MTOTO WA MIAKA 13 ALIVYONUSURIKA KUZAMA NA MELI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • simulizi yenye kuhuzunisha,ni siku ambayo siwezi kuisahau,nilikaa kwenye bahari usiku kucha.

КОМЕНТАРІ • 143

  • @omarkali7712
    @omarkali7712 2 роки тому +38

    Naitwa Omar Kombo Ali ni miongoni mwa wahanga wa ajali ya mv. Spice islanders 1, na mm ndio mtu wa mwisho kuokolewa, niliokolewa na meli ya mv, Serengeti majira ya saa 8 za mchana ya tarehe 10, nikiwa naogelea tu bila kujuwa naelekea wp, alhamdulillah Allah ni wa pekee kabisa tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo, Allah awalaze mahali pema peponi wale wote waliotangiulia mbele ya haki, na cc tulipona Allah atupe maisha marefu yenye kheri na cc

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 роки тому +6

    Allah awalaze NDUGU zetu peponi ishalla awajaliye makabur yao yawe bustan ktk mabustan za pepon 😭💖

  • @ahluljazira2259
    @ahluljazira2259 3 роки тому +5

    Hilo ni janga kubwa sana subhanallah inashinda ile ya titanic Allah awasameh yaliyowapita awajaalie jannat firdaws iwe makazi Yao Amin ya Rabb

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 3 роки тому +11

    So sad 😭😭😭😭 but Allah Qariiim 🙏😭 mungu awarehmu maiti wetu walio tangulia

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 3 роки тому +9

    Hii siku inaniliza sana haikuwa Muna familia yangu ila familia za wenzangu ni zangu pia kwasababu cjui kesho yngu na historiya ya Ashrak inazidi kunikumbusha mbali ila Mungu mkubwa sana na anauwezo 😭😭😭

    • @sadabkari5532
      @sadabkari5532 3 роки тому +1

      Allah atufikishe salama inshaallh

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138 2 роки тому +2

    Dah..pole sana Endelea kumshukur mungu ..waliotangulia Mungu awarehemu

  • @gharybabdulla8495
    @gharybabdulla8495 3 роки тому +5

    Allah awarehem na awasameh wote tulowapoteza,pole sana brother

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 3 роки тому +7

    Daaah...kwa kweli inauma sana nilimpoteza rafki yangu kipenz na jirani yangu Innalillahi wainnaailahi raajiuun raajiuun...Allah awasameh wote waliopoteza maisha ktk hii siku...

    • @maryamhabib466
      @maryamhabib466 3 роки тому

      Pole sana

    • @fundisuma4542
      @fundisuma4542 3 роки тому

      Aaaaaahh mtangazaji znazingua hauna fani ya utangazaji hata uongeaji wako haupo clear,

  • @mbarackawadh3756
    @mbarackawadh3756 3 роки тому +2

    wow tupoe woteee😭😭sema nn big up classmates big up sillah big up shia big up smediaz .... 2gether sanaa

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad4913 3 роки тому +4

    Subhana Allah! Inaskitisha sana mji ulijiinamia ni huzuni tu kwa kweli alhamdulillah kwa wote waliokoka.
    Allah awajaalie pepo yake waliofariki nasi atujaalie mwisho mwema..amiin

    • @w4058
      @w4058 3 роки тому

      Ni upumbavu wa wahusika kwa nini waliruruhusu meli iondoke hali ya kuwa imejaa sana ni uzembe plus tamaaa tu serikali pamoja na kwamba walipinguza watu wasitowe amri ya kusitisha safari kabisa kuna taarifa kwamba meli ilikuwa inaingiza maji,kweli kabisa MMungu analoliandika hakuna wakulifuta ila ukweli ni uzembe uzembe uzembe na tamaa hakuna jengine

    • @w4058
      @w4058 3 роки тому

      Alhamdulilah kusikia kwamba watu wameshahadia Allah akawalipe pepo ya daraja ya juu kwa uwezo wake Allah

    • @maryammustafa1107
      @maryammustafa1107 3 роки тому

      Bahati anajuwa kuogelea,dah mpaka machozi yamenitoka yani😭

    • @maryammustafa1107
      @maryammustafa1107 3 роки тому

      Kadra Allah

  • @pandemictv7345
    @pandemictv7345 3 роки тому +2

    alhamdulillah nlisafiri mwanzo kabla ya tukio ila nahuzunika nlipoteza rafiki zangu wawili

