BORA UISHI NA MTU AMBAYE ANAJUA KUNA KUPANDA NA KUSHUKA KUNA AMBAO HAWAJUI KUNA KUKOSA"PASTOR MGOGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 76

  • @jantsjefta8381
    @jantsjefta8381 4 місяці тому +1

    Amina mchungaji barikiwa sana

  • @JohnKidamaa
    @JohnKidamaa Місяць тому

    Amen mchungaji nabarikiwa sana

  • @davidopiyo4064
    @davidopiyo4064 Рік тому +2

    Pst. Wanibariki Sana. Ipo siku utakuja Kenya Shimoni. You are a blessing to the whole world more so Kenyan

  • @godwinenock
    @godwinenock 8 місяців тому +3

    Pkea balaka 🙏🙏🙏

  • @petermbeya4170
    @petermbeya4170 Рік тому +10

    Leta ikiwa full maana imenibariki sana,,,,ameeen Peter kutoka Kenya

    • @marywachia3533
      @marywachia3533 Рік тому +2

      Nafuatilia from Kenya..nabarikiwa Sana mchungaji

    • @wemapatrick3303
      @wemapatrick3303 Рік тому

      @@marywachia3533 the wq

    • @Ulumbukinidemba123
      @Ulumbukinidemba123 Рік тому

      Hapa wakenya kama Mimi Kwa hiyo video @1:46 hawajui LUMBUKUWENI.....Kwa kingereza LUMBUKUWENI maanake FIRST LOVE...

  • @danielmwadomukavuta7816
    @danielmwadomukavuta7816 Рік тому +3

    Ubarikiwe sana pastor. Umegonga. Ndipo

  • @user-vd4qj7pc3k
    @user-vd4qj7pc3k 7 місяців тому

    Barikiwa Sana mchungaji umenifundisha vitu bingo Sana sahv nimekuwa mwalim kwa vijana

  • @sierhamututa55
    @sierhamututa55 Місяць тому

    Jambo mutchungaji una nibariki sana baba endelea mbele tu

  • @mussaagnes-vy9wc
    @mussaagnes-vy9wc Рік тому +1

    Nimebarikiwa Sana

  • @romanjanuary2167
    @romanjanuary2167 Рік тому +1

    Umenibariki sana mtumishi wa bwana

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Рік тому

    Mungu atusaidie tuwe na mioyo iliyonyenyekea. Ukiwa una unyenyekevu Mungu huondoa kiburi,majivuno,hali ya kukubali kukabiliana na mazingira .Mungu atusaidie.

  • @geraldopaa6527
    @geraldopaa6527 Рік тому +3

    let God bless you with all of the above powerful prayers

  • @janephephahKhabayi
    @janephephahKhabayi Місяць тому

    Wow very true it has blessed me may people listen to this and follow be blessed pastor

  • @user-ki8ok8ss2u
    @user-ki8ok8ss2u Рік тому

    Hongera sana mchungaji kwa mafundisho yake

  • @mathewyamo6115
    @mathewyamo6115 Рік тому

    Kenya tunakupata Sana ubarikiwe mchungaji,,,❤

  • @silviak1776
    @silviak1776 Рік тому +3

    Amen 🙏🙏

  • @marywachia3533
    @marywachia3533 Рік тому +3

    Ameen pastor mgogo you really bless people

  • @wangecimurage3742
    @wangecimurage3742 Рік тому +2

    Watu wajitume. Waache uvivu.Mchungaji tunakupenda haswa sisi wa Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪.

  • @peteroyando1627
    @peteroyando1627 Рік тому +1

    Amen I'm being blessed.

  • @henrykasikao8573
    @henrykasikao8573 Рік тому

    Barikiwa Sana Baba Mchungaji kwa mafunzo yako

  • @maliamuissa7240
    @maliamuissa7240 Рік тому +1

    Amen

  • @fidelerutebuka279
    @fidelerutebuka279 Рік тому

    Pastor Mungu akubaliki Sana Sisi unatukenga sana

  • @SAIDIYAA-dp1rj
    @SAIDIYAA-dp1rj 4 місяці тому

    Ubarikiw pasta

  • @seranaomi6209
    @seranaomi6209 Рік тому

    Asante kwa mahubili majuli yanatujenga sana kiroho

  • @esaumoiseselias-gs4py
    @esaumoiseselias-gs4py Рік тому

    Mungu hakubaliki baba

  • @gloriousfrancis8201
    @gloriousfrancis8201 Рік тому

    imetosha sasa watu kuwahubiria yaliyo ya Dunia sasa waambie watu watubu wamludie Mungu wayaishi maisha matakatifu yasiyochangamana na dhambi waambie wanawake waache mapambo waambie wanaume wavae mavazi ya kuistiri miili yao na sio mavazi ya ushoga.saa imefika Mwana wa Adamu yuaja mawinguni na utukufu mwingi wa Babaye na Hasira ya Mwanakondoo.

