JIMWAGE NDANI YA TUMBATU ~ HII HAIJAWAHI TOKEA | UKHTY MWANACHA x ADILA x ASHA
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Ma Ukhty watatu nikimaanisha Ukhty Mwanaacha,Ukhty Asha na Ukhty Adila wakiwa ndani ya kisiwa cha Tumbatu wakisherehesha harusi kwa wanandoa na wana kijiji jicho kwa kusoma qaswida inayokwenda kwa jina la JIMWAGE, ambayo imesomwa live na Ukhty Mwanacha kisiwani hapo.
Mashaallah Watu Watumbatu mnajistiri Uzuri kama laiti watu WA mjini hapo ningeona tu
Um Akram Zahor ila mikon inaoneka mwish wa uchi wa mwanamk wap wangevaa majalbab wakaziba mikono
Mashallah mashallah tuko vizur watumbatu mashallah
Mashaallah
Safi sana...lazma one day nirudi nyumbani insha’Allah
Jamani hongera Dua zenu na mm nipate wangu niwaiti
Inna Lillahi wainna Ilayhi Raajiun,, sasa hii nasheed au taarab.. Punguzeni hizi n fitna tu
Hivi nasheed unaijua au unasema tuu
@@professorabdullah2300 sasa ww kivyako waona hii n nasheed kweli
Ni fitna kweli.
Nyimbo ni mzuri lakini sauti ya mwanamke kusikiwa ni haramu. Mashekh kila siku watuambia mwanamke anatakikana ajisitiri miwili wake mpaka na sauti yake pia haifai kusikika. Tuiwekeni dini mbele na Dunia nyuma jamani. SubhannaAllah
Bac haya. Safar njema in shaa Allah kwa walengwa
From somali🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴
KO u
Ya Illahi nletea wa kheri namie mamangu ajimwage
Amiiin yarabb
wema sepetu
Utapata ucjl kikubwa duwa tyuu
Nzr sn nimeipenda walai
Mashallah watumbatu hongera mmejipanga
Salam from Mombasa Kenya
Nyimbo safi sana sauti mzuri MASHAALLAH bravo
Extremely nice baby mwana mbna atajimwaga c biti ilo fadherlee big up
Jaman ❤❤❤ mnaimb vizuri wimbo huu nimeu pend🎉🎉
maa Shaa allh ww wa katikat unaimba kama ukhty Dida
Subhana llah tumekua hatuoni hata haya waume na wake kuchanganyika.hivyo.allah atusamehe.na atuongoze
Mashallah big job
Wash motooooooooo nawakubali mika 1000000000
Mko gud sana dadazangu love it
Atufuati sheria ya dini yetu, wanawake tutakua wengi motoni🔥🔥🔥🔥🔥
Hi ni harusi jamani sio msiba
Zaituni kinachokatazwa ni kuimba mbele za wanaume au mnaimba wanawake pekee yenu ila mnasema utube ndio yale yale tu.
Hamna makatazo kuimba ila mkiwa pekee yenu na msirekodi mavideo baadae yakaonwa na wanaume ambao wanafaa kuwaoa
@@zaitunikweka979 acha kushabikia uovu
WAZANZIBARI SIE TUNAWAJUA DINI YAO MAGUMASHI TU NDIO MAANA WANAOWANA WAO TU SASA HIYO MTAITA DINI UWO NI USHETANI WEHU NYIE
Mwehu ni wewe na familia yako kenge wewe. Kwani walio imba ni wanzanzibar au ni wao pekeao kima wewe? Halafu ulitaka tukaoane na panya
Ahaaa tunaoana wenyewe au tunafatasheria umuoe umpendae na mwenye dini nenda huko huna loloote
Nawaona nyie wenye dini munakaa hata miaka kumi ndio mwaoana
Mr A..hhhhhh mwambie mbara huy antk tuoe wao wa kukaa miak 1000 kusomana hhhhhhhhh... Mahmoud pol
Mkipata maradhi mumlilie Mungu japo hamumjuwi in Mungu
Zawad yangu kwenu ambayo inaweza kuwafkia mapema mungu awenanyi mdawote. ila mngewa karibu ngewapa hata chochote cha duniani .
