MTOTO WA TANO WA RAIS MWINYI AFUNGUKA MSIBANI "BABA HAKUTUBAGUA, ALIKUA MTU WA MASIHARA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 133

  • @OmanSohar-d7z
    @OmanSohar-d7z 11 місяців тому +9

    😭😭😭mmezika kaka mwaka juzi mnazika baba mwaka huu allah awape subra amin

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 11 місяців тому

    Umejibu vizuri sana kijana.kweli mmelelewa vizuri hata ongea yako.Mungu aendelee kuwaweka pamoja.

  • @OdriaKabati
    @OdriaKabati 11 місяців тому +19

    Pumzika kwa amani baba wataifa letu la Tanzania hakika mwenyezi Mungu ndiye mwenye maamuzi yote kwan kila nafsi itaonja mauti

    • @KhalidMohammed-mq3km
      @KhalidMohammed-mq3km 10 місяців тому

      Baba wa taifa la Tanzania ni mwalimu julius kambarage nyerere
      Legacy live long

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 11 місяців тому +1

    Innalilah wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu amjalie pepo Mzee wetu! Poleni wafiwa wote! Na Sisi Watanzania kwa ujumla!

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 11 місяців тому +27

    Uzuri wa waislamu ndio huo hakuna cha VIP ...SANDA NI ILE ILE

  • @wadhhasuleiman2621
    @wadhhasuleiman2621 11 місяців тому +22

    Wtt wa mwinyi hatuwajui lkn doto magari tunamjua Yaan dotto angekuwa mtt wa mwinyi ingekuwa balaa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 11 місяців тому +3

      😂😂😂😂 nacheka kama mazuri

    • @mttanzaniamalimilo6657
      @mttanzaniamalimilo6657 11 місяців тому +1

      Innalilah wainailayh rajiuun poleni Allah awape subira kikubwa kumuombea dua ila ushauri msije kukubali aanikwe uwanjani sijui kumuaga kinyume na utaratibu wa kiislamu

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 11 місяців тому

      Nayale maywele sasa akili han

    • @JoyceHaule-o8c
      @JoyceHaule-o8c 11 місяців тому

      Hahahahaaa

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 11 місяців тому

      ​@@mttanzaniamalimilo6657Kumbuka huyo alikuwa Rais wa nchi hizo habari za udini weka pembeni.Uwanjani lazima apelekwe watu wote wapate kumuaga.Kitakachobmlinda hapo ni amari zake njema tu hayo mengine ni mbwembwe tu za kidunia.R.l P Mzee Mwinyi 😭😭

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 11 місяців тому +4

    Alhamdullillah
    Allahumma ghufirlahu warhamhu waaskinahu filjannat 🤲

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 11 місяців тому +1

    Anafanana sana na Dr hussen mwinyi utadhani mapacha

  • @haggaiandagile6232
    @haggaiandagile6232 11 місяців тому +9

    Mtu mnyenyekevu , mwenye kumpenda Mola wake

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 11 місяців тому +11

    Pumzika Kwa amani baba yetu Kwa kweli sijapata ona rais mwenye upendo kama mwinyi alikuwa rais hata kumuona hata sisi makapuku tulifika kwake na kuongea naye kama kawaida moezi wa yatima wengi sana alikuwa akiishi nao hapo nyumbani,mwenyezi Mungu umrehemu Mzee wetu kipenzi Kwa wakati wake ,amen

    • @shabansumaiya4770
      @shabansumaiya4770 11 місяців тому

      Usimsifie mtu kupitiriza mpe heshima yake tuu lakini kusema hujaona raisi mwenye moyo mzuri kama yeye unakosea .mzee kikwete kilasiku watu wanaenda kipiga story nyumban kwake

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 11 місяців тому +19

    SANAA. KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 11 місяців тому +5

    Poleni wafiwa Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ameen. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun

    • @ReziqiRez
      @ReziqiRez 11 місяців тому

      Allah hummaAmeen

  • @dawaadawaajuma7446
    @dawaadawaajuma7446 11 місяців тому +2

    Allah amfanyie wepesi ktk maisha yake ya kaburini

  • @mozuusuleiman4702
    @mozuusuleiman4702 11 місяців тому +8

    Innallillah Waina Ilayhi Rajiun. Allah amsameh na poleni familia

  • @michilita2959
    @michilita2959 11 місяців тому +1

    Walalhi niliipenda sauti ya huyu mzeee my love for him was pure jana nilikuwa mnyonge sana ndio baadaye nafungua simu naona kifo chake Allah ampe pepo mzeee wangu mzeee

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 11 місяців тому +1

    Mungu ampe pumzika la Amani miaka aliyopewa hii ni sherehe pamoja na kwamba ni mciba familia Mungu awatie nguvu

  • @khatibmako3500
    @khatibmako3500 11 місяців тому +9

    Usishangaealikuwa na wake wawili bi siti mkubwa na bi khadija mdogo wote ni weupe

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 11 місяців тому +1

    Mtangazaji unachanganya mada. Mtoto anasema baba kafa akiwa na miaka 99. Wewe unasema 98.!!!!?

  • @rashidmkoga3053
    @rashidmkoga3053 11 місяців тому +1

    Hakika mwinyi alitukuta Tanzania hatuna nguo
    Tulikua tuna vaa mawingu leo wanasema batiki
    Nitamkumbuka sana mzee huyu daftari shukeni bure
    Ukifungua shule unapewa 15 likiisha unapelekwa kwa mwalim ana saini nyuma unapewa jingine
    Nuru ya maisha ndio ilianza kung'aa baada ya mze huyu kushika usukani
    Nyerere mambo mengi mno yalimshinda

  • @rizikisaleh3133
    @rizikisaleh3133 11 місяців тому +11

    pua zile zile zarais wetu

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 11 місяців тому +1

    Pole saana kakangu kwa kumpoteza mzazi amba alikuwa wingu kwa Taifa zima kwa ujumla...😭😭

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 11 місяців тому +1

    Innalilah wainna illah rajioon, allah amuhifadhi miongoni mwa waja wake wema yaallah

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 11 місяців тому +6

    Pwenti nilioipenda nanilioondokanayo kwa furaha kumaliza madalakaýake kiuadilifu alha amlipe kwayake nakingine hajalewa kujilimbikizia yemwenyewe shahid kwahilo lamwisho kuwapa ulithi wa elim ikiwemo yakiroho hayomaneno aliozungumza broo hapo yanatokana na iman thabit sio brabra mwenyeiz mungu awapesubra na mshikamano kwenyefamiliayenu aamin

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 11 місяців тому

      Kbs jmn mana alikuta wt wajinga awajjo chochote walilala tu lkn akawaamsha wt wkaanza kuishi maisha ya amani nakumiliki kila kitu uyu mzee akuwa na tamaa kbs ktk uongozi wk uyu na mzee magu walijali waanchi kuliko mapato ya serikal lkn uyo kikwete hpn kbs

  • @binseif2216
    @binseif2216 11 місяців тому +3

    Mfalme wa oman Qaboos alipofariki alizikwa hiyohiyo siku hata majirani zake wa Dubai hawakuwahi kuzika huku kwetu mpka siku 3 anakalishwa kwanini?

  • @SaadaNdaro
    @SaadaNdaro 11 місяців тому +1

    Pumzika baba upendi umeonyesha ndani na nje pumzika baba yetu aukuuwa na makuu

  • @farish2899
    @farish2899 11 місяців тому +3

    Innalilahi wainna ileyhi raajiun. Poleni sana !!

