#EXCLUSIVE
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Uko vizuri unajielezea vizuri nimependa
Zee cute kuanzialeo sitoweza kukushabikiya tena wesimtarabu kwanini unapoachana na mwanaume unaelezeya upungufuwake
Mabinti ya mujini mnapenda mapenzi tofaut tofaut na wanaume
Zeee cute I just love ur voice
Mhh jmn tujitambue sisi wanaume na kuwaza mbali kuanzisha familia ya maisha yetu yaan mwanaume amepata milioni mwanamke anataka agawane nusu kwa nusu na mwanaume? kiwanja huna hata tofali huna umri unaenda hapana aisee
WWE lulu hunamaajabu unangojea watu wangombanao ndio uwa inter view basi km ni kweli tulete Salam na huyu boss wako na mama dai si kaachwa Kisha umelete shamte
Wanawake tunafeliii kabisa Kwan mtu huwez kudate na mwanaume bila mapicha mapicha kha hicho kichaa bado sijaugua
🤣🤣
@@zainabwage4658 😂😂 mahaba ya kujiachia hivyo mie sinaaaa akhaaaa
Fred itakua amem tafuna huyu cute
Huyo demu kazingua sana kwenda kwenye umati
MAPENZI YA SIKUIZI NI ERA WANADADA WA SIKUIZI WAKIONA TU UNA MKWANJA VISA AVIISHI AKIAMNGU NGOJA NIZITAFUTE NITAKUJAGA APO WASAFI NIWACHANE NYIE WANADADA✅👍
Pumbav wawili in the house
Arafu anaongea kira kitu huyu dada khaaaaaaaa
😂Zee cute Ni mnyama sana
Anakoroma😂
Yaani nimejikuta nachaka eti bora adonoe kuku kuliko kukupa wewe🤩🤩🤩🤩
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣hata Mie🤣🤣🤣
Wee naye ulipiga za nini hizo pic za uchi ulimwamini amekuwa mama ako mzazi huyo mfyuuuuuu usituchoshe🙄🙄
Hahaha nimecheka sana Stan jmn
Wanawake wengi wanamatatizo ,kwanini ukiwa na mauhusiano unakuwa limbukeni sana mpaka unakubali kupigwa picha za utupu na hadi kurekodiwa vidio,Yani ni ujinga mtupu .., kumbukeni kuwa picha na vidio vinabaki kwenye mitandao na miaka inayokuja mwanao wa kumzaa atakuja kuona utupu wako kwa picha na vidio ulizojirekodi Leo au kurekodiwa
Madem hawaaminiki vijana tujihadhari sana
Nyie wote malaya mapenzi hakuna
Nilikuwa nakupenda mno na shabiki yako lakini nishatoka kukushabikia coz sio mstaarabu
Umeona eeh
Kugawana pesa ni tatizo,milioni moja pasu pasu
Kugawana nusu kwa nusu hapo ndo kama panavuruga akili.nikipata kias tugawane sawa hawa wanawake tuwe makini nao sana
We love stan and what you are saying won't change anything. You don't make sense.
Aaaahhh wee hata kam kuomba basi sio hivo duuu mtu kaingiza millioni wataka nusu kwa nusu UCHURO HUO...nyie wanawake kuweni na akili boyfriend wako kaingiza millioni kaa nae chuni mupange jisi ya kuongeza iyo millioni sio utake nusu kwa nusu utapeli huooo....
Duuuuh,yaani na huo muonekano wote unaniteza kisa mwanaume asiyekujali, achana naye bana zee cute hebu jaribu kupambana na kwani hauna professional yeyote inbox me
@mhmm ,,cjaelewa mada topic iliyopo hapo 🤐🤐
Translate to swahili
wacha awachiye hizo picha kwani kulikuwa na haja gani yakujirekodi si umeyataka mwenyewe?
Bado wanapendana
Sasa mtu umeshalala na wanaum mjin kbao na habari anazo kama mm ntalala hvyo hvyo.
Bora ampe kuku adonoe kuliko kumpa yeye😂😂😂.
Stani bakora hebu fanya connection basi
Mamae
😀😀😀
Nlpokuona kweny bingwaaa ndo nkjuaa w n mbovu sema izo makeup xo usringe Sana
Sasa hivi wasichana wengi hawana mapenzi ya kweli mawazo yao nikupata wanaume wenye pesa tu na kula starehe bhasi
Watakaa sana
Apo kwenye kugawana nusunusu ndio pazuri eti
Demi nazi huyu... Hazimo kabisaaaa
Wazimu wako
Sikuamini wewe haya kidogo
Achaneni na utoto, hata kitaa tunamegana lkn hatunaga maujinga Sasa cjui nyie,cjui ndio Sanaa ubunifu au laa!
Wewe nawe yote hayo kuna haja gani ya kuyaongea jamani na ningekuwa mimi ningeziachia muda huo huo hata hujatoka hapo kenge mweusi wewe🌚
Lulu ineed tha girl ilike her
uko poa
Daah stan anazingua sana unawezaje kum attack msichana mrembo ivo jaman daaah
Mwanaume gani uyo
Ilo shavu kilo2 nzima
Matope
Haha 🤣 jmn nasuti kulala 🤣au stan mze mwenzetu mpka mkorogo
Acheni kupeana ujingA, lakitano yakoo , kwakazi gan unayofanyA
Acha utoto
🤔🤔🤔😬😬khee
Ataachia sababu umeanza wewe kumchafua
Ila humu kama Kuna ugombanishi eti maana Stan ajasema analia kama mwewe alitolea mfano tuu lakini nashangaa ili neno limebebwa kamili🙄🙄🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤔🤔
Huyu diva mnafkia sana, stani alisema kama mfano tu lkn diva niya yake ni uchochozi tu 😬 cnya sana
Ndio walivo ao watangazaji wanatabia ya kugeuza geuza maneno
Bora sister nawe ulickiliza kwa Makin Stan ajaongea chochote kibaya nandomana alikua anakazaniz ile point alioyotolea mfano ila Stan alimkataa na bdo kaibeba
Gubu, gubu, gubu tena..
Bora kumpa 🐔 adonoe kuliko kukupa wewe