Sio poa ivo
Mashaallah
mashallaah dada hongera sanaaa🙌🙌🙌
Asante
kharusi zetu za kiislam za pendeza
Thats good song all madaw we are joycfull
Mashallah mwenye nao naomba anitumie jmn wtsp 😘😘
Ukihitaj unambie ntakutumia
Download snaptube utaweza kudownload chochote you tube
Mashallah i love is song 😘😘😘😘😘😘
Mbona wanaopiga ala za muziki hamtuoneshiiiii
Maaaaaaaaha-----allah. Nikweli Mamaa kharusi yatakiwa Ajimwage kwa furaha na shangwe isiyo na kifani ndani Moyo wako.
Mashaaaalh mabint wa tumbatu
Zanzibar masharh hii nyimbo ya tumbatu ipo vizuri
Mmependeza.San.hongereni
Nyooh nyie mnaojifany mnajua din san ndo waov wakutupa nyimbo nzur san
Mko vizuriiiiii!!
Sauti yako Mashallah inahonga kwenyemoyo
mashallah sauti kutoka pangoni mtoto
Ni nasheed nzuri pia ina muelekeo wa harusi ya holi
Mashallah! Ujumbe maridhawa!
Sofia Ahmed mashllh
Uko vzr dada mwanacha
Ukisema kila kitu kinacho fanyiwa tukijie kasoro Ata sisi binaadamu tuna mengi tuna muuzi mungu acheni ujinga mtume kasema ulimskia akisema wangapi Wana zini na kusema uwongo nakuiba kwani siyo zambi choyo tuu binaadam kwendeni na roho zenu mbaya
Hongereni sana
Mashallah
Maa shaa Allah
I love this song ❤
Heeeeeeeee dada umetisha wawili wakipenda adui Hana nafas🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀
Mashaalah Qaswida nzur san
Ntawapata wap mashalla
0 7 7 2 2 8 5 5 4 3
Tumbatu nawapenda
jaman nimependa ukht nitafute mm bwana mtarajiwa
Adill Habib m
Nashanga wanapakazia mitandaoni watu wapo kwnye shereh zao hamjalazimishwa kutizama
Z 😔😔😔
😔
Asante na qaswida
Tumbatu tumbatu tumbatu oyeeeeeeeeee
Ukhty nakupenda sana CD zako pl' maelekezo pl's..
Umati Muhammad 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Waoooo mashallah allah awafanyie kilalakhery
Masha Allah nimependa sanaaa
Maneno yakuambiwa
Aah! Inna lillah wainna ilaihi, Wanyamwezi wa kibara washafanikiwa kuiwa zanzibar, muungano oyeee
Usitukane kabila za watu kwani hao umesikia wanyamwez
Khamisi Mussa we ndio mbaguzi mkubwa eti umeona wanyamwezi ndio wasiojijua? Hao waarabu unaowathamini wewe kama mtumwa huwajui wanayoyafanya funga mdomo wako wewe kila baya unarukia wabara ujinga unakusumbua tu. Hata hao waliotangulia harusi walishangilia Acha kuleta Sheria zako za kijinga hapa.
Ali wacha ushoga wewe
Maashaallh
Mashalah hatari hyaa mashairi haiwez kuchuja hii kitu
Naomba mnisamehe kama nitakuwa nimewakwaza🙏🙏🙏
Hamisa Maundi uko sawa wala usiwaze
Nishida
Mashaallah
Mashallah. Dada zng mmeimba vzr
Wimbo mzuri sana nimeupenda
Mashallah 😍😍😍😍😍
Ni harus c msiba acheni watu washangirie binadamu hamkosi la kusema
MWANATUMU JUMA. Maaaaaaaaha-----allah. Mama uko vizuri. Ni kweli kharusi sii"" Msiba na wacheni watu washangilie kwa shangwe na vigelegele
@@abdallahsaidi3756 Haswaa
MWANATUMU JUMA . pamoya sanaaa
Nzuri saana. MashaAllah.
