Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
I respect her so much namuombeaga kila siku mungu amuweke miaka 1000 maana huyu alinilea miaka 7 nilienda kwake nikiwa mdogo sana mpaka saii niko Star kwa sababu ya huyu mama heshima kwake❤❤❤❤❤❤
Hizi interview zinafundisha sana hasa kwa watu wanaoongea ukweli kama mama Saida MWENYEZI MUNGU akujalie zaidi kwa moyo wa kuwasaidia na kuwafunza wengine
Surely Tanzania,give us Kenyans this woman tumjengee ,tumpee Gari Kisha tuwakabidhi mnamwacha ateseke huyu star Kisha akifa mtatusumbua sana mtandaoni na nyimbo zake.
@@evakessy3282kwani wewe huoni hiyo title ya hapo juu walivoandika eti UGUMU WA MAISHA UNAVYOMTAFUNA SAIDA KAROLI sasa siuongo huo kwa maisha gani mabaovu alonayo??ni usenge tuu wanataka wapate views wengi
MashaAllah nafurahi kumuona huyu mama nimekuwa nikisikiliza nyimbo zake za zamani karibia nusu nakujua kuimba kilugha chake❤wote nyumban tunapenda sana saida karoli,
Mungu anatupenda sote huyu mama kanigusa sana lakini mafanikio yapo haijalishi ni umri upi ulio nao jina lako mama nikubwa sana na sio Tanzania tu africa kwa ujumla Mungu akusimamie mshirikishe pia Mungu katika kila jambo kama unavyo kubali ukuu wake katika maisha yako una moyo mzuri Sana Mama
Kiukweli mama yangu nikushauri tu, kama hakuna affect unayoipata usukumani; naomba endelea kupiga chaka to Chaka, kama malengo yako Huwa yanatimia; usichague mama kikubwa Hela. Mi najua kilichokufelisha ni technology ya muziki haikuwa imekomaa mpo wengi sana mlipiga kazi kubwa ila hakuna kitu Leo. Watu walichezea sana kazi zenu walitajirika, na mbaya sana mama yangu hukuwa na Elimu kabisa. Piga kazi mama yangu kikubwa Hela. .
Hongera sana mama yangu wewe ni mwanamke na nusu,sema rudi kwenye asili ya nyimbo zako utabaki kuwa juu lakini huu ukisasa ndo utakudidimiza.Natamani nikuone wa moto siku zote
Napenda mno jimbo zako, yaani kila nikisikiliza najikuta napata radha ya kipekee mno. Hongera sana Mama saida kwa kipaji ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu
Jamani ivo saida mpaka Leo anatafuta kutangazwa? Huyu ni legendary wakutunzwa kwenye hali ya juu sana. Bado hakuna anomfikia sauti yake, wala style yake. Yafaa ashikwe mkono jamani wakati anauwezo. Mungu aendelee kukutunza na azidi kukupa mafanikio unayo stahiki ❤
Nashauri Saida akahojiwe na Milard ayo,au atafutiwe mwingine ndani ya global, huyu mwingine hajui kumuhoji mtu aliye kaa mda mrefu bila kuhojiwa, ana mambo mengi kifuani lakini hana mtu wa kuyachokonoa... Nimehuzunishwa na mwandishi wenu anaye chekacheka tu bila kuhoji maswali ya msingi.
Pole Sana Mama Saida Kaloli Shoo ya Kampala Uganda uwanja ulijaa akatapeliwa pesa yote akaja Tanzania kwa msaada wa lift.Akina FM walimfilisi wakatajirika wao
Dàh had roho inaumaà kweliiiiiila jaman , maboss hata kama mtu akiwahajui mlipe kisitahiki, mtu mweleze ukweli umepata kiasi hiki mnaweka mezani yote na mnagawana kiasi gani❤❤❤❤❤❤❤
Minha mãe foi tua fã em toda minha infância, ela gostava muito de escutar as suas músicas 😚 . Pena que eu xtou muito longe dela ia gostar muito de ver. amo a senhora por causa da minha mãe direito de Mz 🇲🇿🇲🇿
Umeanza kujikuza tena Saida.Tulia piga kazi achana na mambo ya brand.Hayo ndo yanakufanya ukose deal.Tunakupenda husijikweze wewe piga kazi.Sema umeiva sana.Umeongea vizuri mno.