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 11 місяців тому +1

    RIP😢😢😢

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj 11 місяців тому +3

    Wakifa wanaacha majumba ya kifahali na mali ila wananchi wao hali tete

    • @nassorali1034
      @nassorali1034 11 місяців тому

      Hata ingelikua niwewe au mmoja ndani yafamilia imejaaliwa hivi basi hakika ingelikua km ulivosema.....huyu mzee hakua tajiri na alichokua nacho hakujifaharisha kubwa nikutoa nasaha kwa wanawe na wawenziwe ....astahafiru mnaanza tena vijineno yyote alonacho kapewa na muumba mbingu na aridhi jamani nyee

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 11 місяців тому

    Hii famly imebarikiwa sana

  • @BakariMtangenange
    @BakariMtangenange 11 місяців тому +1

    Ila jamaa amefanana sana Hussein

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 11 місяців тому

    Pumzika kwa amani baba na tutakukumbuka daima

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 11 місяців тому +7

    Watt wake wazuri mashallah

    • @mk-ed5py
      @mk-ed5py 11 місяців тому

      Yaani km ulikua kwenye akili yangu

  • @Noor56-i7s
    @Noor56-i7s 11 місяців тому +3

    Pole baba pole saaana tunaumiya hata ss 😢

  • @pius_kiraka
    @pius_kiraka 11 місяців тому

    Upumzike kwa amani, Mzee Mwinyi!

  • @bobaiddi9599
    @bobaiddi9599 11 місяців тому +1

    Inalilah wainnailayh rajiun

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 11 місяців тому

    BABA mwinyi tumetoka na wewe mbali tutazifaata Hikima zako daima

  • @HusseinBoraMbalu-wd8ho
    @HusseinBoraMbalu-wd8ho 11 місяців тому

    mungu ni mwema

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 11 місяців тому +4

    Innalillahi wainnailahi rajiun poleni sana familia

  • @StareheMaginga
    @StareheMaginga 11 місяців тому

    Polen sana😢😢😢😢

  • @Salmamkwendasalmamkwenda
    @Salmamkwendasalmamkwenda 11 місяців тому +1

    Poleni sana wanafamliya

  • @RamadhaniMuna-g7i
    @RamadhaniMuna-g7i 11 місяців тому

    Inalilah wainalilah rajinguni kila nafs itaonya umaut

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t 11 місяців тому +2

    Kachukua rangi ya mama

  • @Zowazowa-xu1gk
    @Zowazowa-xu1gk 11 місяців тому

    Innalillah wainnaillah rajiun Allah ampe kauli thabiti 😢

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 11 місяців тому +8

    KUMBE WATOTO NAO,,NAMBA ZILISHASOMA

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 11 місяців тому +2

    Poleni Sana

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 11 місяців тому

    R I P BABU MWINYI😢

  • @hussainmasoudsubhannallah3786
    @hussainmasoudsubhannallah3786 11 місяців тому

    Alhamndulillah kuwaacha familia yake mnamaelewano

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon3624 11 місяців тому

    Buriani🙏

  • @RayyanMohd-p3e
    @RayyanMohd-p3e 11 місяців тому

    Inna lillahi wa Inna ilaihi rajiun.allah ampe kauli thabit ila wake zake wote walikua ni wazanzibar ndio mana

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 11 місяців тому +2

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 11 місяців тому

    Pumzika kwa amani rais wangu wapendwa ila jmn mnakosea sn kwann mnamtowa kwao alipozaliwa na mnaenda kumzika sehemu alo owa tu na mwenyewe alishasema akifa akazikwe kwao alipo zikwa baba ake ss nyie mnaenda kumzika ugenini alipo owa kwann mbona marais wote wamekufa na wamezikwa walipo zaliwa i so sawa kbs

    • @binseif2216
      @binseif2216 11 місяців тому

      Unakosea nafsi ilipofia palepale inatakiwa kuzikwa ndo sheria ya dini

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 11 місяців тому

    MUNGU AMLAZE MAHARA PEMA PEPONI BABA YETU MWINYI

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 11 місяців тому +5

    Apumzike kwa amani mzee wetu

  • @SingoMedia
    @SingoMedia 11 місяців тому

    Innaa lillahi wainaa ilayhi raajiun.