Hongeren
Hongereni maukhty
kwakweli mupo vzr maana mmeweka saut 3 Qaswida, Tarab na kigoma
Kweli ban
😀😀😀😀😀😀😀😀
nyimbo kabisa hyo upuuziii tu
Sio zurii 😁😁😁
😷😷😷😷bora nisiseme ajuwe Allah..
Taarabu imetulia
Ulitumwa usikilize
Gosto de vocês bons cantos
Ulimwengu wa mwisho huu subhana llah kila tunapo katazwa yanayo muudhi Allah ndio tunadi Allahu Akbar Allah tuongoze njia ya Sawa
Hii si qasida hii taarab kama taarab nyengine waislam tuzinduke tusiwe wajinga
Masha,Allah Allah awape ufaham zaid
Haya sio mafunz ya Mtume bali ni ujinga tu
Nyimbo ni nzur ila kosa hapo ni kuchanganyika na wanaume
Nyinyi watu wengine hamukerwi nayenu watu wapo kwenye sherehe zao yanini kuwapakazia mitandaoni mukitaka angalieni hamutaki acheni ujinga pumbavuuuu
Kweli voo mambo yakupakaziana sio pw
🤣🤣🤣
.
😂😂swahih
Wanaelekezwa so kupakaziwa jiangalie ww
Mashallh
Nakubani
Maashalah
Hongora madada
nawapenda atali
Naomba hii qaswida jamni ntumie plz
Ukihitaj ntakutumia
Sijaona andiko lililosema watu washereheke hiv kwenye harusi
Mupo vizur
Lkn kibaya mnachanganika nawanaume
Can someone tell me what this song is talking about, I know it’s a wedding song
❤❤❤
Inapendeza
Wanawake wa kiislam si tumekatazwa kuimba jamani, na kuchanganyika na wanaume 🙄🙄🙄,
Kwaiyo harusini tulie
Ni mtihani mkubwa
Ukisikia choyo nd ulicho kua nacho ww fanya yako uko
Achilia mbali swala la kiiba hizo stara walizovaa hapo nistara ya kushera au aya inasema mwanamke anekane viganja vya mkono na uso tu nyie wanawake nyie tumuogopeni ALLAH.mwenyez mungu kukupa neema kakuumba mwanamke ktk umbolililobola kabsa lakini cha ajabu unamuasi ALLAH kpitia neema alokupa huu ni msiba mkubwa sn.
@@ashuraharuna1206 musinifokee umenena my ukweli unauma😂😂
Mmmmhhh.Kazi Ipo
Safi
Allahu Akbarrr Hatujazuiliwa Kusheherehekea Kharusi Zetu Ila Uharamu Tunauleta Sisi Wnyewe Hatujaruhusiwa Mchanganyiko Wa Wake Kwa Waume Tujitambui Waislamu Wenzangu
Kupenda kuvamia miji ya watu ambao wamekaa kwa amani, leo wamekuja kuvamia na kuleta mambo ma baya ya ajabu' uwizi, uhuni utapeli ufyoko nyoko bass'
Hao ni wa kwenu huko huko acheni kutukana wabara hawana muda huo wanahangaika maendeleo ya maisha yao sio kucheza ngoma hovyo hayo ni madhehebu yenu ndio maana maendeleo ni zero huko.
Mh kuvamia unajuwa wewe
Leila Buisha hawajajipeleka wameitwa kama umekerkwa kunya boga 😏😏😏
Msshalla
Nice
Huuhuuuu mmmh mwanacha unaimba taarabu sio qasda
Wamedamsh
Mwanacha nikuulize, ushaolewa? Kama upo tayari nikuoe.
Maa shaa Allaah naomba untumie whatspp hii qaswida plz
Naomba mnitumie whatspp jmani plzz
Hiyo si qasida no nyimbo na kuchezea na wanaume
Mashallaah allaah awazidishiyee kila wakifanyacho
Tumekwisha.taaarabu tupuu
Umeona eeh
Nawapenda bure 🙏🙏
Daa mashungi yamekaa ila mnamtihani .iyo taarab sasa😂😂