uzuri Saida anajiongeza anaelezea hata vitu ambavyo ajaulizwa

    • @Boaz-Gwanko
      @Boaz-Gwanko 4 місяці тому

      Yani Hadi kero

    • @dinachiwaligo
      @dinachiwaligo 4 місяці тому

      Yaani mtangazaji ziro kabisa anajikunakuna Tu namiguno kibao

    • @ItangoMsabila
      @ItangoMsabila 4 місяці тому

      Kweli bro Yan halijui kuhoj da kumbe umegundua nlhs n mim peke yang

    • @ItangoMsabila
      @ItangoMsabila 4 місяці тому

      huyu jamaa hajui kuhoj kabsa jaman anashusha brand

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 4 місяці тому

      @@ItangoMsabila ila sometime muwe na heshima siyo kumtusi mtu,unapomuita binadamu mwenzako hili litangazaji unaonyesha jinsi gani wewe hujielewi.

  • @patriciambita4469
    @patriciambita4469 4 місяці тому

    Saida nakupenda sanaaaa❤

  • @hollysamwel7739
    @hollysamwel7739 Місяць тому

    Hyu mama kiukwel nampenda kupita mfano nyimbo zake nazipenda kwel