KIMENUKA! JERRY SILAA ATOA SIKU 14 JENGO LIBOMOLEWE, AWAGEUKIA TARURA - "MJITAFAKARI"....

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024
  • KIMENUKA! JERRY SILAA ATOA SIKU 14 JENGO LIBOMOLEWE, AWAGEUKIA TARURA - "MJITAFAKARI"....
    Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka Wakala ya barabara za vijijini na mjini (TARURA) kujitafakari kwa kuchukua sheria yao ya bunge iliyowaunda na kujua majukumu yao kwenye ardhi ambayo imetengwa kwaajili ya ujenzi na hifadhi wa barabara
    Ameyasema hayo leo novemba 25, 2025 alipotembelea eneo la Mikocheni jijini Dar es salaam na kujionea ujenzi wa jengo la kudumu linaloondelea kujengwa kwenye eneo la wazi na kusababisha kero kwa wakazi wa eneo hilo.
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 28

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 місяців тому

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 9 місяців тому +4

    Muheshimiwa waziri Slaa kaa na mwenzako wa ujenzi ili mtoe amri kwa Tarura mikoa yote walinde maeneo yao kwani ni kama TARURA wamelala watu wamejenga hadi kwenye hifadhi za barabara wakishirikiana na maofisa Ardhi walafi.

  • @bongo39
    @bongo39 10 місяців тому +3

    Mbona sehemu kama hizo zipo nyingi tuu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 9 місяців тому

    God protect you for what you're doing is good in the presence of God.big up

  • @leonardkigere
    @leonardkigere 9 місяців тому +1

    bomoeni hii structure kamaliza maagizo waziri ndyo maana matatizo haya hayaishi watendaji wanakula rushwa ilitakiwa aagize wabomoe,pia kuwasimamisha waliotoa kibali na kumpeleka mahakamani mjenzi pamoja na watendaji wa mitaa wanaoona ujenzi huu katika maeneo yao

  • @RobertPangaya
    @RobertPangaya 10 місяців тому +2

    WAZIRI UPO SAHIHI ...NA KWASASA MAMBO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI TZ, MTU ANAJENGA ENEO LAKE LOTE KISHA ANACHUKUA ENEO LA WAZI LA SERIKALI .BILA KIBARI ANAJIMILIKISHA WAKATI WA KUUZA ANAUZA NA ENEO LA SERIKALI. FUATILIA MH UTAONA SEHEMU NYINGI MATAJIRI WAME YA HOZI.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 7 місяців тому

    Hongera sn Mh Jery

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 10 місяців тому +2

    Jerry nakuita UMETEREKEZA KITUNDA barabara mbooooovu wananchi tunapata shida subier 2025

  • @ErnestTomas
    @ErnestTomas 9 місяців тому +1

    Ongera slaa

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 місяців тому +2

    Mnamchosha waziri. Mkurugenzi yupo wapi mpaka haya yanatokea? Hii nchi

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 7 місяців тому +1

      Ndio utashangaa mpaka Jengo limefika pale watu wamekaa tu ofisini sasa Sioni hata ya hao wakurugenzi kweli wana mchosha Waziri kazi ambazo ni Majukumu yao Waziri anafanya

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 5 місяців тому

    Slaa acha sifa, unajua unautamani uwaziri mkuu

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 10 місяців тому +1

    Building permit alitoa Nani?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 9 місяців тому +1

      Siku hizi watu wanajijengea bila hiyo Parmit

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K 7 місяців тому

    Mheshimiwa hapa karikoo mbele ya majengo yetu tukikuwa na parking yetu lakini serikali ya mtaa wamewapa watu kujenga kisima na wakala na club yanga na plot yetu iko somali kipande plot 26 na 27 gerezanu , na kudai nafasi ya wazi na wamezima maduka ya majengo letu hayaonekqni na hatuna parking ,mjumbe anadai maji ya kisima yanasaidia wazi wa pale sasa kama inatoa huduma kwanini asijenge ndani ya jengo lake mbele kwanini ajenge mbele ya jengo letu na kuzima parking na emergency gate na mbona kisima anamiliki plot no 12 na yeye ndiyo anapokea pesa na mjumbe pesa za hayo mawalq na kisima anapokea nani ? Na kwanini kujenga mbele ya jengo na kudai nafasi ya wazi tokea lini mbele ya jengo la mtu kunakuwa na nafasi ya wazi
    Tunaomba msaada na wakala na machinga holela chini ya transformer na nguzo

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 9 місяців тому

    Muheshimiwa slaa nakuomba uje arusha tembelea huku ... unawezazimia kabla hujamaliza ziara

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 місяців тому

    Dar ipo ivyo hakuna mitaa

  • @issayahya1640
    @issayahya1640 7 місяців тому

    Jerry tusafishie njia ya tegeta tupate service road na njia ya kawe watu wajenge kwenye mawe ya ya viwanja wamezidi moaka kupita hakuna ,parking hakuna

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 8 місяців тому

    Hao wanao fanya hizo mambo hukohuko serekarini

  • @emanuelkilangilo5585
    @emanuelkilangilo5585 9 місяців тому

    Mueshimiwa unaomba uongezewe ulinzi na wagaga wa kutosha hii nchi utaangushwa⚰️⚰️⚰️

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 9 місяців тому

    Tawile tawile mkuu

  • @KassianChengo
    @KassianChengo 4 місяці тому

    Mheshimiwa BAOBAB karibu na Mapinga au Kimele watu wanazurumiwa maeneo na Pesa na kikundi kinajiita Kamati binafsi nakijua hiko kikundi na mimi ni mhanga wa hiko kikundi Masaada wako Mheshimiwa najua uko bize na Kazi lakini utusaidie Kaka....

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 7 місяців тому

    FIFDA HUSSEN NI MWIZI EA. ARDHI ZAWATU

  • @OhongoihondeIhondeohongoihonde
    @OhongoihondeIhondeohongoihonde 10 місяців тому

    Nyie niwapumbavu mrikua mpaka waziri aje upuuz mkubwa

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 7 місяців тому

    Mbona hatujaona ilivovunjwa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 9 місяців тому

    Wewe ni jembe uzidi kubalikiwa

  • @gracemtyaule562
    @gracemtyaule562 5 місяців тому

    We