  • @watototuwajali376
    @watototuwajali376 3 роки тому +7

    Allah awape subra ❤️amiin

  • @zahororashid239
    @zahororashid239 3 роки тому +1

    Dah poleni Sanaa Allah awafanyie wepec

  • @Nashakirozo4881
    @Nashakirozo4881 2 роки тому +3

    Mungu mkubwa 😭😭😭kina cha kutembea meli ulizama n ukapona aki Mungu n mwema yani machoz yananitoka aki pole kwa wote mlipatwa n janga ilo Insha Allah mungu atawasamehe walio tangulia mbele za haki n atusamehe sisi siliopo duniani 🙏😭

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 3 роки тому +1

    Allah awape kauli thabit marehemu wote aminn inshaallah na Allah azipe subra familia zote aminn inshaallah

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 3 роки тому +2

    Abiria lengo lake afike safari yake
    Inauma Sana zaid ya sana maana now machoz yananitoka

  • @rhhr3495
    @rhhr3495 7 місяців тому

    inauma sana . I cant it over my life.Oh Allah protects us

  • @fahadhamad4924
    @fahadhamad4924 3 роки тому +2

    😢😭😫😪Pole sana broo story inahuzunisha sana

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 3 роки тому +1

    Dahhh.....inauma sana all it waz my blood.......

  • @maqboulal-barwani2506
    @maqboulal-barwani2506 3 роки тому +1

    Alhamdulillahi
    Baraka llahu fiykum. Akhuwiy

  • @amransalim5663
    @amransalim5663 3 роки тому +2

    Pole sana bro Mr kimbola

  • @zaidybakar6865
    @zaidybakar6865 Рік тому

    Naitwa Maoud Juma mm ni mhanga wa Ajali ya mv spice islander Allah awarehem ss ni sisi tuliokolewa na mzungu toka Nungwi haihadithk kwakweli.

  • @ashasuleimani2057
    @ashasuleimani2057 Рік тому +1

    Naitwa asha suleimani ali mm pia nimuhang wa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭siwez elezea mengi ila haisahauli

  • @ashrakswaleh2116
    @ashrakswaleh2116 3 роки тому +5

    Amin kwa sotee inshallah

  • @arafatkombo5823
    @arafatkombo5823 3 роки тому +3

    Mzee karashia ple sn Allah awajaliye kheri amin

  • @theodoltheophil7858
    @theodoltheophil7858 3 роки тому +2

    Pole Ashrak

  • @faukiaabdallah3856
    @faukiaabdallah3856 3 роки тому +3

    😭😭😭Allah atawalinda zaid😭

  • @fatimaf5284
    @fatimaf5284 2 роки тому

    Pole san Kaka agu

  • @zaitunihotti4110
    @zaitunihotti4110 3 роки тому +2

    Subhanallah dah

  • @shanimwakilima968
    @shanimwakilima968 3 роки тому +3

    Pole Ashiraffi Allah SW awarehemu Mai wote

  • @habibasalum2054
    @habibasalum2054 Рік тому

    Allah awajalie kauli thabit na awasamehe makosa yao

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 роки тому +1

    Dah pole sana

  • @fahadhamad4924
    @fahadhamad4924 3 роки тому +3

    Ukisikiliza hii clip ukakosa kumwaga machozi basi wewe ni katili wenzetu walipotea dah Allahu akbar

  • @HmahajsamEl-Mughery
    @HmahajsamEl-Mughery 3 роки тому

    It is better for true story series film...

