Bwana YESU Asifiwe ahsante mtumishi Kwa somo hili hakika ni la kwangu kabisa kusamehe au kutoomba msamaha ni utumwa ni kweli mtumishi nimetuma sadaka yangu Ili nijazwe nguvu za roho mtakatifu niombe msamaha niwe na amani moyo wangu unaumia sana MUNGU anisaidie Amen
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU now Nina amani nimesamehewa na kusamehe ninajiona na Amani kabisa ahsante Kwa somo hili mtumishi hakika umenisaidia na kupona 🙏🙏
Mungu nisamehe mm kil nikigombana na mme wang huw natamka kuachana na yeye nisamehe siwezi kumpoteza mwanaume mema kweny maisha yangu ni hasira tu 😢😢😢😢
Bwana Asifiwe sana naomba MUNGU niweze kuomba msamaha Ili nisamehewe na familia yangu 🙏🙏🙏moyo wangu umekuwa mzito sana ila kama MUNGU alisamehe na Mimi naamini nitasamehewa
Ee Mwenyezi Mungu ulinipa msaidizi kwenye maisha yangu ambae ni Roho Mtakatifu, nami naomba Roho.wako mtakatifu akanisaidie kusamehe niliumia kwa vitu nilivyofanyiwa lakini baada ya somo hili hili nmejifunza kuwa natakiwa kusamehe. Naachilia uchungu wote uliokuwa moyoni mwangu baada ya kuumizwa na ninasamehe wote niliowakosea kwa msaada wa Roho wako Mtakatifu. Na katika wale niliowakosea naomba ukaachilie amani ndani ya mioyo yao ukawagange na ukawawezeshe kuachilia msamaha ndani ya o
Father i forgive my siblings. I forgive my parents,i forgive sister in laws. I forgive my former boss I forgive myself in Jesus mighty name. God help me.
Watching From Kenya.kiukweli mimi nilikuwa napitia mambo mengi nikafikia hatua ya kukataa tamaa ya kimaisha ila kupitia mafundisho yako mazuri,nimepata nguvu mpya
Watch from Kenya I have been going through a very difficulty time ya kusengenywa,na haya yote yalitoka kanisani ninakohudumu ,,,,,ohhh my God had no forgiveness in me bt from now hence forth I have forgive them all who participated....may the holly spirit help me in Jesus name
Watching from Saudi, thank you for empowering me .....nmekumbuka jinsi mamangu mzazi na dada wangu walivyo nisaliti it was hard times but I managed to forgive without their acknowledgement☺️☺️
Hata mimi My Mother alinipitishia mengi hii dunia,,,nilipata mtoto bahati mbaya 2010 bt my mother hakuni samehe alinitesa kama Mtoto wakambo,,,,nliishi nkilia machozi since 2010 hadi 2016,,,,,na pia aka nilaani nitatumiwa na wanaume wakiniacha kwa kweli hii dunia kila mwanaume alikuwa akinitimia ananiwacha bila sababu,,,,,hadi nkaamua nitokr kenya nikuje uku Lebanon,;,,,,,,,La kwa kweli Mama aliwacha kidonda kikubwa kwa Moyo wangu najaribu nisahau bt wakati nakumbuka uwa nalia sana😭😭😭😭😭😭
@@hdhdhdhdhdh3264 pole sana mpendwa Mungu akuponye nakuombea uweze kupona na kusahau usisahau kujitenga na hyo laana mwaka huu ukawe watofaut kwako ktk Kila idara comments yko imeniumiza coz nliwai kupitia the same thing through my mom ila nlisamehe 😭😭😭tusamehe dear neena ya Mungu ipo juu yetu our future is so bright
Hallelujah katika nguvu ya mungu pekee na kwauweza wake yeye nimesamehe wote walio nikosea na kunitendea mabaya mungu awabaliki na awape amani katik yeye aamen
Eeh mwenyenzi mungu nisaidie moyo wa kuwasamehe wote walio nihudu. Nina moyo mzito sana wa kusamehe mtu naweza sema to nimekusamehe lakini deep down bado inaniuma
kwa jina la yesu,naachilia msamaha kwa wote niliowakosea kwa namna yoyote,na kama kuna mtu nilimkosea kwa kujua au kutokujua Mungu awaponye na awame aman tena
Amen Amen Amen Amen I receive the power of forgiveness to all people who doing wrong to me and who doing wrong to me .ooh holy spirit come to me and give me the power of forgiveness to my family,children and marriage in Jesus might Name Amen .
