Jacob Stephen & Jackline Wolper & Aunt Ezekiel, | SIGNATURE 2
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Jacob Stephen,
Jenifer kyaka,
Aunt Ezekiel,
Jackline Wolper Pesa na wanawake ni vitu vyenye ushawishi mkubwa hapa duniani.Mheshimiwa meya ni kiongozi mwadilifu asiyetaka mchezo kwenye kazi yake..anakutana na kahaba mzoefu akiwa ameomgozana na tapeli la kimataifa…je atatoka salama?
Tunao angalia 2024 mwaga likes nyingi sanaaaa🎉🎉
😅
Hizi ndio cinema za kucheza sio udaku na mapenzi halafu daika 40 eti movie imeisha
Jacob napenda movie zako watching from Saudia
I like when the notification pops out...someone liked your comment😊
Ooohh
Yaan hawa jamaa noma Sana,♥️♥️♥️ I like they movies kinoma Sana.
Tunaongalia mpaka 2022 tujuane naomba like zangu
2023 sasa
Awa wanawake wenye maumbo mazuri mmewapigia kura kwanza ndo wakashiriki film hii naona wote ni shida
Duuh kumbe kwenye kushoot kunakuaga na vituko duuh mpaka ngumi jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bonge la movie aunt umecheza poa sana
Hapa kwenye ashen mmegombana ndio najua kila kz kuna mkwaluzano by mko sahii kabisa
Bonge LA movie kama kali kali mi upenda bongo movie 🇰🇪
Tunao angalia 2023 tujuane jamani
Aaaaaaaaaaaah
Ati bby hichi kitambi chako miskipendi,hahaha jamani...
😄😄😄😄🤣🤣🤣
Miaka 12 iliopita ila bado ipo vizuri
Kumbe huwa kazi kwely behind the scene ni 🔥 🔥 😄 🤣
🥺🥺🥺🥺🥺
kwani hapo mwisho kuna nini😂😂😂😂😂 mnataka mpigane mangumi? sijaelewa. ebu nielezeni
2022 still watching ✌️
Me mpaka 2023
Miaka 14... Nmeona kalenda ya mwaka 2010...!! Nyie chuma Iki hapa...!! 2024 nmerudia upya
Shukran Kwa kuniletea sehemu ya pili nawapenda Sana hongereni
This old man is true classic timeless actor look for me I sponsor you in Hollywood actors ❤
Thanks DJ
I love you Aunt Ezekiel 😂😂😂
Conguratuation for good movie %%
Napenda bongo
Asanteni kea kuleta pt 2 jmn
Tunaongalia 2023 tujuane jemeni kwa likes
❤❤❤❤ tupo apa
@@Elizakilisipinilikolika1996mim leo
uwanapendaga move zazaman kwan zinafundisha kwakweli
Tupo apa
Tupoo😂😂❤
Nifunzo sana kwetu wanaume.wanakuhuwa.shauli.tamaa.zao nikuomba mungu katika mafunzo ya maisha ya wanaume
Napenda saaana movie zako mi Niko Kenya
Move nzuri sn
Waoooooo jaman hatimae mmeiruxhaaaaaa💃💃
Good stuff
Nwapenda sana love from Uganda🇺🇬🇺🇬
Good movie... congrats to all participants
Tunaoangalia 2024 jmn 😂
Daaaaaah ili muvu kaliiiiiiiiiiiii irudiwe irudiwe irudiweeeeeee
Hongereni washirika mashaallh tnz tupo vyema
Duh asanten kwakuilush nimesubilia San kwa ham
Aunt kapatikana 😂🤣🤣😂😂😂😂 dah
Usilolijua ni usiku wa giza.🎉🎉
Hongeren Sana mko vizur sana
Walai hii cinema ni tamu tena zaidi iko na mastaa
Amazing movie
Nice work congratulation
OYOOOOOO NDO NAIANGALIA PARTY 2 MANA IMEISHIA PAZURI SANA AUNT EZEKIEL KAPATIKANA AISEE😂😂😂😂
Mmh hikiboko yaani daaaa!!...