  • @Khamis-hr2ho
    @Khamis-hr2ho 4 місяці тому

    Broo tufany ibada kwa wing t

  • @ashasuleimani2057
    @ashasuleimani2057 Рік тому

    Pole muhanga mwenzangu

  • @munajomar3218
    @munajomar3218 3 роки тому +3

    Hebu jikaze wewe mtangazaji se tunalia hii hali mdomo umeuregeza sana

  • @mwajabukobembe726
    @mwajabukobembe726 Рік тому

    Poleee saaana dar inaumizaa saana😰😰😰

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 3 роки тому +1

    Innalillah wa innalillah rajiuun

  • @mohamedmtulia3691
    @mohamedmtulia3691 Рік тому

    Poleni sana

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 роки тому +1

    Jamani!😢

  • @monatomamonatoma3308
    @monatomamonatoma3308 3 роки тому +1

    Mola azidi kukufanyia wepesi

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 3 роки тому +1

    SAD MOMENT 😭😭😭

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 Рік тому

    Wewe Hostess nakukumbuka kama ulisoma shule ya Chasasa Wete miaka ya 2013-2014

  • @zawadi9998
    @zawadi9998 3 роки тому

    Nakilajambo likitokea nimakadara ya allah

  • @aminaaly3514
    @aminaaly3514 3 роки тому

    Nimecheka et nikamuona mdg wng na yy kashika kipolo cha yeboyebo😂😂😂

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 3 роки тому

    Allahughafurahim wallah so sad,

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 2 роки тому

    لاحول ولاقوة إلا بالله

  • @sniper93999
    @sniper93999 3 роки тому

    Inauma sana

  • @mohamedsuleiman2785
    @mohamedsuleiman2785 Рік тому

    Kusema ukweli tahadhar hakuchukuliwa ni uzembee wa Hali ya juuu ulio fanyika

  • @zawadi9998
    @zawadi9998 3 роки тому

    Allah nimwem

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 3 роки тому +1

    🙏😭😭

  • @marisianamabagala7708
    @marisianamabagala7708 Рік тому

    🙏

  • @hilalsaid3321
    @hilalsaid3321 3 роки тому +1

    🥰🥰

  • @mamazuu5224
    @mamazuu5224 3 роки тому

    Allah atuhfaz na maafa km haya

  • @ismailyismailyshakahaji4066
    @ismailyismailyshakahaji4066 3 роки тому

    ina uma sana

  • @zahrasuweid2565
    @zahrasuweid2565 3 роки тому +2

    So sad😥

  • @humoudally9981
    @humoudally9981 2 роки тому

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 роки тому

    Mungu mkubwa

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed809 2 роки тому

    😭😭

  • @hurleynahibrahim9937
    @hurleynahibrahim9937 3 роки тому +2

    So sad kwa kwel

  • @lailaahmadahaji2775
    @lailaahmadahaji2775 3 роки тому

    utangazaji kipaji

  • @ghanimaali4507
    @ghanimaali4507 2 роки тому +6

    stori inaskitisha sana ila mtangazaji hafai hujui hta kuuliza shida tupu

  • @jamaalmuhammad7457
    @jamaalmuhammad7457 3 роки тому +12

    Ashraq unanikumbusha shanaa bro tulikuwa twins ila my brother kaondoka nikaokoka mimi na nyinyi really sad😭😭😭😭

    • @theodoltheophil7858
      @theodoltheophil7858 3 роки тому

      Pole best

    • @ashashaphy9413
      @ashashaphy9413 3 роки тому

      Pole Sana Allah awasameh maiti zetu Mimi nilimpotez mam angu Ila ni meli ya dar kuj znz tuwaombee dua tu ndo kilichobakia

    • @nassorahmed4672
      @nassorahmed4672 3 роки тому

      Pole an Jamaal Broo wako ajmal alikuwa mshkaji wangu sn

    • @ummuashfaq3920
      @ummuashfaq3920 3 роки тому

      Jamaal Muhammad pole sana

    • @ummuashfaq3920
      @ummuashfaq3920 3 роки тому

      @@nassorahmed4672 polen san

  • @khairatally7733
    @khairatally7733 3 роки тому +11

    So sad wallahy😪.. Allah awahifadh kwa Hilo na jengine in Shaa Allah 🤲 na awasameh na awalaze mahala pema peponi kwa wote waliotangulia Aaamiin

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 3 роки тому +6

    Inaumiza sana naumia mno kila nikisikia haya yaliyotokea tuombe mungu kila tutokapo atushikilie na kuzilinda nafsi zetu na kila tunaporudi tukumbuke kumshukuru muumba wetu Amina na anatushindia kila magumu tunayoyapitia.