Since i started watching and following the sermons I'm growing spiritual i feel that the spirit of God in my soul 🙏 you are such a blessing to me ...Mungu aizindishe neema mtumishi wa Mungu 💚
Nimebarikiwa sana pst.
Bwana YESU Asifiwe ahsante mtumishi Kwa somo hili hakika ni la kwangu kabisa kusamehe au kutoomba msamaha ni utumwa ni kweli mtumishi nimetuma sadaka yangu Ili nijazwe nguvu za roho mtakatifu niombe msamaha niwe na amani moyo wangu unaumia sana MUNGU anisaidie Amen
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU now Nina amani nimesamehewa na kusamehe ninajiona na Amani kabisa ahsante Kwa somo hili mtumishi hakika umenisaidia na kupona 🙏🙏
Mungu nisamehe mm kil nikigombana na mme wang huw natamka kuachana na yeye nisamehe siwezi kumpoteza mwanaume mema kweny maisha yangu ni hasira tu 😢😢😢😢
Bwana Asifiwe sana naomba MUNGU niweze kuomba msamaha Ili nisamehewe na familia yangu 🙏🙏🙏moyo wangu umekuwa mzito sana ila kama MUNGU alisamehe na Mimi naamini nitasamehewa
Ee Mwenyezi Mungu ulinipa msaidizi kwenye maisha yangu ambae ni Roho Mtakatifu, nami naomba Roho.wako mtakatifu akanisaidie kusamehe niliumia kwa vitu nilivyofanyiwa lakini baada ya somo hili hili nmejifunza kuwa natakiwa kusamehe.
Naachilia uchungu wote uliokuwa moyoni mwangu baada ya kuumizwa na ninasamehe wote niliowakosea kwa msaada wa Roho wako Mtakatifu. Na katika wale niliowakosea naomba ukaachilie amani ndani ya mioyo yao ukawagange na ukawawezeshe kuachilia msamaha ndani ya o
Father i forgive my siblings.
I forgive my parents,i forgive sister in laws.
I forgive my former boss
I forgive myself in Jesus mighty name.
God help me.
Ninapokea nguvu ya kusamehe kwa jina la YESU Kristo Amen
Watching from Qatar Doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦 Shalom Shalom 🙏
Mungu nisaidie roho mtakatifu aniwezeshe kusamehe na kiwachilia wote walio nikwaza,nkapate kuishi kulingana na mapenzi yako
Amen
Ameen
Watching From Kenya.kiukweli mimi nilikuwa napitia mambo mengi nikafikia hatua ya kukataa tamaa ya kimaisha ila kupitia mafundisho yako mazuri,nimepata nguvu mpya
Ninawasamehe wote walio nikosea ninao wakumbuka na nisio wakumbuka ila moyoni niliwafunga katika Jina la Yesu Amen
Mtumishi MUNGU akubariki sana nenolimenijenga sana.
Ameen mungu naomba unipe rohowako ili niwe mwepisi wa musamehe maana Nina roho ngumu ya kusamehe eemungu unisaidie
Watch from Kenya I have been going through a very difficulty time ya kusengenywa,na haya yote yalitoka kanisani ninakohudumu ,,,,,ohhh my God had no forgiveness in me bt from now hence forth I have forgive them all who participated....may the holly spirit help me in Jesus name
🙏🙏🙏barikiwa mtumishi
Watching from Saudi, thank you for empowering me .....nmekumbuka jinsi mamangu mzazi na dada wangu walivyo nisaliti it was hard times but I managed to forgive without their acknowledgement☺️☺️
Same experience but working on it.