  • @ngollokante
    @ngollokante Рік тому

    Pastor ajengewe Sanam posta

  • @igira8758
    @igira8758 Рік тому

    Ni kweli kbs Mtumishi wa Mola

  • @justinefelis-jo6ex
    @justinefelis-jo6ex Рік тому

    Huyo mama mweusi kasuka vizuri kweli .

  • @elambuhaga7750
    @elambuhaga7750 Рік тому +1

    Aminaa🤝

  • @ramcpoulramsonn6368
    @ramcpoulramsonn6368 Рік тому

    God bless you poster

  • @elishapaulo5455
    @elishapaulo5455 Рік тому

    Ee Paster Daniel Mungu akusimamie katika safari zako

  • @ganzamuyonga5369
    @ganzamuyonga5369 Рік тому +1

    Amen Man of God

  • @christinafrancis8452
    @christinafrancis8452 Рік тому +3

    😹😹😹😹nakukubali Sana pasta, unahubir ukweli kabisa yaaa jina la bwana libalikiwe😂😂

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 Рік тому +1

    Mtumishi unaongea ukweli na kweli tupu ! Mungu akubariki.

  • @Ulumbukinidemba123
    @Ulumbukinidemba123 Рік тому +1

    LUMBUKUWENI hapo kwa 1:46 ...SAWA NA FIRST LOVE

    • @Ulumbukinidemba123
      @Ulumbukinidemba123 3 місяці тому

      let me post this comment here in the year 2040 l will come back to remind myself that l learnt "LUMUKUWENI" from pastor Mgogo.... with love from Kenya

  • @purity134
    @purity134 6 місяців тому

    Somo nzuri

  • @kennekitesh-wk7nj
    @kennekitesh-wk7nj Рік тому +1

    ❤❤❤

  • @JeromeBaraka
    @JeromeBaraka Місяць тому

    Hebwanawe achakututibuwa sisiwatuwakijijini kumbukamungu anafanya kitu akiwanamakusudiyake hiviunajuwa kwanini Mungu aritengeneza kijiji namuji ndomanaaribadirisha hatamazingirawaa chehivyo munguatawabadishiyamazingira

  • @VincentMakumba-wp8dg
    @VincentMakumba-wp8dg Рік тому

    Nice preachings

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Рік тому

    Kweli Mgogo kuna kipindi cha kupanda na kuvuna. Wakati wa kupanda vumilia

    • @danielekakoro5265
      @danielekakoro5265 Рік тому

      Jameni dada mm ni mkenya ila kiswahili chenu kitamu kweli lakini bukuu inamaana gani

    • @danielekakoro5265
      @danielekakoro5265 Рік тому

      Kusoma number inamana gani

    • @bonifacembilinyi5576
      @bonifacembilinyi5576 Рік тому

      ​@@danielekakoro5265
      Buku - ni Tsh 1,000
      Sio kiswahili sanifu , ni slang ila inatumika sana

    • @danielekakoro5265
      @danielekakoro5265 Рік тому

      @@bonifacembilinyi5576 na c hiyo ni pesa mingi sana haswa apa Kenya

    • @bonifacembilinyi5576
      @bonifacembilinyi5576 Рік тому

      @@danielekakoro5265
      Kenya ni hela ndogo sana , kama ksh 54

  • @Lilian-ky2yd
    @Lilian-ky2yd Рік тому +1

    Nakumbuka nilipopata ajali mke wangu kaniacha kashikana na caretaker kaniacha na maumivu

  • @devothakokwiyukya5179
    @devothakokwiyukya5179 Рік тому

    Nikweli mtumishi kuishiwa kupo..hadi uhagi nyumbani

  • @GMtvonline1147
    @GMtvonline1147 Рік тому

    hii tamuù

  • @wekesamamati
    @wekesamamati Рік тому

    Sasa iko poa

  • @philbertaman5408
    @philbertaman5408 Рік тому +2

    🔥🔥😂😂😂😂

  • @Carolynemabera
    @Carolynemabera Рік тому +1

    Nimesoma kitu kipya Leo kubali Kila wakati

  • @anthonytetema2728
    @anthonytetema2728 Рік тому

    Niukweri Mimi Niko naduka

  • @MTheoTV
    @MTheoTV 11 місяців тому

    Pokea balaka

  • @raymond3694
    @raymond3694 Рік тому

    Mchungaji tunakupa likizo Siku 60 ukirudi ulipoti makao makuu.

  • @DaudHamis-qr8by
    @DaudHamis-qr8by Місяць тому

    Mungo

  • @ErnestAbel-gn9px
    @ErnestAbel-gn9px 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😊

  • @fhgggffhg7721
    @fhgggffhg7721 Рік тому

    Hhhhh

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Рік тому

    😂😂😂😂 wanawake tutafut pesa

  • @romanjanuary2167
    @romanjanuary2167 Рік тому

    Umenibariki sana mtumishi wa bwana

  • @mussaagnes-vy9wc
    @mussaagnes-vy9wc Рік тому

    Nimebarikiwa Sana