  • @aminaabdulla8829
    @aminaabdulla8829 3 роки тому +5

    Kazi ya mungu haina makosa sote safari yetu moja mungu awape subra amiin

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 3 роки тому +4

    So Sad Allah awarehemu wote walio poteza maisha AMIN AMIN AMIN
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 3 роки тому +5

    karashia sawa sante maaruf

  • @badrualiy2778
    @badrualiy2778 3 роки тому +2

    Asharaq bana unaniangusha hunamuangalia uyo mtt tuuh .... Ulipaswa kuangalia camera apo.... Ww unaangalia... Chin na 🤪 unamuangalia.... Asila

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 2 роки тому +2

    الغريق شهيد والحريق شهيد أسال الله أن يرحم أمواتنا جميعا يارب انت أرحم بعباده انت أرحم بنا ليس لنا رب سواك فندعوه وليس لنا رب سواك فنرجوه

  • @mamamuu8217
    @mamamuu8217 3 роки тому +3

    Siku hiii haitasahaulika Ila Allah ndio mpangaji wa yote

  • @MOHAMED-g6f9t
    @MOHAMED-g6f9t 20 днів тому

    Mungu awajaalie makazi mazuri mema peponi kwa walio tangulia mbele za haki🙏🙏🙏😭😭😭😭😭

  • @hidayabakar7026
    @hidayabakar7026 3 роки тому +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @munajomar3218
    @munajomar3218 3 роки тому +2

    Haaa ndo mara ya kwaza kupanda ndege lkn mmi naliaaaa

  • @naghiftykhamis1932
    @naghiftykhamis1932 3 роки тому +4

    😭😭😭😭😭

  • @moudboss2030
    @moudboss2030 3 роки тому +7

    Cd ya Matukio yote nimetoka kuitazama leo 😭😭😭 Roho inaniuma.
    Mwenyezi MUNGU azilaze Roho za marehem peponi.

  • @najimmbarouk4529
    @najimmbarouk4529 3 роки тому +2

    Ashar wallah umeongea uzuri inanisikitisha sna mm siku hii nilikataa kusafiri

  • @hurleynahibrahim9937
    @hurleynahibrahim9937 3 роки тому +2

    Ashrak jmn pole saut yko ya majonz 😔😔

  • @AjmalBeka
    @AjmalBeka 3 місяці тому

    Allah awarehemu wote waliofikambele yahaki

  • @dullahmudy2255
    @dullahmudy2255 3 роки тому +1

    Pole saana ndugu yangu story yako imenitoa machozi.. mwandishi ongeza taaluma kidogo..coz story zako zinahuzunisha saanaaa

  • @MariyamBaraka
    @MariyamBaraka 19 днів тому

    Amiin amiin amiin 😭😭😭😭😭

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 роки тому +2

    Mungu arehem walikufa ishaalah aweke pali pemba peponi ishaalah mungu ndiyo kila kitu

  • @hamadimwinyi2146
    @hamadimwinyi2146 3 роки тому +1

    Mtangazaj muachee adisieeeee thn ww ua unamuuliza maswali Kam hujuwelew au wadau wak hawata elewa

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 3 роки тому +2

    Eti makombo ya spice noma sana

  • @SuleimanJuma-xg2qe
    @SuleimanJuma-xg2qe 4 місяці тому

    dah na mm nina store ya siku hii

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 3 роки тому +1

    😭😭🇰🇪poleni Sana muliofiliwa .mngu atawapa Subra insha'Allah

  • @swalhasaid3933
    @swalhasaid3933 3 роки тому +2

    😭😭😭😭poleeeee sanaa

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 роки тому +3

    Mtangazaji mmmmmmmh kasome

  • @halimhakim1408
    @halimhakim1408 3 роки тому +1

    Bro Allah akuweke na kukutunza sku zote na akujalie khatma njema kaka

  • @pendohillrey1164
    @pendohillrey1164 3 роки тому +2

    😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @aysheromary7935
    @aysheromary7935 3 роки тому +2

    😭😭😭😭😭 Tushukuru mungu kwa yote🙏

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 3 роки тому +2

    sawa karadhia

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 5 місяців тому

    🙏🤲🤲💔💔

  • @rashfordsulley7402
    @rashfordsulley7402 2 роки тому

    Allah Anasema kuulu Nafsi dhahikatu le maut lila nafsi itaonja mauti kwaiyo tisihuzunike yoni mipango ya Allh🙏🙏🙏🙏😌🙏🙈🙈🙈😭😭

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 3 роки тому +1

    So sad

  • @sweettuma239
    @sweettuma239 3 роки тому +1

    😭😭😭

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo4439 3 роки тому +1

    Dah Allah Mkubwa sana

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t 2 роки тому

    Anlla Karim kwakweli anastahili sifa walotangulia anlla awalehem wote walo tangulia 🙏🙏

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 3 роки тому

    Ila Ndege ni mbaya Zaid Ajali yak kuliko meli bora meli Ajali yak ni ndogo