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Lanenepa.mashalah
Mpaka leo bado zinaishi
SAIDA UMEWAIMBIA SANA WATU LAKINI HUJAMWIMBIA YESU KRISTO WA NAZARETI.Nakuomba nakusihi ANZA SASA KUMSIFU YESU KRISTO WA NAZARETI ATAKULIPA ZAIDI.
I respect her so much namuombeaga kila siku mungu amuweke miaka 1000 maana huyu alinilea miaka 7 nilienda kwake nikiwa mdogo sana mpaka saii niko Star kwa sababu ya huyu mama heshima kwake❤❤❤❤❤❤
Saida tunakupenda sana!!👑
Ukiachana na usanii bado ww ni mama la mama Mungu akubariki sana mdogo wangu
Maskn anapambana kwa ajili ya watoto wake hongera sana❤❤❤
Nakataa
@@liberatusjackson5045kwanini?
Hivi mtu akitaka kumzawadi huyu mama amfikie vipi.She deserves to be appreciated. Nyimbo zake zinanigusa sana.
Hizi interview zinafundisha sana hasa kwa watu wanaoongea ukweli kama mama Saida MWENYEZI MUNGU akujalie zaidi kwa moyo wa kuwasaidia na kuwafunza wengine
Mbona kaacha kuimba kipawa akiozi ats kwe. Mie Mkenya ningali na kumbuka nyimbo zako nikiwa jijini Nairobi. Mie Mkenya. ❤
Hongereni sana kwa Interview yenye mafunzo makubwa na kumleta Bi. Saida Karoli. Tunampenda sana🙏🏿🤗
Mungu akupe maisha marefu
Wow I'm happy to see her,akipata profession interviewer anavitu vingi vya kufundisha vijana
Surely Tanzania,give us Kenyans this woman tumjengee ,tumpee Gari Kisha tuwakabidhi mnamwacha ateseke huyu star Kisha akifa mtatusumbua sana mtandaoni na nyimbo zake.
Kuja Kenya Saida
Hongereni Global TV Kwa kufanya interview na Saida Karoli rejendri WA Muziki wa bongo akiwa hai
Huyu mama nampenda sana mpaka kesho
Huyu tumuheshimu kashfa so nzuri ni mama yetu
Kwani nani amekoment kashfa na wewe hovyo
😅😅
❤❤❤
@@evakessy3282kwani wewe huoni hiyo title ya hapo juu walivoandika eti UGUMU WA MAISHA UNAVYOMTAFUNA SAIDA KAROLI sasa siuongo huo kwa maisha gani mabaovu alonayo??ni usenge tuu wanataka wapate views wengi
😂😂😂muambie huyo.@@evakessy3282
MashaAllah nafurahi kumuona huyu mama nimekuwa nikisikiliza nyimbo zake za zamani karibia nusu nakujua kuimba kilugha chake❤wote nyumban tunapenda sana saida karoli,
Mungu anatupenda sote huyu mama kanigusa sana lakini mafanikio yapo haijalishi ni umri upi ulio nao jina lako mama nikubwa sana na sio Tanzania tu africa kwa ujumla Mungu akusimamie mshirikishe pia Mungu katika kila jambo kama unavyo kubali ukuu wake katika maisha yako una moyo mzuri Sana Mama
Huyu ni Muanga wa cloudz FM ..Walimtumia sana kwa faida yao
Mme wangu anapenda nyimbo zako zote ❤
Angalia utaibiwa mme
Kiukweli mama yangu nikushauri tu, kama hakuna affect unayoipata usukumani; naomba endelea kupiga chaka to Chaka, kama malengo yako Huwa yanatimia; usichague mama kikubwa Hela. Mi najua kilichokufelisha ni technology ya muziki haikuwa imekomaa mpo wengi sana mlipiga kazi kubwa ila hakuna kitu Leo.
Watu walichezea sana kazi zenu walitajirika, na mbaya sana mama yangu hukuwa na Elimu kabisa. Piga kazi mama yangu kikubwa Hela. .
Interview nzuri sana, story nzuri sana. Mwenyezi Mungu awabariki nyinyi note wali kwenye kipindi hiki.