Me too am in Riyadh
Hata mimi My Mother alinipitishia mengi hii dunia,,,nilipata mtoto bahati mbaya 2010 bt my mother hakuni samehe alinitesa kama Mtoto wakambo,,,,nliishi nkilia machozi since 2010 hadi 2016,,,,,na pia aka nilaani nitatumiwa na wanaume wakiniacha kwa kweli hii dunia kila mwanaume alikuwa akinitimia ananiwacha bila sababu,,,,,hadi nkaamua nitokr kenya nikuje uku Lebanon,;,,,,,,,La kwa kweli Mama aliwacha kidonda kikubwa kwa Moyo wangu najaribu nisahau bt wakati nakumbuka uwa nalia sana😭😭😭😭😭😭
@@hdhdhdhdhdh3264 pole Sana mpendwa mungu akusaidie uachilie kama unavyosamehewa na mungu ukikosea
@@hdhdhdhdhdh3264 pole sana mpendwa Mungu akuponye nakuombea uweze kupona na kusahau usisahau kujitenga na hyo laana mwaka huu ukawe watofaut kwako ktk Kila idara comments yko imeniumiza coz nliwai kupitia the same thing through my mom ila nlisamehe 😭😭😭tusamehe dear neena ya Mungu ipo juu yetu our future is so bright
Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏
Hallelujah katika nguvu ya mungu pekee na kwauweza wake yeye nimesamehe wote walio nikosea na kunitendea mabaya mungu awabaliki na awape amani katik yeye aamen
Eeeh mungu wangu nifundishe kusamehe 😭🧎♀️🙏, watu hunikwaza sana na inakuwa ngumu kuwasamehe
Eeh mwenyenzi mungu nisaidie moyo wa kuwasamehe wote walio nihudu. Nina moyo mzito sana wa kusamehe mtu naweza sema to nimekusamehe lakini deep down bado inaniuma
PT ahsante san
Ee Mungu nimewasamehe wote walionikosea naomba Mungu unisamehe na mimi niliyokukosea amina
Hallelujah nimebarikiwa na u jumbe wa msamaha ingawa nimeusikiliza siku nyingine.
Nami nimemsamehe mke wako kupitia roho wa Mungu
kwa jina la yesu,naachilia msamaha kwa wote niliowakosea kwa namna yoyote,na kama kuna mtu nilimkosea kwa kujua au kutokujua Mungu awaponye na awame aman tena
I forgive myself
I forgive my siblings
I forgive my parents
I forgive my friends and others heavily father forgive us🙏🙏🙏
Hata Nami mutumishi nimemusameh mume wangu kwamakosa aliyo nifanyiya ikasaba bisha natoko iche yandoa Nami pia naomba mungu anisameh
Nimeamini kwa Jina la jesus christ ukiniombeya nitafunguliwa, kwani yote ni ayo tenda haindeki kabisa. Mungu atukuzwe milele.
Mungu atukuzwe milele. Pastor Asante kwa mahubiri ya msamaha. Mungu akubariki.
Aminaàaa❤❤❤
I nawasamehe wote walionikesea kwa jina la yesu kristo na Mungu awabaliki
Amen Amen Amen Amen I receive the power of forgiveness to all people who doing wrong to me and who doing wrong to me .ooh holy spirit come to me and give me the power of forgiveness to my family,children and marriage in Jesus might Name Amen .
Amen. Roho mtakatifu msaidizi wangu nisaidie mahali hapa.
