Naitwa Omar Kombo Ali ni miongoni mwa wahanga wa ajali ya mv. Spice islanders 1, na mm ndio mtu wa mwisho kuokolewa, niliokolewa na meli ya mv, Serengeti majira ya saa 8 za mchana ya tarehe 10, nikiwa naogelea tu bila kujuwa naelekea wp, alhamdulillah Allah ni wa pekee kabisa tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo, Allah awalaze mahali pema peponi wale wote waliotangiulia mbele ya haki, na cc tulipona Allah atupe maisha marefu yenye kheri na cc
Hii siku inaniliza sana haikuwa Muna familia yangu ila familia za wenzangu ni zangu pia kwasababu cjui kesho yngu na historiya ya Ashrak inazidi kunikumbusha mbali ila Mungu mkubwa sana na anauwezo 😭😭😭
Daaah...kwa kweli inauma sana nilimpoteza rafki yangu kipenz na jirani yangu Innalillahi wainnaailahi raajiuun raajiuun...Allah awasameh wote waliopoteza maisha ktk hii siku...
Subhana Allah! Inaskitisha sana mji ulijiinamia ni huzuni tu kwa kweli alhamdulillah kwa wote waliokoka. Allah awajaalie pepo yake waliofariki nasi atujaalie mwisho mwema..amiin
Ni upumbavu wa wahusika kwa nini waliruruhusu meli iondoke hali ya kuwa imejaa sana ni uzembe plus tamaaa tu serikali pamoja na kwamba walipinguza watu wasitowe amri ya kusitisha safari kabisa kuna taarifa kwamba meli ilikuwa inaingiza maji,kweli kabisa MMungu analoliandika hakuna wakulifuta ila ukweli ni uzembe uzembe uzembe na tamaa hakuna jengine
Mungu mkubwa 😭😭😭kina cha kutembea meli ulizama n ukapona aki Mungu n mwema yani machoz yananitoka aki pole kwa wote mlipatwa n janga ilo Insha Allah mungu atawasamehe walio tangulia mbele za haki n atusamehe sisi siliopo duniani 🙏😭
Inaumiza sana naumia mno kila nikisikia haya yaliyotokea tuombe mungu kila tutokapo atushikilie na kuzilinda nafsi zetu na kila tunaporudi tukumbuke kumshukuru muumba wetu Amina na anatushindia kila magumu tunayoyapitia.
Naitwa Omar Kombo Ali ni miongoni mwa wahanga wa ajali ya mv. Spice islanders 1, na mm ndio mtu wa mwisho kuokolewa, niliokolewa na meli ya mv, Serengeti majira ya saa 8 za mchana ya tarehe 10, nikiwa naogelea tu bila kujuwa naelekea wp, alhamdulillah Allah ni wa pekee kabisa tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo, Allah awalaze mahali pema peponi wale wote waliotangiulia mbele ya haki, na cc tulipona Allah atupe maisha marefu yenye kheri na cc
Allah awalaze NDUGU zetu peponi ishalla awajaliye makabur yao yawe bustan ktk mabustan za pepon 😭💖
Hilo ni janga kubwa sana subhanallah inashinda ile ya titanic Allah awasameh yaliyowapita awajaalie jannat firdaws iwe makazi Yao Amin ya Rabb
So sad 😭😭😭😭 but Allah Qariiim 🙏😭 mungu awarehmu maiti wetu walio tangulia
Hii siku inaniliza sana haikuwa Muna familia yangu ila familia za wenzangu ni zangu pia kwasababu cjui kesho yngu na historiya ya Ashrak inazidi kunikumbusha mbali ila Mungu mkubwa sana na anauwezo 😭😭😭
Allah atufikishe salama inshaallh
Dah..pole sana Endelea kumshukur mungu ..waliotangulia Mungu awarehemu
Allah awarehem na awasameh wote tulowapoteza,pole sana brother
Daaah...kwa kweli inauma sana nilimpoteza rafki yangu kipenz na jirani yangu Innalillahi wainnaailahi raajiuun raajiuun...Allah awasameh wote waliopoteza maisha ktk hii siku...