Hongera sana mama yangu wewe ni mwanamke na nusu,sema rudi kwenye asili ya nyimbo zako utabaki kuwa juu lakini huu ukisasa ndo utakudidimiza.Natamani nikuone wa moto siku zote
Asante Saida kwa kumkumbuka meneja wako.
Nakupenda sana nasikiliza nyimbo zako kila siku naomba nikutumie ata ya soda mama nipee namba
Kikubwa uzima mamangu. Hatahivyo Mungu amekubaliki nyumba yakuishi na watoto wako! Tunakupenda sana.❤❤❤❤
I'm from kenya I truly like this mamaa because nikikua songs zake ndio nilipenda kwaza afu anakaa mama mpoa sana much love ❣️❣️
Natazama toka Kenya.hongera sana dada kipenzi ❤❤❤❤❤❤ nakupenda .sana.nakukubalia kabisa🎉🎉🎉
Napenda mno jimbo zako, yaani kila nikisikiliza najikuta napata radha ya kipekee mno.
Hongera sana Mama saida kwa kipaji ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu
Nimependa sana aliposema ivi "nikazama mtoto wa kike itakavokuwa na iwe Mungu akupe maisha marefu @said
Binafamu hawana wema, walimleta Dar wakajinufaisha wao bila kumjali ,Mungu atamuinua tena ❤❤❤
Tunakupenda mno saida
Safi sana saida. Ludi ktk mziki wako. Tunakupenda sana❤❤❤
Mungu akuweke sana
Hongera sana...mama Saida kwa Kipaji chako
Jamani ivo saida mpaka Leo anatafuta kutangazwa? Huyu ni legendary wakutunzwa kwenye hali ya juu sana. Bado hakuna anomfikia sauti yake, wala style yake. Yafaa ashikwe mkono jamani wakati anauwezo. Mungu aendelee kukutunza na azidi kukupa mafanikio unayo stahiki ❤
Icon. Halafu hataki maisha ya kufake. Nimependa hiyo spirit.
Much ❤ from Kenya
Nashauri Saida akahojiwe na Milard ayo,au atafutiwe mwingine ndani ya global, huyu mwingine hajui kumuhoji mtu aliye kaa mda mrefu bila kuhojiwa, ana mambo mengi kifuani lakini hana mtu wa kuyachokonoa... Nimehuzunishwa na mwandishi wenu anaye chekacheka tu bila kuhoji maswali ya msingi.
Kweli
@imelidamtema ndo anajua kuhoji mtu
Nilitaka kulisema hili
Mtangazaji kuna maswali ya msingi ulipaswa uulize kwa hii interview huyu mama ni legendary
We need you in Kenya my dear Saida,I loved your music,Ngoma Zako zilifanya nimpende Sana make wangu(mapenzi kisungusungu)
Nakupend xana saida
Dada saida anza kumwiimbia Mungu sasa
Huyu ni Muislam weweee….
Namkubali sana
My late bro loved nyimbo zako sana nikiwa shule ya msingi uku Kenya,maria Salome na zingine.
Uko sawa dada. Yetu kukopamoja nawe mungu akulinde type vit😊
Hata Saida akija kampala sasa hivi... Hawezi-shindwa kupata watu... Tena watu wengi sana...usikate tamaa mama
Legend kabisa 🙌🔥🙌
Safi sana mama uko vzr kw kujiamini bila hofu ktk upambanaji kimaisha.Endelea kupambana na husikose kumtanguliza na kumuomba mungu💪♥️
Pole Sana Mama Saida Kaloli
Shoo ya Kampala Uganda uwanja ulijaa akatapeliwa pesa yote akaja Tanzania kwa msaada wa lift.Akina FM walimfilisi wakatajirika wao
Mashaallah Allah Akutunze zaidi❤
Wasukuma watu pouwa sana❤
Kweli kabisa ukienda nao sawa
Ufaidi kwakwel😊
Uko vizuri Mama
Nakupenda sana mama yangu Saida ❤❤❤
Asante tunakupenda mama
Pole saida ila umenichesha
nimependa sana anavyo ongea ukweli uhalisia wa maisha yake
Duh Saida Karoli ❤❤mpaka leo bado nasikiliza Ngoma zako
Twakutakia kila raheli mama,kimbali cha mungu,kikuandame, twakupenda sana huku🇰🇪🇰🇪
Eu amo essa mamãe más anos de vida , estou online apartir de Pemba Moçambique.❤
Hongera Sana mama ulifanya kazi nzri kwa muda mrefu
Mm nakupenda sana sana tangia umeanza nyimbo Yako yakwanza nakutafuta sana sana dadaangu
Habari studio
Naitwa J.M
Nahitaji kuonana na Saidia Kaloli.