  • @JosephKaumbuthu
    @JosephKaumbuthu 11 місяців тому

    🎉🎉

  • @AishaMsungi-hm8rd
    @AishaMsungi-hm8rd 11 місяців тому +2

    Inna lilah waina ilah rajuuun

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 11 місяців тому +1

    😢😢😢

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 11 місяців тому

    Inalilahi wainailah rajiun😢

  • @Aminaally-lk2gn
    @Aminaally-lk2gn 11 місяців тому

    Azd

  • @sharrifaabdulrahman3889
    @sharrifaabdulrahman3889 11 місяців тому

    Anwar

  • @eyewitnesstv3424
    @eyewitnesstv3424 11 місяців тому +1

    انا لله وانا إليه راجعون

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 11 місяців тому

    Huyu jamaa ana maisha mazuri hata ngozi yake ina onekana ime nawiri

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 11 місяців тому +1

    Poleni

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 11 місяців тому

    Kila nafsi inaonja umauti 😢

  • @JoshuaMwakalobo
    @JoshuaMwakalobo 11 місяців тому

    😊

  • @Mariammashaury-cl5uz
    @Mariammashaury-cl5uz 11 місяців тому

    Pumzka Babu yetu

  • @AbasiKipingu
    @AbasiKipingu 11 місяців тому

    Innalilah wainnailah rajiun

  • @ramadhanmahela7372
    @ramadhanmahela7372 11 місяців тому +4

  • @jamillahmussa3775
    @jamillahmussa3775 11 місяців тому

    Inna lillahi waina illaihi rajiuun

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 11 місяців тому +2

    Marehemu alikuwa na wake wangapi?

    • @allyjafari8456
      @allyjafari8456 11 місяців тому

      Wawili siti & Khadija

    • @michilita2959
      @michilita2959 11 місяців тому

      Mi wa mwisho ila hajawahi niona my live for him was pure

    • @vanessajames2192
      @vanessajames2192 11 місяців тому +1

      Wawili na mmoja hajulikani wanambagua leo hata kuaga ameaga kama raia

    • @michilita2959
      @michilita2959 11 місяців тому

      @@vanessajames2192 km aliolewa basi haki yake atapata inshallah

  • @RukayaKundi
    @RukayaKundi 11 місяців тому

    mung amlaze mahali pema akhera endako

  • @AsiaAbdi-uu4bs
    @AsiaAbdi-uu4bs 11 місяців тому

    Atali sasa

  • @RumeysaHussein
    @RumeysaHussein 11 місяців тому

    Ponzika kwaaaman

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 11 місяців тому

    Hivi bi Khadija alikuwa haendi naye public? Sasa mwishoni alikuwa anakaa na Bi mkubwa au mdogo.Akiwa mzima na nguvu inaeleweka, akizeeka,akachoka na kuugua, usipokuwa makini Bi mdogo unaweza usimuone mume hata miaka 10 mnaongea kwa simu tu😊 labda uelewane sana na mke mwenzio akuruhusu uje muona.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 11 місяців тому +2

    Huyu mwana sitti

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 11 місяців тому +3

    Huyu mtoto kama chotara subhana Allah

    • @mohdloushmoney9994
      @mohdloushmoney9994 11 місяців тому

      Subhanallah ya vipi Sasa na ndio mwanawe

    • @ummuraw6372
      @ummuraw6372 11 місяців тому +1

      Wake zake machotara na mtto kawa hivyo subhanallah ya nni

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 11 місяців тому +2

      Unamjuwa Mamake hata unashangaa na hio rangi....watu wa Zanzibar wengi wako na Arab decent....hilo neno nimeshindwa Kwa Kiswahili 😂

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 11 місяців тому

      wazanzibar ndio rangi yetu

    • @sisifaty9183
      @sisifaty9183 11 місяців тому

      Wajawaja hamna smile .muogopeni Mungu

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 11 місяців тому

    😢😢😢 poleni sana familia

  • @official_neemamlay180tz
    @official_neemamlay180tz 11 місяців тому

    Rest in peace

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 11 місяців тому +3

    99 au 98 ?

  • @kathyrndavid8935
    @kathyrndavid8935 11 місяців тому

    😢😢😢

  • @ZenaShaban-c3g
    @ZenaShaban-c3g 11 місяців тому

    Poleni

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 11 місяців тому

    Poleni sana