Pole sana
Aaaaaahh mtangazaji znazingua hauna fani ya utangazaji hata uongeaji wako haupo clear,
wow tupoe woteee😭😭sema nn big up classmates big up sillah big up shia big up smediaz .... 2gether sanaa
Subhana Allah! Inaskitisha sana mji ulijiinamia ni huzuni tu kwa kweli alhamdulillah kwa wote waliokoka.
Allah awajaalie pepo yake waliofariki nasi atujaalie mwisho mwema..amiin
Ni upumbavu wa wahusika kwa nini waliruruhusu meli iondoke hali ya kuwa imejaa sana ni uzembe plus tamaaa tu serikali pamoja na kwamba walipinguza watu wasitowe amri ya kusitisha safari kabisa kuna taarifa kwamba meli ilikuwa inaingiza maji,kweli kabisa MMungu analoliandika hakuna wakulifuta ila ukweli ni uzembe uzembe uzembe na tamaa hakuna jengine
Alhamdulilah kusikia kwamba watu wameshahadia Allah akawalipe pepo ya daraja ya juu kwa uwezo wake Allah
Bahati anajuwa kuogelea,dah mpaka machozi yamenitoka yani😭
Kadra Allah
alhamdulillah nlisafiri mwanzo kabla ya tukio ila nahuzunika nlipoteza rafiki zangu wawili
Allah awape subra ❤️amiin
Dah poleni Sanaa Allah awafanyie wepec
Mungu mkubwa 😭😭😭kina cha kutembea meli ulizama n ukapona aki Mungu n mwema yani machoz yananitoka aki pole kwa wote mlipatwa n janga ilo Insha Allah mungu atawasamehe walio tangulia mbele za haki n atusamehe sisi siliopo duniani 🙏😭
Allah awape kauli thabit marehemu wote aminn inshaallah na Allah azipe subra familia zote aminn inshaallah
Abiria lengo lake afike safari yake
Inauma Sana zaid ya sana maana now machoz yananitoka
inauma sana . I cant it over my life.Oh Allah protects us
😢😭😫😪Pole sana broo story inahuzunisha sana
Dahhh.....inauma sana all it waz my blood.......
Alhamdulillahi
Baraka llahu fiykum. Akhuwiy
Pole sana bro Mr kimbola
Naitwa Maoud Juma mm ni mhanga wa Ajali ya mv spice islander Allah awarehem ss ni sisi tuliokolewa na mzungu toka Nungwi haihadithk kwakweli.
Naitwa asha suleimani ali mm pia nimuhang wa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭siwez elezea mengi ila haisahauli
Amin kwa sotee inshallah
Pole sana
Mzee karashia ple sn Allah awajaliye kheri amin
Pole Ashrak
😭😭😭Allah atawalinda zaid😭
Pole san Kaka agu
Subhanallah dah
Pole Ashiraffi Allah SW awarehemu Mai wote
Allah awajalie kauli thabit na awasamehe makosa yao
Dah pole sana
Ukisikiliza hii clip ukakosa kumwaga machozi basi wewe ni katili wenzetu walipotea dah Allahu akbar
It is better for true story series film...