Naomba mniunganishe nae.
Mbona kataja namba hapo mkuu
We onana nae tu
Dàh had roho inaumaà kweliiiiiila jaman , maboss hata kama mtu akiwahajui mlipe kisitahiki, mtu mweleze ukweli umepata kiasi hiki mnaweka mezani yote na mnagawana kiasi gani❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda
Mamangu anapenda nyimbo zako sana mpaka anatulela kila mda muweken saida
Ubalikiwe sana
Uko vizuri mama mi naona kile kitu kilichokufanya uhit, ndo uendelee nacho Kwa kukiboresha ili uwike zaid
Umebarikiwa
❤
Heshima sana
Mungu akutunze mafanikio hayana umri.
Kazi nzuri
Ongera dada yetu saida.
Mtangazaji hajui kazi yake vilivyo, hajui kuulizwa maswali ya uchokozi na ya udadisi
Gosh I love her ❤ good to see Saida
Safi sana mama anahekima,tujifunze kitu.
Mungu wetu sotee
Minha mãe foi tua fã em toda minha infância, ela gostava muito de escutar as suas músicas 😚 . Pena que eu xtou muito longe dela ia gostar muito de ver. amo a senhora por causa da minha mãe direito de Mz 🇲🇿🇲🇿
Yes mum people learn day after day....
Dust your gown and continue with the race mum , you are still alive
Jina la maria salome limekaaje ??
In proud of her. Sijawai jua sura lakini sauti yake naifahamu sana
nimeguswa namaneno yako mama angu ❤nakupenda sana❤🎉🎉
Saida karoli nakukubali sana mama yangu ♥️♥️♥️♥️
Bonge Moja la interview 💯💯 big up Global TV
Wakola mama nakupenda sana
Sasa online pesa zake anakula nani? Mdundo, boomplay,
Huyu mkweli Sana Mungu amsaidie.
Upo dar sehemu gani
Hakika ww mpambanaji sana hongera dada
Nashukuru kama umeliona ilo kak
Umeanza kujikuza tena Saida.Tulia piga kazi achana na mambo ya brand.Hayo ndo yanakufanya ukose deal.Tunakupenda husijikweze wewe piga kazi.Sema umeiva sana.Umeongea vizuri mno.
🇲🇿 kutoka Mozambique Mimi ninamuona Saida nikiwa mtoto, nasema ukeelyi Saida Karoli tunakupenda sana, Mimi APA nitampenda milele.
Hyu mama anaushauri mzr kwel yaan nimeupenda ushauri wake
Mi kiukweli mzee Mutta alikuwa na roho nzur sana sana mimi nilimjua kwa mema tu.
Mashaallah Mungu akupe hitaji la moyo wako❤❤🙏🙏
Tunakupenda ndugu yetu,, tunakupenda sana ukooo uko pamoja nawe
Nyimbo zangu pendwa ni kaisiki,iyembe,ngoz zone,
Usjali my sister amini hicho ulichonacho ndoalchokupangia MUNGU 😊
Ili litangazaji halijui kuuliza maswali ya maana uzuri Saida anajiongeza anaelezea hata vitu ambavyo ajaulizwa
Yani Hadi kero
Yaani mtangazaji ziro kabisa anajikunakuna Tu namiguno kibao
Kweli bro Yan halijui kuhoj da kumbe umegundua nlhs n mim peke yang
huyu jamaa hajui kuhoj kabsa jaman anashusha brand
@@ItangoMsabila ila sometime muwe na heshima siyo kumtusi mtu,unapomuita binadamu mwenzako hili litangazaji unaonyesha jinsi gani wewe hujielewi.
Saida nakupenda sanaaaa❤
Hyu mama kiukwel nampenda kupita mfano nyimbo zake nazipenda kwel