@@lilianmyjoseph5036 Nzuri sanaaa🤣
Best movies 👍 💋🇰🇪🇯🇲
I like your movie so much Jacob keep it up Jacob
the behind the scenes ilikuwa motoo
Kumbe hiyi movies yazamani jamene 2010
🤣🤣🤣🤣Behind the scene watu wako Sana cha ukweli vpi
Haha imeweza
Ahsante kwa kuupload part 2 hii movie ni classic!
Am watching from kenya
So amazing
Was eagerly waiting for the second part🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Napenda sana movie za zamani
Barafuuuuuuuuuuuuuuu. Sin kama hizo ni zako.
Napenda jb
Movie nzuri sana
Nice movie
🤣🤣🤣utapeli huo acha tuu
Mashallah movie iko poa sana
Adam kuambiana R. I. P 😢😢🙏
Hahahahahaha mbon mwataka kuzichapa ten😂😂 ila movie nzuli
Bigg luv ❤️🌹kwawashrik wote
It was nice
nice one, hongereni nyote, yani.ukicheck behind the scene ndio utajua uigizaji yaitaji moyo 😅acting ni job ngumu sana
Nikimuona jb.natimzama.sana ❤❤❤❤Tanzania 🇹🇿
Story imepinda kona kutoka part one na sasa sijui namna ya kudili na mamalaya waweka madawa. Yaani utaflkiri movie mbili tofauti
Wewe ndo haujaelewa
Story kiufup inahusu saini ya meya, hao madada waweka dawa kwny vinywaj ilikuw mwanzo tu wa kukufany uelewe story ambapo baadae aunt ndo alitumika kuipata sain ya meya km malipo ya wiki wake
@@reiyabilal9106 asanteeeee
@@reiyabilal9106 upo makini sana
Thx for part 2🤟💥
Kazi hizi ndo zawakongwe na ndo faida za move hii
Duuh nzuriii
good job 🔥🔥❤️
Good saanaa
Duuuuuu, kweli mjini mipang
Congratulations
Good work
Kali sana
Cloud nakukubali sana kwenye movies za dini
Ako vizuri sana mashaAllah mola amujalie InshaAllah 🤲🤲🤲
asante sana dj kama hautojali tunaomba move ya caddy ya wolpa nayusufu mlela na hemed jomon
Ais na me iyo movie naitak kwl atuletee kbs
Nzuri sana
Nice movi
Mko sawa
Hatimae mmeiweka part 2
Saaana kizazii
Asanyeni kwa mwendelezo
Nice🔥
Kwanza kuangalia mvoes zao na watoto ningum sana bola tuweke mkolea tu
good job 🔥🔥
Kiukwer muvukali sana
Safiiiiii mob love from kenya
Bila shaka!
2023 bado tun agalia
Wote mpo vzr humu kwenye hii picha
But I really missed kabumba💞👍💪
thats nyc😘😘😋
safi tupo pamojaa
Kama hiyo movie kali
Rest in peace Adam😭😭
Adam???
Ndo nani Adam??
Adam Kuambiana alikuwa mwigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini
Ndo nani nawewe wakati wote wapo hai kaaaah
Jmn tunaomba young billionaire 1&2
Asante kwa muendelezo
Wewe uko online uku what's up nakutafuta haya sawa
@@victoriakhojazawadi6587 ucjal my thanks for caring tutaongea kesho..... more love 💘 💗
good movie
Duuuh ! Hii kali elki ford
Hawa watu walikua sirias nakaz kwanza sio kitoto toto ukiangalia unataman iwe ina endelea sio walio tuletea uchaf wasasa ukiangalia kidogo tu md inaisha kabisaaa hutaman kuludia kwababu hawapo srias na kaz wapo kimapenz zaid
Dnugu zangu Koroma manake nini jamani ? I like this movie from DRC