Broo tufany ibada kwa wing t
Pole muhanga mwenzangu
Hebu jikaze wewe mtangazaji se tunalia hii hali mdomo umeuregeza sana
😁😁
Poleee saaana dar inaumizaa saana😰😰😰
Innalillah wa innalillah rajiuun
Poleni sana
Jamani!😢
Mola azidi kukufanyia wepesi
SAD MOMENT 😭😭😭
Wewe Hostess nakukumbuka kama ulisoma shule ya Chasasa Wete miaka ya 2013-2014
Nakilajambo likitokea nimakadara ya allah
Nimecheka et nikamuona mdg wng na yy kashika kipolo cha yeboyebo😂😂😂
Allahughafurahim wallah so sad,
لاحول ولاقوة إلا بالله
Inauma sana
Kusema ukweli tahadhar hakuchukuliwa ni uzembee wa Hali ya juuu ulio fanyika
Allah nimwem
🙏😭😭
🙏
🥰🥰
Allah atuhfaz na maafa km haya
ina uma sana
So sad😥
😭😭😭😭😭😭😭
Mungu mkubwa
😭😭
So sad kwa kwel
utangazaji kipaji
Kwanini mamy😁😁
stori inaskitisha sana ila mtangazaji hafai hujui hta kuuliza shida tupu
Ashraq unanikumbusha shanaa bro tulikuwa twins ila my brother kaondoka nikaokoka mimi na nyinyi really sad😭😭😭😭
Pole best
Pole Sana Allah awasameh maiti zetu Mimi nilimpotez mam angu Ila ni meli ya dar kuj znz tuwaombee dua tu ndo kilichobakia
Pole an Jamaal Broo wako ajmal alikuwa mshkaji wangu sn
Jamaal Muhammad pole sana
@@nassorahmed4672 polen san
So sad wallahy😪.. Allah awahifadh kwa Hilo na jengine in Shaa Allah 🤲 na awasameh na awalaze mahala pema peponi kwa wote waliotangulia Aaamiin
Inaumiza sana naumia mno kila nikisikia haya yaliyotokea tuombe mungu kila tutokapo atushikilie na kuzilinda nafsi zetu na kila tunaporudi tukumbuke kumshukuru muumba wetu Amina na anatushindia kila magumu tunayoyapitia.
Kazi ya mungu haina makosa sote safari yetu moja mungu awape subra amiin
So Sad Allah awarehemu wote walio poteza maisha AMIN AMIN AMIN
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
karashia sawa sante maaruf
Asharaq bana unaniangusha hunamuangalia uyo mtt tuuh .... Ulipaswa kuangalia camera apo.... Ww unaangalia... Chin na 🤪 unamuangalia.... Asila
الغريق شهيد والحريق شهيد أسال الله أن يرحم أمواتنا جميعا يارب انت أرحم بعباده انت أرحم بنا ليس لنا رب سواك فندعوه وليس لنا رب سواك فنرجوه
Siku hiii haitasahaulika Ila Allah ndio mpangaji wa yote
Mungu awajaalie makazi mazuri mema peponi kwa walio tangulia mbele za haki🙏🙏🙏😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Haaa ndo mara ya kwaza kupanda ndege lkn mmi naliaaaa
😭😭😭😭😭
Cd ya Matukio yote nimetoka kuitazama leo 😭😭😭 Roho inaniuma.
Mwenyezi MUNGU azilaze Roho za marehem peponi.
Ashar wallah umeongea uzuri inanisikitisha sna mm siku hii nilikataa kusafiri
Ashrak jmn pole saut yko ya majonz 😔😔
Allah awarehemu wote waliofikambele yahaki
Pole saana ndugu yangu story yako imenitoa machozi.. mwandishi ongeza taaluma kidogo..coz story zako zinahuzunisha saanaaa
Amiin amiin amiin 😭😭😭😭😭
Mungu arehem walikufa ishaalah aweke pali pemba peponi ishaalah mungu ndiyo kila kitu
Amiin
Mtangazaj muachee adisieeeee thn ww ua unamuuliza maswali Kam hujuwelew au wadau wak hawata elewa
Eti makombo ya spice noma sana
dah na mm nina store ya siku hii
😭😭🇰🇪poleni Sana muliofiliwa .mngu atawapa Subra insha'Allah
😭😭😭😭poleeeee sanaa
Mtangazaji mmmmmmmh kasome
Kwakweli alafu ana cheka cheka kwenye uzuni😏😏
Umeona eeeee
Bro Allah akuweke na kukutunza sku zote na akujalie khatma njema kaka
😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
😭😭😭😭😭 Tushukuru mungu kwa yote🙏
sawa karadhia
🙏🤲🤲💔💔
Allah Anasema kuulu Nafsi dhahikatu le maut lila nafsi itaonja mauti kwaiyo tisihuzunike yoni mipango ya Allh🙏🙏🙏🙏😌🙏🙈🙈🙈😭😭
So sad
😭😭😭
Dah Allah Mkubwa sana
Anlla Karim kwakweli anastahili sifa walotangulia anlla awalehem wote walo tangulia 🙏🙏
Ila Ndege ni mbaya Zaid Ajali yak kuliko meli bora meli Ajali yak ni ndogo