Mtumishi nimekuskiliza kwa umakin nimegundua vingi binadam tunaish kwa unafki sana mungu aturehem
Nimewasamehe wote walionikosea kwa Jina la Yesu
Aiseee nimepata kitu kipya....Mungu Asante Kwa kunipa akili ya kujua❤
Napokea tiba ya milele,,,ya kusamehe kwa jina la YESU KRISTO
Vinauma kwa kweli mungu aingilie kati
Roho mtakatifu nipe nguvu na unijaze roho ya msamaha ndani yangu
Amen Nabarikiwaa sana,,,, MWENYEZI MUNGU AKUPE LOLOTE JEMAAA mbele zake
Asante sana kwa neno hili limenitia nguvu kweli neno hili limenilenga mm kabisa
So powerful sermon ,nimejifunza mengi sana,barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Nimepona. Mungu nipe roho wako niweze kusamehe ili nawe unisamehe.
All the glory be God, hallelujah🙌🏾🙌🏾
Mungu akuzidishie maarifA
Sarafina mndeme namsamehe kwalilaki2 alichonifanyia kwenye maisha yang
Pia na samehe ote walio nikosea kwanamna tofauti tofauti ikiwa na mbele za mungu
Am blessed from Kenya.Healing word
Dah nimepon san
Asante Sana nmebalikiwa kwa neno la leo
I watch this when I needed the most,it was had for me but now I find peace and the way to forgive and forget
How did you forgive & forget????for me to forget it's had for me
Mungu nime neema yakusamehe...thank you pastor 🙏🏻
Kutokana ma mahubiri yako mtumishi nabarikiwa sana kwa kweli
I noticed you Man of God at the right time your sermons/teachings speak to me directly.Thank you be blessed pastor.
Pastor Mungu akubariki umemitoa mahali
Ahsante Mungu nimepona mahali 🙏🙏
Asante mtumish wa mungu .....
Since i started watching and following the sermons I'm growing spiritual i feel that the spirit of God in my soul 🙏 you are such a blessing to me ...Mungu aizindishe neema mtumishi wa Mungu 💚
Amen thank God
watched from UAE, it was so timely thank you Holy Spirit. I cried as i was releasing people from my heart.
Ameen Asante kwa neno nimebarikiwa
Power powerful
So powerful,God bless you man of God
This is true without Jesus u can't..,.
Asante mtumishi Leo nimefunguliwa
Mtumish wamungu nasameh wario niandam wote
Amen nimewasamehe wadeni wangu walio wakosea
Aminaa Sana Mtumishi
Asante Kwa neno zuri
Asante yesu
Asante baba wa kiroho nakukubar kira sana
Somo kubwa sana na limegusa sana maisha yangu roho mtakatifu anisaidie kusamehe walionitenda ubaya
Amina
Amen.Barikiwa sana Mchungaji 🙏
Amina pastor
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananibariki
Asante Mungu kwa ujumbe muhimu. Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
Power of GOD 🙏🙏
Wow! Just wow! Sir, you're a treasure in clay pot!!
May i be able to forgive with the help of His holy spirit
Thank you man of God may God continue blessing you as you bless us with His word.....all the way from Kenya Shalom.......
Amen
Am healed thank you Man of God 🙏🏾
Amen naomba nipate ufahamu
From tictok to here....from Kenya.much love
My favorite pastor all the time all the would ❤
Mungu nisaidie
Hallelujah , Iam blessed by the word of God .
Ubarikiwe na MUNGU. Amina 🙏
its hard to swallow but it heal
HALELUYAAAAAA
Amen 🙏🏽
Amen mtumishi wa Mungu
Nakupenda sana from Rwanda
asante YESU nimepona
Mtumishi ubarikiwe
Ubarikiwe
Great follower from Kenya man of God we are grateful for you.
Bless you Pastor. I'm healed.
Child trauma znanitesa ila ntasamehe wote walionikosea nikiwa mdogo 😭😭😭
Ameen
Mathew6:10-14
.......our God can forgive 💪
Amen 🙏